Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 637
@yusrairakoze39667 ай бұрын
Nampenda sana uyu mama mungu ampe kila hitaji la moyo wako dada Amina ❤❤❤❤❤❤❤❤
@ZahraAmin-rz3zg7 ай бұрын
Ameen ❤
@user-ev1gs3fs7c5 ай бұрын
Vizur dada amina akuna ulichoficha na umeonesha maisha yako alisi kabisa mungu akuongezeee zaid ya ivi ulivyo tuonesha❤❤❤
@eddamsigala12016 ай бұрын
Nimependa kimoja kwako ambacho wengi hawana...umetuonesha maisha halisi ya kitanzania...hayo ndo maisha tunayoishi wengi wetu...pia hongera kwa mjengo..ngoja na mimi nikaishi site.......❤
@peragiamwanuke67037 ай бұрын
Nimekupenda sana dada, unaishi maisha halisi ya kitanzania. Hongera sana😘
@user-oo6fb8tv8j8 ай бұрын
Mungu naomba uwapatie watu wote wanaotaka kuwa na nyumba zao,mana adha ya kodi asikwambie mtu,
@bupemundigile7 ай бұрын
Amen kubwa
@mwajumaibadi84857 ай бұрын
Aamin
@FatumaMuya7 ай бұрын
Amiin ❤❤❤nimependa comment yako Mashaa Allah Ameen Ameen
@MaryBrayn7 ай бұрын
🙏
@baimarrajahbuayan62377 ай бұрын
Amiin
@magrethswai14407 ай бұрын
Niseme tu kuona mtu kafika hapa c mchezo hela ilio potea hapo daah aiceee hatari Sana respect kwako dada ❤
@achouraachoura57637 ай бұрын
Uyu dada nampenda Sana MUNGU Ampe maisha marefu
@pendokissatu9377 ай бұрын
Huyu dada Yupo REAL SANAA HAFEKI MAISHAAAA SHE IS BLESSED ❤❤❤
@user-op7zl7fo1r7 ай бұрын
Me rang yakee tu mashaalah. Nimependa maisha halisi ndo haya hongera maa mtu
@Juke9957 ай бұрын
Mashaallah kumbe sio mdomo tu na maendeleo anayo sio akina Masha
@user-fi9gm2et5r8 ай бұрын
Masha Allah tabalaka Allah mwenyez mungu akupe zaid nampenda sana huyu dada kwauchangamfuu wake ❤❤❤❤❤
@mwajumalubunga15348 ай бұрын
Nami pia nampenda sana tena sana ❤
@hellenjohn5186 ай бұрын
She's so friendly and humble
@tanzcanmediatv44738 ай бұрын
Napenda sana kuwaona watu wanaishi kwao Mungu amsaidie kila mtu amiliki nyumba.hata kama unalipwa laki anza kuweka elfu kumi kumi
@ZulekhaAmar-fy4pm7 ай бұрын
Amiin
@khadija57617 ай бұрын
Aaamin
@veronicahermani7 ай бұрын
Ameen dear
@Josephkp6297 ай бұрын
Wengne tuna ndoto za kupanga
@SallmaXg7 ай бұрын
Ameen Ya Allah
@Boaz227 ай бұрын
Hua nampenda sana huyu dada, hua natamani angekua dada yangu wa kuzaliwa nae❤
@salama11138 ай бұрын
Mm nampenda huyu dada afeki maisha❤❤❤❤
@RulebyJaz7 ай бұрын
Huwa naenjoy akiwa anaagizaga huyu mwanamke jamani nampenda sana❤️❤️❤️
@dottohami8 ай бұрын
Mashaallh 😍dada nyumba nzuri sana mtu kwake bwana 👌🔥
@miriamdavis38936 ай бұрын
Kubwa hadi raha
@fahadfahmy7 ай бұрын
Huyu Sister nimkarimu sana,mimi nafatilia kipindi chako Saleh tokea nianze kutazama sijawahi kuona mnapewa chakula
@latifaroro8777 ай бұрын
Diva mchoyo mgen alidai chakula akasema hapa hamna kula siwenyew leo hatukupka tuliagiza pilau
@Ohhvio7 ай бұрын
Mama star alimpa supu Pia
@norahfred64507 ай бұрын
