😂😂😂 Siku zote huwa nazielewa sana hoja zako sababu unajua kuzijengea wigo.👏👏👏🇹🇿❤🇹🇿
@Nzinyangwa4 жыл бұрын
Akili yake naielewaga sana asee,, yuko vzur sana,,bora sana hii
@annalufinyo79674 жыл бұрын
Uyu Mzee anaongeaga point sana Sijui kama bunge mnamuelewa.
@dadianmunish1363 жыл бұрын
Nataman Angekuw mbunge wa Moshi vijijini
@carlinkikoyo27523 жыл бұрын
Nakubaliana nawewe mheshimiwa mbunge ila sidhani kama itawezekana kwa sababu hicho chuo kinatakiwa kuwa na mwizi au wezi watakafundisha mbinu za wizi lakini ni mwizi gani atajitoa mhanga kufundisha chuo hicho. Maana hata huyo mwizi atakayejitoa mhanga atakuwa akiogopa akijua jela inamhusu. Mwalimu anajua anacholkifundisha hivyo ni mwizi pekee anayeweza fundisha kuhusu wizi