PART TWO - MREMBO Tajiri mwenye Miaka 20 aliyeacha SHULE akiwa KIDATO cha Pili afunguka haya mazito

  Рет қаралды 72,173

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 193
@ethanethan4437
@ethanethan4437 4 жыл бұрын
Huyu Dada mungu ampe maisha marefu ameniinspire hata mm mtoto wa kiume more life to you
@samysamy2921
@samysamy2921 4 жыл бұрын
Niko na mshangao kwenye part one ya hi video watu wametoa hate coments part two naona love coments congrats girl wangap wanadanga tu na kwao pesa ipo it takes a strong soul to get it on ur own
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 4 жыл бұрын
Mbali na nia aliyokuwa nayo ila connection alikuwa nayo ya kuanzia ndio mana yupo hapo alipo. Mashaallaa mwenyezi mungu amuongezee
@trishtrish2349
@trishtrish2349 4 жыл бұрын
This girl is really focused , I wish many more young girls would borrow a leaf from her book instead of depending on sponsors for money.
@latifahjanja6679
@latifahjanja6679 4 жыл бұрын
Nafurahi sana nikiona wasichana wenzetu wanajitambua kama hv wanamaendeleo am so proud of u mungu akusimamie ufike mbali zaidi
@miss_kay7703
@miss_kay7703 4 жыл бұрын
She's my new inspiration God protect her
@therealbriannoel7389
@therealbriannoel7389 4 жыл бұрын
One can see how one is intelligent from juss how one speaks and make conversation..this lady is truly intelligent! Mungu aendelee kukusimamia🙏🏻
@Goals592
@Goals592 3 жыл бұрын
May Allah fulfill your dreams...am so excited to hear you looking after the orphans...always more and more blessing keep it up😎😎😎✌️
@happiewilly8425
@happiewilly8425 4 жыл бұрын
Wapo watoto wengi tu wa matajiri lakni hawana akili hizi..yan wazembe tena ndo wanafuja mali za wazazi..lkn huyu kaenda extra mile kuweza kujiamjni na kutumia mali za wazazi wake vizuri..hongera saana
@barakaulomi3052
@barakaulomi3052 4 жыл бұрын
cyo za wazazi wake,za kwake hakuna hata senti ya babaake hapo,kama umemsikiliza vzuri.
@mamunote3507
@mamunote3507 4 жыл бұрын
Mashallah Mashallah M.mungu Azidi kukubariki ziada nimependa sana huyu Bint ni MCHAPAKAZI
@khadijaoman4085
@khadijaoman4085 4 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu endelea kupambana maisha hayatabiriki kuna leo na kesho yetu hatuijui
@sultanabdullah1994
@sultanabdullah1994 4 жыл бұрын
,9¥
@SunnahSaid
@SunnahSaid 2 ай бұрын
Hongera kipenzi nimejifunza vingi kutoka kwako hongera sana .wapenzi tujifunze unapotaka kufanya kitu angalia mwisho wake na pia usipuuze mawazo ya mtu na lait anachozungumza huyu dada tungekua watanzania tunajiamini na pia kuwa na watu wanaotusikiliza ña kutusapoti basi tungekuwa mbali wengi sana
@fatmaadam8773
@fatmaadam8773 4 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah...TabaraqaAllah, Genius❤
@vero57
@vero57 4 жыл бұрын
SAFI SANA DADA, WANAWAKE TUJITUME SIO KUNGOJEA KUPEWA AU KUDANGA
@divinebernard2624
@divinebernard2624 4 жыл бұрын
Kabisa
@alimasigasaleh8659
@alimasigasaleh8659 4 жыл бұрын
Great inspiration. You have inspired many. You have sent me back to my talent.
