KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер
@julieeliah55117 ай бұрын
Zahir, you're the best. Mungu akutunze kwa utukufu wake 🙏 🙏 🙏
@maximumtvonline7 ай бұрын
Amen
@rosehaule67657 ай бұрын
Kumshukuru Mungu kwa kila jambo.maana unapita kwenye majaribu anakuokoa Maana hata mvua zote hizo azikukuchukua kukusomba kupelekea kifo😢 basi mtumikie Mungu anakupenda sana kwa mapito haya utafuka mbali kaka
@bolelambunda65547 ай бұрын
Mungu ni mwema sana hufanyanjia pasipo na njia
@tato89797 ай бұрын
Mungu ukujalie usirud ulikotoka uzidi kwenda mbele na akuinue kimaisha
@ANGELA-oz1vi7 ай бұрын
Glory to Jesus
@ritapiusnicolaus70687 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki🙏🥰
@TheSalma19997 ай бұрын
It is well my brother God is soooooo good tunakuombea kaka yetu
@aminajuma11567 ай бұрын
AMEEEN Mungu ni mwema barikiwa sana
@saidaal16797 ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@julieeliah55117 ай бұрын
Mungu anawajua walio wake🙏
@stellasimon83067 ай бұрын
Mungu ni mmoja jamani
@khamisikhamisi72257 ай бұрын
Mungu iko nawew
@zulekhaponti93537 ай бұрын
Mungu yupo na wewe !
@ANGELA-oz1vi7 ай бұрын
Mungu anatutoa mbali sana
@PaulinaMundia7 ай бұрын
Hao mnaokometi kwa kukashifu dini ya kikrsto endeleeni kwa kujiona ninyi ndio bora zaidi ila nawaombea kwa mungu awasamehe
@MeckitilidaTushabe-or9hu7 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda
@tato89797 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Zahir
@maximumtvonline7 ай бұрын
Ameen
@HanifaOman-oo4pl7 ай бұрын
Chamsingi. Atafutiwe kazi tena aendeshe maisha yake. Na Munguakusimamie uwachane kweri na pombe. Huyo ajalogwa ni inilisitu. Namawaxo ya yule mwanamke alomtenda
@MuhammadHassan-rg7ch7 ай бұрын
Shaaban nijinsky la kiislaamu
@ChiliHelman-yv4re7 ай бұрын
Jitahidi kujijenga kiimani usipende kuwa naimani tofautitofauti shikiliya imani moja2 ambayo nimungu huwezi jua pengine nimungu alikupitisha humo ili chema kitokee kwamf. Kama sasa ulivyo
@MO12-b1q7 ай бұрын
Brow Zahir wewe S ulisema uyu jamaa atakaa kwako n kua msaidizi w ujenzi kumbe wewe pia ulimuacha kwenye mitaa
@kadijahajali39187 ай бұрын
Sauro umerudi kanisani Bass siyo mwislam tena ni kafiri sasa bass haya endeleya na ukafiri wako watu wanatoka kwenywe dini ya ukiristo wewe unarudi hatari umeshapinga muhuri wewe na mungu shida ya umu kiyama😢
@maximumtvonline7 ай бұрын
Kafiri ni mtu wa aina gani!?
@mirnababy50127 ай бұрын
Dada mbona yamekutoka maneno sana ww mm muislam pia sija msema hayo looh pengine we kafri kuliko aliyeenda kwa mchungaji
@mirnababy50127 ай бұрын
Ww uliyeckua muislam mbona hukumsaidia maisha ndio yanasababisha fala ww
@رقيهالخصيبي7 ай бұрын
@@maximumtvonlinehilo ni andiko kwenye bibilia Wakristo wameitwa makafiri sio Waislam hawajatoa neno hilo maandiko yapo kwenye bibilia wameitwa makafiri
@رقيهالخصيبي7 ай бұрын
@@mirnababy5012soma bibilia ndugu yangu hayo maneno hayajaotoka kichwani mwake ni maandiko kwenye bibilia