Raisi amtumie huyu katka utafiti wa maisha na mazingira
@nassoroseleman604 жыл бұрын
Asante profess jumanne kishimba
@ktkkilan3 жыл бұрын
What he is essentially saying is that let "criminology - the psychology of crime' or crime/corruption prevention studies be part of the syllabus in all our key courses. Just like management, human resources, basic finance etc are nowadays.
@jailaninkya89783 жыл бұрын
Safi san
@johnrogath10663 жыл бұрын
😁😁😁GENIUS PROFESSOR KISHIMBA
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
Dah huyu mzee ana upeo mkubwa sana kama vile Joseph msukuma nawala hana DIGREA kweli Elimu ya mtaa nikubwaa kuliko ya shule. Ndiomana tukaitwa wa BONGO yaani watu na Fikra zao
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
😂😂😂👏👏👏 Dah Mh kashimba genius
@fredrickmdassa65683 жыл бұрын
Kwakweli Mashimba anastahili kuitwa professa. Hoja zake ukizifuatilia kwa makini zinamashiko kwa maisha yakawaida ya Mtanzania.
@meshackmpalanga91303 жыл бұрын
Daaaah UBARIKIWE mzee
@gabrielaniseti15374 жыл бұрын
NAMKUBALI SANA MBUNGE,ANA MAMBO MENGI KTK ELIMU
@vedastokeya33443 жыл бұрын
Ukimsikiliza kwa haraka haraka utamkashfu, ana akili pana sana ndio maana anapesa, anamtizamo kumuangalia mtu wa hali ya chini
@franciscomohamedjumanne11364 жыл бұрын
Unahitaji akili kubwa kumuelewa huyu mbunge ukikurupuka tu utaogelea na kumtukana bure ila ameleweka vizr rudieni kumsikiliza mjue analenga nn
@saimonijonas43563 жыл бұрын
Yaani mimi nimemuelewa sana.Huyu mzee anaakili sana.
@johnsonpaul28833 жыл бұрын
Ni Zaid ya genius aisee huyu na msukuma mpaka najiuliza kwanini wanajiweka chini ingali wao hawana elimu Ila wanaakili na sikuzote omba upewe AKILI NA SIO ELIMU
@martinhinda52333 жыл бұрын
Na sio akili tuu ni matajir vibaya mnooo kishimba ana viwanda mpaka zimbabwe yeye ni msukuma wa kahama mwingne msukuma wa geita hawa jamaa vichwa
@denisrukangula70863 жыл бұрын
watafundishwa dalili za kuwatambua wezi
@martinhinda52333 жыл бұрын
Kishimba unaakili sanaaa ndo maana una viwanda vingi mpaka nje ya nchi ni halali yako
@dubabaxakatv29934 жыл бұрын
Walimu wao tutawapa hapa Kenya...tuko wezi kwa bunge,governors na zaidi.
@highvoltages41693 жыл бұрын
😁😁😁😀😀
@special.7773 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@shahadaushindi77453 жыл бұрын
Hicho chuo cha wizi kitoe hadi phd ya wizi.
@challengechallenge8563 жыл бұрын
Hicho chuo hata mie niko tayari kwenda kusoma
@salummhina48578 ай бұрын
Huyu mzee mtamuelewa baadaye sana!!kipindi akiondoka bora mumtumie sasa
@jumaothman94493 жыл бұрын
Wanaocheka naamini hawajakuelewa
@albertjames68454 жыл бұрын
Dah! Kweli bongo bongo tu 😄
@muemedecassimoaluko74728 ай бұрын
Chuo kipo wote mmesoma ni CCM ni chuo kikuu tz cha wizi!!!
@deusimtewele23013 жыл бұрын
Chuo Cha wizi hii ni mpya wezi hawa wafilisiwe na wafungwe Mali zirudi kwa uma
@petersomeke13842 жыл бұрын
Kwa kweli mm binafic ninakusoma sana kwenye kuchanyia bungeni chali wangu Kishimba cjajua kama wabongo wanakuelewa?
