No video

SIMULIZI YA KUSISIMUA: MAISHA YA UBAHARIA/ MIAKA 18 BAHARINI/TULIZAMA/ SOMALIA (S02EP05-PART 08)

  Рет қаралды 17,076

Dar24 Media

Dar24 Media

2 жыл бұрын

#dupamdupange #baharia #mbanga
Akifahamika kama Babu haji, mkazi wa Unguja anakumbuka matukio ya kutisha akiwa kama Baharia kwa zaidi ya miaka 18, akihudumu kwenye meli kubwa na kutembea mataifa mbalimbali ya kiarabu......
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 48
@theroots2743
@theroots2743 2 жыл бұрын
Kuna vijana wengi wa ki TANZANIA waliopata elimu ya vitendo kutoka mataifa mbali mbali lakini hapo nyumbani hawajapata kuthaminiwa
@aminaali792
@aminaali792 Жыл бұрын
Yaani huyu mzee akiuza hii story Hollywood atapata bonge la deal jamani hii ni stoy ya kuskitieha ya huyu mzee but ni bonge moja la movie kabisa 👌🏼❤️❤️
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 2 жыл бұрын
Babu haji kiboko yao sio mzee wa Makaveli ni uongo na ukweli ndani yake, ila Babu Khaji nimemkubali sana
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
Babu Hajji tuko life mpaka kieleweke 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mohamedallyrajabu8301
@mohamedallyrajabu8301 2 жыл бұрын
Huyu mtu sio wa kawaida serikali yetu hawathamini watu wenye skulls zao
@ibugharib389
@ibugharib389 2 жыл бұрын
Babu Haji tuko pamoja, Shukran unanifanya kazi yangu iwe nyepesi masaa yanaenda haraka haraka Tupe storry ndugu zangu WATANZANIA tujifunze toka kwake
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Mzee ndo baharia wa kweli visibitisho anavyo Masha"Allah
@mooking7913
@mooking7913 2 жыл бұрын
Big up yourself brother babu Haji your story is very inspirational to me and I wish you all the best from your fellow Tanzanian brother.
@johnmaniha8417
@johnmaniha8417 2 жыл бұрын
Simulizi safi sana
@salehkhamis3000
@salehkhamis3000 2 жыл бұрын
Wabongo wengi ndizo tabia zao mkiwa nje ukimpa kitu akuletee home hafikishi.
@noahkiptanuikurui7330
@noahkiptanuikurui7330 2 жыл бұрын
Tumengoja sana
@mikeraphael957
@mikeraphael957 2 жыл бұрын
Ipo siku nitarudi Tz niwape mikasa ya maisha yangu!! Naishi USA na yaliopita ni historia kwangu!
@khamisiramadhani3380
@khamisiramadhani3380 2 жыл бұрын
Adi uje uludi sio leo fanya kujirecord tupia ss tutakusikiliza
@dupamdupange5918
@dupamdupange5918 2 жыл бұрын
naomba namba zako wa whatsup tuwasiliane ili tujue namna ya kuwasiliana
@devmwalabu3193
@devmwalabu3193 2 жыл бұрын
Mzee namkubali kinoma noma
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 жыл бұрын
Naipenda hii story
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Tupo pa moja babu aji na brother apo sema Nini brother unachelewesha Sana kipidi kwakweli sema tunashukuru Sana kwakweli from Mayotte 🇾🇹 à France 🇨🇱🇾🇹🇾🇹💯🔥👊 it's me bocha ochu
@saidyabdillah6249
@saidyabdillah6249 2 жыл бұрын
Babu Haji Story amesharecordiwa yote sehemu ya kwanza TEAM DAR 24 wanairusha kila wiki vipande viwili au ki1 na huo ndio utaratibu....SEHEMU YA PILI ITAKUWA INAHUSU MAISHA ALIOISHI MAYOTTE
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Okay sawa saidi tunataka tuone apo Mayotte alishi aje Mimi Nipo apa
@saidyabdillah6249
@saidyabdillah6249 2 жыл бұрын
Yaani hii anayoitoa hv sasa kuanzia sehemu ya kwanza hadi hii ya 8 ni rasha rasha tu ya manyunyu lkn mvua yenyewe haswaa Brother Haji Omar ilimnyeshea Mayotte yaani Mayotte life lilimpiga na kumchakaza vibaya mnoooo yaani hyo ya Mayotte ni kali kuliko hii anayoisimulia hv sasa KAA MKAO WA KULA MZIGO UKO NJIANI UNAKUJA....ameishi Mayotte miaka mi4 anaijua Mayotte very well
@saidyabdillah6249
@saidyabdillah6249 2 жыл бұрын
Huyu Brother Haji mm ndio nimemkutanisha na Dupa, tupo wote huku ZANZIBAR na wote tupo ktk harakati za kibaharia
@rashidmohamed5724
@rashidmohamed5724 2 жыл бұрын
Pamoja brother Dupa
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Tulipe ya jumatano
@jaydenkariuki6595
@jaydenkariuki6595 2 жыл бұрын
Shukrani baba mkubwa
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 жыл бұрын
Babu hajiiii
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 2 жыл бұрын
Blessing bro jah bless 🙏
@selesaid8215
@selesaid8215 2 жыл бұрын
Tuko pamoja mwamba 💥
@mathew5133
@mathew5133 2 жыл бұрын
Nakubar mzee wa kuchechemua
@bakamuubakamuu1556
@bakamuubakamuu1556 2 жыл бұрын
Mbona j5 mjatuwekea shida nn
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Naleo
@meckcassius3983
@meckcassius3983 2 жыл бұрын
Ni mnoma sana babu haji
@lupacrisamayc518
@lupacrisamayc518 2 жыл бұрын
Ya juma 5 hujaweka
@ibrahimsamwel1804
@ibrahimsamwel1804 Жыл бұрын
Baharia wa kweli brother
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 2 жыл бұрын
Hio story ipo poa VIP ipo part 9
@mwinyijumasupportmytalent7698
@mwinyijumasupportmytalent7698 2 жыл бұрын
Sehemu ya 09 lini
@aminsalimali793
@aminsalimali793 2 жыл бұрын
Safi kabisaa🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@leitichjob985
@leitichjob985 2 жыл бұрын
Sehemu ya Tisa nangoja.(part 9).
@GIVEN994
@GIVEN994 2 жыл бұрын
Huyu mzeee noma sana aiseee
@treyvissy9854
@treyvissy9854 2 жыл бұрын
Mshaanza kuzingua !
@ibrahimabdallah4858
@ibrahimabdallah4858 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@ammaherman3391
@ammaherman3391 2 жыл бұрын
Mzee huyu angepewa fursa angesaidia sana. Kweli Tanzania bure kbs....!
@stevemathias2951
@stevemathias2951 2 жыл бұрын
Sehemu ya Tisa vipi
@saidyabdillah6249
@saidyabdillah6249 2 жыл бұрын
CHECHEMUAAAAA
@sportsbiotz
@sportsbiotz 2 жыл бұрын
Angalia baharia wazawa wakiokoa watu baada ya meli ya kigeni kuzama Gusa link hii apa chini kuangalia. 👇🏾. 👇🏾. 👇🏾. kzbin.info/www/bejne/o2m7ZqR8p9J0b8k
@Ahmedsaid-cu3kh
@Ahmedsaid-cu3kh 2 жыл бұрын
Babu haji ulipo nipo
@khalfanseif735
@khalfanseif735 2 жыл бұрын
Wewe unaeleza ubaharia au?
@sephassimiyu433
@sephassimiyu433 Жыл бұрын
Hii mazungumuso ni matamu sana
@GIVEN994
@GIVEN994 2 жыл бұрын
Paulbyser kacheka hahahah
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 26 МЛН
MANDOJO: 'HATUPEWI HESHIMA YETU TUKIWA HAI TUNAPEWA TUKIFA'
10:32
YAFAHAMU MENO BANDIA
4:11
Alexia Hospital
Рет қаралды 4,2 М.
"SISI TULITEKWA" ASKOFU MWANAMAPINDUZI AWAVAA POLICE WANAJIPENDEKEZA
7:45
MBAAZI zawaingizia Wakulima Tunduru bilioni 1.6
2:50
tunduru_dc
Рет қаралды 310
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН