SHEKH MUHAMMAD IDD AMREKEBISHA SHEKH WA MKOA ALHAD MUSA

  Рет қаралды 201,213

BOB SHACK

BOB SHACK

Күн бұрын

Пікірлер: 1 100
@salumsaid6572
@salumsaid6572 4 жыл бұрын
MASHAALLAH ALLAH akuzidishie elimu wewe na familia yako na jamii zote za kislam
@salehesamjela384
@salehesamjela384 4 жыл бұрын
Jazakallaaahu khaira fiddunia wal aaakhera
@ramadhanisamata7485
@ramadhanisamata7485 4 жыл бұрын
Sheikh, Mungu akuongezee hekima, ufasaha,maarifa elimu,ujuzi na ujasiri Wa kila namna katika kusema ukweli kwa ajili ya Allah. Mungu akuvue woga na akulinde yeye mwenyewe kama alivyolinda mitume wake. Wazazi na Masheikh Wako pamoja na marafiki wema mliyolelewa pamoja Mungu awasamehe Mapungufu yao. Amiin! Amiin! Allahuma Amiin!
@abdullahadamuabdullahadamu6093
@abdullahadamuabdullahadamu6093 4 жыл бұрын
Amiin
@Kwemakamemediagroup
@Kwemakamemediagroup 19 сағат бұрын
Mashallah Mashallah
@mohammedrajabu7449
@mohammedrajabu7449 4 жыл бұрын
Dah sheikh iddy sijuinikupe zawadi gani maana umenifurahisha saaaana na Allah akupe kheri nyiingi na akupe pepo ya juusana Allahumma Amiin
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 жыл бұрын
Allah akujaalie kheri Shekh Mohammad
@rahakesho5550
@rahakesho5550 4 жыл бұрын
Alhamdulillah sheikh umeliona hilo nilijua unamkosea kishki lkn hapa umenifurahisha umetimiza wajibu wako m mungu akujaalie na akupe afya njema.Nimekuelewa vizuri Sana sheikh kumbeeee mmeona udhaifu wa bakatwa kupeana ushekhe bila waumin kumchagua.
@rajabuthabiti1848
@rajabuthabiti1848 4 жыл бұрын
Kweliiii kabisaaa huo ushekheee wa mkoa kapew na waislam gani huyoooo
@asia1124
@asia1124 4 жыл бұрын
Mashaallah Mashallah Asante Allah atakulipa kwa Hili shekhe Idd
@saidseif5630
@saidseif5630 4 жыл бұрын
Ameen
@mrishomasenga7118
@mrishomasenga7118 4 жыл бұрын
Mungu akuongoze shekhe Muhammad id
@matingile5044
@matingile5044 Күн бұрын
Mashallah nakuombea dua huko uliko Allah akupe maisha mazuri akuingize peponi
@MariamJSuleiman
@MariamJSuleiman 3 күн бұрын
Inallilah waina ilah rajuun pumzika kwa Amani shekh Mohamed iddy
@hawakassimu6120
@hawakassimu6120 Күн бұрын
Allah akurehemu kwa kazi ya dini ulio ifanya tunamuomba Allah akupe kauli thabit akuweke pepono
@fadhilimbuguni5736
@fadhilimbuguni5736 4 жыл бұрын
Sheikhe Allah akulipe kwa nia yako na akulinde katika dunia na Akhera.
@SaidiHassani-tf7vs
@SaidiHassani-tf7vs Күн бұрын
mashallah umeacha matunda mungu akuripe atasisi tusiokuana erimu tumepata faida
@allykinyogoli3075
@allykinyogoli3075 4 жыл бұрын
Sheikh wangu Sheikh Mohammed Idd Mwenye-ezi Mungu akuongoze katika kheri Inshaa- Allah
@wahdalubawa2802
@wahdalubawa2802 4 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah, Baarakallahu laka fiiiha Abuu Iddy Mohammad Iddy
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Asalam Alaikum Sheikh Muhammad Idd 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🤲🤲🤲 myoshe huyo kunguni mwenye kutufyonza damu zetu sisi wa Islam.
