Shetta anafunguka jinsi alivyoachana na mke wake, Mama Qayllah #ChillnaSky
Пікірлер: 163
@oliverkyara82322 жыл бұрын
Sema kwa sasa unaona wanao wanaishi vizuri na unawahudumia na wanafuraha lakini niamini endapo utaoa mwanamke mwingine tofauti na mama yao aiseee kaka watapata wakati mgumu sana kama.ningeambiwa niwashauri jipimeni kwa muda mliotengana angalieni uwezekano wa kuwa pamoja muwaleee watoto wenu kwa upendo ukioa mwanamke.mwingine haya unayoongelea hapa hayatakuwepo mawasiliano na wanao au akulelelee wanao duh kaka aiseee kaka Neema ya Mungu Iamue Mioyoni Mwenu kabla hamjamove on.
@anneedward36732 жыл бұрын
Kwakweli mama wa kambo aje atuwavuruga wote
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Umeongea maneno mazima sana
@verenabusanda40442 жыл бұрын
Kweli kabisa..
@henricamikambi6147 Жыл бұрын
Umeongea vyema kabisa, for the sake of the kids, wangemaliza tofauti zao. Kama wanaelewana kiasi hiko nini kinawazuia kuwa pamoja!?
@grolykibona3828 Жыл бұрын
Amen
@hassanjr53182 жыл бұрын
umekaaa miaka mingi ...... kuna mnyamwezi Byser salute sana kwake
@alexkalonga53232 жыл бұрын
Baba Kyler nakukubali Sana afu upo na bonge la mwandishi
@munaahmed84992 жыл бұрын
Sijawah muona mkewe akihojiwa but ombi langu ongeeni mlee watoto family ya baba na mama ni nzur mno mm nimelelewa na momy tu na kisha momy kafarik tukiwa wadogo tukalelewa na bibi now keshafarik tupo wenyew tu na naomba mungu mno nipate mwanaume bora na mwenye hofu ya mungu
@MsAggie52 жыл бұрын
Pole Sana lakini endelea kumuamini Mungu na usiwe na haraka atakupatia yule roho yako inamtamani.
@J_Jeromy2 ай бұрын
Amiin
@MaureenMollel Жыл бұрын
Shetta anakuaga na akili mingi ..maturity at it's best
@allthingdranabeauty2 жыл бұрын
Safi sana sio wanaume wengine wakigombana wanasusa watoto dhambi ajui watoto wanateseka badae wko vizuri wahanza kusumbua
@khadijakheir93232 жыл бұрын
Shetta ni mwanaume wa kuigwa💪💪💪
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Wewe upo tayari unzalie mtoto ni ku treat kama sheta??
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
Ila nisikuoe
@khadijakheir93232 жыл бұрын
@@eladiuspeter586 sawa
@khadijakheir93232 жыл бұрын
@@eladiuspeter586 okay
@eladiuspeter5862 жыл бұрын
@@khadijakheir9323 ntumie namba zako
@florameza10282 жыл бұрын
Nimekupenda kaka endelea kupenda wanao
@saidmasika87382 жыл бұрын
mwanamume anae jielewa Allah akupe uzim
@estherminnahboaz69562 жыл бұрын
Sheta kumbe kiumbe safi Sana🙌
@dosianasimon312 Жыл бұрын
Huyu jamanaa ndio maana mambo yake yananyooka ingawa katengana na mke wake naamini yule mwanake anamuombea sana mungu azidi kukuinua ili ulee watoto wako kwa upendo huohuo
@saidhassan77792 жыл бұрын
Brother kwanza hongera sna kwa kweli ktk maisha yangu nakua nakufiatilia sana kaka nakila siku nakuombea sana kaka nakuomba sana,niweze kukupata lkn sijui nakupata wapi kwa kweli kaka,nisaidie nikuone sana kak mm Niko Pemba,
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Ni vizuri msije mkauana kitu chema ni kujali watoto tu
@ahz69072 жыл бұрын
this is what i call maturity
@user-qr9gd3id1f11 ай бұрын
Maturity wapi Uporo unapashwaa 😂
@starshinetz2 жыл бұрын
Shetta full inspiration brother
@lathifaa8602 жыл бұрын
Mashaalah kaka yangu allah akupe subara kaka
@beatricethomas40612 жыл бұрын
Ubarkiwe hadi ushangae bro wanaume wote wa rika lako wangeipata hii akili dah watoto wasngepata tabu kitaa
@mwanaishakhamis80692 жыл бұрын
Swadakta kuowana Kwa wema kuwatana Kwa Amani👏👏
@legrandmsangi84052 жыл бұрын
Mwanangu san.. sheta the don
@meryfrank52722 жыл бұрын
Vizuri sana , watoto hawana makosa.
