SIMBA SC 3-3 YANGA SC | KUMBUKUMBU ZA WATANI WA JADI, 20/10/2013

  Рет қаралды 1,507,467

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 157
@chiefupdates3178
@chiefupdates3178 Жыл бұрын
Kama umerudi kuangalia baada ya miaka kumi gonga like 2013 now 2023
@HappyDominoes-jf1ji
@HappyDominoes-jf1ji 7 ай бұрын
Mmemuona semaji lakn like nyingi kwake ❤🎉
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
SIMBA baba Lao 👊 🇹🇿 Kitambo kdogo hyo 2013 SIMBA on fire 🔥
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 5 жыл бұрын
hapa ndio utajua maana ya simba like nyingi kwa chama hili kubwa
@ngassa1tv331
@ngassa1tv331 3 жыл бұрын
huu ndio utani wa jad safi sana japo mi yanga mlijitahid sanaa watan zangu simba
@AshaJuma-pw7yx
@AshaJuma-pw7yx 4 ай бұрын
Wa mwanzo ni mkubwa tu Ubaya Ubwela🦁
@luganostewart8320
@luganostewart8320 5 жыл бұрын
Hii mechi naikumbuka vzr sana na itabakia kuwa kumbukumbu ktk maisha yangu!!!!!!!!!! THIS IS.....................................
@raiyanramadhani1900
@raiyanramadhani1900 5 жыл бұрын
Simba vs yanga
@patricessentongo6899
@patricessentongo6899 4 жыл бұрын
Yanga ilizingua sanaa
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 5 жыл бұрын
Sijawahi tena kutamani kuangalia Mechi yeyote baada ya kushuhudia upuuzi ule, it was one of the saddest day in my life ever.
@josephstima5434
@josephstima5434 4 жыл бұрын
Kuliko zile tano bin sufuri?
@faridamtuka1896
@faridamtuka1896 4 жыл бұрын
@@josephstima5434 🤣🤣🤣🤣
@Noooonat-o5s
@Noooonat-o5s Жыл бұрын
Vipi 5-0
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 5 ай бұрын
​​@@josephstima5434bora kufungwa 5-0 kuliko kuongoza 3-0 second half then half-time zisawazishwe zote inauma
@VicentMkude
@VicentMkude 3 ай бұрын
I'm watching 2024
@fatmahussein6085
@fatmahussein6085 Жыл бұрын
Uyu kumbe alikuaa Mtangazaji zaman😃😃
@abrahamkibona7458
@abrahamkibona7458 4 жыл бұрын
Tangu enzi hizo mashabiki wa Simba ni wengi tu
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 5 ай бұрын
Wakati huo semaji la Caf na Fifa nilikuwa sijui kama ni mnyama
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 8 ай бұрын
Hii mechi nilikuwepo uwanjani na ngasa alikuwa anatuliza mpira na makalio lol😂😂😂#SIMBA nguvu moja
@nickone8585
@nickone8585 2 жыл бұрын
Hii kabla ya Tanzania kumshuhudia Chama 😎
@magigesabai8674
@magigesabai8674 Жыл бұрын
Nakumbuka hii mechi nikiwa kidato cha Nne Mahina secondary Mwanza
@kilingechasimulizi2072
@kilingechasimulizi2072 Жыл бұрын
Nilikuwa jkt... kipind kile..nachingwea apo..sitasahau io comeback..nadhani ndio comeback ya kibabe kwa simba na yanga
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 жыл бұрын
Hapa ndo watu walizirai na kuzimia kwa pamoja🤣 Yanga walilia Sana
@Foxytzdjmnyama7939
@Foxytzdjmnyama7939 8 ай бұрын
Hatari sana Simba tamu
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 5 жыл бұрын
Hakuna km timu ya Simba bongoo hiu Ina history Kali sn
@ronaldosungura227
@ronaldosungura227 3 жыл бұрын
Xxxxxx
@ronaldosungura227
@ronaldosungura227 3 жыл бұрын
Xxxxx
@isunga1964
@isunga1964 5 жыл бұрын
😆😆😆😆 kweli simba raha sana jamni mpaka mwili umenisisimka sipati picha tarehe 4
@isunga1964
@isunga1964 5 жыл бұрын
@@saidimkange7913 😆😆😆la mama yako yupi mimi au yeye golikeper maana sijakuelewa mpendwa
@kipelelempya6187
@kipelelempya6187 5 жыл бұрын
Isunga 1 acha tu iyo sku
@jurmainezaidi739
@jurmainezaidi739 5 жыл бұрын
Namkumbuka didier kavumbagu.....kitambo yanga ila hela😂😂😂 Saivi kushnei babujii
@erickelia9826
@erickelia9826 3 жыл бұрын
Mechi ya kwanza ya watani wa jadi kitambo sana piga kelelee kwa watani wakeeeeee 🇹🇿🤝👊
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Inanikumbusha Liverpool v AC Milan 2005 ucl final
@abdulomary1830
@abdulomary1830 5 жыл бұрын
R I P Abel Dhaira golkpa wetu simba ii mechi
