No video

SHETTA afunguka alivyoachana na MKEWE 'Nilimwachia nyumba, nilibeba kila kitu nikaanza upya ' - Pt 3

  Рет қаралды 90,283

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Shetta anafunguka jinsi alivyoachana na mke wake, Mama Qayllah
#ChillnaSky

Пікірлер: 163
@oliverkyara8232
@oliverkyara8232 2 жыл бұрын
Sema kwa sasa unaona wanao wanaishi vizuri na unawahudumia na wanafuraha lakini niamini endapo utaoa mwanamke mwingine tofauti na mama yao aiseee kaka watapata wakati mgumu sana kama.ningeambiwa niwashauri jipimeni kwa muda mliotengana angalieni uwezekano wa kuwa pamoja muwaleee watoto wenu kwa upendo ukioa mwanamke.mwingine haya unayoongelea hapa hayatakuwepo mawasiliano na wanao au akulelelee wanao duh kaka aiseee kaka Neema ya Mungu Iamue Mioyoni Mwenu kabla hamjamove on.
@anneedward3673
@anneedward3673 2 жыл бұрын
Kwakweli mama wa kambo aje atuwavuruga wote
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Umeongea maneno mazima sana
@verenabusanda4044
@verenabusanda4044 2 жыл бұрын
Kweli kabisa..
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 Жыл бұрын
Umeongea vyema kabisa, for the sake of the kids, wangemaliza tofauti zao. Kama wanaelewana kiasi hiko nini kinawazuia kuwa pamoja!?
@grolykibona3828
@grolykibona3828 Жыл бұрын
Amen
@hassanjr5318
@hassanjr5318 2 жыл бұрын
umekaaa miaka mingi ...... kuna mnyamwezi Byser salute sana kwake
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Baba Kyler nakukubali Sana afu upo na bonge la mwandishi
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Sijawah muona mkewe akihojiwa but ombi langu ongeeni mlee watoto family ya baba na mama ni nzur mno mm nimelelewa na momy tu na kisha momy kafarik tukiwa wadogo tukalelewa na bibi now keshafarik tupo wenyew tu na naomba mungu mno nipate mwanaume bora na mwenye hofu ya mungu
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Pole Sana lakini endelea kumuamini Mungu na usiwe na haraka atakupatia yule roho yako inamtamani.
@J_Jeromy
@J_Jeromy 2 ай бұрын
Amiin
@MaureenMollel
@MaureenMollel Жыл бұрын
Shetta anakuaga na akili mingi ..maturity at it's best
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Safi sana sio wanaume wengine wakigombana wanasusa watoto dhambi ajui watoto wanateseka badae wko vizuri wahanza kusumbua
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 жыл бұрын
Shetta ni mwanaume wa kuigwa💪💪💪
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Wewe upo tayari unzalie mtoto ni ku treat kama sheta??
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
Ila nisikuoe
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 жыл бұрын
@@eladiuspeter586 sawa
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 жыл бұрын
@@eladiuspeter586 okay
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 2 жыл бұрын
@@khadijakheir9323 ntumie namba zako
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Nimekupenda kaka endelea kupenda wanao
@saidmasika8738
@saidmasika8738 2 жыл бұрын
mwanamume anae jielewa Allah akupe uzim
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 2 жыл бұрын
Sheta kumbe kiumbe safi Sana🙌
@dosianasimon312
@dosianasimon312 Жыл бұрын
Huyu jamanaa ndio maana mambo yake yananyooka ingawa katengana na mke wake naamini yule mwanake anamuombea sana mungu azidi kukuinua ili ulee watoto wako kwa upendo huohuo
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
Brother kwanza hongera sna kwa kweli ktk maisha yangu nakua nakufiatilia sana kaka nakila siku nakuombea sana kaka nakuomba sana,niweze kukupata lkn sijui nakupata wapi kwa kweli kaka,nisaidie nikuone sana kak mm Niko Pemba,
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Ni vizuri msije mkauana kitu chema ni kujali watoto tu
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
this is what i call maturity
@user-qr9gd3id1f
@user-qr9gd3id1f 11 ай бұрын
Maturity wapi Uporo unapashwaa 😂
@starshinetz
@starshinetz 2 жыл бұрын
Shetta full inspiration brother
@lathifaa860
@lathifaa860 2 жыл бұрын
Mashaalah kaka yangu allah akupe subara kaka
@beatricethomas4061
@beatricethomas4061 2 жыл бұрын
Ubarkiwe hadi ushangae bro wanaume wote wa rika lako wangeipata hii akili dah watoto wasngepata tabu kitaa
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 жыл бұрын
Swadakta kuowana Kwa wema kuwatana Kwa Amani👏👏
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 2 жыл бұрын
Mwanangu san.. sheta the don
@meryfrank5272
@meryfrank5272 2 жыл бұрын
Vizuri sana , watoto hawana makosa.