@mohamedkhalfan2107
@mohamedkhalfan2107 4 жыл бұрын
Mh naona weshapatana ndiyo walivyo watu wabatwil wanajuana
@RashidShedaffa-v9x
@RashidShedaffa-v9x Күн бұрын
Allah swt akuweke pahala pema peponi aaamiin..." ulikuwa jasiri na muwazi ktk kubainisha haki na batili...Allah swt akuhifadhi. Tutakukumbuka sana na kukuombea kheri.
@الزغويالزغوي-ض3ن
@الزغويالزغوي-ض3ن 4 жыл бұрын
SHEIKH MUHAMMAD IDDI AS-SALAAMU'ALAYKUM WA RAHMATUL-LAAHI WA BARAKAATUH,,, SHUKRAN JAZAAKAL-LAAHU KHAYRAN,,, NIME ONA YULE SHEIKH MKUBWA KABISA WA MKOA AMEKUTUKANA SANA ILA HILO LISIKUFANYE URUDI NYUMA KWANI KILA MWENYE KUZUNGUMZA HAQ-QI HAKOSI KUCHUKIWA,,, KWA HIVYO ENDELEA KUTUELIMISHA SISI WAHITAJI .
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 Күн бұрын
Allahumma ighfirlahu, warhamhu,waafihi waafu anhu
@husseinsalum5908
@husseinsalum5908 4 жыл бұрын
Thank you sana sheikh.......
@omariaman7818
@omariaman7818 3 күн бұрын
Allah akupe kauli thabiti sheikh wang
@wahdalubawa2802
@wahdalubawa2802 4 жыл бұрын
Sheikh Abuu Iddy Leo umenifurahisha sana na kwa ajili ya furaha hii nakuombea dua Allah katika mema yako yote uliyo yafanya na hili la kusema ukweli juu ya hili Jambo iwe ni sababu ya wewe kuingia peponi, ifike hatua tuambizane ukweli na kupeana naswaha hii ni Dini ya Allah sio dini ya kikundi Cha watu flani ambao wanajiskia kusema yale wanayoyapendeza kwao sababu ya maslahi ya kidunia na kunyamazia Yale yanayowachukiza kwakuwa hayana maslahi kwao.
@awadhally1052
@awadhally1052 4 жыл бұрын
Yule shehe wamkoa mpumbavu sanaa
@saidwashow7467
@saidwashow7467 4 жыл бұрын
Acheni malumbano
@mohamedabdallahmellah4370
@mohamedabdallahmellah4370 4 жыл бұрын
Tatizo njaa ndio zinatufanya tukufuru hii ni aibu kwa shekhe wa mkoa tena wa dar...
@saidabdallah2934
@saidabdallah2934 Күн бұрын
A/aelykum
@iddyperembo2463
@iddyperembo2463 4 жыл бұрын
Mashaa allah shekhe iddy shukraani
@msuyaothman9591
@msuyaothman9591 4 жыл бұрын
Shukran sn Sheikh Wangu naungana na wewe nimegombana sn na baadhi ya masheikh wanaomtetea Sheikh wa daressalam. anautia doa uislam naingiza shirki zake katika uislam.. Sikua na sehem ya kufikisha ila Nakushkuru sn kwa majibu yako kwa majibu yako mazuri uloyatoa kwa niaba ya waislam walosikitishwa na dua yenye shurki ndani...Allah akuhifadh.. Na ikiwezekana atolewe ushekhe huo
@abowsudes210
@abowsudes210 4 жыл бұрын
Huyo sheikh wamkoa nikawaida yake mm ninayo clip alio kua anamsifu makonda enzi nimkuu wa mkoa alimwita makonda nizaidi ya mtume nizaidi ya Allah anaeitaka anitafute whatsup 0653326771
@maajidabinass330
@maajidabinass330 4 жыл бұрын
Na cjui kitu gn kunamsumbua Al ahad Kila ktu anajua kbsaa
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 4 жыл бұрын
@@abowsudes210 SUBHANALLA. Ajiuzulu umufti haraka. Waislamu sio kiongozi wetu tena
@chongepauwa6667
@chongepauwa6667 4 жыл бұрын
Allah amsameje j
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Mashaallah shekhe umeongea maneno mazuri
@ngalowelamwalimu6721
@ngalowelamwalimu6721 4 жыл бұрын
Maashaallah maashaallah Sheikh Abuu IDD Allah akulipe kwa hili maana limezua taharuki kubwa mno miongoni mwa waislam. Na kwenye Yale mwaswali uliyoyauliza mwishoni namna ya kupata hao masheikh ndio matatizo yanapoanzia.
