Рет қаралды 12,539
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya ameibua shangwe bungeni wakati akijibu hoja za wabunge wakati wa kuhitimisha makadirio ya mapato na matumizi ya wazara hiyo baada ya kutaja barbara zinazounganisha nchi nzima akitaja miji na vijiji ambapo barabara mpya zitakapo pita