Asante mtangazaji kwa kipindi kizuri naomba no ya huyo bwana shamba
@jozackkiumbu28702 жыл бұрын
Hongera sana Tbc kwakipindi hiki Cha shambani
@JuliusMusika Жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu, tafadhali.
@ZubedaAbdallah-s5p4 ай бұрын
Naomba namba ya mtaalam
@michaelmbeti50403 ай бұрын
Shida yenu hua hawatoi namba za sm
@josiahkulwa531810 ай бұрын
Hongera sana
@JuliusMusika Жыл бұрын
Kwa muda mrefu nilitamani kulima vitunguu,na baada ya kusikiliza maelezo yenu,nimevutiwa zaidi,kufanya kazi pamoja na ninyi,mimi niko wilaya ya bunda, mkoani Mara.
@scholasticamchokopa6515Ай бұрын
Vitunguu unaweza kulima kwenye eneo ambalo unaweza chimba ukapàta maji ? Yaan maeneo yenye maji maji?
@KilalageSonda6 ай бұрын
Nawezaje kuwapata inbox
@VailethMmari-yo8el7 ай бұрын
Robo eka tunatumia mbegu kiasi gani?
@jamesrobert8143Ай бұрын
Tanzania munapo ongeya heka ni meta ngapi kwa meta ngapi ?
@jozackkiumbu28702 жыл бұрын
Je naweza kupata namba ya mawasiliano ya afisa kilimo huyo ambaye umenyanae kipindi hiki Bwana Moshi kitambo
@yonamayombya50312 жыл бұрын
Mimi naomba namba zenu
@paulochristopher132 жыл бұрын
Naomba namba ya simu
@elvianludovick74282 жыл бұрын
nyasi tunatoaga baada ya siku saba bhana
@AnthonyMhagama-wk3rl3 ай бұрын
Nahitaji mbegu za vitunguu nitapata vipi nipo kasamwa geita
@ntirugirimbabazielie24452 жыл бұрын
Vitrine nahitaji namba ya wsp ya huyo mkulima wa kwanza
@agnessfabian32922 жыл бұрын
Naomba kuuliza nusu heka inaweza kugharimu kama sh tsh? Vivyo hivyo katika heka Moja?
@JuliusMusika Жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu, tafadhali.
@agnessfabian32922 жыл бұрын
Naomba kuuliza nusu heka inaweza kugharimu kama sh tsh? Vivyo hivyo katika heka Moja?