@zaynasri1831
@zaynasri1831 5 жыл бұрын
Simba rahaa akyamung,asnt baba angu kwa kunifanya niwe simba
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 2 жыл бұрын
Kipa wa Yanga Kaseja ilikuwa lazima zirudi tu😂😂😂
@Aaron-nu7dv
@Aaron-nu7dv 5 ай бұрын
ALIKUWA BATRHEZ WE HUJUI MPIRA KAA KIMYA
@oswardphilimoni7793
@oswardphilimoni7793 4 жыл бұрын
Ahaaaaaaaaa iii ilikuwa yanga kwel
@Mr_him_by_nature
@Mr_him_by_nature Жыл бұрын
Memory
@patrickjohn7614
@patrickjohn7614 3 жыл бұрын
What a gamee🔥🔥🔥
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 5 жыл бұрын
Hii mechi nlikuwa uwanjani 1st half tushapigwa 3 lakin cha ajabu sikutaka kuondoka moyo ulikuwa unaniambia tu bado kuna hope we tulia na wakat huo mashabiki wengi wa simba walishaanza kuondoka na rafki yang nlieenda nae alivua jezi na kuitupa kwa aibu ila kipind cha pilu goli zote zilirudi na rafk yang akaingia gharama ya kununua jezi ingine bila kupenda 😂😂😂
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
hahahahaha! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua😂
@lutherpaul6234
@lutherpaul6234 5 жыл бұрын
Hii mechi niliondoka uwanjani halftime nipo njiani veternal naskia watu wanashangilia nikajua la 4 nipo tazara namuona mtu wa simba anashangilia nakalibia home nikawasha radio nakutana na header ile gooooooooo 3-3 tatu tatu wasikilizaji nusu niingize gari mferejini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mirajimam9684
@mirajimam9684 4 жыл бұрын
Nimecheka sana😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
@samstive665
@samstive665 2 жыл бұрын
Daaaah we jamaaaa umenifanya nicheke 😂😂😂😂🙌
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
hahahahaha! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua😂
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@charlesmassatu823
@charlesmassatu823 3 ай бұрын
😂😂😂😂 pole
@nichorausrichard2347
@nichorausrichard2347 5 жыл бұрын
Nakwambia hii mech ilinchanganya kipnd cha kwanza tushapgwa 3
@kaisarimkuu4719
@kaisarimkuu4719 5 жыл бұрын
Kilichobaki sasa ni kupost kumbukumbu tu, maake WANANCHI wanaendelea kutudhihirislhia ubora wa mpira hauamuliwi na mtu mmoja akiwa na mke wake kitandani usiku. Wapiga debe kimya sasa. Yanga ni nembo ya taifa kwa kweli.
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 жыл бұрын
Dah bado nawaza sijuia tarehe nne nitaangaliya wapi mimi sisi ambao tuko nnje tunategemea App ya azam lakini kwasasa haifanyi 😢😢😢 dah i
@mosesdeogratius6482
@mosesdeogratius6482 3 жыл бұрын
Na ikumbukwe hii ilikuwa Simba B na pia simba haikuwa na mkwanja km Yanga wakati huo
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 3 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
@neemamwaimu3217
@neemamwaimu3217 3 жыл бұрын
Hahaha sitakuja kuisahau hii mechi niliumia sana kipind cha kwanza nikajua basi tumepoteza ila simba kweli baba Lao na kama tungeongoza dk 5 yanga tungewafunga 4
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 5 жыл бұрын
Simba pekee huwa inasawazisha
@tumainimapesa6870
@tumainimapesa6870 5 жыл бұрын
Hii ndiyo came back ya bongo kali kuliko zote
@gidionjuma9745
@gidionjuma9745 3 жыл бұрын
Simba raha
@francismollel8304
@francismollel8304 5 жыл бұрын
kwann mnaleta mech za siku nyingi
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 Жыл бұрын
Ahmed all kabla hujawa kolo😢😢😢
@chandempandangindo7704
@chandempandangindo7704 4 жыл бұрын
Nan atakumbuka mech yakwanza ya wtan wajad iyooneshwa na azamtv ilikuwa tareh ngap
@geofreyngaga5330
@geofreyngaga5330 4 жыл бұрын
Hii mechi sitaisahau ilimuua mzee mmoja jirani yangu, mama ni simba na mzee ni yanga. Mzee alishangilia sana yanga iliposhinda lkn magoli yaliporudi mama alishangilia kwa mbwembwe zoooote kumbe mzee wa watu presha ikamkamata akafa simple like that. Mtaa ukagubikwa na uzuni fasta.