@hildaeliapenda39382 жыл бұрын
Watoto wawili mrudie mkeo hakuna lisiloweza kurekebishwa miaka 9 mmeishi dah mkataeni shetani salini saana wekeni mambo Sawa Mungu ashindwi na kitu kikubwa kumtanguliza Kwa kila jbo
@MsAggie52 жыл бұрын
Kweli warudiane! Imekaa hawaku achana Kwa ugomvi, shetani mbaya huyu!
@sarahgaula22202 жыл бұрын
Malaki 2:16 NEN “Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu. NEN: Neno: Bibilia Takatifu 2014
@davusdedithlweyendela95752 жыл бұрын
p
@irenembura80452 жыл бұрын
This is real nice👍👌
@estertiffathomas56512 жыл бұрын
Safi kbxaaa hku kwetu mkiachan ni majang matup yaan full kuchamb status nimekutan na x wngu amekonda mmbwa yule na emoji ya kukunyal juuu😏😏😏
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Nimechekaaaa😁😁😂😂😂🤣🤣🤣
@pendorose80562 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rithanaftal86168 ай бұрын
Yani ndo najua leo 31/12/2023 kuwa sheta aliachana na mkewe
@Cyper2552 жыл бұрын
Sheta akiamua kupasha kiporo hakuna upinzani
@ahz69072 жыл бұрын
hilo mbona lipo wazi si kashasema ni washikaji.
@user-sv1lr5qj6x8 ай бұрын
baba mzuri kwa jamii❤❤❤
@azzizazizion50562 жыл бұрын
mm kuna dem niliachna nae kama leo kesho namkuta na panga mlangon kwangu 😄😄
@MsAggie52 жыл бұрын
😂 pole sana 🤗
@ngutuismail69452 жыл бұрын
Sheta ulifanya kama mimi nilichofanya ukiachana na mkeo na mna watoto ni bora baba ukaondoka wewe ukawaachia nyumba ukiendelea kutoa support kuliko kumfukuza mwanamke
@jasmineshechambo34012 жыл бұрын
🙏
@elinamilyatuu73378 ай бұрын
Vp kama mama ndio chengachenga?yani yy ndio kaharibu unamfanyaje?😂
@IBENGM8 ай бұрын
Hilo ni jambo la busara sema hapo inategemea na mmeachana kwasababu zipi na mwanamke ni mtu wa aina gani!
@trio99112 жыл бұрын
Mwamba mzungu sana huyu 😂
@MsAggie52 жыл бұрын
Mno! Nimempenda bure! Huyu ni Mbongo kweli au ....
@JohnJafary-he7tk Жыл бұрын
Vip kakah nakuhusu daimond kukut#mbea mke
@abusalman51392 жыл бұрын
Huyu bwege kweli... Mwanaume unazungumza na mkeo kuhusu mabwana zake? Hovyo sana.
