Follow Us On: INSTAGRAM: / miladu_tv FACEBOOK: / babdeo miladu/ TIKTOK: www.tiktok.com... KZbin: / @babdeomiladu
Пікірлер: 36
@kibulajumakibulajuma34489 ай бұрын
WallaHi nimeenjoy kwa ajili ya Allah na mtume wake S.A.W , Maaashaallaah masheikhe zangu , mzee jongo una mambo 😂😅😂😂
@samiryalii-fz8zj9 ай бұрын
Sasa umeinjoy nn watu wanaongea upumbav tu
@Kuminamoja19959 ай бұрын
Masha'allah Masha'allah
@pavillioncry52419 ай бұрын
Masufii bwanaaaa mashekh ubwabwa
@MaulidiJongo-v2x9 ай бұрын
Mpe hi my grnd fath mzee jongo
@samiryalii-fz8zj9 ай бұрын
Hilo ni grupu lawahuni amna shee apo
@SHEIKHMWAIPOPOTV9 ай бұрын
Jango hakusoma dini kasoma kiarabu msomi utamjua kwenye maneno yake tuu
@UmmuJauzan9 ай бұрын
Shekh mzima cmu inaita tarab
@husseinshamte71299 ай бұрын
Kanywa supuuuuu 😂😂😂
@UmmuJauzan9 ай бұрын
Wesema tu midhali muko katika maulidi uzushi bidaa wote wahuni tu
@tanzaniaonmzamiloon86279 ай бұрын
Dalili ya uharamu
@ramadhanikioza99139 ай бұрын
Naona dongo anapigwa sheikh Alhaad Salim hapo
@yusufmohamed88749 ай бұрын
Huyu shehe anazeeka vibaya
@samiryalii-fz8zj9 ай бұрын
Yani masufi hamna kitu kabisa yani mada ksmazinatoka kwenye makalio hovyo kabisa
@abuusaid32979 ай бұрын
Je mchezo wa kupigana ktk sheria ya kiislamu ni halali ?
@NuhuMohammed-nu6ni9 ай бұрын
Acha chuki mtume sialipimana na sufian
@abuusaid32979 ай бұрын
@@NuhuMohammed-nu6ni kanisani mtu akiuliza ili ajue ana ambiwa ameingiw namapepo ya waislam, ktk uislam ukiulizwa inatakiwa ujibu km ulivyo ulizwa,km hujui sema sijui, chuki hapo inahusiana nanini, nauliz hivi mchezo wakupigan ktk sheria ya uislam,nihalali au ni haram ??
@fatumaomary61109 ай бұрын
@@abuusaid3297ni halali nimekujb na nakuuliza je ni haramu kama ni harama nipe hadithi
@abuusaid32979 ай бұрын
@@fatumaomary6110 pole sana, ushahidi ulio utoa naswali ulilo ulizwa havihusiani kabisa, kupimana nguvu kwa kudondoshan chini, na kupigana ngumi nivitu 2 tofauti
@fatumaomary61109 ай бұрын
@@abuusaid3297 kwa hyo ngumi sio kupiman nguvu? Shida hujielewi unachokitaka na hautapata lolote isipokua fedheha ujaeleza uhalam wake
@مبغضالبدع-ع9ص8 ай бұрын
Hawa ni kuchekeshana tuu basi ndio mashekhe!!! Wallah huu upumbavu mtupu!! Ujinga juu ya ujinga!!! Eti hawa ndio wasomi!!! Hamna haya nyinyi!!!
@makamekhalfan59689 ай бұрын
dah ss ww shekh haujui mchez wa ngumi ni haram dah
@shabanimadewa15259 ай бұрын
Acha uchiz w alokwambia ni haramu nan?
@shabanimadewa15259 ай бұрын
Mtume sialikuw mpiga ngum na yy pamoja na maswahab au ujui
@makamekhalfan59689 ай бұрын
@@shabanimadewa1525 sio ngumi za ulingoli kk usitafut njia ya kuzihalalish
@makamekhalfan59689 ай бұрын
@@shabanimadewa1525 kw iy ngumi za ulingon halali ww ulio soma
@huseynmaitaya90029 ай бұрын
Ndivyo walivyo watu wa bid’aa hula kwa watu wa baatwil