Kwakwel na kwa nyosh ndio aliwapa zawad ya kot nzur na viatu
@fahadfahmy7 ай бұрын
@@norahfred6450 kweli nakumbuka na yule Dada anaejiitwa Kungwi alimpa chai
@eddamsigala12016 ай бұрын
@@fahadfahmykwenye vikombe vyake avipendavyo❤
@rahmaomaryomary-md5ck6 ай бұрын
Dada anaonekana mtu mmoja mshuaaa mnooo , story nying aiseee mtu wa kucheka ❤❤❤❤
@fanuelmahenge28536 ай бұрын
No kufake maisha bigup Sana Amina nakupenda Sana♥️♥️
@user-wg3it8uu5c7 ай бұрын
Kwenye kula umeniangusha dada siwa😭 kumbuka unakula na mgeni unarusharusha wali sana kinyaa
@ZulekhaAmar-fy4pm7 ай бұрын
Kweli
@BerthaModest7 ай бұрын
Kabisa nimewaza iv iv yan😂😂😂
@BerthaModest7 ай бұрын
Sema saleh tu nae kajikaz ningeacha😂😂
@josephlorri4317 ай бұрын
Maisha ya kijijini hasa
@ashamayuwe28917 ай бұрын
Dada mzuri na mwenyewe roho Nzuri MashaAllah.
@user-gt9mj7ii9g8 ай бұрын
I love it nyumba ina space kubwa nitaomba ramani😊
@irakoze37628 ай бұрын
Ndoto nao nikufe mimi nimeshajenga ya rabby 🤲🏻nimiachie nyumb mtoto wang
@obim84948 ай бұрын
Dah mung atusaidie jmn😢
@ZsbAlbarwani8 ай бұрын
InshaAllah amiin kwa sote
@JanethMadios-oe5ue7 ай бұрын
Inshaallah tamaa yetu sote wenye watoto!......Allah atuongoze na kutupea wepesi kwenye mafanikio yetu!... Aaaamin🤲🤲🤲🤲🤲
@irakoze37627 ай бұрын
@@JanethMadios-oe5ue amiin ya rabby🤲🏻
@fatmaallyabdul17328 ай бұрын
Hongera kwa kujenga nyumba nzuri,no fake life ... nakupenda sana Siwa
@anethmshahara85197 ай бұрын
Jamani nampenda huyu dada halafu kumbe ndivyo alivyo hata maisha ya kawaida tu ❤
@nunnyissah70277 ай бұрын
Ukimkuta na flora mvungi ni balaaa
@tawsi-yc3nk7 ай бұрын
Yaan yupo simple mno mungu ambariki kwakweli tena hana majivuno❤
@rahimaaaaa56827 ай бұрын
@@tawsi-yc3nkamiina mzungu flan ivi😊😊😊
@lilianpeter16318 ай бұрын
Anaonekana ana roho nzuri sn huyu dada
@HawaSadock8 ай бұрын
Uyuuu dada jamanii amenifanya Nimpende zaidi maana yuko free na kuonesha mambo ake!! Sema zuwena jua kali alivopigwaaa tekeeee ktk harakati za kudai kodii😅😃😃😃😃😃😃
@judnesstemba72528 ай бұрын
Yaani tangia uyu dada Siwa kaigiza kombolela namkubali sna
@bimumaulid11718 ай бұрын
Mashaalah kwa kweli umejitahidi sn nyumba kubwa alafu ya kisasa
@daydaypapaa77098 ай бұрын
Nimempenda hana mambo mengi ❤❤
@Ali-nl2du6 ай бұрын
Literally down to earth, Allah akujaze kheri na barka
@SashaOscar8 ай бұрын
Napenda xana watu ambao wanaish maisha halisi na sio maisha fake, hongera xana Siwa 😍😍😍😍
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
Kabisa Yan, sio kama kina gigy money😂😂😂umber lulu, kujiekti hawana lolote kumbe wanaliwa nyuma nyumba hawana😂😂😂😂Kaz kukosi mi apartment TU akili ya kujenga haipo mwendonikuliwa nyuma TU mtihan😂😂😂
@user-gl8lw6uk9w8 ай бұрын
❤
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
Ety siwa 😅😅
@DoreenDaniel-hd7kv8 ай бұрын
