Rapper SAIGON afunguka sababu ya KUACHA muziki na kuzama zaidi kwenye DINI ‘Nilifiwa na Mama, mke’

  Рет қаралды 17,296

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Basaga Mp4 Ft One Six & Saigon - Kabla Sijafa (Official Video Lyrics)
• Basaga Mp4 Ft One Six ...

Пікірлер: 112
@nasserm.nasser5087
@nasserm.nasser5087 Ай бұрын
Mtu wangu mshikaji wangu sana, saleh saigon, tulikuwa pamoja almuntazir sekondari upanda na akina eliamani seushi, kwame ndulute, Hamis kika na imam Shafi Mimi ni mtu wako na nimefurahi kukuona ukiwa na afya na furaha pamoja na mitihani mingi uliopita Ukipenda nikontakt ndugu yangu. Mimi ni Nassor almaarufu donnas. Nimefurahi sana kukuona na furaha MashaAllah
@contempo_builders
@contempo_builders Ай бұрын
Ooooooi oooooiiiii................ Basaga ana nidhamu sana.
@FrankMbuna
@FrankMbuna Ай бұрын
Deplowmatz 'Dpt Crew' Founder's..shout out saigon,Dola Soul,Stiggo,Storm "Amour Shamte" rip to CrissMansa...
@gambajunior138
@gambajunior138 Ай бұрын
Namna Saigon anavyosimulia, najifunza vingi hapo.. 🏆🏆
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Jamaa ndo waanzilishi wa hiphop bongo miaka ya tisini saigon na Ana slang kali sana
@craftmediatz
@craftmediatz Ай бұрын
Saigon my brother you need to make your own platform, you have a very strong background i can say rich background and one of the realest hip hop mc so make it happen youtube is one thumb away
@KalamuYaGalana
@KalamuYaGalana Ай бұрын
in support
@juniorsonofgod5675
@juniorsonofgod5675 Ай бұрын
Nilikua natamani sana muone huyu jamaa 😢... Nilijua atakua umezeeka na amechoka mbaya kweli... Kumbe Ndo kwanza kijana... Hongera sana broo Saigon🎉
@robertmalale9097
@robertmalale9097 Ай бұрын
Bring back Saigon tenaaa tunakuombaa sanaa kaka SKY yanii interview inaishaa na unaonaa kabisaaa bado ile kiuu ya kupata madiniii bado ipo
@Chelar_haule
@Chelar_haule Ай бұрын
Umenikumbusha enzi za hip hope base kipindi icho! Watoto wa 2000 hawawez elewa ilo pindi oyaaa sio powaa kabsa! Ni real hip hop segment kibao za kinyama
@DavidMwakilembe
@DavidMwakilembe Ай бұрын
dah huyu jamaa yuko humble sana
@Basagamp4
@Basagamp4 Ай бұрын
Thanks For the Looove❤
@ahmeddola4648
@ahmeddola4648 Ай бұрын
Ujumbe umefika ma kamanda Basaga + Saigon ! Endelea kujinowa na kuboresha kazi. Uko na mwalimu Bora kuliko wote, Masta Saigon ! Big up Sagg represent the Real Hip Hop. Pamoja sana, Balozi Dola
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Ай бұрын
Pamoja sana Balozi
@khanafrica22
@khanafrica22 Ай бұрын
#Balozi🎉
@RaiderTube
@RaiderTube 15 күн бұрын
Wengi walikuwepo sasahivi wako wapi, balozi bado nipo ninapanda kwenye chart...