@omarmwabege
@omarmwabege Күн бұрын
Allah Akusamehe na akulipe kwa Nia yako,na Akuhifadhi na adhabu ya kaburi
@payossalbat5287
@payossalbat5287 4 жыл бұрын
جازك الله الخَير وبعدالخير جنات النعيم
@kuruthumuruga6937
@kuruthumuruga6937 4 жыл бұрын
TAKBIIIR
@khalidmkelle8741
@khalidmkelle8741 4 жыл бұрын
Asante Sheikh kwa kutuelimisha kwa busara na hikma zako
@rabiethmosha8006
@rabiethmosha8006 4 жыл бұрын
Amin mungu akuweke muda mwingi uturekebishie wanaomkosea MUNGU Kwa mapana yote na bila aibu na hofu ya mungu
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 4 жыл бұрын
Shukran Sana Sheikh Kwa Ufahamisho Ila Mimi Nahisi Aombe Radhi Na Waislam Wamsikie Kufuta Kauliyake
@hassankhalid6711
@hassankhalid6711 4 жыл бұрын
Huyo anaitwa shekh maslai (shirk ya wazi wazi)
@jimmynwita8047
@jimmynwita8047 4 жыл бұрын
Amezidi kujipendekeza mpaka anajishau mimi mwenyewe nilishangaa sana
@shamishami1799
@shamishami1799 4 жыл бұрын
shekhe allah akuhifadhi
@mahmoudsameja64
@mahmoudsameja64 4 жыл бұрын
Mashallah Allah Atuwekee shaikh wetu na kaka yangu Sh. Muhammad Iddi ambaye hainyamazii batili na anaitetea haki ni muhimu kuwa na mapenzi juu ya mtu kama huyu mwenye kujitoa muhanga najua kinachofata ni kujibiwa ovyo au matusi Allah amhifadhi na amruzuku umri mrefu في خير ولطف وعافية وبركة
@abdulazizmwipi9750
@abdulazizmwipi9750 4 жыл бұрын
Kama ulijua vile kajibiwa na matusi juu
@abuujunaid
@abuujunaid 4 жыл бұрын
Subhaanallah Kama ulijua vile ..
@saidsidaz
@saidsidaz 4 жыл бұрын
Allah akuweke Sheikh wangu
@oimermollelzephania139
@oimermollelzephania139 4 жыл бұрын
Sheikhe Muhammad Idd mimi nakukubali kabisa katika mahubiri yako na katika mijadala mingi unayoyafanya katika vipindi vingi . Kwa hakika wewe ni mcha Mungu , msema ukweli na sio mnafiki. Uko vizuri ssna kujenga hoja ya kweli sio kama wengineo wa dini nyingine mnaoshirikiana katika mahojiano. Mungu akubariki
@nurudinehamimu5658
@nurudinehamimu5658 4 жыл бұрын
Allah aku afiqie
@hawaa.selemani2286
@hawaa.selemani2286 4 жыл бұрын
Shukran sana sheikh... Allah atuongoze sote katika kufanya yenye kheri, na atulinde sote katika kuyaendea ya shari Wallahu aa'lam
@seremenikibwene8633
@seremenikibwene8633 4 жыл бұрын
Uko vzr shaykh, jaz 'aka llahu khayra
@salehemohamed2937
@salehemohamed2937 4 жыл бұрын
Unapomuona mwenzio amekosea basi mrekebishe,km alivokosea sheikh ponda ,masheikh wakasimama kumkosoa kwa alichokifanya,maoni yangu itakua vizuri na huyu alhad akosolewe na wenye elmu kwa alichofanya.inshaallah kheir .