Hongera Dada jamon
@safiaommy57967 ай бұрын
Daaah Huyu njo RoleModel wa Tz kwenye Waigizaji 🙌🏻🙌🏻 yupo Really sanaaa👌👌
@gracekretus18517 ай бұрын
Nakupenda Sana dada nakupenda nataman ata ungekuwa dada angu ila nakupenda dada siwa ❤❤❤❤
@deega12347 ай бұрын
humble lady, lives simple like most of us in Tanzania
@zurekhamuhidin49056 ай бұрын
Lp
@zurekhamuhidin49056 ай бұрын
Pp😊😊 L 10:10
@zurekhamuhidin49056 ай бұрын
N.
@zurekhamuhidin49056 ай бұрын
😅Keep 😊
@user-fi4ck7ii3p8 ай бұрын
Ukishi maisha ya ukwel raha sana allah akujalie uishi iv iv kipenzi changu siwa usiwaige wasani wanaoishi maisha ya uwongo
@RakaPk7 ай бұрын
Nakupenda sana dada siwa mungu azidi kukubariki akupe maisha marefu ❤🎉🎉
@madownloadionlinetv7598 ай бұрын
😢dada angu nakukumbuka sana tulikaa wote senegal kwa mzee majala baadae ukaamia kwa kiskuna nakumbuka mengi sana mm hassan
@madownloadionlinetv7598 ай бұрын
kipindi hicho mm na dulla wote tunafanya kaz kwa kiskuna
@rukiaiddyyahaya95068 ай бұрын
@@madownloadionlinetv759😂😂😂😂kumbe watu wenu wa karibu
@MatswelopeleMphela7 ай бұрын
Da amina mungu akufungulie baraka uko very humble.
@fatumamohamed4545Ай бұрын
Yan nnapenda uyu dada vyeny ni muazi afeki maisha allha akupe hitaji la moyo wako da siwa ❤from kenya
@michilita29597 ай бұрын
Mashallah siwa sio water wadada wa mjini wanaokufikia swali sana mkubwa wangu Allah akuongezee
@SheylaMuddy6 ай бұрын
Hongela daa Amina ulipofikia km kweli hapo kwako
@Mimy_keys7 ай бұрын
Siwa jmn tunakupenda ❤ MashaaAllah Nyumba kubwa mno 🎉
@RedmiNote-wv6cn7 ай бұрын
MashaAllah ongela dada Amina nami inshallah mda so mlefu nitakuwa mama mwenye nyumba inshallah ❤❤
@RioIpo7 ай бұрын
Da Siwa nakupenda sana, mie ilo bezi lako tu linanikosha
@aishabrondi2368 ай бұрын
Wengine wanaishi maisha yakuigiza. Hongera siwa nimekupenda sana
@Niabebewamor8 ай бұрын
Mashallah dada amina nyumba nzuri sana ❤❤❤❤❤
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
Siwa nakupenda huekti maisha kama wakina gigy money, kujidai wana hela nyingi kumbe wanazpata hela kwa kuliwa nyuma na kukodi apartment za gharama tu kashfa tupu, lkn wewe dada hongera❤❤ maisha yako normal mashallah❤❤❤❤
@GiftAbduly7 ай бұрын
Mashallah amina nakupendaga jmn et unamajin 😅😅😅 saiv wameona mjengo watajileta zaid nawakija watupie majin mama tutakusaport😂😂😂😂😂❤
@swahibaswaleh13486 ай бұрын
Nakupenda sana dada ❤❤❤❤
@user-eu4kj1bs5x6 ай бұрын
Eti tunakaa tukiwa tunakunya jmn ila hana baya nampenda xan❤
@benadetamtabo74377 ай бұрын
Mimi nyumba ishakamilika Mungu nipe hela nijenge ukuta sasa 🙏🏻
@asmahtamla47497 ай бұрын
MAASHA ALLAH 👏
@shynahesther59187 ай бұрын
Hongera sana
@mohamedhussein-qb5sgАй бұрын
Very Natural ... hamna longo longo hapo
@user-ri3zj6tu4t8 ай бұрын
Unaanza vizuri wamaliza vibaya na kula una uctaharabu .
@user-xw9wo7nh6c3 ай бұрын
hogera sana mrembo mungu uwapenda watu ambao wanajishusha ambao wanaonekana dhalili ktk maisha yao allh uwa pandisha dalaja kwa kila kt kuwa msili ktk maisha yako ni vzr ikiwezeka wao ndo wayatafute wayajue sio ww
@LeylaHamisi-qh3kb8 ай бұрын
Ulaji wa Siwa sijaupenda 😏 weeh anakula chakula anakilushia umoh umoh kwenye sahani
@zuwenasalim27948 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣utaki utakula ,kula ukitaka ,
@user-dm4wf4rv9f7 ай бұрын
,,,,😂😂v😂😂😂😂
@rukiaabdul71917 ай бұрын
Maa Shaa Allaah dada Amina..Kwako pazuri na mwenyewe hauna maringo.
@yasminoluoch1697 ай бұрын
MASHALLAH ❤❤❤ AM SO PROUD OF YOU❤❤❤
@shanishani-qv3bc8 ай бұрын
Mashaallah kumbe yangu nasema ndogo nafundi anambia nyumba kubwa hii dada mungu anisimamie nimalize salama
@FatmaMwinyi-jt2rr7 ай бұрын
AMIIN😊
@sadihashimu46647 ай бұрын
Nampenda kwel kwel yan Hana kujishauashaua yupo kawaida kabisa❤ Alf anakula Kama sie wengine tu analikung'uta tonge haswaa😂😂😂😂😂😂
@mariamisser32476 ай бұрын
Nakupenda dada,mungu akupe nguvu.kujenga si mchezo❤
@DottoKitambi5 ай бұрын
Manshallah nimempenda ni msafi sana allah akujaalie afya njema ishallah
@happyfaniabatromeo80108 ай бұрын
Pazuri hongera Sana Dada siwa 🔥🔥🔥🔥
@mnyangabejowrlicecy17478 ай бұрын
Napenda sauti ya huyu Dada❤️❤️
@DionisiaGeorge5 ай бұрын
Dada Amina mm pia napenda michezo ya kula 😊😊 cku nikija Dar ntakutafuta ❤❤❤
@user-ft9so3kf6j7 ай бұрын
Mashaallah dada yangu kuwa na nyumba sio jambo dogo ❤❤❤
@binaljabirmshihirzanzibar83697 ай бұрын
Yeah!!! Cyo mchezo
@priscakimburi-sl9ml8 ай бұрын
Wow siwa love you from Kenya napenda unavyoigiza haswa kwa kombolela nlikufwatia mpaka ikaisha
@LucyKulaya-bj5ow8 ай бұрын
Hii nyumba ukiisha zikiingia funitur zaukwel nitamu aswaaaa
@joycem48787 ай бұрын
Ukiwa mama mwenye nyumba Raha sana asante Mungu
@user-mb7ye5kp6p7 ай бұрын
Yaani huyu dada Hana baya nampenda sana
@maryjames74386 ай бұрын
Jamn huyu dada nampenda sana Mungu akutunze ❤❤❤
@jacklinechuga25698 ай бұрын
Uyo mtoto ningemuwasha mkofi mmoja akae atulie akiii 😂😂