Kwani mwenye nyumba yuko wapi?! These people can interrupt 🙄🙄 kwakweli sijaifurahia labda Sky airudie kha!
@mssikaadam6909Ай бұрын
Kazi nzuri ila Mr Harris na Mwinuka mmetumia muda mwingi kuongea ninyi kuliko ...
@stephennjama6828Ай бұрын
Kipindi kizuri sana ila kuna namna kwa hio flow ya huyo mama interruptions za ndugu harris na mwenzie zimekua nyingi.
@user-tg7qy7es4iАй бұрын
Hawa jamaa sijawaelewa labda kama nitawazoea huko mbeleni wanaongea sana wana interrupt sana
@sophiakayumba5974Ай бұрын
Nadhani ni kwamba ufunguzi wao wa kipindi kabla ya kumkaribisha mgeni ni mrefu sana ( yani wanaongea muda mwingi sana wakati wa kumsubiri mgeni kwahiyo inawaboa wapenzi wasikilizaji , kwasababu wasikilizaji wanakuwa na shauku ya kumsikiliza mgeni, nadhani hicho tu, lakini kipindi kiko sawa, labda wangepunguza muda wa wao kufungua kipindi isiwe ni muda mrefu sana ili tusiboreke kusubiria sana mgeni)
@franklinbernard436728 күн бұрын
Yan watangazaji mmeboa leo! Yan watangazaji mnaongea sana kuliko mliyemualika😢
@ronniemalima6325Ай бұрын
Mngemuacha aelezee mara nyingi mumemu interrupt sana imekuwa inaharibu flow! Afu she is a fast speaker iliwabidi mumsome mapema saana ili kuenda nae vizuri
@saidkhalfan8207Ай бұрын
Nice
@swahiliwithZitaАй бұрын
I love chimbo school of thought ❤ keep up 🎉😊 sns only the best for us.
@johnmunishi255Ай бұрын
She sounds very strong and smart 👏🏽👏🏽👏🏽 Congrats Haika.
@haikalawere2002Ай бұрын
Nashukuru sana kaka!
@jacqueisaac8155Ай бұрын
What a brain!!!. Nimepata madini ya kutosha inabidi nichukue hatua
@haikalawere2002Ай бұрын
I'm happy to hear this💪👏👏👏
@gloriamwanjali937112 күн бұрын
Kuishi nje unahutaji nidhamu na kujituma sana
@user-qp4fz1jw5rАй бұрын
Nimejifunza sana kwa huyu mama
@haikalawere2002Ай бұрын
Asante sana !
@user-tg7qy7es4iАй бұрын
Wanaongea utafikiri wapo redioni wajue kutofautisha na podcast kwa hawa jamaa sky embu fanya kitu
@janetmagiri7511Ай бұрын
Haika umeongea the reality ya immigrants wengi kwenye hizi nchi
@focus140Ай бұрын
Maneno mengi,bundala huu mfumo badilisha
@ZainabJolie29 күн бұрын
Mnaongea sn vitu havina maana . Nlitaka kumskiliza huyo mama kama kipimdi cha sky cha bismnes duary ila mnaboa sjui mnaongea nini .
@homeandaway2811Ай бұрын
MNAONGEA too much,its so unnecessary, mnaharibu mazungumzo, please badilikeni
@yama_virginhairthequeen1065Ай бұрын
Men don't like confrontation 😅😅😅
@jtheophil5499Ай бұрын
Haika umanifundisha kitu kikubwa mno.Pesa najua kuitafuta kasheshe matumizi
@kokusimabayona417923 күн бұрын
Too much talking.... mpaka mnaboa aiseeeee
@ereswidamoshi7404Ай бұрын
I wish sky angefanya hii enterview
@homeandaway2811Ай бұрын
Ingekuwa poa zaidi
@everinaanold8939Ай бұрын
Nice story ❤❤
@faithnalitolela834Ай бұрын
Dah anaeleza madini muhimu sana ila mmemkatisha katisha sana sijui kwanini
@edsonnelson4464Ай бұрын
Kurithisha watoto wa kiume , kiuasilia kiafrika wanasema mtoto wa kike anaenda kujenga familia ya ukoo mwingine kwa maana kwamba ataolewA na atapata watoto kwa mume wake na jina ni lingine siyo la huyo mwanzilishi
@haikalawere2002Ай бұрын
Naelewa kwanini watoto wa kiume, wana-rithishwa....my point was....kama hawana uwezo....wa kuendeleza...hizo Mali zitapukutika tuuu! Ni Bora m-rithishe mwenye uwezo wa kuziendeleza na ziwanufaishe Familia yote , watoto wote hata kizazi cha 4....muhimu ni Proper sucess is succession za Wealthy regardless of Gender....hata km mwanamke ameolewa so what? Mali za familia ya Baba yake &Ndugu zake ....and this is what I'm doing na iko poa kbisaaa
@happyfashionista132520 күн бұрын
@@haikalawere2002Asante mama mimi pia ni mtoto wa kwanza.Asante kwa kunikumbusha kuwa sisi first born ni goal getter.Thanks dear mama