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 4 жыл бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Mohammad Eddy
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mpenzi huyo sheikh alikuwa anafurahisha viongozi tu alimwacha Mungu kitambo hajitambui
@sheshambiomary6785
@sheshambiomary6785 4 жыл бұрын
ALLAH akupezaidi nazaid.naakulinde nasharizote Abuu Idi.Na tutakua shahid mbele za ALLAH.kuwa umefikiha
@omartamim278
@omartamim278 4 жыл бұрын
Abuu Iddi kwa hili nimekupenda sana kwa ajili ya Allah
@selemanhant8285
@selemanhant8285 4 жыл бұрын
Nipigie
@kamwanaahmed6557
@kamwanaahmed6557 4 жыл бұрын
Mola awe nawe MashaAllah
@unbreakableteam8225
@unbreakableteam8225 Күн бұрын
Innaalillah Allah akujaalie pepo sheikh muhammad iddi
@fatumachasama6284
@fatumachasama6284 4 жыл бұрын
Angesema kwa jina la mwenyezi mungu) ndo muweza ya yote na ndiye mjuzi! Allah atuhifadhi na atunusuru, na mitafaruku ya kiimani!!
@issashekh4726
@issashekh4726 2 күн бұрын
Allah akuhifadhi na akupe kauli thabiti filaakhera
@shamsisaady4029
@shamsisaady4029 2 күн бұрын
amin🙏
@ahmedsalim8755
@ahmedsalim8755 4 жыл бұрын
Shukran sana kumjibu huyo hadi siwezi kumwita shk
@allyomary9318
@allyomary9318 4 жыл бұрын
Huyo siyo sheikh kaungaunga tuu mpk kufika hapo. Mjanjamjanja tuu wa mjini
@mwajabukambangomaaashaalla8323
@mwajabukambangomaaashaalla8323 4 жыл бұрын
Jazakallahu khyra yaaa akhiii Qareeeem shukrani saaana shekhe wetu mpe dwa mungubakulipe juu ya hili inshaaaaaallah 🙏🙏🙏🙏
@jumannejabil7018
@jumannejabil7018 4 жыл бұрын
umejitahid allah nishahid asante kwahili
@masoudwaziri.nimeipenda1462
@masoudwaziri.nimeipenda1462 4 жыл бұрын
Njia sahihi haikutumika
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 4 жыл бұрын
Namuona Marehem Sheikh Illunga kwenye maneno yako. Jazakah kheir
@kisanganyakiswanta1379
@kisanganyakiswanta1379 4 жыл бұрын
Alhamdulilah shekhe umeongea vyema sana msione ane aibu kwenye mambo ya dini
@salumshabani6874
@salumshabani6874 4 жыл бұрын
Maashallah shekhe wetu abuuid Allah akupe umli mlefu kwa kuutetea haki Mambo ya CCM hayamsu ilitakiwa asome dua pekee kwa mujbu wa Imani yake tatizo bakwata CCM
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 4 жыл бұрын
Hongera Sana mzigua kwa kuliweka wazi hilo,
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 4 жыл бұрын
Shukran Sheikh. Umeweka usahihi mwema.
