MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini, Jumanne Kibera Kishimba ameshauri serikali kupitia Bunge kuwa Wizara ya Elimu iache kuhangaika na watoro mashuleni na badala yake itafute walimu waliokuwa watoro wawafundishe walimu watoro.
Пікірлер: 93
@thomaslaurent46793 жыл бұрын
Ukimskiliza bila umakini utacheka kama comedy...ila mzee ni genious akili mingi sana
@josephmandelapenet45873 жыл бұрын
Kabisaa
@damianoadam10413 жыл бұрын
Nampenda huyu Mbunge.very smart and real.
@halimamohammed41083 жыл бұрын
Baba shikamoo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿✔️❤️❤️❤️❤️🤲🤲😆😆😆😆😆😆😆😆😍😍😍😍😍😍😍
@ayubunyirenda29583 жыл бұрын
~pppppp~popup 9⁹⁹lp
@donaldabel16563 жыл бұрын
Anaye msema vibaya huyu mzee atakuwa gan akiri mzur afu watu Kam Hawa kwann hawapat uwaziri
@ismailothman29173 жыл бұрын
Huyu mzee hanaga kazi mbovu hata moja
@godloveadamu43793 жыл бұрын
Kabisa nimecheka, Sana tena sana,ila nimejifunza sana.huyu bwana ana akiri nyingi mno.
@masungaalfred36553 жыл бұрын
Well done prof.kishimba watoto waende shule mchana 👏👏👏👏👏
@nitumesokoni31643 жыл бұрын
Hili jamaa huwa lina akili sana 😂😂
@majimotomalole98123 жыл бұрын
Hiki ni kichwa kingine.Huyu mzee ana maono sana
@dottoabel34553 жыл бұрын
Binafsi najiuliza waga mawazo haya anayatoa wap very great thinker
@user-qj3on8ju1w3 ай бұрын
Miaka miwili haujapata wakukujibu sasa mimi nakujibu nikwamba huyu jamaa nimfanya biashara mkubwa amewekeza nnchi nyingi hapa afrika na elimu yake ni yakawaida tu ila biashara ndio imemfikiaha hapo alipo. Kwamana hio sasa anajifunza mengi kupitia hizo nnchi
@zephanialeonard8523 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa siku zote anapoint za maana sana
@monicakalinga82583 жыл бұрын
Huyu babaa ni genius
@abednegosalehe63643 жыл бұрын
Umenikumbisha mbali sana mheshimiwa kishimba ukiwa kwenye kampeni na biku
@cecykaitanus7873 Жыл бұрын
Very smart man. Huyu ana akili wala hakuna haja ya yeye kusoma
@selemanmussa34594 жыл бұрын
The fruits of not preparing your mind to atack personality and living a comfortable satisfactory life. Bravo prof Jumanne Kishimba
@abdalahmjomba4713 жыл бұрын
Hit points
@evanceraurian58423 жыл бұрын
kahama mnambunge kwerkweri
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Very smart and real, sheria ni msumeno.....
@rajabumkono63073 жыл бұрын
Safi sana mbunge Kishimba,kazi yako tunaiona, chapakazi tujenge nchi
@josephmusagasa55663 жыл бұрын
Upo vizuri saaana
@eventelias35663 жыл бұрын
Huyu mzee aongezewe ulinzi tafadhali.
@benardbenardomary Жыл бұрын
Hiki kichwa
@nkungujackson709211 ай бұрын
Hii Kali mbunge super sana
@exalttarimo50832 жыл бұрын
Very impressively and unique
@sirayotv42833 жыл бұрын
Dah kazi kubwa sana
@mohamedykabwanga16473 жыл бұрын
Mbunge mwenye akili nyingi bungeni
@ramlazuber60383 жыл бұрын
Jamaniiiiii nimeliaaaaaa. Badaaa ya kuchekaaa
@emmanuelmarko-k6sАй бұрын
Unaweza mheshimiwa
@mariachombo73163 жыл бұрын
Upo vizuri
@kafumun8 ай бұрын
Mhe Kishimba ana hoja nzuri, zimejaa maarifa na zenye tija. Sielewi kwanini hazifanyiwi kazi.
