Tuliambiwa tutawatambua kwa matendo hakika wewe ni mtumishi wa Mungu umenifunza vingi sana wewe ndio unatumia 90% ya bundle langu
@jordanmashaka504 жыл бұрын
Ahimidiwe Mungu wa miungu kwa ujumbe huu madhubuti. Katika jina lake Yesu Kristo, amina.
@habaritv63644 жыл бұрын
Opuoyo Odhis Amen
@bettyforssell54454 жыл бұрын
Napenda na ninafuatilia mafundisho yako pastor. Mungu aendelee kukulinda na kukujaza Roho Mtakatifu ili uendelee kutuelimisha elimu ya kiroho
@selfaakinyi5124 жыл бұрын
Mbinu zote zimenishindikana nimejaribu ila bado. Eeh yesu naikabidhi kwako kuanzia leo Navua viatu kama musa na yeshua. Amen from Qatar.
@joyestherbagarura9544 жыл бұрын
Eh!!! This man of God is addictive!!! I have to listen to his preachings every day!!!! En i dont regret!!! I should start praying for Him Mungu aendelee kumpa neno la kutulisha!!!!♥♥♥
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Amen
@eutropiangido96844 жыл бұрын
I agree with you. Idea of praying for him seconded
@sanfanrioba2584 жыл бұрын
I love the way God has used you pastor, may God's blessing be with you always, hope to meet at jesus's feet.
@esternaftari45534 жыл бұрын
Amina mtumishi unanisaidia sana Mungu akuzidishie
@roselineombati6702 жыл бұрын
Amen and amen,hakika unanibariki neno hili limenipa faraja na funzo kwa changamoto ninazopitia,niombee mungu anisaidie kumwelewa
@maxlove26684 жыл бұрын
Amen,Mungu ni Mkuu
@watwegopnina64803 жыл бұрын
Amina na Amina, Mungu akubariki, ila maombi yako kwakweli nazidi kukumbea sana sana na familia yako. Amina
@eutropiangido96844 жыл бұрын
Assnte Mungu kwa ufunuo huu. Ni kweli ni kwa neema tu ya Yesu. Pastor kweli viatu tumeshindwa kuvivua. Mungu atusaidie. Ubarikiwe Pastor
@jamesmboga73254 жыл бұрын
let us give God a chance when we are empty, will fill us, change us and give direction.Thanks for a promising sermon .May the Lord bless you.
@queemwalongo93394 жыл бұрын
asante mchungaji kwa somo zuri sana , mimi sio msabato lakini nafwatilia sana mafundisho yako leo yamenitoa kwenye mzigo mkubwa sana ambao umenisumbua kwa muda mrefu sana MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi
@dianamhanila51874 жыл бұрын
Amen
@wiza23094 жыл бұрын
Bwana Yesu nami naungana na Mtumishi wako huyu Mbaga, kwa Neno uliloliweka ndani yake, namuombea Afya ya Roho na mwili, mtunze mkirimu na umpe tele Neema yako, asimame katika kweli yote, muondolee dhambi ya kujikinai ili adumu katika kweli, siku zote. Ninaponywa na kuimarishwa kila siku ninapomsikiliza kupitia channel hii ya Mahubiri TV. Asante kwa somo hili, nami Bwana ninavua viatu vyangu na niko tayari Bwana kukusikiliza, nisaidie Bwana, nifanye nini katika kuujenga mwili wa Kristo
@esthermajogoro61194 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor, Akutangulie sana. Naamini watu wengi watabarikiwa sana kupitia masomo na mahubiri haya.
@nyotamabanga88733 жыл бұрын
Amen
@upendobaina21712 жыл бұрын
Nabarikiwa sana namafundisho yako mch Mmbaga Mungu akutie nguvu
@florencenyaruri56952 жыл бұрын
I am blessed all the time I listen to your presentation. God is using you in a powerful way.
@zabrongermanus-co1jj8 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi uko vizur
@TommyLee-ib5pk4 жыл бұрын
Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe
@dianamhanila51874 жыл бұрын
Amen...
@rwesimbibicharles89942 жыл бұрын
Amen
@MildredShinali9 ай бұрын
Ubarikiwe kunitia moyo mtumishi wa mungu Kwa hakika ulitumwa kutuokoa sisi ili tuwe na imani Kwa yesu
@roseweeterkasikila94494 жыл бұрын
Heri tumbo lililokuzaa na ziwa ulilo nyonya,,, mahubiri na mafundisho yako hakika yamebadili maisha yangu ya kiroho,, Barikiwa
@MahubiriPrMmbaga4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe sana
@upendobaina21712 жыл бұрын
Heri wale walisikialo neno la Mungu na kutenda Yesu alisema
@janetkahada52064 жыл бұрын
Muchungaji una maneno ya makali ya kumuchomo shatani ndani ya maisha yetu. Ubarikiwa muchungaji
@Neema-wy4mh8 ай бұрын
Amen Amen pastor mungu akubariki ansante kwakuniondolea. Kujitwika mizingo mwenye we.
@daveondiek99263 жыл бұрын
Hallelujah!
@imangregory83924 жыл бұрын
namshukuru Mungu aliye juu toka nimekufaham nimekuwa najifunza mapya kila siku
@kwizeraelly92614 жыл бұрын
Amen!Mungu akubariki mch.David Mmbaga na familia yako.
@user-ew6tr5jk2o7 ай бұрын
Asante sana mutumishi wa Mungu umenigusa sana kwa maisha yangu balikiwa sana nakutasama kutoka Saudi Arabia ❤❤❤❤🎉
@stevenbenson14994 жыл бұрын
yani we pasta umebarikiwa zaidi na zaidi kwenye ufundishaji wa neno la MUNGU
@DavidKisuya5 ай бұрын
I love the sermon
@janejoseph90094 жыл бұрын
yaan hata kama nikiwa namawazo mengi ila pindi nisikilizapo mahubiri yako mm napona nasonga mbele na naamini huu mwaka lazm nitavuka mahali nilipo kwama kwa mda mrefu mm na familia yangu
@habaritv63644 жыл бұрын
Jane Joseph Mungu ni mwema sana
@dianamhanila51874 жыл бұрын
Amen
@judithnjalambaya24503 жыл бұрын
Asante baba nasikia amani moyoni mwangu kusikiliza mafundisho yako.Mungu azidi kukubariki baba tunapona
@HealthyLifeBasics4 жыл бұрын
nimejifunza mengi ubarikiwe Pr
@rahimajuma53063 жыл бұрын
Mungu akubariki ww na familia yako aifunulie neno kla wakati baraka zishuke juu yako na familia yako
@deborahmakokha54183 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mchungaji nimebarikiwa sana na hili neno
@JohnThadayo10 ай бұрын
Aminiamini nawaambia mtu yoyote akitaka kunifuata na ajikanye mwenyewe,nitakufuata daima e Mungu wangu niongoze niufukie uflume wako,Mchungaji unatubari kwa mahubiri yako
@racinecarine8183 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@marycheupe86134 жыл бұрын
Haki mtumishi mungu akulinde sikuzote cz ni kweli kabsa kama tutakua tunauliza kila kuchao tufanye nini wengi tungekua mbali sana
@habaritv63644 жыл бұрын
Mary Cheupe Amen
@marycheupe86134 жыл бұрын
@@habaritv6364 thanks
@maryotieno79103 жыл бұрын
Mahubiri imenigusa sana sana God bless you Pastor
@maliyadinas96454 жыл бұрын
Mungu Wangu niurumie Mimi mwenye kiso baba
@lucynyigana28018 ай бұрын
AMINAA!!