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Ohoooooooo! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua!
@manenokiluwa988
@manenokiluwa988 4 жыл бұрын
GREEN STARS FOR QUALITY HEALTH INAWALETEA VIPIND VYA AFYA DARASA KUPITIA KZbin CHANEL. USIKOSE KUFUATILIA
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 4 жыл бұрын
bado naicheki hii mechi kama mshabiki wa simba niliumia mwanzo, mwisho ikawa furaha
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 жыл бұрын
😃😃😃Kutangulia mbel si kufika haha simba nyoko walisawazisha
@gkplexus2855
@gkplexus2855 5 жыл бұрын
Pasuaa kichwaa simbaa babaa laoo
@ladslausshedrack9842
@ladslausshedrack9842 5 жыл бұрын
Kama arsenal Jana katangulia kufunga then kafungwa yeye ndo sawa na Hawa Gongo wazi fc
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 жыл бұрын
@@ladslausshedrack9842 🤣🤣🤣🤣
@mazikumalingumujumanne3421
@mazikumalingumujumanne3421 4 жыл бұрын
Khadija khadija mambo
@tack-tv
@tack-tv 2 жыл бұрын
Kutetema hakujaanza leo
@bujiiclassic1964
@bujiiclassic1964 5 жыл бұрын
Simba NGUVU moja
@SikudhaniAdamu
@SikudhaniAdamu 5 ай бұрын
Mie mpaka machozi yamenitoka jmn 😂😂😂
@EzbonGodwin-be7lp
@EzbonGodwin-be7lp 5 ай бұрын
😀😀😀ngoja nireply kwako.maana naona six hours ago
@amosikinyambari4068
@amosikinyambari4068 5 жыл бұрын
Nyimbo za 2020
@ntandumarcel6490
@ntandumarcel6490 3 жыл бұрын
Simba inatisha👹👹👹👹🕵️‍♀️
@chandempandangindo7704
@chandempandangindo7704 4 жыл бұрын
kwa maisha haya ya awamu ya tano yako kaso sana
@nehemiahmtindya2443
@nehemiahmtindya2443 3 жыл бұрын
Love this
@nassirmangole6452
@nassirmangole6452 3 жыл бұрын
To
@ericksamwel3721
@ericksamwel3721 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@emanueljosphart4626
@emanueljosphart4626 Жыл бұрын
Kama hapa yanga walishindwa kurudisha zile tano ndo haitatokea tena
@ShabaniNgumbo-yi9lw
@ShabaniNgumbo-yi9lw 7 ай бұрын
Umeludisha msimu uuu jeee umeona
@mbwizax87
@mbwizax87 5 ай бұрын
@@ShabaniNgumbo-yi9lwsio 5-0
@BenMula255
@BenMula255 5 жыл бұрын
Watu wa simba hatu ogopi Yanga ila tu yule jamaa anae Rusha mpila mpaka ndan ya kumi18
@stanslausndawi8757
@stanslausndawi8757 3 жыл бұрын
Ndawi
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 5 жыл бұрын
Eti MUNGU akikuandikia amekuandikia😂😂😂😂😂,FLORIAN KAIJAGE ww ni...YNWA
@sabrahomary4567
@sabrahomary4567 4 жыл бұрын
Nice
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 3 жыл бұрын
Simba ni simba tu
@witnesskihaga2241
@witnesskihaga2241 4 жыл бұрын
Kumbe yanga wanadharau hiv duuu
@jailoschilewa4941
@jailoschilewa4941 4 жыл бұрын
Mtangazaji aache kutangaza kwa ushabiki.
@kingcole60
@kingcole60 Жыл бұрын
🦁🦁🦁
@sefumgondasefumgonda4799
@sefumgondasefumgonda4799 2 жыл бұрын
Kitenge
@omaryurassa3558
@omaryurassa3558 3 жыл бұрын
Simba ni shida
@justingodfrey8282
@justingodfrey8282 3 жыл бұрын
Yanga walijua watafunfa tano
@witnesskihaga2241
@witnesskihaga2241 4 жыл бұрын
Simba baba laoooo
@sammwasomola953
@sammwasomola953 5 жыл бұрын
Hii haikua mitangazaji kabisa hasa huyo kaijage ndio mavi kabisa magoli ya simba hayakutangazwa kuamsha amsha
@aronpaul2904
@aronpaul2904 4 жыл бұрын
iviii nyieee utopolo mnashida gaaan mnyam huw anaga masikhara😂😂😂😂😂😂
@miskyabdi3869
@miskyabdi3869 2 жыл бұрын
Hapa makolo walicheza kama watoto
@KenesFedrick
@KenesFedrick 7 ай бұрын
Wadudu
@patrickmkude9985
@patrickmkude9985 4 жыл бұрын
Hii ndio Derby halisi
@dionisjoseph5604
@dionisjoseph5604 5 жыл бұрын
Azam kama walijua kuweka hiii video...maana duuh leo yamegeukaa
@RodrygoGeneration
@RodrygoGeneration Ай бұрын
Ahmed ali😂
@ahmedbalouch922
@ahmedbalouch922 3 жыл бұрын
Hapo ndio ujue kua Utopolo hamna kitu
@storytime1204
@storytime1204 11 ай бұрын
😂😂Hatari hii
@jandaboytzzjandaboytzz7648
@jandaboytzzjandaboytzz7648 5 жыл бұрын
Nomaaa
@barakapaul6685
@barakapaul6685 4 жыл бұрын
Vyura wqlizima sanaaa siku hyo
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 7 ай бұрын
Cholo yukowapi sikuiziii
@rosekihanga2615
@rosekihanga2615 4 жыл бұрын
Hii mech sitaisahau kamwe
@heshimukajembe1164
@heshimukajembe1164 3 жыл бұрын
Ali kuna
@nasibshabani7740
@nasibshabani7740 11 ай бұрын
Ahmed ally
@charlesmasila1758
@charlesmasila1758 4 жыл бұрын
Silva raha
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
Aisee ilikua hatali saana yan hatali ya hali ya juuu
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 жыл бұрын
HataRi sio hatali
@mstafamusa9445
@mstafamusa9445 4 жыл бұрын
3 3 haitasahulika kwa simb vs yang
@justinafred7918
@justinafred7918 3 жыл бұрын
Duu hii ndio yenyewe
@emanuelemanuel4399
@emanuelemanuel4399 3 жыл бұрын
Yaga na dodomajiji
@ombenemanueli1528
@ombenemanueli1528 2 жыл бұрын
🤜🤛
@erickjastine1439
@erickjastine1439 5 жыл бұрын
alafu leo wanashangilia kurudisha mbili 😂
@mariamabeid4005
@mariamabeid4005 5 жыл бұрын
Ndio zilizofungwa,we ulitaka washangilie ngapi?we ulishangilia walivyorudisha 3 ndio zilikuwa zimefungwa
@selemanally126
@selemanally126 3 жыл бұрын
Noumaaaaa
@shabiruney-rr1lc
@shabiruney-rr1lc 8 ай бұрын
Semaji😂
@allymkangara5695
@allymkangara5695 4 жыл бұрын
Hii ilikua hatari
@nashysamwel4099
@nashysamwel4099 4 жыл бұрын
Utopolo hawatokaa wasahau hii mechi
@benedictorichard8620
@benedictorichard8620 4 жыл бұрын
Mwanakangwa
@j4khamis384
@j4khamis384 4 жыл бұрын
Lin up simba yanga 2013
@godfreymsanga1271
@godfreymsanga1271 4 жыл бұрын
Usajil simba
@paulomartin2363
@paulomartin2363 4 жыл бұрын
Emanuel okwi
@halidmaunga9150
@halidmaunga9150 2 жыл бұрын
You wewe furaha lakini unajua kuwa hukurudisha kwa kuizidi kimchezo yanga ila umepewa magoli na kipa wako ndio maana amepotea mpaka leo kwa mapenzi yake
@mwayamughwai6875
@mwayamughwai6875 5 жыл бұрын
Ssfi sana Simba
@talibukhamis7074
@talibukhamis7074 3 жыл бұрын
Ya😴😴😌😌😌😌😌😓😒😎😍😍😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@richardmwalabu2441
@richardmwalabu2441 3 жыл бұрын
Mushikemshikeleo
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
Simba 4-1 Yanga | Magoli yote, nusu fainali ASFC
7:55
Azam TV
Рет қаралды 2,4 МЛН
Angalia jinsi Simba na Yanga walivyotoana jasho kupata 2-2
41:57
Azam TV
Рет қаралды 3,5 МЛН
Azam FC 2-3 Simba SC - Highlights
21:40
Azam TV
Рет қаралды 980 М.
Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
6:24
Azam TV
Рет қаралды 11 МЛН