Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
@kwisa4899Ай бұрын
wazo zuri sana
@kiatuАй бұрын
Ustaarabu kwetu ni changamoto
@vt-kn6qfАй бұрын
Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please
@zobakazizi7637Ай бұрын
Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.
@starjay3052Ай бұрын
😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka
@starjay3052Ай бұрын
unataka vitu vizuli kwani upo uraya
@jabirikilagilile9799Ай бұрын
Sanaaaa
@fadhilisecha4268Ай бұрын
kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤
@rahmaomary5134Ай бұрын
Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne
@sundaystanley5322Ай бұрын
@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu
@deven.oauditx7547Ай бұрын
@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.
@herodiduma9906Ай бұрын
Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH
@user-fl3fb5gh6bАй бұрын
Rip jpm
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....
@kwisa4899Ай бұрын
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
@beaugosseadam6831Ай бұрын
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
@kwisa4899Ай бұрын
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
@atkentravelafrica4361Ай бұрын
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@kwisa4899Ай бұрын
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
@selemankishema5780Ай бұрын
Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂
@kwisa4899Ай бұрын
Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway
@iddrashid7054Ай бұрын
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
@HABIBHASSAN-wf5mrАй бұрын
Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI
@alexifunya7548Ай бұрын
Twende na wakati tukate tiketi online
@rashdiyange7758Ай бұрын
Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏
@MashakaMagesaАй бұрын
Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm
@jumaibrahimu1341Ай бұрын
Tujitahd folen zisiwepo kama Air port kazi nzuri
@kanchanananayakkara8959Ай бұрын
Such a beautiful train❤
@fredyjunior6961Ай бұрын
SAFI SANA. NCHI INAPAA
@ambokilemussa3518Ай бұрын
mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!
@ambokilemussa3518Ай бұрын
sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢
@Kim19onlinetvАй бұрын
Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?
@user-pi8ln3fe3nАй бұрын
ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida
@IkoUwasi-it6qyАй бұрын
sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi
@mcback4384Ай бұрын
Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA
@bongohackssАй бұрын
Thanks to Magufuli, RIP dady
@majatamsafiri5Ай бұрын
Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora
@FredyVincent951753852456Ай бұрын
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
@ernestsinje9700Ай бұрын
Kwa kweli ni Hatua
@bonaventuralupogo2149Ай бұрын
Online website haifanyi kazi
@shaban6644Ай бұрын
Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.
@kisutabora5914Ай бұрын
@@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email
@mcback4384Ай бұрын
@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
@kisutabora5914Ай бұрын
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
@Kabwela776Ай бұрын
Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu
@magorymara5515Ай бұрын
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
@MashakaMagesaАй бұрын
Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm
@allymganga3223Ай бұрын
Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Mifumobya card vipi hongereni
@joevang4685Ай бұрын
r.i.p jpm
@tanzcanmediatv4473Ай бұрын
Rip magu dah
@mahamudumbaruku5237Ай бұрын
Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.
@kisutabora5914Ай бұрын
Siti la watu 3, linasimama kila kituo
@mwajumabandula6122Ай бұрын
Sasa km huna NIDA huendi 😢😢
@alfredmhana235Ай бұрын
Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.
@tezuramziray8700Ай бұрын
Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje
@HildaMwakalebera9 күн бұрын
Kama sina nida je kwa siwezi panda
@user-ze6lx9ng6sАй бұрын
Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM
@exaverysimon1064Ай бұрын
SAF SANA ...... MITANO TENA
@Japanese-lz1orАй бұрын
Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa
@filamupictures9349Ай бұрын
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@salumalriyamyАй бұрын
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@mcback4384Ай бұрын
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
@ahmedronga7583Ай бұрын
Km huna nida uwezi safir?
@user-fb5tj5zy4zАй бұрын
Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini
@rashidmsuya5721Ай бұрын
Si ndo ilo uchumi
@samsonmweta5040Ай бұрын
Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂
@sunguraally2456Ай бұрын
Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?
@HassaniMzeeАй бұрын
Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni
@nsajimwasege68Ай бұрын
NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?
@nicolausminja689Ай бұрын
🤔TRC kumenoga!
@jerryjohn8030Ай бұрын
Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂
@mcback4384Ай бұрын
Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia
@shedrackmutalemwa7310Ай бұрын
Mtandaoni unakataje ticket
@karyori69Ай бұрын
Mbona online booking hamna nyie vp?
@kisutabora5914Ай бұрын
Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz
@godlistenmnkeni2454Ай бұрын
Online booking ipo
@straitnews3441Ай бұрын
Kwa ticket online zipo au hazipo
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi
@iathumaniАй бұрын
Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
@iddrashid7054Ай бұрын
Usafiri uwe 24hrs
@kwisa4899Ай бұрын
Hakuna kitu kama hicho Duniani
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?