@aliy3303
@aliy3303 4 жыл бұрын
Asant and mashallah
@nafmohd3547
@nafmohd3547 4 жыл бұрын
Mnafiki yule anatutia aibu waislamu kasharitadi kwa ajili ta pesa hafai atoke akamtngaxe yesu.
@sadambakari9756
@sadambakari9756 4 жыл бұрын
Mashaallakh wape ilimu sheikh
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 4 жыл бұрын
Dua ya kusema ashindwe na analegee ni maneno ya wahuni sio maneno wa watu walioaminiwa na jamii
@nelsonlyimo1600
@nelsonlyimo1600 4 жыл бұрын
Wako wengi,matatizo yao ni tumbo lazma ujipendekeze kwa kaisari
@hamimuabdalah8194
@hamimuabdalah8194 4 жыл бұрын
Allah akulipe kher na akupe afy na umri mref shekh wetu muhamad
@saidihamisi3652
@saidihamisi3652 4 жыл бұрын
Wallah wallah!! Sheikh muhammad iddi huwa nakupenda kwa holo.huwa hujali lawama za mwenye kulaumu.
@safiyansawe2248
@safiyansawe2248 4 жыл бұрын
Kwel sheikh iddi
@ngosaryyahya9587
@ngosaryyahya9587 4 жыл бұрын
Mchane.mshamba.yule
@husseinkambiy3578
@husseinkambiy3578 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie umri uzidi kuwepo shekhe idd
@geraldnyasembe4214
@geraldnyasembe4214 4 жыл бұрын
Wamemshobokea shekh ponda lakini kwa huyu aliyeomba kwa jina la yesu mashekh wengi wamenyamaza kimia shekh simamia ukweli shekh mungu akuongeze nguvu,,
@mbishitariii8311
@mbishitariii8311 4 жыл бұрын
Mashekhe wetu ndugu njaa zinawasumbua
@jonasmaganga7433
@jonasmaganga7433 4 жыл бұрын
@@mbishitariii8311 nikweli wanashindwa kusema kwaajil ya njaa zao
@ahz6907
@ahz6907 4 жыл бұрын
Kweli aisee walimshambulia sana sheikh ponda.
@hamisimapalala7709
@hamisimapalala7709 4 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu
@kizamoshi7042
@kizamoshi7042 4 жыл бұрын
Ivi kwanini mashekh kamaninyi mnakuwa wachache daaah!! Mwenyezimung akuhifadh yaashekh
@mahersudeis6555
@mahersudeis6555 4 жыл бұрын
Ahsant sana shekhe muhammad ayub
@noshadmadini5768
@noshadmadini5768 4 жыл бұрын
Wewe sasa ndo umeongea ukweli sheikh sio kile kikundi cha waganga wao wameshupalia Sheikh Ponda tu ukweli wanauficha
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 4 жыл бұрын
Hta shekhe ponda pia amekosea nduguyngu sio aungwe mkono ponda kwasababu yupo kwenye maslahi ya watu hyu aliomba kwa jina la yesu kakosea,ponda pia amekosea huu ni uislaam sawa nduguyngu kwahio Allah hakubali duwa zetu watanzania kwasababu hatutamchagua lisu kwahio sasa lisu hyupo madarakani duwa zetu zinapokelewa na nani
@noshadmadini5768
@noshadmadini5768 4 жыл бұрын
@@abdallahmuttaq7306 wote wamekosea ila kile kikundi hakikuwah kuongelea habar za sheikh wa Darusalaam kama kakosea wao walijiunga kumzungumzia Ponda tu au kuna pahala umewaona wameluongelea hili la Alhad Uislam unahtaji kukumbushana unapokosea
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 4 жыл бұрын
@@noshadmadini5768 hyo ndio makosa wa mashekhe kiukweli mitandao inawaingiza kwenye mitihani na mashekhe maslahi yao wanataka kuyafanya yaendane na dini kitu ambacho hakiwezekni
@solemba595
@solemba595 4 жыл бұрын
@@abdallahmuttaq7306 ktk uislam hakuna dua ya Yesu, Alhad yeye ametoka kabisa katika Aqida, huwezi kufananisha na Ponda labda Kama humpendi anae mpigia debe
@noshadmadini5768
@noshadmadini5768 4 жыл бұрын
@@solemba595 sahihi kabisa
@shariambwana6325
@shariambwana6325 3 жыл бұрын
Mashaallah , Mungu akunariki ktk kurekenesha Masala ya kidini, inshaallah
@bozendulla6336
@bozendulla6336 4 жыл бұрын
Wallah sheikh umeongea makubwa mazur mashaallah..