@jescajulius80232 жыл бұрын
Kwan kuna shida gan c wameachana
@mumukinga83272 жыл бұрын
hovyo mwenyew
@bakariathmanathman21878 ай бұрын
Asnte sana kaka sky ni mejifunza ilikua mm na bimkubwa wangu simu yake akini pigia tu mapovu ama sheta amevaa uhalisia wamsanii kioo chajamii umenifunza kaka sheta 😭
@sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын
ongea kiswahili bwana ,unazingua
@khalossalim37232 жыл бұрын
Dunia ingekua na wanaume kama shetta ingekua raha sana
@bellahappy21192 жыл бұрын
Mrudie mke wako una watoto wazuri sana
@jojigeorige10562 жыл бұрын
@21yrs bado kabisa Shetta alikua hajala ujana, ukizingatia ni msanii na by then alikuja kua maarufu hasa zile tracks kama Shikolobo etc ni wazi alikutana na ngozi nyingi sana waluwalu halaf ni pisi kali mzee damu inachemka pesa ipo, jogoo kick moja tu kavimba kama chuma, weeh sio rahisi kuvuka kituo aisee. Umri ule wa 20-35yrs ni vigumu mno kijana kujifanya una drive mwendokasi express we vituo unauza tu! Hapo kudumu ndoa ni ama mwanamke akuvumilie sana, au nae asilipize kisasi. Vinginevyo sio rahisi ukizingatia mazingira ya kisanii anayoishi Shetta. Nyie Mungu anasisitiza Upendo. Upendo kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu asilimia kubwa hufikia kwenye kuoana na kuishi pamoja, kadhalika upendo huo ndipo Mungu alipoweka amri zake na nyingi huvunjwa na binadamu kwa kua shetani nae achezi mbali kushawishi. Atakuingia kichwani na kukwambia hii ni pisi kali, piga kama vipi, iba pesa ukaspend nayo, ua ie toa mimba maana ishanasa etc . Kifupi ujana maji ya motoo
@Fx_expertmoneymaker0012 жыл бұрын
@@jojigeorige1056 inawezekana ndio sabab waliachana. Nae sasa kashaanza kuchoka hyo lyfstyle ndo anamkumbuka mama watt wake.
@ambrosiamlinga84022 жыл бұрын
Unasema uhusiano wako ni mzuri na huyo X wako na upo single? Ngoja upate girlfriend utaona atakavyo badilika
@efraimrichard64402 жыл бұрын
Sema jamaa kawa boss bwana saivi
@SWAGGELI2 жыл бұрын
Dude you so fucking strong Man eehh sio mchezo
@officialmariamdaudi4012 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@bintyy_sultan35698 ай бұрын
Natamani interview iendeleeeeeeeeeeeee
@beatricejoseph35372 жыл бұрын
Ulioa mdog sana lakin umekoamaa akili mapema hongera sana
@melensianakemanzi83252 жыл бұрын
Asije akadanganyika kuoa Tena na kuanza kuzaa atakiona Cha moto
@TheSalma19992 жыл бұрын
Mungu akusaidie ikiwezekana msameheane mrudiane Maisha ni yale yale mama k au Kaka shetta ebu jaribuni ku angalia kama mrudiane tena if it’s possible please
@melensianakemanzi83252 жыл бұрын
Mimi naomba mwangalie kusameheana Ili watoto wawe na utulivu na akili ya kulelewa na baba na mama inapendeza zaidi
@mariamgaya22 жыл бұрын
Nice
@jescajulius80232 жыл бұрын
Uko vzr san, wanaume jifunzeni kwa huyu kuachana hamna vita
@mmn74802 жыл бұрын
Shetta ana akili
@liannsambu72648 ай бұрын
Ndugu zangu kama ni jambo liliwatenganisha , kaeni TU MUONGEE maana MUNGU HAFURAHII na EX ni EX TU labda kama mnapendana ndani Kwa ndani
@aisharamadhani19482 жыл бұрын
Asa kingereza cha nini nakwazikaga mimi ,,, duhhh
@aminakipande56452 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abubakarymsuluzya21952 жыл бұрын
Safi mkuu
@ashurahatibu50692 жыл бұрын
Jamani nipeni tu huyo shetta
@ahz69072 жыл бұрын
usiamini kila uonacho kwenye social media.huyo ni msanii hawezi kuongea vibaya.
@ashurahatibu50692 жыл бұрын
@@ahz6907 nimecheka kifala love jast joke
@hakimalia22752 жыл бұрын
Kwaiyo sheta una miaka30😂
@paulokasera34702 жыл бұрын
Possibly...Sheta kamaliza Shule ya Msingi Boman pale ilala 2004...Kamaliza Form IV benjamin Mkapa 2008....Kama alimaliza Mdogo sana form IV anaweza akawa alikuwa na miaka 16 na Kama alimaliza Mkubwa sana alikuwa na Miaka 18....Pigia Mahesabu kuanzia hapo na kuendelea.....So it is possible akawa ana hiyo Miaka
@Summerbtz2 жыл бұрын
Shetta safi sana
@herryignasy87112 жыл бұрын
Profeda jay amekaa muda gan
@jacksonwilson57722 жыл бұрын
Harmonize Jana alijaza??????
