Mimi nilikua na mke mkumbwa kaondaka nilikua silo kambemba vitu vyangu na vyake alipo enda kwao wazazi walipokea na akaa miaka mitatu bila Kuna kwetu mpaka Nika mutaliki je zile vitu vyangu na weza zifuata.
@AaWe-ze9ho8 ай бұрын
Je ikiwa mume alinitamkia kwamba ww si mke wangu mpaka kiama nn hukmu yake,au akatungika ukienda sehem hiyondo talaka yako naomba majibu
@LailatiAli4 ай бұрын
7:55 Asalamalaikum kama umeachwa ni lazima ukae miezi 3 na siku 10 ni farazi au sunna ndo uolewe tena?
@KautharRamadhan-xv3gf4 ай бұрын
Ndivyo inavyotakiwa dear kwaajili ya kuangalia tumboni umebeba kiumbe hivyo upate hedhi 3 ikiwa hujakoma hedhi nakama hupati hedhi yako bas ukae miezi 3
@midompemba96475 ай бұрын
Je ukimuoa tena zile talaka zamwazo zinahesabika au zinakufa
@Hamis-ks1sy4 ай бұрын
Zinahesabika ikiwa hapa kati hakuolewa na mtu mwengine ila kama aliolewa baada ya kumuacha wewe itafutika.
@morjanoman51819 ай бұрын
Mimi. Nilipata mchu akatoa pesa ya baru ila kinachonishangaza adi leo yule mchumba simuoni wala uduma zake nina haki yakuolewa na mwingine?
@KautharRamadhan-xv3gf5 ай бұрын
Hakuna uhalali wowote hapo wala kizuizi chochote
@LailatiAli4 ай бұрын
Asalamalaikum nauliza mke akiachwa leo baada ya wiki moja apate mchumba je anaweza kuolewa baada ya wiki moja?
@KautharRamadhan-xv3gf4 ай бұрын
@@LailatiAli nnavyojua mm haiwezekani mapakaa amalize EDA na hatakiwi kuchumbiwa mpaka amalize EDA kwa anaeingia hedhi bas apate tohara3 na aliekoma hedhi bas ni miezi mi3
@BisuuKhamis5 ай бұрын
Asalam alykum je ukiwa mume kamuacha mke mara ya kwanza Kwa talaka moja na mara mbili Kwa talaka mbili je mume anaweza kumuoa tena mkewe huyu. Mana kuna baadh ya masheikh wanasema anaweza kumuoa kutokana talaka mbili au tatu Kwa kikao kimoja huhisabiwa ni mona naomba ufafanuzi juu ya hili
@dryusufmohamed95375 ай бұрын
Ingia kwa tiktok yangu majibu yapo kwa wingi saana ukiingia kwa tiktok andika Dr Yusuf Cupping therapist
@BisuuKhamis5 ай бұрын
Mbona nimeenda kuangalia lkn sijaona jibu la swali lamgu
@KautharRamadhan-xv3gf5 ай бұрын
Assalam aleikum samahan naomba kujua hili ikiwa mke kaachika talaka 2 eda ikaisha akaolewa tena talaka zinahesbaika vp@@dryusufmohamed9537
@KautharRamadhan-xv3gf5 ай бұрын
@@dryusufmohamed9537Assalam aleikum akhy naomba kujua ikiwa mke kaachika kwa talaka 2 edaa ikaisha akamuoa tena je akimuacha talaka zinahesabika na za mwqnzo au inaanza upya
@dryusufmohamed95375 ай бұрын
Ukipewa talaka moja huwa imepita talaka moja na unakaa Eda. Mume anaweza kurudia kabla Eda kwisha. Mara ya pili ukipewa talaka mbili kwa maramoja huwa sio mbili hiyo nitalaka ya pili sio iwe nitalaka ya tatu, kwavile mume amekupa talaka mbili kwa maramoja.. Nataka uelewe kuwa mume akikupa talaka mbili kwa maramoja huwa sio mbili, nitalaka moja tuu.. Kwahivyo wewe ulipewa talaka ya kwanza..baadae ukapewa talaka mbili kwa maramoja..sasa hiyo talaka mbili itakuwa nitalaka ya pili tuu..haiwi nitalaka ya tatu kwavile kakupa talaka mbili kw maramoja..Tayari umeachika talaka mbili tuu..Hakuna cha kufunga ndoa upya ikiwa mume amekurudia ukiwa ndani ya Eda. Ndoa kufunga upya niwakati umekaa Eda, Baada Eda kwisha, na hakuwahi kukurudia, akikutaka tena kwavile talaka ulio ikalia Eda ni mbili hadi Eda kumalizika..Basi. mume atafunga ndoa upya na mahari mutakayo kubaliana.. Sijuwi kama nime eleweka?