@mkanulamajid5003 жыл бұрын
Uko vzur mkuu
@henryyuda29893 жыл бұрын
unakil nyingi sana
@hassanhamudy66393 жыл бұрын
Fact tupu Mzee anatemaaa
@heroes19323 жыл бұрын
Nimekuelewa kabisa hapo kwenye kwenda saa tano, tusipende kuiga mambo yote kutoka nje hata sisi tunaweza fanya maamuzi yetu kama taifa, Tunaweza kubadili mtazamo sasa hata kama misingi iliwekwa zamani
@mdmahammad3278 Жыл бұрын
Unatufumbua macho
@mkanulamajid5003 жыл бұрын
Genius
@mosesmzakwe77743 жыл бұрын
Ukweli Watanzania siyo sawaa
@bensonjr48793 жыл бұрын
Sooo genius Kichimbaa
@magigejoseph2553 жыл бұрын
Kweli
@pescopenterprises27282 жыл бұрын
Angekua na shida ya fadha ningemshauli afungue cha chuo cha maalifa
@kingabdul1745 Жыл бұрын
Vertical smart,intelligent.
@rukiajumaa5743 жыл бұрын
Appreciated babaaa
@josephmarwa56702 жыл бұрын
Akili za ma genious huwa na mawazo MBADALA
@simonshoo8355 Жыл бұрын
Hapa kwenye utoro ni lazima kuwaaanda kiakili watoto kwa sababu wengine huenda kufanya mambo yasiyofaa
@user-sw1id2rz3b Жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Nikweli kishimba unayosema watoto wengi hawawajall wazazi wao
@yahayamjenga19964 жыл бұрын
He is Prof cause of his critical thinking
@robertsongola6034 Жыл бұрын
Kishimba ni ninoma sana
@mussaramadhani59763 жыл бұрын
ni kweli mzee
@afrikajahazitv31333 жыл бұрын
Hakuna kazi hapa
@emmanuelzao3 жыл бұрын
Hivi ni mara ngapi ametamka neno “Mh. Mwenyejiti”?
@hamisinanyata12373 жыл бұрын
Mzee umeonyesha ukongwe wako. Upo sahihi asilimia zote,
@georgemaiko57523 жыл бұрын
you talk fact my father
@giwindosela90983 жыл бұрын
Good idea
@oscarmasanja32873 жыл бұрын
Safi kabisa
@magrethfrancis3645 Жыл бұрын
Yan uwezo wako wa kufikiri Mh ni mkubwa mnoo. MUNGU azidi kukupatia hekima zaidi.
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Nikwer kishimba
@greysonkweyamba72224 жыл бұрын
Naona mmeanza kujifunua japo kumekucha
@benjaminmkumbo9460Ай бұрын
Huu ndo ukweli
@alikarisa3 жыл бұрын
Watoto tuko juu. Coz ndoo tunawaajili wasomi
@locsbymahona2 жыл бұрын
Apo kwa madalali 💯
@simoncmatanda51353 жыл бұрын
Huwa namkubali sn huyu mzeee
@vumiliareonard47183 жыл бұрын
Kweri kabisa
@totinakassimu44654 жыл бұрын
iyo kari
@yusufubashiriyusufubashiri28493 жыл бұрын
Hi
@djkayumba2 жыл бұрын
Huyu mzee apewe ikuru
@davidnzogera87703 жыл бұрын
huyu mzee ni shida,ana madini ya akili
@kombokabelwa82583 жыл бұрын
Ukovizuli
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Mzee una akili kubwa sana.Natamani sana siku 1 michango yako yote unayotoa bungeni uiweke kwenye kitabu
@user-hb8vi9fx6g3 жыл бұрын
WATAJE HAO WATORO !!!
@juliuskazilo5744 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@alfonsimwalongo91643 жыл бұрын
Huyu mzeee zinamtosha au
@msellemtalib7513 жыл бұрын
Mzee IQ yake iko vzr mfatilie tu kunasiku utamuelewa
@maoleminja65143 жыл бұрын
😄😄😄😄
@shimiyusuleman14323 жыл бұрын
Mzee na kupenda sana uko vizuri maneno yenye njia.
@mwalongomwalongo8073 жыл бұрын
Haya ndiyo yale majinga ya mwisho kwenye familia zao
@donjb31783 жыл бұрын
Unataka kusema kishimba ni mjinga?
@officialgivenjacksonngalla3 жыл бұрын
Jaribu kufuatilia huyo jamaa ana maisha gani@Mwalongo Mwalongo
@mo_masai42613 жыл бұрын
Kama huna akil timamu huwez kuelewa kishimba🤔
@ramatandula77343 жыл бұрын
huyu jamaa achananaye kabsa
@ramadhanchenga46063 жыл бұрын
Ww humjui kabisa huyu jamaa ni tajiri sana ana viwanda mpaka zambia