KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 54
@rosehaule67654 күн бұрын
Kumshukuru Mungu kwa kila jambo.maana unapita kwenye majaribu anakuokoa Maana hata mvua zote hizo azikukuchukua kukusomba kupelekea kifo😢 basi mtumikie Mungu anakupenda sana kwa mapito haya utafuka mbali kaka
@bolelambunda65545 күн бұрын
Mungu ni mwema sana hufanyanjia pasipo na njia
@julieeliah55117 күн бұрын
Zahir, you're the best. Mungu akutunze kwa utukufu wake 🙏 🙏 🙏
@maximumtvonline7 күн бұрын
Amen
@tato89797 күн бұрын
Mungu ukujalie usirud ulikotoka uzidi kwenda mbele na akuinue kimaisha
@ANGELA-oz1vi7 күн бұрын
Glory to Jesus
@ritapiusnicolaus70683 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki🙏🥰
@saidaal16797 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@julieeliah55117 күн бұрын
Mungu anawajua walio wake🙏
@ANGELA-oz1vi7 күн бұрын
Mungu anatutoa mbali sana
@TheSalma19995 күн бұрын
It is well my brother God is soooooo good tunakuombea kaka yetu
@khamisikhamisi72257 күн бұрын
Mungu iko nawew
@zulekhaponti93537 күн бұрын
Mungu yupo na wewe !
@stellasimon83067 күн бұрын
Mungu ni mmoja jamani
@user-wv5lk6uz5w4 күн бұрын
Hao mnaokometi kwa kukashifu dini ya kikrsto endeleeni kwa kujiona ninyi ndio bora zaidi ila nawaombea kwa mungu awasamehe
@aminajuma11564 күн бұрын
AMEEEN Mungu ni mwema barikiwa sana
@MeckitilidaTushabe-or9hu7 күн бұрын
Mungu azidi kukulinda
@MuhammadHassan-rg7ch4 күн бұрын
Shaaban nijinsky la kiislaamu
@ASALABOY2 күн бұрын
Brow Zahir wewe S ulisema uyu jamaa atakaa kwako n kua msaidizi w ujenzi kumbe wewe pia ulimuacha kwenye mitaa
@MuhammadHassan-rg7ch4 күн бұрын
Mboba hukuwa msikutini
@tato89797 күн бұрын
Mungu akubariki sana kaka Zahir
@maximumtvonline7 күн бұрын
Ameen
@ChiliHelman-yv4re7 күн бұрын
Jitahidi kujijenga kiimani usipende kuwa naimani tofautitofauti shikiliya imani moja2 ambayo nimungu huwezi jua pengine nimungu alikupitisha humo ili chema kitokee kwamf. Kama sasa ulivyo
@CamillahAdam6 күн бұрын
Nimefurahi kumuona tena huyu mkaka aiseee
@kadijahajali39187 күн бұрын
Sauro umerudi kanisani Bass siyo mwislam tena ni kafiri sasa bass haya endeleya na ukafiri wako watu wanatoka kwenywe dini ya ukiristo wewe unarudi hatari umeshapinga muhuri wewe na mungu shida ya umu kiyama😢
@maximumtvonline7 күн бұрын
Kafiri ni mtu wa aina gani!?
@mirnababy50127 күн бұрын
Dada mbona yamekutoka maneno sana ww mm muislam pia sija msema hayo looh pengine we kafri kuliko aliyeenda kwa mchungaji
@mirnababy50127 күн бұрын
Ww uliyeckua muislam mbona hukumsaidia maisha ndio yanasababisha fala ww
@user-fs7xc2bb5d7 күн бұрын
@@maximumtvonlinehilo ni andiko kwenye bibilia Wakristo wameitwa makafiri sio Waislam hawajatoa neno hilo maandiko yapo kwenye bibilia wameitwa makafiri
@user-fs7xc2bb5d7 күн бұрын
@@mirnababy5012soma bibilia ndugu yangu hayo maneno hayajaotoka kichwani mwake ni maandiko kwenye bibilia
@user-uc8og1jx3d7 күн бұрын
Usiludi kwa pombe tena
@user-uc8og1jx3d7 күн бұрын
Mungu alikuacha upite hapo peke yako usimuhukumu . Mshukuru Mungu kwa yote
@omanoman20446 күн бұрын
Kwan nilijuw ni msilim duuh
@khamisikhamisi72257 күн бұрын
!
@HanifaOman-oo4pl7 күн бұрын
Chamsingi. Atafutiwe kazi tena aendeshe maisha yake. Na Munguakusimamie uwachane kweri na pombe. Huyo ajalogwa ni inilisitu. Namawaxo ya yule mwanamke alomtenda
@omanoman20446 күн бұрын
Kwan alikuw mkirsto kumbe duuh kwan siku zote hakupata kaz am