Wabunge wa Tanzania sio wabunge ambao wapo bungeni kwa masilahi ya wananchi ,wapo kwakutetea masilahi yao tu
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa Joseph Selasini.Huyu spika badala ya kumlinda mpinga rushwa na ufisadi na mafisadi yeye anawalinda mafisadi.Huyu ni spika wa hovyo sana huyu.
@brightergermanus21632 ай бұрын
WATANZANIA TUPO PAMOJA NA MTETEZI WA WANANCHI MH; MPINA. 💪💪💪💪💪💪💪 MH: 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 MUNGU AKUBARIKI SANA MH MPINA
@emmanuelmasele95853 ай бұрын
Hongera MZEE Joseph
@judithsarahmasanja5503 ай бұрын
Spika wa Bunge unatukosea sana Watanzania. Tunaomba umrudishe MH. MPINA BUNGENI.
@johnboscomasumbuko10733 ай бұрын
Upo sahii mzee
@uredmwasembo85793 ай бұрын
Tupo nyuma ya mpina na tunaona kinacho endelea mpina 💪
@SophiaTafuna3 ай бұрын
Speaker bora jiuzulu
@lupyanamatimbwi80643 ай бұрын
Selasini upo vizuri umetetea ukweli
@TakasiSulle3 ай бұрын
Ndiyo muelewe kwamba inchi inahitaji katiba mpya sio kushangilia maagizo ya ccm
@ChristerKoku3 ай бұрын
Selasini hoja zako zinamashiko.
@RaphaelElikana3 ай бұрын
Wananchi wa Kenya nimewakubali wanajitambua
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Ccm ina kazi kweli kweli haitaki ukweli katiba ya ccm inasema kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi
@AthumanDauda3 ай бұрын
Tulia yupo kukandamiza wabunge wanaojitambua
@emmanuelmayuma34663 ай бұрын
Hongera selasini.Bunge la hovyo
@NixonJohnson-zn8nk3 ай бұрын
Point kabisa.. Spike haifai hatumtakiu cc wananchi
@eliakazilo60783 ай бұрын
Kuna wabunge wanamlinda Bashe.m hii Ni hujuma ya wazi wazi hatukubaliani ..Tulia amekosea sanaaa .Ni dhambi ya waziwazii
@damaspmtz10183 ай бұрын
Wao wazunguke tu, lakini ukweli tunaujua na mpina anapogania Taifa la Tanzania na wananchi wa Tanzania kwani siyo kwa manufaa yake na yeye
@cloudjulius-sf6nw3 ай бұрын
Ukozr sana spika anamkingia kifuwa waziri bashe
@KelvinMtavangu-ow8yo3 ай бұрын
Hapo kuna dalili za kuendeleza rushwa kwa kuptia zuio la kumzuia Mpina kusema kweli? Au tusemeje nje ya Bunge? Je, Mpina hajaonewa na Watanzania. Hoja na tuhuma dhidi ya Waziri husika na sukari? Hivi kweli? Taarifa ya Mpina itawekwa wazi? Ufisadi upigwe vita nchini. Mungu ibariki Tanzania.
@SaraLuoga3 ай бұрын
Tulia tutawahukumu kwenye masanduku ya kura,bunge lako la kulindana,mnatukela sana wananchi
@MalandoJilala3 ай бұрын
Hata speaker akizuia lisijadiliwe lakin sis wananchi tumeshaona na MUNGU anaona
@lucascosmas9083 ай бұрын
Dah kweri ukweri una ishi ongera mpina sisi tunajuwa kuwa ilo bunge ni bunge la mapambio ivyo kwa sababu iyo usingeweza kutoboa apo sababu umesema ukweri na kutetea wana nchi
@drallan68793 ай бұрын
speaker hututendei haki;
@MwigaAdam3 ай бұрын
Tanzania ya CCM iyo kubebana na kulindana ndio ngao yao.
@samsonhamery38093 ай бұрын
Spika amejawa kiburi Sana anafikiri bunge Ni Mali yake sivyo bunge ni Mali ya watanzania wote
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Kuna mawazir ambao hawagusiki katika utawala huu wa mama yetu wanavurunda watakavyo tena kwa ushahidi lakini mama yuko kimya hata wabunge wanawaogopa maana ukiamka kuwasema tu hao kipenzi cha mama utasikia mjinga mmoja anaropoka taarifa taarifa ili kupoteza muda katiba mpya ni mhimu sana watanzania ili kuondoa huu umungu mtu wa rais
@thabitimadabali17263 ай бұрын
Kaka hoja yako iko sahihi kabisa
@davidMwita-oz5gg3 ай бұрын
Spika ni mlizi wa viongoz wa serikal bungen
@epimackjohn4613 ай бұрын
Uamuzi huu unaweza kumpunguzia SPIKA sifa sana nchini , kaliendea mbio sana , na anaweza akaipunguzia CCM idadi ya kura kadhaa maana uamuzi wa SPIKA haujaridhisha watu wengi sana maana wanaguswa na tatizo la SUKARI na sababu imeanikwa na aliyeadhibiwa .
@festokemibala58323 ай бұрын
Apungukiwe sifa mara ngapi? Vipi suala la kampuni ya kiarabu DPW alivyosimamia upitishwaji wa sheria tata kwa sehemu ya nchi isiyo na mamlaka (part of contry/state) kuingia mkataba na nchi (state)?
@simongwandu73923 ай бұрын
Wananchi wanahaki Mpina yuko sahihi na tunamwuunga mkono
@migerajacob5813 ай бұрын
Hatuna bunge/spika makini wa kutetea masrahi ya watanzania, Wana nchi tuna paswa kupiga kelele Kwa nguvu,
@chedijohn22703 ай бұрын
Mbona bunge pamoja na,spika,wamenyamazia ripoti ya cag,mpina hoyee Mungu yupo pamoja nawe kaza buti kwa,mafisadi endelea kuwafichua majizi ndani ya ccm .
@AbuubakariKanuti3 ай бұрын
Sipka ajiuzulu
@victorkisenha59333 ай бұрын
Mzee therathin upo sahihi, na sio maamuzi ya spika,
@jacobsimion59573 ай бұрын
Waache kunadamizaji
@ashirikavella64013 ай бұрын
Shida wa Tanzania wamekalia upumbavu sio haki zao
@jorammasunu70403 ай бұрын
Point
@MariaCassian-e2i2 ай бұрын
Mpina arudi Bungeni hatutaki brablaa watanzania tunauelwa wa kutosha sana na Tanzania tunaviwanda vingi sana vya sukari Bashe kama umeshindwa kuitendea haki hiyo kazi ya uwaziri achia ngazi watanzania wapo wengi tu walio soma na hawana kazi u haguzi huo umewadia watu wagombeee ubunge uwaziri utawakuta huko nakama utanzania umekusjinda rudi huko Somalia kawaebdeshe huko halafu uone
@salarose59803 ай бұрын
Safi sana mchango wako,raia hawaja hukumu ila wanataka wajue serikali itatoa maamuzi gani?
@RaphaelElikana3 ай бұрын
Kifungu cha 34 nyaraka zilikuwa zimeshawekwa mezani tayari ,tatizo liko wapi ?
@DevothaLighton-dl6zi3 ай бұрын
Speaker ambaye haijawahi kutoka Tena ni WA mbeya mwenzangu ila Cha moto atakiona mbeya
@KamwandaNzowa-eo4ur3 ай бұрын
Nchi imekuwa ya kulindana haijalishi umekoseya au hujakoseya zaidi wanalindana
@LushugembeMboje3 ай бұрын
Salasin kumbe bado uko sawa kisiasa mimi tukopamoja na wewe mpina yuko sawa wizi umezidi mno serikalini.
