Mama Samia chukua chako mapema alafu tuachie hawa watanganyika ccm wapuuzi tupambane nao wenyewe, hata haka kamuungano hata wewe hukapendi kavunje tu alafu ulale mbele urudi kwenu zanzibar.
@StephenChama-nh2vrАй бұрын
Uwu muungano Bora uvunjike sisi atuoni faida yoyote
@ZaidSeifSuleimanАй бұрын
Jamaa ni lecturer labda mtu awe bogus wa akili ndio hawezi kumfahamu vichwa tunavyo Tanzania
@Sr.BasilisaPangaАй бұрын
Tunaomba watoa mada wajitambulishe jina, taaluma mahali unatoka
@nkwazigatshaАй бұрын
Ni upumbavu na wendawazimu kwa nchi ya Tanganyika yenye ukubwa mara 385 ikilinganishwa na Zanzibar eti kuwa na haki sawa. haki gani kulinganisha mahitaji ya tembo na mbu! Msipokuwa realistic, ntaendelea kupotezana muda kutwanga maji.
@salummohamed2689Ай бұрын
Huu Muungano usiporekebishwa sasa na watu tuliowaona waasisi wake kuna siku hawa ambao wanasikia sauti zao tu watauvunja kirahisi sana. Ni vema sisi tukarekebisha kutokana na maoni ya wananchi yaliyoratibiwa na tume tulizoziunda sisi kuliko kusubiri muda mbaya wa mfarakano mchungu.
@saidhamad7504Ай бұрын
Ni vizuri mkatuandikia jina la mzungumzaji na wadhifa wake, asanteni
@nkwazigatshaАй бұрын
Hili ni tatizo la wandishi wetu wanaodandia hoja za watu kutafuta umaarufu huku wakiwadhulumu kwa kutofanya hata referencing. Ni tatizo la ukosefu wa elimu na maadili ya kitaaluma. Huu ni wizi wa kitaaluma na uvunjaji maadili. Ukifanya hivi Marekani, utafilisiwa tu mbali na kupigwa marufuku.