@janejoseph90094 жыл бұрын
Ee MUNGU endelea kumtunza huyu pastor maana amenijenga mm kukujua ww
@sunriseradiotz4 жыл бұрын
amina
@habaritv63644 жыл бұрын
Jane Joseph Ameeeeen
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amina
@latestfunnyvideo21873 жыл бұрын
Amina sana ubarikiwe
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMINA🙏.nimecheka,nikabarikiwa na nitaishia kisema asante sana kwa mahubiri yako mchungaji mmbaga;.mungu akubariki sana🙏
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Kabisaa mungu akusaidie umeongea kweli mkundi yameuwankanisaa
@ephrasienasifiwe33934 жыл бұрын
Asante sana Pastor 🙏
@user-os3vo4sm2n8 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@JelasMtima7 ай бұрын
Balikiwa
@rahimajuma53063 жыл бұрын
Kweli unanibariki kwa maombi yako yananifariji nnapokuwa na matatizo bwana akubariki uzidi kudumu katika neno hakika bwana ni mwema tumshangilie daima
@navokisembo4 жыл бұрын
Ameeen Barikiwa mtumishi wa Mungu
@user-em1bu1es4p8 ай бұрын
Amina, Amina,Amina.
@lreneauma17623 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana PR mmbanga kwa mafuso masuri sana 🙏🙏🙌
@mustaphagairo19364 жыл бұрын
Napenda sana kutazama mahubir yako
@yvonneamekakaombeniwimbomu83124 жыл бұрын
Amen Amen
@mirajiomary60374 жыл бұрын
Ahsante mungu kwamahubiri haya. Yamenijenga
@JosephinaBoni-ex8nd8 ай бұрын
ASANTE nimefurahi na nimepona na kupokea maarifa
@drchachamatiko74474 жыл бұрын
barikiwa sana pr kwa ujumbe huu
@magrethngasan61658 ай бұрын
Nimebarikiwa ajabu
@rehemakuyega99794 жыл бұрын
Pr.Mungu akubariki kwa mafundisho yenye kuleta hisia za kutuinua kiroho tunaoelemewa na matatizo .
@shigazuelias48964 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor mmbaga, mengi kwenye biblia nimeyajua kupitia wewe
@sammywanje26864 жыл бұрын
Bwana asifiwe...........Asanteni sana muhubiri TV kwa kutuletea NENO hili zuri linalo hubiriwa na mchungaji Mmbaga,,, niko Kenya na ningeomba kuzungumza na mchungaji,, je nifanyeje ili niweze kuongea na mchungaji?
@pawalupandisha13164 жыл бұрын
Mchungaji unazidi kunielimishaaa sana mungu akuongozeeee
@wilbertcharles91294 жыл бұрын
NIONGOZE EE YESU
@revocatuschinato81392 жыл бұрын
Pastor kwakwel leo ndo Yesu kajifunua kwangu
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Amen
@user-rg9ul7to8p9 ай бұрын
Naomba kuwasilia tafazari
@user-dy2yk8kd8l8 ай бұрын
Unasema kweri Muke akasilika chochotte hakiendeki
@kifacem82484 жыл бұрын
Amen and Amen 🙏🏾 Mungu akubariki mchungaji. Mrungu ni wedi🙏🏾
@dukeoyugi44673 жыл бұрын
Pray for me nipone
@scholarsticahmaluki93712 жыл бұрын
TV
@CadoStudio98985 ай бұрын
Naomba link ya group lenu la telegram
@wazainakigomaboy27244 жыл бұрын
Kuvua viatu ni utakatifu tu usipindishe kabisa
@tonnsimbasportsclub71684 жыл бұрын
Sio viatu vya miguuni ndugu kuwa makini
@wazainakigomaboy27244 жыл бұрын
@@tonnsimbasportsclub7168 unamaanisha roho inavaa viatu tafsri aliotoa ni ya uwongo tu basi
@tonnsimbasportsclub71684 жыл бұрын
@@wazainakigomaboy2724 elewa hivo unavoelewa
@drwinnie71454 жыл бұрын
WAZAINA tv maana halisi io ni ipi
@drwinnie71454 жыл бұрын
WAZAINA tv maana halisi io ni ipi
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen
@TommyLee-ib5pk4 жыл бұрын
Mimi sio msabato lakini tangu nimekufahamu haiwezi kupita siku bila kusikiliza Mungu anataka kunifundisha kitu gani kupitia wewe
@jordanmashaka504 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu uendelee kujifunza na kumfahamu yeye.