@ROBERTMGOGOSI3 ай бұрын
Spika Tulia hana akili hata kidogo Ninadhani hata PHD aliyosoma ana GPAless siyo bure siyo kwa ujinga huu
@festokemibala58323 ай бұрын
Duu, sijui anasoma hizi comments
@cloudjulius-sf6nw3 ай бұрын
Jamani watanzani tuchukuwe hatua ya kuhamasisha family zetu tuungane tukachaguwe viongozi watakao jali shida zetu na kutatua
@kamarakusupa54562 ай бұрын
Bunge siyo Mahakama kiasi kwamba lililoko Bungeni lisijadiliwe na wananchi. Tafsiri sahihi ya Bunge ni kwamba hiki ni kikao cha wananchi kwahiyo haitatokea kikao cha wananchi kikawa na siri isiyotakiwa kujulikana na wananchi
@PetterMasika2 ай бұрын
Wanna chill wote Tanzania Mpina Kaonewa Haki ya Mungu Mbunge Josephu Kasuku Msukuma Wilistoni Lusunde Spuka Akinsoni Tuliya Kwa Uonevu Mlioufanya Kwa Mbunge Halali Mweshimiwa Luhaga Mpina Mumejiondowa Wenyewe kwanye.Maamuzi…Hata uamuzi wa nyumba kumi kumi Nimesukuma kuandika hili Hamupo
@ufundi_tz3 ай бұрын
bora enzi za kikwete
@MussaNdalugilie2 ай бұрын
Mpina Yuko sawa wabunge wote jifunzeni kwake mtutetee
@philimonmtweve45223 ай бұрын
Mafisadi wengi sana nchiiii hiiii
@Jeremiatitomawala3 ай бұрын
Mpina mnampaisha na wa tz tunaanza kuelewa acheni kupika uovu
@EmmaculateGembe3 ай бұрын
Tulia wewe ni mwanamke na mama wa watoto nchi hii ikiingia pabayaMungu atakulipa maana badala ya kutetea wananchi unatetea maovu kumbuka ulivyokuwa unawazodoa Aida Kenani na Halima Mdee kuhudu mikataba ya bsndari je hiyo ndiyo kazi iliyokupeleka bungeni kukandamiza wanachi?
@albinombungu42943 ай бұрын
RAIS AVUNJE BUNGE LA TANZANIA
@BenardNdotto3 ай бұрын
Uko sahihi
@elibarikimollel71493 ай бұрын
Uko sahihi mh.Selasini... kwamba sasa tunataka kusikia tamko la Rais kama kweli hapendi rushwa kutoka rohoni mwake kwasababu wananchi hatutegemei kuja kusikia tofauti na hatua kali kwa Waziri Bashe na wenzake kutoka kwa kamati ya maadili na spika mwenyewe vinginevyo tutaelewa kuwa pana biashara haramu serikalini... hoja ya Mpina ikomeshe mchezo huu!
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Spika yoyote anayetokana na ccm siyo spika bora mwisho wa kunukuu
@LusekelokyambaKyamba3 ай бұрын
Tatizo hili nchi niyakibabe mpinga ameonewa
@hamudshabani78013 ай бұрын
Hapa ndo namkumbuka marehemu samwel sitta aliyekuwa spika wa bunge kwanza alikuwa mtenda haki wakati Wa shughuli za kibunge inapokuja maslahi ya nchi si huyu
@matiredms9173 ай бұрын
Bwana Selasini usidanganyike kuwa Rais hahusiki katika suala sukari. Samia anahusika moja kwa moja vinginevyo angalikwishatoa kauli yake. Usimtetee Spika hapa.
@hamudshabani78013 ай бұрын
Hapa nakuunga kama raisi anakataa rushwa wakati hakemei wala shughuliki
@gabrielsanya32783 ай бұрын
Spika NI mteyezi wa wala rushwa, wenye viwanda na matajiro wabiaashara ya sukari wamemuweka mfukoni kwa kuwa ameishapokea rushwa.o Tulia, Mwigulu na Bashe NI MAJIZI washitakiwe na waondolewe madaraka Yao.
@Jeremiatitomawala3 ай бұрын
Tatizo wamezoea upigaji....
@davidmalogo71003 ай бұрын
Bunge nichombo cha ccm kinacho saidia kuiuza Tanzania ,Yani bunge la wabunge watanzania halitakiwi kuwepo bunge hili ndolinalo mpa laisi nguvu ya kuiuza bandari ,wamasai hawanakwao misitu kuuzwa gesikupandishwabei,nk ,BURKINAFASO NAWAUNGA MKONO KWA ALILOFANYA TAOLE
@MzeeMkoloni3 ай бұрын
Nchi hii bado ina Viongozi wabovu sana
@CharlesMarupa3 ай бұрын
Ndugu Selasini umesema vema kabisa.
@albertinamichael61233 ай бұрын
CCM asilimia kubwa ni mafisadi ukiwa msafi unapigwa vita hata kuuawa.
@Lubango-gj3ud3 ай бұрын
Kiongozi wa Ccm anayetetea wananchi amebaki Makonda, na Mbunge wa ccm Mpina
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Ushahidi ametoa mnachomchukia nini tatizo la Ccm yetu hawapendi mtu kusema ukweli Tulia Mungu atakulani kqa kutokupensq ukweli unataka wananchi wateaeke kwa ajili ya ufisadi
Mhe. Rais tunakuomba sana umsaidie Mpina kwani Bashe achunguzwe anatuibia sana.
@ChristerKoku3 ай бұрын
Watanzania kuweni na kumbukumbu hivi CAG alishaeleza wazi mijizi ya mali za umma walimpuuza,mpaka sasa hakuna aliyechukuliwa hatua.Itakuwa Mpina kasema.
@EzekiaMtwale3 ай бұрын
Kwanini wasiruhusu hoja ya Mpina ijadiliwe?! Viongoz wetu wanatupatia mashaka,na hilo ni miongon mwa madoa ktk chaguzi tunazoziendea!
@sylvestercameo62633 ай бұрын
Hivi Mheshimiwa Spika anaongoza Bunge kwa maslahi ya nani? Je, ni kwa maslahi ya wananchi waliowatuma Wabunge Bungeni au kwa maslahi ya mafisadi mabwenyenye serikalini? Je, wananchi hatuna nafasi ya kumkataa spika maana hatuwakilishi wala hatujampigia kura awe spika wetu?
@eliakazilo60783 ай бұрын
Hiyo inaitwa funga kalomo kwa My Mpina.na hapa wanamlinda Badge..hawajamtendea vyema Mpina
@kayombogregory82413 ай бұрын
Bunge liache ujanjaujanja hapa! la sivyo Rais vunja hili bunge.
@fredrickshantiwa97103 ай бұрын
Kweli kabisa
@yahayaramadhani64183 ай бұрын
Mhe. Bashe, hebu mjitafakari, hapo kuna mchezo mchafu wakumlinda mhe. Bashe.
@husseinwaziri27963 ай бұрын
Watendaji msaidiyeni Rais kwa yale mazuri anayoyaishi,msimhari biye. Endapo itabainika,basi mh.Bashe awajibishwe na adhabu inayostahili kwake ni kuvuliwa uwaziri kwasababu hastahili kuwa msaidizi wa Rais.
@daudsonda97063 ай бұрын
Spika aache kupinga mawazo yawabunge atumie nguvu ya Hoja,hiyo ni sauti ya wananchi
@georgempogomi73293 ай бұрын
Ufisadi ni kanuni ya CCM na Bunge la Tulia
@NixonJohnson-zn8nk3 ай бұрын
Sipike hutu ni kimeo kabisa kuanzia sura na roho sinui ni kitu ganiq
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Amuache Mpina afanye kazi huyo ni maema ukweli na hakuna siri duniani Mpina ana vithibiti vizuri sanaaaa sasa cha ajabu nini na asiondoke Ccm kamwe apambane nao tu na wakileta mchezo Mama hapati kura kanda ya ziwa wamuache Mpina
@fredrickshantiwa97103 ай бұрын
Kweli kabisa
@janethpallangyo38553 ай бұрын
HATUNA SPIKA WALA WABUNGE INCHI HII
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Hatembelei Mikoani kwa wananchi haya ameamua kumchagua makonda sasa ana washauri wanaompiga Vita Makonda anapochapa kazi anasimama tena mama anamshtumu Makonda hata haeleweki huyo Mama kwa kweli haeleweki tabu tupu
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
Mbona spika ukitukosea wananchi 3:16 hatusemi n makosa ya nidhamu kwa wananchi!!