@jacklinemichael1069
@jacklinemichael1069 4 жыл бұрын
Nimependa story yako,una roho nzuri that's why unafanikiwa nakuombea zaidi
@charlesdonkaswiza8916
@charlesdonkaswiza8916 4 жыл бұрын
Allah akupe hitaji la moyo dada keep it Up one love Pia umenifurahisha xana ulipo sema Hutaki RAFIKI wala huna shida na RAFIKI.god bless U.
@rahmamuhajir6854
@rahmamuhajir6854 4 жыл бұрын
Huyu mtoto ni genius
@ashakondo2809
@ashakondo2809 4 жыл бұрын
Anaakili sn uyu dada nimempenda bure❤
@ArarsoAli
@ArarsoAli 4 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah Masha Allah Masha Allah mungu aku ungee mkono dada baraka Allah
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 жыл бұрын
Allah akuongoze saana, japo upande wa ddini na stara pia muhimu
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 жыл бұрын
Kaahaaanza kuachia nywele nusu maakini
@aishaali7778
@aishaali7778 4 жыл бұрын
Masha Allah,God bless you. Congratulation sister
@fridaystartv9921
@fridaystartv9921 4 жыл бұрын
Hongera sana lkn umezikuta hela nyumbn ungekutana na sisi baba na mama shambani kulima ungesubiri kdg
@marinamooh4055
@marinamooh4055 4 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah Asbiallahu waneghmal wakel Allahu Barik bint 🤲🏿 Umeni inspire sana MashaAllah 😍😍😍♥️
@chricensiandimbo4091
@chricensiandimbo4091 4 жыл бұрын
Congratulations mamii....
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 4 жыл бұрын
Dada hongera sana kwa interview yako umeimsha nilikuwa nimell.Akieamshwa kama mm like hapa chini kama mm👇
@sakhiyamohammed8204
@sakhiyamohammed8204 4 жыл бұрын
MAY GOD BLESS U 💖🥰💕 keep it up...👍👍
@idarusimohammed629
@idarusimohammed629 4 жыл бұрын
Mashaa allah ila jitahidi kujifunga vizuri mtandio ili nywele zisionekane dada yetu
@feiz3180
@feiz3180 4 жыл бұрын
Na muomba Mwenyezi Mungu azidi kukufungulia milango ya kheri na mafanikio zaidi.
@sarahaminiel1955
@sarahaminiel1955 2 жыл бұрын
Hayo ndio matumizi sahihi ya akili timamuu, ,ee mwenyenzi Mungu tufungue na kututakasia fahamu zetu, ,imagine hiyo ni akili ya mtu wa fomu 2, ,degree holders mnaotembea na vyeti mikono juu mpate Toba
@aisha-ro5fr
@aisha-ro5fr 4 жыл бұрын
Watu msijifananishe n uyu muamala uliisha soma ndomaana akaacha shule kwao Ella ilikuepo n utajir akaona shule inampotezea muda
@aminahassanmashaallah8983
@aminahassanmashaallah8983 4 жыл бұрын
Haswaaaa
@ERIMINATSHINE
@ERIMINATSHINE 4 жыл бұрын
@@aminahassanmashaallah8983 kweli kabisa
@jokharymasoud7396
@jokharymasoud7396 4 жыл бұрын
Kweliii
@sharonezekiel7234
@sharonezekiel7234 4 жыл бұрын
Kwelii
@agnespeter6421
@agnespeter6421 4 жыл бұрын
Kabisa
@dianaanyova4026
@dianaanyova4026 4 жыл бұрын
Congratulations girl and blessings
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 4 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi ndugu yangu. Amin. Sasa jamaa... mjuwe hupati mafanikiyo bure bure lazima upambane kwenye maisha. Msione watu wana PESA wametoka mbali.
@fadhilahassan5055
@fadhilahassan5055 4 жыл бұрын
Hongera sana Allah akuongoze ufike mbali zaid
@glorykimambo33
@glorykimambo33 4 жыл бұрын
Mungu akusimamie dada nimekupenda nimependa mdimamo wako
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Safi sana binti,kiukweli huu ndiyo ujuzi sasa 💯👏👍🙏
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Acha shule wewe mtoto wa mkulima uone kama hutaishia kuokota chupa tupu. Huyu kwao hela alizaliwa nayo maendeleo yakurithishwa haya. Tusio na kitu tusome tu mpaka kieleweke.