@safariadrien53482 жыл бұрын
Kumbe show ilikua jana😂
@chuchudorice85312 жыл бұрын
Wabongo hamjui kizungu si mkubali tu 🤔🤔🤔🤔🤔
@magzakky27812 жыл бұрын
😂😂😂😂ma ribs tuwaombee watajua with tym
@fridasky10192 жыл бұрын
Kwani kuna alité zaliwa Nacho?
@rhodafredy22512 жыл бұрын
Shetq ni mwanaume wa kuigwa wallah sijapata kuona
@kibongephotographer92242 жыл бұрын
Kwahiyo wote mna dimpoz anhaaa
@mozamagaya86188 ай бұрын
Ongera kaka
@lucynelsonmungure17192 жыл бұрын
Uzungu mwingi
@MrNdanguza2 жыл бұрын
Ndoa za bongo kuachana sana juu ya kupenda ngono wanaume wengi tunapenda kucheat na kuvuruga ndoa ,ni bora kukaa mbila ndoa kuliko kupoteza mdaa kwa ndoa
@nurdinchilambo14862 жыл бұрын
sio bongo tu ila fatilia vzur had ulaya hao wazungu unao ona labda wana maana hua wanaachana sana
@simonmwandu22142 жыл бұрын
@@nurdinchilambo1486 wanachana san lakini siyo kwa kusalitiana eti akatiwe au akatie nje ya ndo wanachan kwa mfumo jike kwa sabb Europe mwanamke ndiyo mwenye sauti ndan ya nyumba
@kingsanya6860 Жыл бұрын
jaman kiswahili kitume sana
@sleimbh2 жыл бұрын
Kiswahili kinatosha bwana shetta!
@petermachoka29772 жыл бұрын
Nenda shule bwana. Go to school
@winnieamanya15502 жыл бұрын
Kizungu ilikuja na meli 🤣🤣 Tz "", We do co-parenting...
@unclepwechnov13812 жыл бұрын
He is still learning, practicing is the only way. Waliojifunza ukubwani wanapambana na challenges nyingi lakini mdogomdogo tu aendelee kukaza.
@liviaG872 жыл бұрын
What is wrong with that statement?? Acha ushamba. Hata waitaliano, wajerumani, wafaransa wana kiingereza kibovu vilevile
@godsson59542 жыл бұрын
Shetta ajarib kutafuta hela yeye kama yeye kiume tuone na sio kupewa pewa kwa bahati hyku anajitamba kuwa maisha mazur ni yake hahahhha ww know this dude anawwza hata sema sns ni ya kwake😀
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Ni Jambo zuli kuacha nyumba na kuondoka
@faridadumasalhathoseni11 ай бұрын
Masha laah❤
@solvia43062 жыл бұрын
Kwani watu kama sheta wako wapi na mimi nikaokote😄
@ahz69072 жыл бұрын
nipo hapa
@solvia43062 жыл бұрын
@@ahz6907 😄😄😄
@solvia43062 жыл бұрын
Wapi huko sasa nije kuokota
@ahz69072 жыл бұрын
Dar
@solvia43062 жыл бұрын
@@ahz6907 wee na mm niko dar afu sijui wanakopatikana,ebu toa location
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Inspection Haroon yupo kwenye ndoa miaka 23 hivyo sio msanii wa kwanza kukaa muda mrefu
@saidimkome38182 жыл бұрын
Sasa shetta na mr bluu asemaje Kama wewe umekaa kwenye ndoa miaka Tisa😁😁😁
@veronicasteven17312 жыл бұрын
Ukioa lazima abadilike tu
@levinamaico70642 жыл бұрын
Kwakwel kama wanaume wote wangekuwa kama sheta 900 ingependeza sana😂😂😂
@mwajumaabeidy81372 жыл бұрын
Swadakta
@francismwacha2532 жыл бұрын
Da! Aisee ni ngumu kumeza.. kuachana kwa amani sawa ila mawasiliano close kama hayo cwez aisee..
@unclepwechnov13812 жыл бұрын
Ni rahisi sana ukikubali matokeo kiroho safi, ila wanawake ndiyo huwa inakuwa ngumu kwao mpaka labda akipata baharia mwingine.