@DevothaLighton-dl6zi3 ай бұрын
Hapo sasa nimeanza kukusikiliza angalau
@TitoRufizi-xb2ub3 ай бұрын
CCM majizi tu hadi kichefuchefu yanalindana hivi nyie viongozi munatuona wantanzania kama matahila,Mungu anawaona mtang'oka tu hamtatawala milele munazidi kuifilisi nchi
@christiankaguo43113 ай бұрын
Lazima sisi Watanzania turudi kusimamia ukweli .
@TinaZimba3 ай бұрын
Spika ndo nani Katika nchi hii naye ni mwizi kama bashe a takuja tu mbeya tutamwuliza vizuri
@mndambokilavo25023 ай бұрын
Hivi kiwanda cha mkulazi kimeishia wapi
@Mosmwampa3 ай бұрын
Tanzania hii spika alikuwa Sitta tu
@CharlesMisungwi-f8t3 ай бұрын
Hii nchi kufuatilia viongozi lulu kwa wananchi nafaidakwanchi hii huenda ikakigarimu chamahicho munda simrefu maana kwanini Yahovyohovyo yaatamiwe naderikali? Wakati watu inje hukuwanatedeka.
@kaburi9203 ай бұрын
Hivi ni kweli hataki rushwa na ufisadi je aliposema kuleni kwa urefu wa kamba zenu alimaanisha nini hasa naomba kueleweshwa kama siyo kutumia nguvu ya madaraka katika kulihujumu taifa.
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Kaburi mama yuko kimaslahi zaidi hii ni chukua chako mapema siyo mfuatiliaji anarimotiwa soma vitabu vya dini vinasema toka lini mwanamke akawa nabii shekhe au Rais kwa Tanzania bado sanaaaa huyo Mama pia hajitambui Uongozi wake siyo wa kura ni wa katiba humo ndani kuna baadhi hawamtaki kabisq tena ni watu wa karibu nae
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Mama hatakiwi na wanataka watoto wao wawe Marais ungesikiliza vizuri Crip ya Mkuu wa Majeshi kipindi cha kufa Rais Magufuli hapo ungejua jiulize kwanini kila aafari anakwenda na Kikwete kuna siri sirini
@margarethpolepole74383 ай бұрын
Sisi Wanawake tumetoka kwenye ubavu wa mwanamme hata tufanye nini tutabaki hivyo tuna sehemu wa mama na Wababa wana sehemu yao tukubali tusikubali pia ana washauri wakumuangamiza siyo mfuatiliaji
@MalandoJilala3 ай бұрын
Speaker atoe maamuz sahihi juu ya huo ushahid na kama mpina amekosea kwenda kwenye vyombo vya habar na penyewe kuna sehem yake!
@EzekiaMtwale3 ай бұрын
Kiuhalisia mpina hajakosea na ndo sababu wanamsakama kosa lake ni kuonesha uovu na ubadhirifu wa viongoz?!
@Hussenskinyangaa3 ай бұрын
Wakimfungia kuendelea na vikawo tunaandamana,
@abubakarimburu90963 ай бұрын
Tatizo ni pale wasiokuwa raia halisi wa Tanzania wanapopigania kupata madaraka makubwa matokeo yake ndiyo. haya na tulishaonywa kuhusu hawa watu Wana mambo Yao nyuma ya pazia tutakuja juta