@hamadali2910
@hamadali2910 4 жыл бұрын
Shukran shekhe kwa ukarimu wako Allah atakulipa kheir kwa rehma zake
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 4 жыл бұрын
Shukran sana nimekuelewa
@hamzaforogo
@hamzaforogo 4 жыл бұрын
Allah akulipe na akulinde shekhe . Umefanya jambo muhimu sana alhamdulillaahi hivi ndivyo inavyotakiwa. Ushafikisha ujumbe
@salumbashiru4800
@salumbashiru4800 4 жыл бұрын
( أَلَا إِنَّهُمْ هُمُ الْمُفْسِدُونَ وَلَٰكِن لَّا يَشْعُرُونَ ) البقرة (12) Al-Baqara Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
@sahilnaass5090
@sahilnaass5090 4 жыл бұрын
Kweli Shekhe Allah akulinde
@fardhanamahmoud7313
@fardhanamahmoud7313 4 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shekhe,uko sahihi kabisa,
@salehrasta9165
@salehrasta9165 4 жыл бұрын
Maashallah Allah akuhifadhi na akuongoze zaid
@mlapikauma7660
@mlapikauma7660 4 жыл бұрын
Huyu shehe Alhadi mshenzi tu
@hassaniramadhani8234
@hassaniramadhani8234 4 жыл бұрын
تمام
@alimipango1959
@alimipango1959 4 жыл бұрын
Allah atupe wepesi
@hadijazuberi6049
@hadijazuberi6049 4 жыл бұрын
Atolewe kwe ushekhe wa mkoa
@hadijazuberi6049
@hadijazuberi6049 4 жыл бұрын
Kapoteza sifa teyar ataupotosha umma
@alimipango1959
@alimipango1959 3 жыл бұрын
Tumefundiswa kuombeana dua njema.
@salummussa8673
@salummussa8673 4 жыл бұрын
Baraza liko sahihi
@mohammedomar2865
@mohammedomar2865 4 жыл бұрын
Afadhali umejitoa muanga mungu atakulipa
@eddyeddy1337
@eddyeddy1337 4 жыл бұрын
Allah akujaalie kher
@fahadbarakat9448
@fahadbarakat9448 4 жыл бұрын
Wallah wallah wallah roho inaniuma Sana dini yetu inaelekea wapi?Allah anayaona haya namuomba Sana asichelewe kulipa huu udhalilishaji kwa dini yake tukufu...Eeeeh Allah tunakuomba waja wako waonyeshe na uwadhalilishe Kama wanavodhalilisha dini yako tukufu...Amiin
@jawaziissa8213
@jawaziissa8213 4 жыл бұрын
Allah akulipe kheri Shekh Muhammad Iddi.
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 4 жыл бұрын
SHEKH WA MKOA MM N MKRISTU LAKN AMEKOSEA SANA KIUKWELI.
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 4 жыл бұрын
Acha umbeya wewe
@mamussi6872
@mamussi6872 4 жыл бұрын
@@kuchimillionaire6683 umbeya upi ndugu? Muislam anakuwa na hekima na busara
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 жыл бұрын
Mkristu wa wapi wewe
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
@@michaelthobias9967 walio like wengi wamekubali lakin wewe mbuzi mmoja ndo hujataka kuelewa kabisa
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 4 жыл бұрын
Mashaallah yani ninacho kukufurahia kumrekebisha mtu kihekma mashaallah allah akupe kila la kher
@hassanmpwepwe8258
@hassanmpwepwe8258 4 жыл бұрын
Umenena sahii shekh wangu mashekh wengi wanajar maslay yake yeye bnafsi aujielewi kabisa uyo shekh wa mkoa
@khamissalum431
@khamissalum431 4 жыл бұрын
Allah akubarik
@mamaibra2402
@mamaibra2402 4 жыл бұрын
Dua leo kwa yesu kesho kwa Paulo
@wasnaabdallah3140
@wasnaabdallah3140 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa true kabisa
@al-habshimunaa2158
@al-habshimunaa2158 4 жыл бұрын
Allah atuongoze duniani ni mapito
@bonneideeirakoze157
@bonneideeirakoze157 4 жыл бұрын
Swadakta ya sheikh
@yahyamalik5969
@yahyamalik5969 4 жыл бұрын
Sheikh naona mm unazunguka tu na nahc mnaogopana sijui kwa nini, ila Kwa ufupi tu katika uislamu tunafahamu kuwa dua huombwa Mwenyezi Mungu pekee (Allah) na si Mtume au Nabii au Swahaba!
@mdongoringo2791
@mdongoringo2791 4 жыл бұрын
Nice
@sul81
@sul81 4 жыл бұрын
mashallah, shukran kwa ufafanuzi mzuri, jazakallah khayran
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 4 жыл бұрын
Swadaqta maalim wangu ABUU iidi
@halifaabdalakibadebi960
@halifaabdalakibadebi960 4 жыл бұрын
Naaam shekhe safi sana
@boniphaceyohana7289
@boniphaceyohana7289 4 жыл бұрын
Ifike pahala tu waislamu mkubali kuwa YESU ndo njia pekee ya kuufika ufalme wa MUNGU 🙏🙏
@AhmadMuhamad-c4r
@AhmadMuhamad-c4r 2 күн бұрын
Mbona waisilam tunamkubali sana ,,ni mtume wa Allah
@AdamDaudy-e6u
@AdamDaudy-e6u 2 күн бұрын
Yesu au ISSA Alayhi salaam Tunamkubali na kumuamini kama mtume na Wala siyo mungu au mtoto wa mungu
@omarari6113
@omarari6113 4 жыл бұрын
Asante Sheikh... Mwambie asome sura za wanafiq Atajifahamu namna alivyo.. Au Asome suratul MUNAFIQUUNA... Inamuelezea huyo ulomtaja.. Au wewe msomee vizuri Yote hiyo sura... zaidi Aya.. No ..1..2..3..4..5..6...
@afizuboy3433
@afizuboy3433 4 жыл бұрын
ATOKE ATUFAI TUCHAGUE SHEKH KASHAMZALAU MUNGU
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
انه الله وملائكته يصلون على النبي صلى الله عليه وسلم
@habibabakary5661
@habibabakary5661 4 жыл бұрын
"Leo n Dua kwa Yesu kesho n Dua kwa Paulo"
@الرعدالصغير-ت1ش
@الرعدالصغير-ت1ش 4 жыл бұрын
Shukran
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
99.9% IMPOSSIBLE
00:24
STORROR
Рет қаралды 31 МЛН
SAUTI YA MUHABI ALIYEMSHAMBULIA SHEIKH MUHAMMAD IDDI | AOMBA RADHI KWA MUFTI
10:47
KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE' MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN
5:35
Sheikh Mohammed iddi amjibu MPOTOSHAJI WA VETENARY (PART II)
31:57
BABDEO MILADU
Рет қаралды 67 М.
Sheikh Mohamed Idd - Maisha Baada Ya Kufa Part 2
23:04
SheikhIddi
Рет қаралды 14 М.
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН