Рет қаралды 6,440
Akizungumza katika kikao cha majumuisho cha serikali na wafanyabiashara Kariakoo, Waziri wa Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji ameelezea mambo sita muhimu waliyoweza kuyatatua katika kikao na wafanyabiashara ikiwemo kusitishwa kwa operesheni kamata kamata.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.