Mwamba Oen yani sifa ziende kwa mamayako mzazi kwa kutuletea chuma chenye sauti tamu ya kuvutia wengi Mungu akambariki mpaka ashangae japo simjui ❤Oen nakupenda sana bro 😋 nipe like yangu 😂
@AnnaMelikion4 ай бұрын
@@Hanifa-ue7uk Asante sana . Mimi ndie Mama Oen 🔥🤣
@Hanifa-ue7uk4 ай бұрын
@@AnnaMelikion sawa mamamkwe mm mwanao nampenda🤣🤣🤣🤣
@AnnaMelikion4 ай бұрын
@@Hanifa-ue7uk Apana .mwanangu ameshaoa na Tayar nnae mjukuu kutoka kwake 😂😂kuna mdg wake Labda km unataka
@Hanifa-ue7uk4 ай бұрын
@AnnaMelikion mm nampenda Oen na huyo mkewake pamoja na watoto wao kiufupi tutabanana humohumo hapo vp mamamkwe😂😂😂😂😂
@AnnaMelikion4 ай бұрын
@@Hanifa-ue7uk Nutakuroga Binti 🤣🤣🤣🤣 Achana na watoto Wangu
@ANKOZUBERI8814 ай бұрын
Ngoja niisikilize kwanza nitakoment baadae
@TeklaNdekeja4 ай бұрын
Nikwel simulizi inau.iza sana yan💔 ila tupe namwendelezo wa kiroba cheusi
@zenaathumani81444 ай бұрын
Wa 3🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@zenaathumani81444 ай бұрын
Ciao d'oen kiroba cheusi kimeishia wapi?😂😂😂😂
@zenaathumani81444 ай бұрын
Duuuh ni Moto moto kweli asante sana D'oen 😢😢😢
@hassansammy10764 ай бұрын
Leo nimekua wa 5 nime lala sana kweli msini sahau na mm kwa ✌️
@MshamShaa-v1v4 ай бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿sawa
@SaadaHassan-qw7vn4 ай бұрын
Nataman sumuliz za kichawi angesimulia felix
@mhabimina4023Ай бұрын
🔥🔥🔥💯
@AnnaMelikion4 ай бұрын
Alooooooh 👏🤸🤸 simulizi nizipendazo hizo za warozi 😂😂😂