@maoleminja65143 жыл бұрын
😃😃😃
@frankjohn87063 жыл бұрын
Tatizo kumbe nikujua jinsi wezi wanavoiba lkn Kama Kuna wezi wa umeme,maji ,kura,mitihani, nk sasa ktk hao wangeshindanishwa ili wenye marks nyingi wawewalimu ,
@carlinkikoyo023 жыл бұрын
Nakubali mheshimiwa mbunge lakini sasa hiko chuo kinabidi kuwa na mwizi atakayekuwa mwalimu wa chuo hiko , sasa ni mwizi gani atajitoa kufundisha?
@ktkkilan3 жыл бұрын
Huyu Mbunge huko sawa, kwa kiingereza anamaanisha *CRIMINOLOGY" - basically the psychology of crime
@nassoroseleman604 жыл бұрын
Kamuuwa baba naamini bado unamadini yakutosha baba
@kesslycompanyltd2 жыл бұрын
Naomba number zake huyu mbunge
@matingo-bk12484 жыл бұрын
Waalimu watawatoa wapi waliobobea wizi hao
@mohamedpesambili94603 жыл бұрын
Nigeria na kenya
@jamhurilibawa65054 жыл бұрын
huyu mbunge anaakili nyingi sana,hoja zake nyingi zinamantiki,tena anaongea taratibuu akiwa amejipanga
@mresiwaziri97083 жыл бұрын
😁😁😁😁
@maikokashililika92873 жыл бұрын
Mzee umeteleza icho chuo cha wizi wafundishwe nn mmmmm
@dicksonkilupa22583 жыл бұрын
Watafundishwa mbinu za kupingana na wezi maana kila office wezi walishatangulia sasa umetoka shule unapewa kampuni imejaa wezi tu utashindwa mbinu za kuwadhibiti ni wazo lake na huenda yuko sawa
@pauljames33553 жыл бұрын
Punguzen ads MB zmepanda tutawaacha
@gabrielaniseti15374 жыл бұрын
HAPA NIMUMUELEWA KUWA ELIMU YA KUJITEGEMEA AU EXPERIENCE IWE ASILIMI 80-90, YA CURRICULUM. SAAFI ,KISHIMBA. INNOVATION NA COMPETITION,.
@denisrukangula70863 жыл бұрын
fbi
@amanibenjamini96373 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaa
@hilalhilal84004 жыл бұрын
Hao askari wakiafrika wafunguliwe chuo cha wizii🤣🤣🤣. Huu ujingaa. Maana ao askari wakistaafu watafanyaje na pia wao wenyewe wana mtihani. Alau ungesema jeshi wapewe mafunzo hayo pia ingeelekea
@jumamnyambwa34903 жыл бұрын
H
@hilalhilal84004 жыл бұрын
Toa mawazo yasioleta hasara baadae. Mimi siwafiki askari wafundishwe wizi. Kwanza wafundishwe kuacha rushwa na kukinai
@rosetreffert67274 жыл бұрын
Huyu mbunge naona akili yake sio nzuri yaani amekosa Point kabisa
@franciscomohamedjumanne11364 жыл бұрын
Huwezi kumuelewa kama hujafikiria nini nia yake
@cypriankikoti91604 жыл бұрын
Critical thinking yake ni nzuri huyu mzee kumuelewa unahitaji kufikiri vizuri
@expert58983 жыл бұрын
Akili yake haipo vzr huyu... Alitakiwa aseme wakishafundishwa wizi ndio waje wautumiaje? Aeleze kwa mchanganuo.
@josephmpangabule7565 Жыл бұрын
Ll
@fatmaabdallah87434 жыл бұрын
Hawa ndo wabunge wetu hatushangai. Askari wanafundishwa kupambana na mhalifu yoyote sio mwizi tu