Daah alhamdulillah nimejaribu sn kusema hivi Ila Hadi wazazi wananichukia kisa nadai talak kisa mume wameniozesha kwa kumpenda wao mm simpend ata kumuona namuona km mtu to wakawaida
@abdulmwakubambanya90917 ай бұрын
Barakh Allah fikh wa jazakh Allah Khair
@mdoekibai39916 ай бұрын
nakukubali shekh kwasasa umeacha kuwafarakanisha waislam Allah aendaelee kukuingoza inshallah
@AishaJudy-bu3ug11 ай бұрын
Kishky tufafanulie sasa hii kali aty ukiota kama mko katika sherehe mnapika nyama Kisha mnakula aty we mchawi na ujui😢
@user-vg6gp3bz1f10 ай бұрын
Jazaakallahu khayr🤝
@maase202310 ай бұрын
Na nyie sio kila jambo mnaunga mkono mbn hamtafuti ukweli wake? Mijitu mingine ovyoooo
@FatumaAbdilrahman6 ай бұрын
Assalam aleykum, Sheikh wangu nimepata somo.nilinalonigusa, mimi nimemkinai mume wangu, juu ya ulevi na kunidanganya ameslimu wakati haswali, anakunywa pombe, anakula nguruwe, na hata ukipiga simu muito wake ni kwaya, lakini hataki kuniacha, nimerudi kwetu niende wapi nijivue katika hii ndoa? Pia hata mahali hakunilipa tulidanganya katoa nusu, hata robo hakutoa.
@hashirsuleyman3 ай бұрын
Fatma
@hashirsuleyman3 ай бұрын
www.youtube.com/@hashirsuleyman
@RukiaAliy-xg6ok2 күн бұрын
Dada fatma . nend mahakama ya kiislam kwan wapi mashehe maalum kwa ajil ya kuskilz kes k.izo na kuzitolea hukumu . inshallh mungu atakusaidi
@maase202310 ай бұрын
Hawa ndio wanaohamasisha wanawake kujiachisha na dhamira yao watu hawa hatujui ni nn au ni elimu ndogo inayowasumbua na kupoteza umma mkubwa
@user-jt5cg5nq2d6 ай бұрын
Siyo elim ndogo nisahih Kam hampendi Tena siatazin na anae mpenda bol kujivua
@maase20236 ай бұрын
@@user-jt5cg5nq2d kwa wanawake usaliti na uzinifu ni kawaida kwao hawajali kama yupo kwa ndoa au la
@maase202310 ай бұрын
Haya na huyu mwingine kazi kuongelea mitalaka tuuuu huku waislam wenzetu wanauwawa na wamekaa kimya tu kuongelea fatwa za talaka ambazo pia hawajui