Nimesoma kitu leo. "lazima umuasi Mungu pakubwa" Sasa naelewa hawa waasi waumini
@TimaomariMustafah2 күн бұрын
Nimekuelewa ostaz ukitaka utajiri mkubwa lazima umuasi mungu pwa kubwa sana 😮
@SalehRajab-ll7ng3 ай бұрын
Shekhe haifai kufundisha elimu hiyo ya kuwaita majini ni zambi tumtegemee Allah (sw)
@aminamaulid73713 ай бұрын
Naungana na huyu kijana, yule dada ni kiki hakuna jini anayeonekana msituburuze sie, kila siku mna majambo mapya! Allah awasamehe bure.
@user-nk4oq4ek9y3 ай бұрын
Majini wameweza this time uko bongo wana Kiki kuliko kina zuchu
@hamzahamza75653 ай бұрын
😂😂😂😂
@josephvisenti74163 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😊
@abukhamis71783 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@zulekhaa68173 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ramazaniboggard88133 ай бұрын
Subhanallah 😳😳muokopeni Allah
@kipchorngwonektiroto4572 ай бұрын
Mchawi!
@dulasele-ud8cw3 ай бұрын
Shehe wangu wewe muogope Allah maneno yako yatawalibu w2 mtaani
@amanzuberi21383 ай бұрын
Sawa sawa saw sawa
@AkilidjumaMundu-ub9os3 ай бұрын
Mimi ninahitaji mali nahitwa Djuma Akili naptikana nchini Burundi Bujumbura napenda kujihunga nawewe
@g_forcemusician42423 ай бұрын
Sawa sawa nyiiiingi
@alimwadima2543 ай бұрын
Ya nini Hayo yote eti utamke Maneno mara Elfu Moja 😅
@ashgothey3 ай бұрын
Sawasawa
@alisaadmohammed3 ай бұрын
Hizi pesa ziko sawa kweli na wanzitoa wapi serikali iwachunguze
@berry47263 ай бұрын
Serikali wenyewe ni wachawi tu.Wamewaficha ukweli.
@UmmuIsmail-of1nd3 ай бұрын
Ustadh n we watuambiaje kuhusu Pete ulovaa..!! Nayo niya bahati? Sory
@mbukumagiubukumagu4063 ай бұрын
Siku hizi hata majini wanatafuta Kiki mara unasikia free mans 😮Sas hivi tunaona wanatumia Nyoka 😂kumbe. si akina Nasibu na harmonaz ,bongo fleva
@japhetnduti91023 ай бұрын
Wewe ni mganga mkweli.
@makhanguwakhutu24083 ай бұрын
Hii ni ukweli ama ni story tu za jaba
@feddymwanga54623 ай бұрын
Hii story ni kick. Tumeona mama yake na baba yake ni vitu tofauti mama kfunguliwa biashara Kariakoo na ana gari. Baba anaishi maisha magumu mno shamba
@LovenessDaud3 ай бұрын
Ukute hawa na manyoka yao ni watoto wa wafuga majoka kwahiyo walishazoea kucheza nayo hayo halafu wanatupandisha presha sisi mitandaoni
@user-bb8de4bl5n3 ай бұрын
Ni kiki ile sio kweli matangazo ya waganga ili mafala wapigwe
@lovelableru3 ай бұрын
Na Ruhani ni nn haswa
@Putin3313 ай бұрын
Huyo shee anafirwa mkunduni yeye na majini wake
@Mpakauseme3 ай бұрын
Yule sister du ni muongo anatafuta Kiki , History nyingi zimeelezwa kuhusu mali za ushirikina mfano kama chumba fulani mtu yeyote hasiingie pasi na mwenyewe, na ndimo ndani yake uishi jini katika umbile la nyoka au la kunakuwapo na misukule au misukule , story nyingi ufanana , sasa huyo dada wazi ni muongo mtupu
@Abdulrahmanhassan183 ай бұрын
Rangi nyeusi inawakilisha mamlaka
@rubenprince89903 ай бұрын
Hayo maneno yote mawili maana yake moja
@jesusislord91903 ай бұрын
Mmemuelewa huyu majini ni mashetani walishakula kiapo kuwa lazima tuwaharibu hawa twende nao motoni waislam ondokeni huko hakuna Mungu