Hii ndio Video ya Aliyekuwa Waziri Kitwanga akijibu maswali Bungeni na kudaiwa alilewa
Пікірлер: 145
@ceasermbisso65898 жыл бұрын
Well done Mr.JP for a good work,they are still more to come.
@emmanuelmomolo90832 жыл бұрын
Nimeangalia na kuangalia Sana nimerudia na kurudia mno...mimi sijaona tatizo aisee maana majibu yake yalikuwa straight Sana na hakukosea
@saimonijonas43564 жыл бұрын
Kuhusu kuongea taratibu sio ulevi bali watu wengine wamepewa uwezo mkubwa kifikra lakini kiutamkaji anakuwa hana wepesi hivyo anaongea taribu.Hata Musa alipotumwa na Mungu kuwaendea Waisraeli mikokoni mwa farao kule misri.Alimwambia Mungu,umenituma mimi niende lakini unafahamu mimi ninamdomo mzito si mwepesi wa kuongea,Mungu akamwambia nitakupa mtu wa kusema badala yako,naye ji binamu yako Haruni.Musa alikuwa na uwezo mkubwa sana lakini alinyimwa uwezo wa kuongea maneno mengi.Kiukweli huyu mzee alionewa tu.
@abdulbasitsaid73234 жыл бұрын
Huyu jamaa ni msomi mzuri na ana akili nzuri za mipango na maendeleo
@alexmashimbaisululu63098 жыл бұрын
My lovely country Tanzania, my motherland why people are making you sad? Oohh my motherland Tanzania,
@lauriansimon68056 жыл бұрын
Wamemwonea sana mheshimiwa wetu!!
@ahmadzubeir33632 жыл бұрын
Waziri hawezi kwenda Bungeni akiwa amelewa so huyu hakulewa kabisaaaaaa
@ahmadzubeir33632 жыл бұрын
Kuongea taratibu kama hivi hata Muheshimiwa Mpango Makamu wa Raisi mi nampenda sana sana kwa sababu anapozungumza huaga anazungumza taratiiibu. Kama hamuniamini naomba mumsikilize Mh Mpango ambae ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Tanzania
@benedictormatemla89473 жыл бұрын
Mbona kajibu vizuri tu
@martinmiston44038 жыл бұрын
Hongereni kwa habari zenu.
@lilianmwinamila95068 жыл бұрын
Tutajua Kama kalewa akizungumza Bungeni next time tutaona tofauti,kwa sasa kama hujawahi msikiliza hautojua
@mathiusabraham31278 жыл бұрын
Waziri kazingua, we have a long way to go
@keffajacob89522 жыл бұрын
Kichwa iliyojaa madini🤣🤣👍👍
@ugaboy47365 жыл бұрын
Nimeirudia hii crip kutafuta kosa nimeche MsHa kwa kweli
@emmanuelmomolo90832 жыл бұрын
Mm mwenyewe nipo apa natafuta kosa silionii
@abuuramadhan80932 жыл бұрын
Wazir Hana uwezo alipiewa uwazir kwa kua ni msukuma
@yahyagonga2 жыл бұрын
Mwenyewe kasema hakulewa!
@mmary708 жыл бұрын
Kuna issue somewhere, hii sio issue..... MJPM atueleze vizuri
@HamisMberwa8 ай бұрын
Hapa Mwamba walimuonea😢😢😢
@peterkaombwe62518 жыл бұрын
mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Maoni yako!!
@Smartboy-wt1es Жыл бұрын
Nafikiri ni lafudhi yake tu but sidhani kama alikua amelewa, vinginevyo alipigwa na kitu
@josephjosephgeorge31952 жыл бұрын
Shida hapa alisema ukweli wa Hali halisi ya utekelezaji,jeshi linaongezeka sio la miaka 54 liko vile vile
@peterkaombwe62518 жыл бұрын
mi kwa upande wangu sijaona alipokosea mr charles iyo pombe iko wapi acheni kushabikia tu...
@fabiantanzania57958 жыл бұрын
sijaona alipo lewa pia
@sirialemmy372 жыл бұрын
Ni kweli amelewa huyu mzee! Baada ya miaka mingi na kumsikiliza akisema kuwa ameonewa na interview aliyofanyiwa jana, hii nimekuja kujihakiki kama ni kweli ila m Magufuli government haikumwonea kabisa! It was a shameful thing
@aloycesamba9982 жыл бұрын
🤣🤣
@aloycesamba9982 жыл бұрын
Kumbe na wewe uliona alivyokuwa anahojiwa juziee?
@sirialemmy372 жыл бұрын
@@aloycesamba998 Aisee nilimwona na ni aibu sana kiukweli
@kishadafour83078 жыл бұрын
Duh! Tanzania hiii!
@godwinmwakibibi2742 жыл бұрын
Au ndio kiki za kutuzima na tozo maan cc tunatak za miamala ya simu zishuke
asee by mzee kalewa kweli mpak kuomgea mdomo mzit hivyooo
@fazeelshomary87438 жыл бұрын
Dah eeh Mungu eeh
@fredyngogo14258 жыл бұрын
Ifike mahala tusifanye kazi kimazoea but professional itumike
@huldamichael44454 жыл бұрын
yaan narudia na kurudia lakini sijaona amekosea wapi
@frankvictor34298 жыл бұрын
licha ya kuwa kalewa but ameongea vizuri bila kuharibu, it better yeye kulipo yule alie taka kulia kisa bunge lina onyeshwa live
@aliissa66325 жыл бұрын
Huyu alikua ndie waziri sio waitara kuongea hajui
@halimambwego82878 жыл бұрын
Hapo elfu nne mia mbili... Sauti yake yaelekea kidogo ila angempa worning... Au shart hili wanalo kwenye mkataba wao mmh hapo sijaujua
@loveness_g26198 жыл бұрын
ila mbona kajibu fresh tu......
@raphaeldayos56624 жыл бұрын
Hahahahah hi kalii
@ashagrills13198 жыл бұрын
wamemuoneatu mbona mi cjaona kibaya alicho kiongea
@williammalima79058 жыл бұрын
Mhe. Waziri kashughulikiwa. Katika hili hakukuwa na haja ya onyo. Ni aibu kwa Kiongozi wa ngazi ya juu kama yeye kuwa mdhaifu kimaadili kiasi hicho.
@piusbarber49708 жыл бұрын
Viroba hivyo vina vunja nguvu viungo daaa 😀😀😀😀😙😙😙😙
@christopherstambuli88962 жыл бұрын
Pombe anaiweza lakin
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Huyu jamaa nimebain hii ndio stail yake ya usemaj
@johnngimba38578 жыл бұрын
Imekuwa shida sana
@reemajeereemajee21058 жыл бұрын
shida ya nini??
@jovinarchard8 жыл бұрын
kwa upande wangusijona mahali alipokosea labda tumepigwa changa la macho je kuna uthibitisho wa vipimo?????????????????? na ninani kampima ulevi acheni ushabiki bila kutafakari.
@justinemaengo9675 жыл бұрын
Yupo ok
@shadymbuki874 жыл бұрын
We unadhani kiongozi ni mwendawazimu kumuomba naibu waziri ajibu swali wakati waziri yupo? ni kwa sababu alishapimwa na akataarifiwa.
@badenbensoni75162 жыл бұрын
Baadaye nimegundua hakulewa bali nasikia aliwahi kupata strock.
@binsaid48688 жыл бұрын
Ni shidaaaaa
@evanskowero38698 жыл бұрын
jamani lugha 2 yenyewe inaonyesha katupia vitu sasa wanaosema hawana masikio?
@michaeltuingilegewaubaridi85708 жыл бұрын
duuuu ..aibu sana
@jacksonlema95368 жыл бұрын
Hakukuwa na sababu ya ulazima ya kumvua uwaziri huyu kiongozi. Hekima na busara lazima itumike sana kabla ya kufanya maamuzi. No one is perfect.
@feezdidthis22208 жыл бұрын
me sioni ulevi hapo , wamemuonea bure
@liberatusulaya22692 жыл бұрын
Pamoja na pombe ,hawa jamaa walikuwa na akili sana
@lucykimambo16168 жыл бұрын
daa,yan hawa wabunge wa safari hii,pasua kichwa
@barkasalim82168 жыл бұрын
Mi siona kama kama kalewa
@mwanamutemi8 жыл бұрын
chunguzeni vizuri kwanini magufuli kamtimua huyu jamaa, labda walikua na yao ya zamani kwa sasa vile magufuli amekua boss Basi amuonyesha misuli yake !
@g.phasemaestro11088 жыл бұрын
Wangekuwa na bifu angemteua kuwa waziri?
@danielmarco52224 ай бұрын
Mwishoni ndo nimeelewa jmaaa alikuwa maji
@frankminga93074 жыл бұрын
Nyie hamjui kuwa ulikuwa mchezo tu ili kumkwepeshs na Ligumi
@fabiantanzania57958 жыл бұрын
mbona kajibu vizuri jamani .tena kajibu taratibu hadi raha
@hawahamisi62378 жыл бұрын
😂😂😂😂 amekunywa dadii mix mbege jamani mzeee🏃
@rhodenmlimbila39108 жыл бұрын
MUNGU ATUSAIDIE SANA WA TANZANIA HII NI AIBU.
@abduladhimually35428 жыл бұрын
Hon.president just try even to give the chance to youth jeneration as makonda&Hapi Ali
@sylvestercameo62632 жыл бұрын
Tafakari tena!
@erickhaule86808 жыл бұрын
Pombe sio chai jamani
@samsonkaboko51378 жыл бұрын
Haaaa hiseee Kitwanga kweli umwetwangwa
@stanleyomary40098 жыл бұрын
Duuuuh hataree
@graciousjerry13228 жыл бұрын
Mbona asa me cjaona alipolewa bagwituuuu! au kusema rafik yangu? kweli safar hiii mtanyooooka
@fabiantanzania57958 жыл бұрын
+Scarlet Pimpernel sijaona alipo lewa
@mariammobeto55124 жыл бұрын
@@fabiantanzania5795 amelewa muanglie na msikilize vzr 2 utamuelewa sauty yake
@mckaayamenyamueventsmanagm68158 жыл бұрын
Naon serikali hawakutaka kujaja isue ya Lugumi direct wakaona wajifiche kwenyebLugumi
@maduhunghonoli37847 жыл бұрын
manuel p
@eliasnavytanga5 жыл бұрын
Huyu Waziri au conductor wa bus? Hana jibu wala ushauri. Vipi mtu kama huyu atachaguliwa kuwa waziri?
@afropanorama47308 жыл бұрын
dahhh!! jamaa kweli yuko tungi dadeki ila kajitahidi 😆😆😆 mwaka huu bakora tu mpaka munyooke
@godfreymapunda83378 жыл бұрын
Dah! Kwel n jiiiiipu
@aidanswai99008 жыл бұрын
Asamehewe coz kajikaza sana
@isaiahnanyaro20558 жыл бұрын
tz tunaitaji huwajibikaji
@jonathanwilliam54478 жыл бұрын
wengine wajifunze
@chodahpro8 жыл бұрын
ningekuwa Mimi ndiye yeye ningempa madaraka...naibu waziri siku hiyo nisingeingia bungeni kabisa...dah ila siku ya kufa nyani miti yote uteleza
@joelmusokwa97248 жыл бұрын
kweli mbaba kazingua
@jumaamani4948 жыл бұрын
Amekunywa Mbege
@hajiupete17028 жыл бұрын
ha ha haaaaaa tungo sio aiseee
@godlovethomas51116 жыл бұрын
Mbona ilikuwa poa tu
@sosthenesngumbu47758 жыл бұрын
hajaharibu nyodo tuu
@aliakrabi83218 жыл бұрын
kalewa mpaka vidole vya mikono vinatetemeka
@makangangereza35178 жыл бұрын
nadhani ni pozi tuu
@INNOCENTNANGAY7 ай бұрын
Si katoa lock tuu
@didaskimaro8 жыл бұрын
pombe atar kajikaza kiumee
@rahimaaaaa86996 жыл бұрын
Magufuri tatizo lake huwa anakurupuka tu!kutaka.sifa mchwara. Hiyo ndiyo Ongea yake. Msikilize ktk crip ya kuomba ubunge tena akiwa na Magufuli pembeni. ALIMUONEA TU.BABA WA MAPOZI.
@noelbryson78402 жыл бұрын
Kabisa ndugu yangu!
@mckaayamenyamueventsmanagm68158 жыл бұрын
pombe si chai
@josiahpaul49968 жыл бұрын
noma
@georgethomas26278 жыл бұрын
ni yupi atakayekuwa ni msafi???
@innocentiweni20448 жыл бұрын
Kiukweli mimi cjawahi kumsikia akiongea huyo waziri, ila hapo inaonyesha hakuna la maana, ni kweli ana kila dalili za pombe hapo halipo.
@joelmusokwa97248 жыл бұрын
nilimpenda sana waziri kitwanga kuliko mawaziri wote hasa juu ya kauli zako khs kudili na madawa ya kulevya ila pombe ni shetani mbaya sana
@kingbrown5238 жыл бұрын
eeh mungu
@ChettaFlyee8 жыл бұрын
Nimependa pale binge letu TUKFUU haha sio TUKUFU
@lilianmwinamila95068 жыл бұрын
😂
@peterjoseph95728 жыл бұрын
Llian Mwinamila duuuh
@enockfumbuka288 жыл бұрын
HII NI DHARAU KUBWA SANA DHIDI YA BUNGE !
@آبےوفےيےصےلآلشےآجےريے8 жыл бұрын
ايش يقول
@آبےوفےيےصےلآلشےآجےريے8 жыл бұрын
اسش
@almasijumanne5658 жыл бұрын
😂😂😂😂dar kwerrr aiseee ila kajikazaaaaa
@thomaspatrick40958 жыл бұрын
ndio viogozi Wetu Mungu atusaidie tu
@meshackmbeyu78028 жыл бұрын
wabunge viraza kila hoja wao ndio
@hajiupete17028 жыл бұрын
yuko tungi kabsaaaaaa !!
@michaeltuingilegewaubaridi85708 жыл бұрын
raid amsameh tu
@hamzaadrin83048 жыл бұрын
Sasa Si Bora Ya Huyu Kuliko Yule Aliyesema Sanamu Libomolewe
@aminawangu8 жыл бұрын
+Hamza Adrin yaani
@hamzaadrin83048 жыл бұрын
Hii haina ubishi Yule Aliyesema Eti bora sanamu la mashujaa libomolewe Awekwe Diamond Alinishangaza sana AMINA AHMED
@hamzaadrin83048 жыл бұрын
Kweli kabisa Scarlet Pimpernel sasa na yule cijajuwa Ana ngoja nini bungeni wakimchunguza watakuta na yeye alilewa