@stn48732 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 sure
@jumamohamed77202 жыл бұрын
Pete lake ilo 😳😳
@spreadlove53002 жыл бұрын
Bora hata wewe kuliko wale watoa povu na lawama kibao
@rithanaftal86168 ай бұрын
Yan ndo najua leo kama waliachana
@user-jw9dq3qt3d8 ай бұрын
Akili nying uyu jamaa
@ivodaman62368 ай бұрын
km tunaoana ili tuje kuachana ni bora kuzaa nao tu na kulea watt
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Yeye ndo alimchoka ndo mana
@daughters12262 жыл бұрын
Siwez kuacha kuwahudumia wanangu eti kisa nimeachana na mama yao ila siwez kumuhudumia mama yao bora nichinjwe f**c nilipe Kodi yake ,,nilipe Fees za wanangu,,kula yake na tuligawana sawa kila tulicho chuma pamoja kama yeye n homeless aniachie wanangu
@Fx_expertmoneymaker0012 жыл бұрын
Anamtunza kwasabab bado hajaolewa, pia kulinda saikolojia ya watoto. Akiolewa bas atachukua watot wake na kumuachia maisha yake mazima. Maneno ni sumu, hzo chuki ndizo hupandikiza ubaya kwenye akil za watoto mpaka wanakuwa wakubwa wanakua wanaishi kimatabaka na wazaz. Unashangaa mzaz flan anapendelewa na mtoto kumbe mtt alikuwa na mentality mbov kuhusu mzaz mwngne tangu utoto
@MsAggie52 жыл бұрын
Hiyo roho ya kimaskini! Hiyo nyumba anaishi x wake au na watoto? Chakula anakula kiasi gani hadi umapowalisha watoto ushindwe kumlisha na mama Yao? Futa hayo mawazo kichwani mwako sio afya.
@jacqueli188 ай бұрын
Umaskini ndo tatizo
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@estellemwai54022 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
@nasibugunda79272 жыл бұрын
Mmh watarudiana tu hawa
@sarahtaste2876 Жыл бұрын
Tuacheni bhna hawa wanapasha viporo 😂😂😂hivi mnajua kuachana nyie au Mnasema tu
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
Hahaha wanatania hawa
@japhettobisha54812 жыл бұрын
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona
@registrationphone35932 жыл бұрын
Ndo hapo n km km bado washkaji nn imeshindikana kuendelea kua pamoja...maana ndoa yenye urafik ndo nzr na hudumu zaid
@obrigadoofficial15062 жыл бұрын
👏👏 Hekima ya bongo flavor Kutoka kwa Shetta kuachana sio vita.kzbin.info/www/bejne/o2Skf2muq7mae6M
@safariadrien53482 жыл бұрын
Kizungu cha nini baba 😅😅
@aminakipande56452 жыл бұрын
Sijui anajikuta naniii mdomo koma mimi naona aongee tu kiswahiliii🤣🤣🤣🤣
@victorsanga22292 жыл бұрын
Miaka 21-30 umeoa na kuacha?
@JacksonThobias-wc6ml7 ай бұрын
Kitu kizito umepigwa
@iranangole70072 жыл бұрын
Mama Kaila Malaya Dereva wa Kaila Alikuwa anakula mzigo
@victaboy7273 Жыл бұрын
Unamjua sana?
@victaboy7273 Жыл бұрын
Mbona kiherehere
@frankmlinda11817 ай бұрын
Ukizubaa nawew anakukula mzigo.
@rashidahmed80712 жыл бұрын
Mademu wanatamaa
@sashahauke20322 жыл бұрын
Hivi jamani naomba niulize huyu ndo yule anaejiita shetani?
@aminakipande56452 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ndiooo siku hiz mpk kinge anaongeaaaa🙄😂😂😂😂
@sashahauke20322 жыл бұрын
@@aminakipande5645 😭😭😭haya bwana
@jchriss42692 жыл бұрын
Bunduki ya hewa inayotengenezwa mbeya Tz na kijana mdogo tazama hii kzbin.info/www/bejne/gpibZamOqbyfjas
@jescajohn66192 жыл бұрын
Zero
@mussajabiry38912 жыл бұрын
Mm ndonapend mfumo uo WA maisha cy mmetengan mnakua madui
@AminaIhera-cg2xr11 ай бұрын
yani huyu nibaba hongera
@japhettobisha54812 жыл бұрын
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona