Kama umerudi kuangalia baada ya miaka kumi gonga like 2013 now 2023
@HappyDominoes-jf1ji7 ай бұрын
Mmemuona semaji lakn like nyingi kwake ❤🎉
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
SIMBA baba Lao 👊 🇹🇿 Kitambo kdogo hyo 2013 SIMBA on fire 🔥
@Emedroadtocanada5 жыл бұрын
hapa ndio utajua maana ya simba like nyingi kwa chama hili kubwa
@ngassa1tv3313 жыл бұрын
huu ndio utani wa jad safi sana japo mi yanga mlijitahid sanaa watan zangu simba
@AshaJuma-pw7yx4 ай бұрын
Wa mwanzo ni mkubwa tu Ubaya Ubwela🦁
@luganostewart83205 жыл бұрын
Hii mechi naikumbuka vzr sana na itabakia kuwa kumbukumbu ktk maisha yangu!!!!!!!!!! THIS IS.....................................
@raiyanramadhani19005 жыл бұрын
Simba vs yanga
@patricessentongo68994 жыл бұрын
Yanga ilizingua sanaa
@geraldbenjamin93025 жыл бұрын
Sijawahi tena kutamani kuangalia Mechi yeyote baada ya kushuhudia upuuzi ule, it was one of the saddest day in my life ever.
@josephstima54344 жыл бұрын
Kuliko zile tano bin sufuri?
@faridamtuka18964 жыл бұрын
@@josephstima5434 🤣🤣🤣🤣
@Noooonat-o5s Жыл бұрын
Vipi 5-0
@ramadhanmahongole92935 ай бұрын
@@josephstima5434bora kufungwa 5-0 kuliko kuongoza 3-0 second half then half-time zisawazishwe zote inauma
@VicentMkude3 ай бұрын
I'm watching 2024
@fatmahussein6085 Жыл бұрын
Uyu kumbe alikuaa Mtangazaji zaman😃😃
@abrahamkibona74584 жыл бұрын
Tangu enzi hizo mashabiki wa Simba ni wengi tu
@ramadhanmahongole92935 ай бұрын
Wakati huo semaji la Caf na Fifa nilikuwa sijui kama ni mnyama
@mrliverpoolynwa76418 ай бұрын
Hii mechi nilikuwepo uwanjani na ngasa alikuwa anatuliza mpira na makalio lol😂😂😂#SIMBA nguvu moja
@nickone85852 жыл бұрын
Hii kabla ya Tanzania kumshuhudia Chama 😎
@magigesabai8674 Жыл бұрын
Nakumbuka hii mechi nikiwa kidato cha Nne Mahina secondary Mwanza
@kilingechasimulizi2072 Жыл бұрын
Nilikuwa jkt... kipind kile..nachingwea apo..sitasahau io comeback..nadhani ndio comeback ya kibabe kwa simba na yanga
@mathiaszakaria70525 жыл бұрын
Hapa ndo watu walizirai na kuzimia kwa pamoja🤣 Yanga walilia Sana
@Foxytzdjmnyama79398 ай бұрын
Hatari sana Simba tamu
@mzeewajambo82935 жыл бұрын
Hakuna km timu ya Simba bongoo hiu Ina history Kali sn
@ronaldosungura2273 жыл бұрын
Xxxxxx
@ronaldosungura2273 жыл бұрын
Xxxxx
@isunga19645 жыл бұрын
😆😆😆😆 kweli simba raha sana jamni mpaka mwili umenisisimka sipati picha tarehe 4
@isunga19645 жыл бұрын
@@saidimkange7913 😆😆😆la mama yako yupi mimi au yeye golikeper maana sijakuelewa mpendwa
@kipelelempya61875 жыл бұрын
Isunga 1 acha tu iyo sku
@jurmainezaidi7395 жыл бұрын
Namkumbuka didier kavumbagu.....kitambo yanga ila hela😂😂😂 Saivi kushnei babujii
@erickelia98263 жыл бұрын
Mechi ya kwanza ya watani wa jadi kitambo sana piga kelelee kwa watani wakeeeeee 🇹🇿🤝👊
@loner_wolf3 жыл бұрын
Inanikumbusha Liverpool v AC Milan 2005 ucl final
@abdulomary18305 жыл бұрын
R I P Abel Dhaira golkpa wetu simba ii mechi
@zaynasri18315 жыл бұрын
Simba rahaa akyamung,asnt baba angu kwa kunifanya niwe simba
@fredypastoryutd48642 жыл бұрын
Kipa wa Yanga Kaseja ilikuwa lazima zirudi tu😂😂😂
@Aaron-nu7dv5 ай бұрын
ALIKUWA BATRHEZ WE HUJUI MPIRA KAA KIMYA
@oswardphilimoni77934 жыл бұрын
Ahaaaaaaaaa iii ilikuwa yanga kwel
@Mr_him_by_nature Жыл бұрын
Memory
@patrickjohn76143 жыл бұрын
What a gamee🔥🔥🔥
@fazeelshomary87435 жыл бұрын
Hii mechi nlikuwa uwanjani 1st half tushapigwa 3 lakin cha ajabu sikutaka kuondoka moyo ulikuwa unaniambia tu bado kuna hope we tulia na wakat huo mashabiki wengi wa simba walishaanza kuondoka na rafki yang nlieenda nae alivua jezi na kuitupa kwa aibu ila kipind cha pilu goli zote zilirudi na rafk yang akaingia gharama ya kununua jezi ingine bila kupenda 😂😂😂
@chrissg4026 Жыл бұрын
hahahahaha! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua😂
@lutherpaul62345 жыл бұрын
Hii mechi niliondoka uwanjani halftime nipo njiani veternal naskia watu wanashangilia nikajua la 4 nipo tazara namuona mtu wa simba anashangilia nakalibia home nikawasha radio nakutana na header ile gooooooooo 3-3 tatu tatu wasikilizaji nusu niingize gari mferejini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mirajimam96844 жыл бұрын
Nimecheka sana😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
@samstive6652 жыл бұрын
Daaaah we jamaaaa umenifanya nicheke 😂😂😂😂🙌
@chrissg4026 Жыл бұрын
hahahahaha! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua😂
@chrissg4026 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@charlesmassatu8233 ай бұрын
😂😂😂😂 pole
@nichorausrichard23475 жыл бұрын
Nakwambia hii mech ilinchanganya kipnd cha kwanza tushapgwa 3
@kaisarimkuu47195 жыл бұрын
Kilichobaki sasa ni kupost kumbukumbu tu, maake WANANCHI wanaendelea kutudhihirislhia ubora wa mpira hauamuliwi na mtu mmoja akiwa na mke wake kitandani usiku. Wapiga debe kimya sasa. Yanga ni nembo ya taifa kwa kweli.
@kacherosimba57625 жыл бұрын
Dah bado nawaza sijuia tarehe nne nitaangaliya wapi mimi sisi ambao tuko nnje tunategemea App ya azam lakini kwasasa haifanyi 😢😢😢 dah i
@mosesdeogratius64823 жыл бұрын
Na ikumbukwe hii ilikuwa Simba B na pia simba haikuwa na mkwanja km Yanga wakati huo
@muhammadkipangatv26743 жыл бұрын
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
@neemamwaimu32173 жыл бұрын
Hahaha sitakuja kuisahau hii mechi niliumia sana kipind cha kwanza nikajua basi tumepoteza ila simba kweli baba Lao na kama tungeongoza dk 5 yanga tungewafunga 4
@abrahamkibona70385 жыл бұрын
Simba pekee huwa inasawazisha
@tumainimapesa68705 жыл бұрын
Hii ndiyo came back ya bongo kali kuliko zote
@gidionjuma97453 жыл бұрын
Simba raha
@francismollel83045 жыл бұрын
kwann mnaleta mech za siku nyingi
@eliudmkumbwa5681 Жыл бұрын
Ahmed all kabla hujawa kolo😢😢😢
@chandempandangindo77044 жыл бұрын
Nan atakumbuka mech yakwanza ya wtan wajad iyooneshwa na azamtv ilikuwa tareh ngap
@geofreyngaga53304 жыл бұрын
Hii mechi sitaisahau ilimuua mzee mmoja jirani yangu, mama ni simba na mzee ni yanga. Mzee alishangilia sana yanga iliposhinda lkn magoli yaliporudi mama alishangilia kwa mbwembwe zoooote kumbe mzee wa watu presha ikamkamata akafa simple like that. Mtaa ukagubikwa na uzuni fasta.
@chrissg4026 Жыл бұрын
Ohoooooooo! Football ni mchezo wa ajabu sana! Usipojipanga unaweza ukakuua!
@manenokiluwa9884 жыл бұрын
GREEN STARS FOR QUALITY HEALTH INAWALETEA VIPIND VYA AFYA DARASA KUPITIA KZbin CHANEL. USIKOSE KUFUATILIA
@khadijamisayo74764 жыл бұрын
bado naicheki hii mechi kama mshabiki wa simba niliumia mwanzo, mwisho ikawa furaha
@khadijakhadija62125 жыл бұрын
😃😃😃Kutangulia mbel si kufika haha simba nyoko walisawazisha
@gkplexus28555 жыл бұрын
Pasuaa kichwaa simbaa babaa laoo
@ladslausshedrack98425 жыл бұрын
Kama arsenal Jana katangulia kufunga then kafungwa yeye ndo sawa na Hawa Gongo wazi fc
@khadijakhadija62125 жыл бұрын
@@ladslausshedrack9842 🤣🤣🤣🤣
@mazikumalingumujumanne34214 жыл бұрын
Khadija khadija mambo
@tack-tv2 жыл бұрын
Kutetema hakujaanza leo
@bujiiclassic19645 жыл бұрын
Simba NGUVU moja
@SikudhaniAdamu5 ай бұрын
Mie mpaka machozi yamenitoka jmn 😂😂😂
@EzbonGodwin-be7lp5 ай бұрын
😀😀😀ngoja nireply kwako.maana naona six hours ago
@amosikinyambari40685 жыл бұрын
Nyimbo za 2020
@ntandumarcel64903 жыл бұрын
Simba inatisha👹👹👹👹🕵️♀️
@chandempandangindo77044 жыл бұрын
kwa maisha haya ya awamu ya tano yako kaso sana
@nehemiahmtindya24433 жыл бұрын
Love this
@nassirmangole64523 жыл бұрын
To
@ericksamwel37214 жыл бұрын
Pamoja sana
@emanueljosphart4626 Жыл бұрын
Kama hapa yanga walishindwa kurudisha zile tano ndo haitatokea tena
@ShabaniNgumbo-yi9lw7 ай бұрын
Umeludisha msimu uuu jeee umeona
@mbwizax875 ай бұрын
@@ShabaniNgumbo-yi9lwsio 5-0
@BenMula2555 жыл бұрын
Watu wa simba hatu ogopi Yanga ila tu yule jamaa anae Rusha mpila mpaka ndan ya kumi18
@stanslausndawi87573 жыл бұрын
Ndawi
@mrliverpoolynwa76415 жыл бұрын
Eti MUNGU akikuandikia amekuandikia😂😂😂😂😂,FLORIAN KAIJAGE ww ni...YNWA
@sabrahomary45674 жыл бұрын
Nice
@Emedroadtocanada3 жыл бұрын
Simba ni simba tu
@witnesskihaga22414 жыл бұрын
Kumbe yanga wanadharau hiv duuu
@jailoschilewa49414 жыл бұрын
Mtangazaji aache kutangaza kwa ushabiki.
@kingcole60 Жыл бұрын
🦁🦁🦁
@sefumgondasefumgonda47992 жыл бұрын
Kitenge
@omaryurassa35583 жыл бұрын
Simba ni shida
@justingodfrey82823 жыл бұрын
Yanga walijua watafunfa tano
@witnesskihaga22414 жыл бұрын
Simba baba laoooo
@sammwasomola9535 жыл бұрын
Hii haikua mitangazaji kabisa hasa huyo kaijage ndio mavi kabisa magoli ya simba hayakutangazwa kuamsha amsha
Azam kama walijua kuweka hiii video...maana duuh leo yamegeukaa
@RodrygoGenerationАй бұрын
Ahmed ali😂
@ahmedbalouch9223 жыл бұрын
Hapo ndio ujue kua Utopolo hamna kitu
@storytime120411 ай бұрын
😂😂Hatari hii
@jandaboytzzjandaboytzz76485 жыл бұрын
Nomaaa
@barakapaul66854 жыл бұрын
Vyura wqlizima sanaaa siku hyo
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx7 ай бұрын
Cholo yukowapi sikuiziii
@rosekihanga26154 жыл бұрын
Hii mech sitaisahau kamwe
@heshimukajembe11643 жыл бұрын
Ali kuna
@nasibshabani774011 ай бұрын
Ahmed ally
@charlesmasila17584 жыл бұрын
Silva raha
@harunimfaume62805 жыл бұрын
Aisee ilikua hatali saana yan hatali ya hali ya juuu
@salimkhamis36385 жыл бұрын
HataRi sio hatali
@mstafamusa94454 жыл бұрын
3 3 haitasahulika kwa simb vs yang
@justinafred79183 жыл бұрын
Duu hii ndio yenyewe
@emanuelemanuel43993 жыл бұрын
Yaga na dodomajiji
@ombenemanueli15282 жыл бұрын
🤜🤛
@erickjastine14395 жыл бұрын
alafu leo wanashangilia kurudisha mbili 😂
@mariamabeid40055 жыл бұрын
Ndio zilizofungwa,we ulitaka washangilie ngapi?we ulishangilia walivyorudisha 3 ndio zilikuwa zimefungwa
@selemanally1263 жыл бұрын
Noumaaaaa
@shabiruney-rr1lc8 ай бұрын
Semaji😂
@allymkangara56954 жыл бұрын
Hii ilikua hatari
@nashysamwel40994 жыл бұрын
Utopolo hawatokaa wasahau hii mechi
@benedictorichard86204 жыл бұрын
Mwanakangwa
@j4khamis3844 жыл бұрын
Lin up simba yanga 2013
@godfreymsanga12714 жыл бұрын
Usajil simba
@paulomartin23634 жыл бұрын
Emanuel okwi
@halidmaunga91502 жыл бұрын
You wewe furaha lakini unajua kuwa hukurudisha kwa kuizidi kimchezo yanga ila umepewa magoli na kipa wako ndio maana amepotea mpaka leo kwa mapenzi yake