@hildaeliapenda3938
@hildaeliapenda3938 2 жыл бұрын
Watoto wawili mrudie mkeo hakuna lisiloweza kurekebishwa miaka 9 mmeishi dah mkataeni shetani salini saana wekeni mambo Sawa Mungu ashindwi na kitu kikubwa kumtanguliza Kwa kila jbo
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Kweli warudiane! Imekaa hawaku achana Kwa ugomvi, shetani mbaya huyu!
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Malaki 2:16 NEN “Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu. NEN: Neno: Bibilia Takatifu 2014
@davusdedithlweyendela9575
@davusdedithlweyendela9575 2 жыл бұрын
p
@irenembura8045
@irenembura8045 2 жыл бұрын
This is real nice👍👌
@estertiffathomas5651
@estertiffathomas5651 2 жыл бұрын
Safi kbxaaa hku kwetu mkiachan ni majang matup yaan full kuchamb status nimekutan na x wngu amekonda mmbwa yule na emoji ya kukunyal juuu😏😏😏
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 жыл бұрын
Nimechekaaaa😁😁😂😂😂🤣🤣🤣
@pendorose8056
@pendorose8056 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rithanaftal8616
@rithanaftal8616 8 ай бұрын
Yani ndo najua leo 31/12/2023 kuwa sheta aliachana na mkewe
@Cyper255
@Cyper255 2 жыл бұрын
Sheta akiamua kupasha kiporo hakuna upinzani
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
hilo mbona lipo wazi si kashasema ni washikaji.
@user-sv1lr5qj6x
@user-sv1lr5qj6x 8 ай бұрын
baba mzuri kwa jamii❤❤❤
@azzizazizion5056
@azzizazizion5056 2 жыл бұрын
mm kuna dem niliachna nae kama leo kesho namkuta na panga mlangon kwangu 😄😄
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
😂 pole sana 🤗
@ngutuismail6945
@ngutuismail6945 2 жыл бұрын
Sheta ulifanya kama mimi nilichofanya ukiachana na mkeo na mna watoto ni bora baba ukaondoka wewe ukawaachia nyumba ukiendelea kutoa support kuliko kumfukuza mwanamke
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 2 жыл бұрын
🙏
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 8 ай бұрын
Vp kama mama ndio chengachenga?yani yy ndio kaharibu unamfanyaje?😂
@IBENGM
@IBENGM 8 ай бұрын
Hilo ni jambo la busara sema hapo inategemea na mmeachana kwasababu zipi na mwanamke ni mtu wa aina gani!
@trio9911
@trio9911 2 жыл бұрын
Mwamba mzungu sana huyu 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Mno! Nimempenda bure! Huyu ni Mbongo kweli au ....
@JohnJafary-he7tk
@JohnJafary-he7tk Жыл бұрын
Vip kakah nakuhusu daimond kukut#mbea mke
@abusalman5139
@abusalman5139 2 жыл бұрын
Huyu bwege kweli... Mwanaume unazungumza na mkeo kuhusu mabwana zake? Hovyo sana.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Kwan kuna shida gan c wameachana
@mumukinga8327
@mumukinga8327 2 жыл бұрын
hovyo mwenyew
@bakariathmanathman2187
@bakariathmanathman2187 8 ай бұрын
Asnte sana kaka sky ni mejifunza ilikua mm na bimkubwa wangu simu yake akini pigia tu mapovu ama sheta amevaa uhalisia wamsanii kioo chajamii umenifunza kaka sheta 😭
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 жыл бұрын
ongea kiswahili bwana ,unazingua
@khalossalim3723
@khalossalim3723 2 жыл бұрын
Dunia ingekua na wanaume kama shetta ingekua raha sana
@bellahappy2119
@bellahappy2119 2 жыл бұрын
Mrudie mke wako una watoto wazuri sana
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 жыл бұрын
@21yrs bado kabisa Shetta alikua hajala ujana, ukizingatia ni msanii na by then alikuja kua maarufu hasa zile tracks kama Shikolobo etc ni wazi alikutana na ngozi nyingi sana waluwalu halaf ni pisi kali mzee damu inachemka pesa ipo, jogoo kick moja tu kavimba kama chuma, weeh sio rahisi kuvuka kituo aisee. Umri ule wa 20-35yrs ni vigumu mno kijana kujifanya una drive mwendokasi express we vituo unauza tu! Hapo kudumu ndoa ni ama mwanamke akuvumilie sana, au nae asilipize kisasi. Vinginevyo sio rahisi ukizingatia mazingira ya kisanii anayoishi Shetta. Nyie Mungu anasisitiza Upendo. Upendo kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu asilimia kubwa hufikia kwenye kuoana na kuishi pamoja, kadhalika upendo huo ndipo Mungu alipoweka amri zake na nyingi huvunjwa na binadamu kwa kua shetani nae achezi mbali kushawishi. Atakuingia kichwani na kukwambia hii ni pisi kali, piga kama vipi, iba pesa ukaspend nayo, ua ie toa mimba maana ishanasa etc . Kifupi ujana maji ya motoo
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 2 жыл бұрын
@@jojigeorige1056 inawezekana ndio sabab waliachana. Nae sasa kashaanza kuchoka hyo lyfstyle ndo anamkumbuka mama watt wake.
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 жыл бұрын
Unasema uhusiano wako ni mzuri na huyo X wako na upo single? Ngoja upate girlfriend utaona atakavyo badilika
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 2 жыл бұрын
Sema jamaa kawa boss bwana saivi
@SWAGGELI
@SWAGGELI 2 жыл бұрын
Dude you so fucking strong Man eehh sio mchezo
@officialmariamdaudi401
@officialmariamdaudi401 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@bintyy_sultan3569
@bintyy_sultan3569 8 ай бұрын
Natamani interview iendeleeeeeeeeeeeee
@beatricejoseph3537
@beatricejoseph3537 2 жыл бұрын
Ulioa mdog sana lakin umekoamaa akili mapema hongera sana
@melensianakemanzi8325
@melensianakemanzi8325 2 жыл бұрын
Asije akadanganyika kuoa Tena na kuanza kuzaa atakiona Cha moto
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie ikiwezekana msameheane mrudiane Maisha ni yale yale mama k au Kaka shetta ebu jaribuni ku angalia kama mrudiane tena if it’s possible please
@melensianakemanzi8325
@melensianakemanzi8325 2 жыл бұрын
Mimi naomba mwangalie kusameheana Ili watoto wawe na utulivu na akili ya kulelewa na baba na mama inapendeza zaidi
@mariamgaya2
@mariamgaya2 2 жыл бұрын
Nice
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Uko vzr san, wanaume jifunzeni kwa huyu kuachana hamna vita
@mmn7480
@mmn7480 2 жыл бұрын
Shetta ana akili
@liannsambu7264
@liannsambu7264 8 ай бұрын
Ndugu zangu kama ni jambo liliwatenganisha , kaeni TU MUONGEE maana MUNGU HAFURAHII na EX ni EX TU labda kama mnapendana ndani Kwa ndani
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Asa kingereza cha nini nakwazikaga mimi ,,, duhhh
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@abubakarymsuluzya2195
@abubakarymsuluzya2195 2 жыл бұрын
Safi mkuu
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 жыл бұрын
Jamani nipeni tu huyo shetta
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
usiamini kila uonacho kwenye social media.huyo ni msanii hawezi kuongea vibaya.
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 жыл бұрын
@@ahz6907 nimecheka kifala love jast joke
@hakimalia2275
@hakimalia2275 2 жыл бұрын
Kwaiyo sheta una miaka30😂
@paulokasera3470
@paulokasera3470 2 жыл бұрын
Possibly...Sheta kamaliza Shule ya Msingi Boman pale ilala 2004...Kamaliza Form IV benjamin Mkapa 2008....Kama alimaliza Mdogo sana form IV anaweza akawa alikuwa na miaka 16 na Kama alimaliza Mkubwa sana alikuwa na Miaka 18....Pigia Mahesabu kuanzia hapo na kuendelea.....So it is possible akawa ana hiyo Miaka
@Summerbtz
@Summerbtz 2 жыл бұрын
Shetta safi sana
@herryignasy8711
@herryignasy8711 2 жыл бұрын
Profeda jay amekaa muda gan
@jacksonwilson5772
@jacksonwilson5772 2 жыл бұрын
Harmonize Jana alijaza??????
@safariadrien5348
@safariadrien5348 2 жыл бұрын
Kumbe show ilikua jana😂
@chuchudorice8531
@chuchudorice8531 2 жыл бұрын
Wabongo hamjui kizungu si mkubali tu 🤔🤔🤔🤔🤔
@magzakky2781
@magzakky2781 2 жыл бұрын
😂😂😂😂ma ribs tuwaombee watajua with tym
@fridasky1019
@fridasky1019 2 жыл бұрын
Kwani kuna alité zaliwa Nacho?
@rhodafredy2251
@rhodafredy2251 2 жыл бұрын
Shetq ni mwanaume wa kuigwa wallah sijapata kuona
@kibongephotographer9224
@kibongephotographer9224 2 жыл бұрын
Kwahiyo wote mna dimpoz anhaaa
@mozamagaya8618
@mozamagaya8618 8 ай бұрын
Ongera kaka
@lucynelsonmungure1719
@lucynelsonmungure1719 2 жыл бұрын
Uzungu mwingi
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 жыл бұрын
Ndoa za bongo kuachana sana juu ya kupenda ngono wanaume wengi tunapenda kucheat na kuvuruga ndoa ,ni bora kukaa mbila ndoa kuliko kupoteza mdaa kwa ndoa
@nurdinchilambo1486
@nurdinchilambo1486 2 жыл бұрын
sio bongo tu ila fatilia vzur had ulaya hao wazungu unao ona labda wana maana hua wanaachana sana
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 2 жыл бұрын
@@nurdinchilambo1486 wanachana san lakini siyo kwa kusalitiana eti akatiwe au akatie nje ya ndo wanachan kwa mfumo jike kwa sabb Europe mwanamke ndiyo mwenye sauti ndan ya nyumba
@kingsanya6860
@kingsanya6860 Жыл бұрын
jaman kiswahili kitume sana
@sleimbh
@sleimbh 2 жыл бұрын
Kiswahili kinatosha bwana shetta!
@petermachoka2977
@petermachoka2977 2 жыл бұрын
Nenda shule bwana. Go to school
@winnieamanya1550
@winnieamanya1550 2 жыл бұрын
Kizungu ilikuja na meli 🤣🤣 Tz "", We do co-parenting...
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
He is still learning, practicing is the only way. Waliojifunza ukubwani wanapambana na challenges nyingi lakini mdogomdogo tu aendelee kukaza.
@liviaG87
@liviaG87 2 жыл бұрын
What is wrong with that statement?? Acha ushamba. Hata waitaliano, wajerumani, wafaransa wana kiingereza kibovu vilevile
@godsson5954
@godsson5954 2 жыл бұрын
Shetta ajarib kutafuta hela yeye kama yeye kiume tuone na sio kupewa pewa kwa bahati hyku anajitamba kuwa maisha mazur ni yake hahahhha ww know this dude anawwza hata sema sns ni ya kwake😀
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Ni Jambo zuli kuacha nyumba na kuondoka
@faridadumasalhathoseni
@faridadumasalhathoseni 11 ай бұрын
Masha laah❤
@solvia4306
@solvia4306 2 жыл бұрын
Kwani watu kama sheta wako wapi na mimi nikaokote😄
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
nipo hapa
@solvia4306
@solvia4306 2 жыл бұрын
@@ahz6907 😄😄😄
@solvia4306
@solvia4306 2 жыл бұрын
Wapi huko sasa nije kuokota
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Dar
@solvia4306
@solvia4306 2 жыл бұрын
@@ahz6907 wee na mm niko dar afu sijui wanakopatikana,ebu toa location
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Inspection Haroon yupo kwenye ndoa miaka 23 hivyo sio msanii wa kwanza kukaa muda mrefu
@saidimkome3818
@saidimkome3818 2 жыл бұрын
Sasa shetta na mr bluu asemaje Kama wewe umekaa kwenye ndoa miaka Tisa😁😁😁
@veronicasteven1731
@veronicasteven1731 2 жыл бұрын
Ukioa lazima abadilike tu
@levinamaico7064
@levinamaico7064 2 жыл бұрын
Kwakwel kama wanaume wote wangekuwa kama sheta 900 ingependeza sana😂😂😂
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 2 жыл бұрын
Swadakta
@francismwacha253
@francismwacha253 2 жыл бұрын
Da! Aisee ni ngumu kumeza.. kuachana kwa amani sawa ila mawasiliano close kama hayo cwez aisee..
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Ni rahisi sana ukikubali matokeo kiroho safi, ila wanawake ndiyo huwa inakuwa ngumu kwao mpaka labda akipata baharia mwingine.
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 sure
@jumamohamed7720
@jumamohamed7720 2 жыл бұрын
Pete lake ilo 😳😳
@spreadlove5300
@spreadlove5300 2 жыл бұрын
Bora hata wewe kuliko wale watoa povu na lawama kibao
@rithanaftal8616
@rithanaftal8616 8 ай бұрын
Yan ndo najua leo kama waliachana
@user-jw9dq3qt3d
@user-jw9dq3qt3d 8 ай бұрын
Akili nying uyu jamaa
@ivodaman6236
@ivodaman6236 8 ай бұрын
km tunaoana ili tuje kuachana ni bora kuzaa nao tu na kulea watt
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Yeye ndo alimchoka ndo mana
@daughters1226
@daughters1226 2 жыл бұрын
Siwez kuacha kuwahudumia wanangu eti kisa nimeachana na mama yao ila siwez kumuhudumia mama yao bora nichinjwe f**c nilipe Kodi yake ,,nilipe Fees za wanangu,,kula yake na tuligawana sawa kila tulicho chuma pamoja kama yeye n homeless aniachie wanangu
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 2 жыл бұрын
Anamtunza kwasabab bado hajaolewa, pia kulinda saikolojia ya watoto. Akiolewa bas atachukua watot wake na kumuachia maisha yake mazima. Maneno ni sumu, hzo chuki ndizo hupandikiza ubaya kwenye akil za watoto mpaka wanakuwa wakubwa wanakua wanaishi kimatabaka na wazaz. Unashangaa mzaz flan anapendelewa na mtoto kumbe mtt alikuwa na mentality mbov kuhusu mzaz mwngne tangu utoto
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Hiyo roho ya kimaskini! Hiyo nyumba anaishi x wake au na watoto? Chakula anakula kiasi gani hadi umapowalisha watoto ushindwe kumlisha na mama Yao? Futa hayo mawazo kichwani mwako sio afya.
@jacqueli18
@jacqueli18 8 ай бұрын
Umaskini ndo tatizo
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@estellemwai5402
@estellemwai5402 2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 2 жыл бұрын
Mmh watarudiana tu hawa
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 Жыл бұрын
Tuacheni bhna hawa wanapasha viporo 😂😂😂hivi mnajua kuachana nyie au Mnasema tu
@swaumamiriy2234
@swaumamiriy2234 Жыл бұрын
Hahaha wanatania hawa
@japhettobisha5481
@japhettobisha5481 2 жыл бұрын
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona
@registrationphone3593
@registrationphone3593 2 жыл бұрын
Ndo hapo n km km bado washkaji nn imeshindikana kuendelea kua pamoja...maana ndoa yenye urafik ndo nzr na hudumu zaid
@obrigadoofficial1506
@obrigadoofficial1506 2 жыл бұрын
👏👏 Hekima ya bongo flavor Kutoka kwa Shetta kuachana sio vita.kzbin.info/www/bejne/o2Skf2muq7mae6M
@safariadrien5348
@safariadrien5348 2 жыл бұрын
Kizungu cha nini baba 😅😅
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Sijui anajikuta naniii mdomo koma mimi naona aongee tu kiswahiliii🤣🤣🤣🤣
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 жыл бұрын
Miaka 21-30 umeoa na kuacha?
@JacksonThobias-wc6ml
@JacksonThobias-wc6ml 7 ай бұрын
Kitu kizito umepigwa
@iranangole7007
@iranangole7007 2 жыл бұрын
Mama Kaila Malaya Dereva wa Kaila Alikuwa anakula mzigo
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Unamjua sana?
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Mbona kiherehere
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 7 ай бұрын
Ukizubaa nawew anakukula mzigo.
@rashidahmed8071
@rashidahmed8071 2 жыл бұрын
Mademu wanatamaa
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 жыл бұрын
Hivi jamani naomba niulize huyu ndo yule anaejiita shetani?
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ndiooo siku hiz mpk kinge anaongeaaaa🙄😂😂😂😂
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 жыл бұрын
@@aminakipande5645 😭😭😭haya bwana
@jchriss4269
@jchriss4269 2 жыл бұрын
Bunduki ya hewa inayotengenezwa mbeya Tz na kijana mdogo tazama hii kzbin.info/www/bejne/gpibZamOqbyfjas
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
Zero
@mussajabiry3891
@mussajabiry3891 2 жыл бұрын
Mm ndonapend mfumo uo WA maisha cy mmetengan mnakua madui
@AminaIhera-cg2xr
@AminaIhera-cg2xr 11 ай бұрын
yani huyu nibaba hongera
@japhettobisha5481
@japhettobisha5481 2 жыл бұрын
wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 23 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 9 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 34 МЛН
SHETTA - NIPO TAYARI KURUDIANA NA MAMA QAYLA | BIG SUNDAY LIVE
17:05