@hassanmohammed9153
@hassanmohammed9153 3 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie inshallah
@veredianamagesa2953
@veredianamagesa2953 4 жыл бұрын
Mungu akisaindi dada uendelea kuwasaidia watu
@saidahamisi6404
@saidahamisi6404 3 жыл бұрын
MashaAllah jazzakallahu kher dada
@mariamomar8244
@mariamomar8244 3 жыл бұрын
Mashaa Allah amazing hardworking lady mabrook
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 4 жыл бұрын
Very smart girl!
@timothysixten176
@timothysixten176 4 ай бұрын
MIMI NAMPONGEZA MAASHAALLAAH NA NATAMANI KUPATA MKE KAMA YEYE..
@hijrafarid1593
@hijrafarid1593 Жыл бұрын
Jitahd kujistir kichwa chako dada Mengine yanafuata tuuu Na ukizingatia zaid kila anoona nywele yko unapata jukumu
@mamydeislamiqprincess
@mamydeislamiqprincess 4 ай бұрын
MashaAllah Allah to you dear
@monamonaa141
@monamonaa141 4 жыл бұрын
Love you sister sooo much kwa ukakamavu wako n kujiamini
@rukiaabdallah-e9m
@rukiaabdallah-e9m 4 жыл бұрын
Mashaa Allah mashaa Allah
@smilemediatz
@smilemediatz 4 жыл бұрын
Sikuzite ukiwa na akiri timamu lazima utoboe sio kusubir miujiza ya raisi kama ambavyo weng wanazani na hii serikali,Serikali iko safi na inamipango mizuri juu yetu kikubwa niwewe kujituma katika mind yako
@sweetberthacharles6960
@sweetberthacharles6960 4 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu imeni inspire sana nitapambana bila kukata tamaa
@zainathcuwimigishazchelsea2113
@zainathcuwimigishazchelsea2113 3 жыл бұрын
MashaAllah
@oumswaferswaleh7367
@oumswaferswaleh7367 4 жыл бұрын
Mshlh keep it up sis Allah ibarik fik
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 жыл бұрын
Mashallah honger she bless 🙏 ❤
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 4 жыл бұрын
Mashaallah hakusoma kihivyo lakini anaakili Sana Sana
@charsevannu7125
@charsevannu7125 4 жыл бұрын
Mashaallah Allah akujalie kheri Zena natamani nikuone maybe unisaidie mawazo
@carolineotara9482
@carolineotara9482 4 жыл бұрын
Do you have any of Royal cards in Kenya or similar to that.
@rizikibakari3598
@rizikibakari3598 4 жыл бұрын
Masha Allah Allah akuzidishia
@barakajulius7147
@barakajulius7147 4 жыл бұрын
Tungekuwa tunapta klip nying za namnahii huenda vijna tungefokas ktk mambow ya msng kuliko hzo klip za kina Wema sepetu,,hta suara la kutaka kuajiliwa tusingezskia jama ilivo sasa
@tztanzania2262
@tztanzania2262 4 жыл бұрын
Very confident yaan AF ni wakishua ....na ugali hajui kupika
@mwajomaessa7513
@mwajomaessa7513 4 жыл бұрын
Mashaallah hongera san
@allysaid26
@allysaid26 4 жыл бұрын
Huyu binti anaonesha atakua na future nzuri sana ikifanikiwa kufungua chuo cha bekary.
@khdijahalmudhairb2147
@khdijahalmudhairb2147 4 жыл бұрын
MashaaAllah
@mamuhamad2959
@mamuhamad2959 4 жыл бұрын
yes nimependa ya kwamba hana rafiki wala shoga.nimepensa sana
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 жыл бұрын
Sikulaumu na maugali yao
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 жыл бұрын
Huyu dada acha kabisa ..mbunge msukuma atasubili sana ....huyu dada kichwa sana, huyu haolewi na kanyaboya kanyaboya tu..mwenye kutaka kumuoa huyu heee ajichunguze sana kwanza .huyu ataoa siyo kuolewa
@MbullerMabuga-gz3bw
@MbullerMabuga-gz3bw Жыл бұрын
eeh mungu nisaidie na mm🙏🏿🙏🏿
@mamuhamad2959
@mamuhamad2959 4 жыл бұрын
congrats mamy allah atuongoze sote tunaotaka kufanikiwa kwa kheri
@genovevalaurent6393
@genovevalaurent6393 4 жыл бұрын
Dada ww n mzuri sawa lkn heshimu maana ya hilo vazi hapo ni sawa n upo uchiii ukiamua kujistir jistir ipasavyo n siyobkutumia hijab kama fasion
@fariyaosmanali9220
@fariyaosmanali9220 4 жыл бұрын
Maashaallaah 👏👏👏
@aureliamuro8756
@aureliamuro8756 4 жыл бұрын
Ongera sana mdogo wangu mungu azidi kukuongezea
@brighthassan4699
@brighthassan4699 4 жыл бұрын
Hongera mungu akuzidishie
@khadijahali4837
@khadijahali4837 4 жыл бұрын
Hongera sana kwa kupambana
@aminamuhamad2033
@aminamuhamad2033 4 жыл бұрын
Mashallah
@aureliamuro8756
@aureliamuro8756 4 жыл бұрын
Nikifikia malengo yangu nitakutafuta kwa msisitizo mdogo wangu nimependa sana unavyojituma
@janestephen4491
@janestephen4491 4 жыл бұрын
Nmependa hapo kujingea 👍
@luganomugogo6373
@luganomugogo6373 4 жыл бұрын
Hongera Sana dada umeweza
@kingzerock1504
@kingzerock1504 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Maneno unayo. Sema
@chekakwaafya3099
@chekakwaafya3099 4 жыл бұрын
Nilitakaga kumuoa aisee sema sikuwa myemen.... saivi ningekuwa mkwe wa scaba scuba.
@asmahtamla6989
@asmahtamla6989 3 жыл бұрын
Cheka kwa Afya we
@nadhirasalum1633
@nadhirasalum1633 4 жыл бұрын
MashaAllah mungu akubarik
@aminaheri5296
@aminaheri5296 3 жыл бұрын
Ur inspiring me
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 4 жыл бұрын
𝐌𝐚𝐥𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐰𝐚 𝐧𝐠𝐮𝐯𝐮
@juliusbamba4554
@juliusbamba4554 4 жыл бұрын
Sasa ndugu mtangazaji mmesema huyu Dada ni Tajiri mbona hujatuambia unamiliki utajiri wa Milioni ngapi au bilioni????. Embu nisaidie kumuuliza.
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 жыл бұрын
Tajiri awe yy huyo hajapty changamoto yyt ahh some time wanaujingahh
@RajeshChauhan-wb9pm
@RajeshChauhan-wb9pm 3 жыл бұрын
Looking nice
@faridkhalfan3119
@faridkhalfan3119 4 жыл бұрын
Anamjua mungu lakini nywele wazii ili ni kosa kwa mungu na munajua uchi wa mwanamke unaanza wapi jamani?!...abadilike mungu amzdishiee lakini nywele asiaje wazi
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 4 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@fadyaalmansoor6428
@fadyaalmansoor6428 4 жыл бұрын
Umenipa moyo wakujituma🌹
@rodrickgwassa5793
@rodrickgwassa5793 4 жыл бұрын
Mmmhh
@halimamohamed2146
@halimamohamed2146 4 жыл бұрын
Big up zena sharif 😍
@saveraedward1274
@saveraedward1274 4 жыл бұрын
Nahitaj ushaur wako dadaa ntakupataje
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 4 жыл бұрын
Huyu nimwalim wa masomo ya biashara nanimbunifu kinoma alitakiwa apate kipindi chuo kikuu
@fawziaalmaamry1312
@fawziaalmaamry1312 4 жыл бұрын
Nimembenda sana huyu bint bahati mbaya hapendi rafiki
@kindi4926
@kindi4926 4 жыл бұрын
Nadhani hapendi hana na hapendani na bf
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Nimependa mawazo yako. Hata na mimi napenda kujituma safi sana
@kherimkose3669
@kherimkose3669 4 жыл бұрын
Mtoto wa Skabah huyo, pesa hipo kwao
@noahlamecklameck1168
@noahlamecklameck1168 4 жыл бұрын
Kwanzia mtangazaji Hadi huyu Dada wote wamejielezea vzr na wanaongea vzr mno
@mohamedkhamis8745
@mohamedkhamis8745 4 жыл бұрын
Big up keep it
@latifahissa8581
@latifahissa8581 4 жыл бұрын
Sijui akili kapata wapi huyu mtoto😍😍😍
@raziqeramadan7897
@raziqeramadan7897 3 жыл бұрын
hata mm bado nawaza"maana mdogo kweli.Maa shaa ALLAH lkn tuseme tu hivoo ndo kubwa inavo takiwa
@ashaabdallah9254
@ashaabdallah9254 4 жыл бұрын
Huyu ndo akija kuwa millionaire atajiita self made wakati kila kitu kapewa na baba
@clevermngao7565
@clevermngao7565 4 жыл бұрын
Mmbongo amfanyie mdada Interview bila kumuuliza umeolewa, upo kwenye mahusiano! Kama swali hilo halijaulizwa ujue sio mbongo!
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 4 жыл бұрын
Wanapenda kuuliza vitu visivyojenga
@azzasalti6124
@azzasalti6124 4 жыл бұрын
@@samsonkivuyo9548 sababu ikili zao ni wanawake tuu
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 4 жыл бұрын
Safi mke wangu, uliacha shule mi nikaendelea kama tulivyokubaliana ili ikitiki upande mmoja tubebane. Sasa imetiki kwako mimi nitakuwa msimamizi katika biashara yako, Amen 😬😬😬😬😬😬😬🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@gracetweve8485
@gracetweve8485 4 жыл бұрын
Hongereni
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 4 жыл бұрын
@@gracetweve8485 asante sana 😬😬😬😬😬😬🙏🙏🙏🙏
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 4 жыл бұрын
Jmn mm wabongo huwa nawashangaa uelewa wao hivi Mafanikio yanahusiana nn na masomo jmn maisha hayana mwenyewe kusoma nikutoa ujinga tu lkn kuhusu maisha niakili yako na juhudi zako mwenyewe hivi hatuoni mfano kwa Diamond nk au Laizar yule mmasai jmn kusoma na fedhwa nivitu viwili tofauti ukisoma utapata fedhwa yakula tu nasio ya kutajirika habari ndo hiyoooo
@rashadmohamed4357
@rashadmohamed4357 4 жыл бұрын
Nimependa huo msemo "Panga na Kiwembe Vyote ni Vikali...................."
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
👏👏👏 kila la kher
@elizabethmelema6975
@elizabethmelema6975 4 жыл бұрын
Uko vizur sana dadaangu komaa
@mayaalshukairi9485
@mayaalshukairi9485 4 жыл бұрын
Dada naomba namba yako
@hawamojous2215
@hawamojous2215 4 жыл бұрын
Naomba naomba utushauri kibiashara
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
Ndivyo inavyo takiwa sababu mambo ya kum tegemea mzazi no kitu kibaya bora kuji tegemea
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 15 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 89 МЛН
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 15 МЛН