@almaxmovies
@almaxmovies Ай бұрын
DAMN! WE NEED ANOTHER EPISODE FOR SAIGON
@Chemba67
@Chemba67 Ай бұрын
Great to see Saigon looks health and comfortable💪
@zulfikakalumba1977
@zulfikakalumba1977 Ай бұрын
Sky,Saigon and Basaga good interview
@samwelmasssawe1767
@samwelmasssawe1767 Ай бұрын
Ebhana Basaga nina tracks zako kibao, ikiwemo wanaume wa dar ila sijawahi kujua ndio wewe. keep goin bruh unajua sana oii
@EmbassyofTheStateofPalestinein
@EmbassyofTheStateofPalestinein Ай бұрын
maandalizi yanahitaji kwa hakika tujiandae, katika kila mtu ambaye ajuae yupo mwenye anayejua juu zaidi yake yupo ambaye ajuaye
@peterchidemi7762
@peterchidemi7762 Ай бұрын
Mama rudia
@peterchidemi7762
@peterchidemi7762 Ай бұрын
Mama rudia
@Kiggy22
@Kiggy22 Ай бұрын
Duh asante sana kumleta Saigon, is the best rapper mate
@brightvatta284
@brightvatta284 Ай бұрын
Saigon respect brother
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Ай бұрын
Huyu jamaa ni mwamba kabisa yan ooi
@kingnyamafutv8646
@kingnyamafutv8646 Ай бұрын
Nimefurahi sana kusikia amepiga msamba
@nurdinkarata7985
@nurdinkarata7985 Ай бұрын
Huyo bro ni 🔥 tumemiss kazi zake
@ksonrap
@ksonrap Ай бұрын
Oiiiioii Legendary Fikra Pana 🫡💎🧠
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Jamaaa alikuja msikitini kwetu mbezi beach na mashekhe katoa mawaidha ni balaa utafikir idhaa ya kiswahili ya DW
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Saigon kichwaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥🔥
@nasserm.nasser5087
@nasserm.nasser5087 Ай бұрын
Hiyo finishing na freestyle ndio nimekukumbuka sana saleh Mzee. Nitafute mimi ni don Nas tulikuwa wote almis..Enzi hizo kila hatua ulikuwa ukipiga mistari kinoma
@abuunyalioto1752
@abuunyalioto1752 Ай бұрын
Oi oi Saigon namkubali sana huyu mwana
@mossesmungure8982
@mossesmungure8982 Ай бұрын
Oooi.... Ajiiib
@Chemba67
@Chemba67 Ай бұрын
My dream collabo/Saigon ft. Brian Simba, Imam Abbas......
@gnmbi
@gnmbi Ай бұрын
Oii oii kalinye kalinye episode
@Vichuda_Tz
@Vichuda_Tz Ай бұрын
Kabsa Yani, Malejendi Tukutane hapa
@justcruize
@justcruize Ай бұрын
noma sana kkmk this is real hip hop
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Sijui Saigon nini kilimuangusha alitakiwa awe mbali sana kama mwenzie balozi dola soul
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
#ahmeddola4648
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Ай бұрын
Sahv ni amekuwa mtu wa ibada
@eddytheblayze3810
@eddytheblayze3810 Ай бұрын
Skiza Tena pale alipoongelea familia utapata picha flan
@HaikaFredrick
@HaikaFredrick Ай бұрын
Kwani Balozi yuko wapi?
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
@@HaikaFredrick marekani kitambo sana
@SululuZungu
@SululuZungu Ай бұрын
Bg time my g saigon
@omarysaid8725
@omarysaid8725 Ай бұрын
Ebhana daaah kalinya kali
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Ай бұрын
Arudi Saigon kwa ajiri ya historia ya kundi lao, itapendeza
@SuddyElite-pq5ur
@SuddyElite-pq5ur Ай бұрын
We saigon si ulisema umeacha mziki na umahamia kwenye dini mpaka ukawa tunakuona tv imaan ukitoa da'awa maeneo mbalimbali nchini kama bukoba na kwingineko?. KIMEKUKUTA KITU GANI TENA???!!!!!
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ayk20
@ayk20 Ай бұрын
Umemsikiliza vizuri?ana rap nn?kwan kwenye dini hakuna kuimba?inategemea unaimba nn
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Hujumaaa noma hanashobo na kiswakinge
@Selemanian
@Selemanian Ай бұрын
Mi nilijua labda ana miaka 60 something kumbe bado kijana tuu
@aligomatumla2930
@aligomatumla2930 Ай бұрын
Oioiooooi shikamo bro
@alisaid5392
@alisaid5392 Ай бұрын
Huyu ndio msanii.
@GREATESTHITSREPLAY
@GREATESTHITSREPLAY Ай бұрын
mi sio mzee asee lakini kusema ukweli leo ndo napata picha kwamba SAIGON na BALOZI walikuwa kundi moja DIPLOWMATS dah asee jamaa hawa wameanza rap mi sijazaliwa
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g Ай бұрын
Huyu kuna kipindi nilisikia kwenye kuitumikia dini vp..
@Mawe156
@Mawe156 Ай бұрын
Namkubal sana ungemuuliz Jin lake Lina maana gan. Jamaa namkubal sana
@AdamCharles-cc8vr
@AdamCharles-cc8vr Ай бұрын
Diplomats.... Ana slaing imenyoooka sanaaaa
@shabanponera2895
@shabanponera2895 Ай бұрын
Childhood yake aliishi nigeria huyu
@PeterMalima-fc4tf
@PeterMalima-fc4tf Ай бұрын
Kaishi UK
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Ай бұрын
Shule anayo halafu mhuni freestyle zinakuja tuu
@AdamCharles-cc8vr
@AdamCharles-cc8vr Ай бұрын
Hatari sana huyo mtuu
@majaliwaandulile8379
@majaliwaandulile8379 Ай бұрын
Ooiii ooiii
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Lakini angekuwa mwenzangu namimi yes no you no zakutoshaaa
@augustinojohn9481
@augustinojohn9481 Ай бұрын
👊👊👊
@SipeKato
@SipeKato Ай бұрын
Saigon Karne Karne dooh ulikuwaa mkali kipindi Cha nyumaa uliendaa wapi uonekanagii
@mlamytz
@mlamytz Ай бұрын
Ooi kuna ile rudia ile ngoma noma sana
@webstersinje7712
@webstersinje7712 Ай бұрын
Simulizi na Sauti zimepata msimuliaji yaani burudani na maarifa mengi....Kunta...Kinte.
@saidulaya7308
@saidulaya7308 Ай бұрын
EBWANA DAAAH OIIIII😂😂
@nicholouspaschal3586
@nicholouspaschal3586 Ай бұрын
Oooooooi...... oooooooi
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 Ай бұрын
saigon
@aaronjohn416
@aaronjohn416 Ай бұрын
Brother sky kama itakupendeza mpe ajira Saigon kwenye SNS awe na session yake arudishe kipindi cha hip hop Base
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Ай бұрын
Daah umeongea kikubwa sana kweli tunamiss sana hip hop base itafanya hata hip hop iwe still
@webstersinje7712
@webstersinje7712 Ай бұрын
Jamaa pekee kuhusu Saigon sijawahi kumuona kichwa wazi lazima ukute kafaa kofia,kitambaa n.k kichwani mwake....Kunta...Kinte.
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Ай бұрын
Oiiiiii
@editorfrank7471
@editorfrank7471 Ай бұрын
Huyu ndoaliyekuwaga anasemaga eee bwanaa daah
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Ай бұрын
Yeah ni yeye
@khalidibero
@khalidibero Ай бұрын
Saigoni anatakiwa awe na account za mitandao ya kijamii ili angalau mashabiki zake wawe karibu nae.
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 Ай бұрын
Ningumu sana ila Tuombe mungu
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
kwani uyo saigon azeekagi??
@timothymikola2317
@timothymikola2317 Ай бұрын
Sasa hivi ana miaka 48
@seifmiraji43
@seifmiraji43 Ай бұрын
Hehehe hii comment ndo nilokua naitafuta kweli huyo mchizi toka mm niko dogo yy yuko hivyo hivyo hadi saiv niko na 33 yy bado yuko hivyo hivyo
@ikabako2454
@ikabako2454 Ай бұрын
Mtu akifa anaweza akazikwa na amapiano pia 😅
@alexanderhaule7667
@alexanderhaule7667 Ай бұрын
Saigon akutanishwe na zombie , kuna kitu nakiona.
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg Ай бұрын
Ajeeb sana
@makukamakaveli6581
@makukamakaveli6581 Ай бұрын
Bro mtafutie session huyo jamaa ana madini mengi sana ya kutupa...Diplomat and Kwanza Unit natamani sana kusikia story zao na wapo wapi kwa sasa...very interesting to hear abt them
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Ай бұрын
Hahahaha Saigon ukiongea tu naona kama unarap tu
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 Ай бұрын
watt wa buku mbili hawawezi kusikiliza hii interview
@kingtoldipset7050
@kingtoldipset7050 Ай бұрын
😂😂😂😂😁😁😁 kabisaa hawaelewi na hawataelewa hadi waeleweshwe
@josephdonald6199
@josephdonald6199 Ай бұрын
Rudia...😂😂
@trex6661
@trex6661 Ай бұрын
Huyo msanii mwengine ni motivational speaker 😂😂😂😂
@timothykaiza327
@timothykaiza327 Ай бұрын
Huyo jamaa wa kikofia cha yanga linasifa 😂😂😂
@bongomastory791
@bongomastory791 Ай бұрын
Watoto WA 2000 hamumjui Saigon
@mutaji5454
@mutaji5454 Ай бұрын
Saigon uyo ebwana dah ebwana oi oi😂
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 Ай бұрын
Huwez kumjua kma umezaliwa buku 2
@FrankMbuna
@FrankMbuna Ай бұрын
Uyo ndo miongoni mwa walioweka msingi wa hii industry..so pay some respect..soigon yupo so knowledgeable sio sifa mdogo wangu..soma,jifunze..ktk maisha yako..
@seifmiraji43
@seifmiraji43 Ай бұрын
Huyo ni miongoni mwa waanzilishi wa hip hop miaka ya 90
@bakarikilangilo5197
@bakarikilangilo5197 Ай бұрын
Huyu dogo mbona Kama miyeyusho flan hivi. Yupo very slow Hana michakato ya ki Hip Hop, Hana zile swags Kama bro ake
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Ай бұрын
Na ukweli uyo si ndugu yake wanafamiana tu
@abuubaqr5808
@abuubaqr5808 Ай бұрын
Michakato ya kihiphop ni ipi?? 😂😂msela anaheshima na nidhamu unataka afanye fujo?
@trex6661
@trex6661 Ай бұрын
Jamaa Jamaa ni motivational speaker speaker kuna kitu hakiko sawa kichwan😂😂😂
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 Ай бұрын
​@@trex6661una matatizo sana wew Huyu mpole tuna Ana eshima sana
@josephjohn8363
@josephjohn8363 Ай бұрын
Tbway360 role model wake atakua ni huyu jamaa aisee yaani nikimsikiliza Broo Saigon na sauti ya Tbway naona zinafanana sana.
@magnuslunyungu4894
@magnuslunyungu4894 Ай бұрын
Kuna kipindi walifanya kipind kimoja, ilikuwa kutafuta vipaji vya makundi kwahyo upo sawa kabsa
@justinesonga926
@justinesonga926 Ай бұрын
Yeah uko sahihi
@ShedrackSylvester-yl6be
@ShedrackSylvester-yl6be Ай бұрын
Dance miamia hy oiii ebwana daah
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv Ай бұрын
Basaga anaongeaje huyu
@eddytheblayze3810
@eddytheblayze3810 Ай бұрын
Dance mia mia alianza Saigon alikua anakichafua mbayaa
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 16 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
''NITAFANYA MJADALA na NAY wa MITEGO - NITAWAALIKA" -  RC CHALAMILA...
6:58
Mkasi - SO4E03 with Saigon
28:08
MkasiTV
Рет қаралды 78 М.
I Parking My Car 😂 #shorts #funny #viral
0:11
Funny Club TV
Рет қаралды 4,9 МЛН
Togg vs Colt Czt #araba #automobile #arabalar #car #fast #roll #drag
0:28
РЕЗКА РЕЗИНЫ ДЛЯ ШИН
0:40
MakkClips
Рет қаралды 7 МЛН
Every car need this.#car #carhack #shortsyoutube
1:00
Chaudery Auto Traders
Рет қаралды 3,1 МЛН