Mimi naishi maisha ya tofauti , mpaka family ainielewi, coz I choose to be positive, hata pale napoambiwa uwezi! Naamini Mungu yupo ndani yangu ataniwezesha
@kidongojoseph3 ай бұрын
Endelea ivo ivo
@emmanuelpatrick29693 жыл бұрын
Hua unaongea vitu vikubwa sana brother mtu ambaye akili yake imebebwa na vitu vya dunia sio rahisi kutambua unacho zungumza unagusa maisha ya watu sana na ndio mafanikio yako MUNGU akubariki
@twahaally19693 жыл бұрын
Kuna muda natamani sana WATANZANIA sote tuwe tunamsikiliza life coach MR NANAUKA.
@richardmpuya53793 жыл бұрын
Habari bwana Joel, I'm 40yrs old, na familia yangu lkn wazee wangu wana ning'ang'ania nikaae nao lkn sina uhuru wa kufanya vitu vyangu ushauri tafadhali
@monamzonge13983 жыл бұрын
Tangu nimeanza kukufatilia nimejikuta nakuwa wa tofauti sana umenisaidia kuishi vile ninavyotaka Mungu azidi kukubariki kaka
@edwinwilliam26613 жыл бұрын
One day naamini nitakutana na wewe mwalimu wangu wa personal development knowledge 🙏💪💯
@Hopestone_counselling_point.3 жыл бұрын
Brother you inspire me a lot, nimefurahi kusikia maelezo mazuri ya hiyo experiment ambayo ni maarufu kwa watu wa psychology including me
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante sana Kelvine, tuendelee kujifunza.
@enockedward1783 Жыл бұрын
Kwa Hii nondo, Narudi kwenye mstari.. Kilicho ndani yangu ni cha Tofauti ndio maana naambiwa sio hivo make wao wanafanya vya kawaida Mimi ni watofauti Dunia itajua tu.. Muda Utaongea Shukrani Bro JoNanauka
@kelvinphillip10483 жыл бұрын
Nakushuru sana kwa sababu wengi wananiona ni wa tofauti ikiwemo marafiki hasahasa kwa lifestyle ninayoishi pia naomba unishauri Namna gani ntaweza kujiongezea dhamani
@blazegal32982 жыл бұрын
Your lectures it gave lesson also change people in all circumstances in life congratulate
@FaizaPhilipo-gg5dm Жыл бұрын
Thank you Life Coach Joel. I have learned alot through this na nimekuwa nikiishi informative influence katika maisha yangu due to fake friends around me. Be blessed Joel😊🙌
@nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын
Kaka. Tokea nianze kukufatilia miezi mitatu ilopita. Nimekuwa mtu wa tofauti sana mwenyewe najiona. So nilivyosikiliza hili somo. Jibu ni RAHISI. Mimi ni Mtu wa tofauti Kabisa. Jibu langu huwa ni moja *Mi si kila Mtu *. Be blessed Brother.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Hongera Sana na nashukuru kwa mrejesho.
@PublicTeacher Жыл бұрын
Aiseee katika mada nzito..Hii ni moja wapo... Yaaani nashukuru saana najitabidi katika haya!!!
@gerriesilili27033 жыл бұрын
Nilikuwa naendeshwa Sana na informative influence lkn tangu sasa nimefunguliwa macho na masikio. I regret why I didn't know about that before. Thank you bro
@sportbundletv45103 жыл бұрын
Congratulations I used to be different from others for along time but now I see the fruits maana mm naamin nachokifanya kuwa nisahihi maana ndokinachonisaidia 🇹🇿🌹
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Ni maisha yangu asante sana leo nimepata jibu, maana watu wengu wa karibu huwa hawaelewi. Asante sana
@samsonhaule36473 жыл бұрын
Nikweli kabisa msimamo wako ndio Utakao kusaidia kwenye maisha yako.
@dailyloyal24203 жыл бұрын
I find something new every time I listen to your great teachings, mkuu🙏
@ambrose_vevo1372 жыл бұрын
Nimeshindwa kucomment ndugu .....maan umemaliza kila kitu....pamoj sana
@staraabdul4675 Жыл бұрын
Mungu akupe umli mrefu kiukweli umenibadilisha sana na nimebdilika sana ira bdo kitu kimoja kinanisumbua sijuw utanisaidiaje maana kuna ndugu wengine bhna wanaludishana nyuma ki maendereo😊
@chrispinegervas16813 жыл бұрын
Safisana brother, kiukweli kwasasa nimemaliza diploma ya pharmacy, wazazi wao wanapenda sana me niweze juajiliwa na kazi mbili pia zikaja ili niweze kuajiliwa lani me nilicho wambia sitaji kuajiliwa kwakua me inatakiwa nipambane kwakufanya kazi zangu mwenyewe kisha na me nitengeneze ajira kwa watu waje kuajiliwa katika office zangu, na nikizibgatia nilipo kua chuo kuanzia mwaka wapili nilianza shuguri ya ukopeshaji wa pesa kwa wafanya biashara wadogo wadogo kisha wakinilipa kwa riba,kiukweli mpaka sasa nimwaka wapili umeisha tangu kuanza kwa kazi hii na biashara hii inakua kwa speed sana, kwakua nakifanya ninachokipenda zaidi
@eliasilwimba1872 жыл бұрын
Huo ndio ukweli,wengi tunafanya /kuishi maisha ya kufuata mikumbo.Mungu akubariki
@bundalafrancis42623 жыл бұрын
Somo zuri Sana brother na tamani watanzania wengi wangepata Wasaha wakukitazama hiki kipindi by the way huwa nasambaza video zako pia endelea kutoa elim kwa jamii big up
@masanjamanija41753 жыл бұрын
Somo zuri, naomba niendelee kupata somo zaid
@ezekielpanga75993 жыл бұрын
Umenijenga mkuu niko kwenye nomative influence hence nilicho somea ni kingine but inside of me I feel moto ambao so wakawaida tangu nilipogundua gifts au talent yangu ineed more help from you see you blessed kaka
@ramagwama22463 жыл бұрын
Nakubal mwalimu Yani umenigusa mm nko Ivo naishi kulingna na uwezo wangu spendi kuiga bas mda mwngi nilkua najiona kambae nimeptwa na wakti bt nashkuru umenijnga tna
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel hakika Bwana anisaidie niwe wa tofauti
@almunadhaf Жыл бұрын
kusema mr.joel mimi ndio maisha yangu ninayoishi nikijukuta nikitaka kuiga maisha wanayoishi watu wengine najikuta nashindwa nafsi yangu inakataa nikaamua sasa hivi ni ishi ninavotaka kuishi na kuwa na msimamo wangu pekee.
@dadatenga84152 жыл бұрын
Asante sana brother kwa ujumbe mzuri. Unagusa sana maisha ya watu. Mungu Akubariki sana
@georgemarwa23062 жыл бұрын
Duh Kaka Joel nimekua nikifatilia Sana mambo yako mengi na Sasa umekua mentor kwangu hakika kwa hili uko sahihi Mimi Ni mmoja wa watu wanaotaka kua tofauti na wengine lakin environment influence naona inan influence kufanana na wengine
@juliuxmachum27723 жыл бұрын
Sina cha kusema bro u really enspire me a lot... I really appreciate this well done.... Keep it up.✊🏿✊🏿✊🏿
@officialmtiamoyo69223 жыл бұрын
Kaka nina talent yangu, I want to be there na tukakaa meza moja siku moja, nakusikiliza sana ebony fm
@waziriissa70183 жыл бұрын
Unakitu unanifungua moyoni mwangu hongera sana unanifanya niwe jasir na kujua mengi mungu akubariki namimi pia niombee kwa mungu mwenyez Asante ⛪
@williamo.pambila32213 жыл бұрын
Mimi ni mmoja ya watu wanaoishi maisha ambayo sio normative wala informative
@RobbytheTrainer3 жыл бұрын
Nafanya mambo yangu tena kwa kupenda. Thank u for inspiration nadhani nilichelewa kupata maarifa haya nmejkuta nmepoteza muda mwingi sana.
@christinawallasch52283 жыл бұрын
Ni Maisha niliochagua kutokana na ndoto niliokua nayo na safari ya maisha yangu, naomba msaada zaidi.
@asnaabububu22973 жыл бұрын
Mm katika maisha ninaona nibora niishi tofaut na wengine ni bora kwangu mana pia inanisaidia kufanya vitu vingi kwangu kwa wakat
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa.
@mtamilanyambalo92613 жыл бұрын
Kweli kabisa watu wengi tumeshindwa kutambua namna sahihi ktk Mbinu sahihi za fukia Mafanikio chanya ktk Maisha. Asante sana Ndg Joel kwa Masomo Mazuri.
@richardrassia00132 жыл бұрын
Nimefarijika sana kwa somo lako kwa kweli maana katika maisha yangu huwa naamini sana jambo ninaloamua kulisimamia hata kama napingwa na asilimia kubwa sana ya watu sikubali kufuata wanavyotaka zaidi ya kile nilichokiamini na kukisimamia, na baadae nichoamini na kukisimamia kinakuwa na tija kubwa sana na watu hushangaa na kunipongeza! Umenitia moyo sana kaka ubarikiwe
@victadaud95192 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni aendelee kukutumia zaidi na zaidi katika masomo yako mengi tunajifunza 🙏🙏🙏
@annejackondera36592 жыл бұрын
Hey Mimi naitwa Anne, Nimeokoka YESU ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu, Nimesikia ushauli wako na nimeipenda, Na Mimi naishi maisha yangu, Na huwa tatofautiana na watu sana wakitaka ni ishi maisha Yao, lkn kwangu ilinishinda, Na huwa naishi maisha tofauti sana na wengine, Wakati mwingine nakuta nafanikiwa sana kuliko hao wengine
@moloimetinanjarati7523 жыл бұрын
Thanks brother joel god bless you
@heriethnyaki48163 жыл бұрын
Hongera kwa kaz nzur ya kubadili taifa na dunia kwa ujumla. Najitahid sana kaka kukusikiliza lakni mpk sasa cjajua kipaji changu ni nini.
@valencirwehumbiza15793 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kaka kuishi unachokiamin siyo waengine wanacho kuaminisha Asante sana kwa Elimu hiyo🙏🏽🙏🏽
@saidiseph17773 жыл бұрын
Asante sana Brother mafunzo yako yanakua serious na yanatoa uhalisia wa watu wengi kwann maisha haya tunashindwa KUFIKIA hatua ya mafanikio hiki kitu kimenifanya nikawa wa tofauti sana na hapa nimeongeza knowledge
@alphoncetyoza15433 жыл бұрын
Be blessed so and so
@rosemuhazi95423 жыл бұрын
I live my life kitambo sana nilikua na ishe maisha ya watu walinipoteza sana hadi ni kajuta
@sylvestermgimba5483 Жыл бұрын
Asante sana lecture ubarikiwe sana hakika masomo yako yamekua funguo
@getrudahmwakasege54433 жыл бұрын
Ahsante kwa ushauri mzuri Joel.umenifanya nijiamini zaidi.mimi naishi vile nionavyo mimi.si Kama waonavyo watu wengine au wasemavyo.
@AmriSuleimani-we1xi Жыл бұрын
Nashukuru MUNGU me kwa upande wangu maisha ninayoishi ndio maisha nilochagua japo familia yangu haikuweza kunielewa juu Ya maisha nilochagua kuishi coz my family iliamini sana ktk elimu nami niliamini sana ktk biashara
@amanarts2553 жыл бұрын
Much respect bro nimesoma vitabu vyako vipo poa sana.
@mariamm27243 жыл бұрын
Mungu akujaalie kaka unahususisha maisha ya wengi mno , toka nilivoanza kukujuwa 2017 ninajifunza mengi mno , na hicho ulichosema kusahau yaliyo pita japo ni magumu mno , nikishayatupilia mbali saizi naangalia kesho yangu tu.
@JulieAmos-to5po3 ай бұрын
Najifunza vitu vingi sana ndugu barikiwa sana
@patrickjoseph53043 жыл бұрын
Somo zuri sana Mwl Joel. Ila ninahitaji private talk maana ninakumbwa na shida ya namna hii.
@victoriamerura9382 Жыл бұрын
Amina barikiwa Sana Kaka mkubwa
@MubarakKhatib9 ай бұрын
Dah mm sina chakusema zaid yakusema nmekuelewa na uposash👍
@yasintajosephtungu3292 жыл бұрын
Namshukuru Mungu naishi kulingana na kile ninachokiamini
@angelatillya91743 жыл бұрын
Your so creative ,,, coz u deal with the need of people 💪👏👏🤝🤝🤝
@chrissmo9198 Жыл бұрын
Dhaaa broo sjui nikwambiej yn nimjingundua kuw mm nitofauti dhaa sana shukran broo
@neemasaidisaid17913 жыл бұрын
Asante kwakutujuza mambo megimengi .kwahayo twapata.ufahamu mpya.barikiwa sana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen
@samwelimakweta33103 жыл бұрын
Thanks much we learn more
@jacotv3373 жыл бұрын
Daaaaaaah!! Hapo ndipo wengi tunapochemka, asante saana kwa elimu, ningependa kunifunza mengi zaid
@matrugnawangaeli48153 жыл бұрын
Ni kweli lakini siyo rahisi. Ni kama na mtu anaeye tembea backwards. Unaona vile watu watakavyo kuwa makini. Lakini naamini kwamba, Hakuna kinacho shindikana. Wote yanawezekana tunapo mtengea Mungu. Inahitavika msaada waki pekee kabisa. Ahsante kwa habari njema. Wewe ni msaada kwetu. Uzidi kubarikiwa. Tupate faida.
@israelmgata77253 жыл бұрын
Brother naendelea kufumbuliwa macho ahsante sana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Karibu sana, tuendelee kushare na wengine pia.
@hassanalbashir28913 жыл бұрын
Asante sana kaka nimekupata vizuri kabisa hizo tabia mbili ziko sana uswahili,hata mimi nimo lakini umeniamsha Mungu akubariki na akuongezee elimu zaidi.
@aidanalex17853 жыл бұрын
Nashukuru sana sir Joel mimi niliwahi kuishi kulingana na normative influence
@twalibusalum60842 жыл бұрын
Uko vizuri sana kaka kila mada unayozungumza inanigusa
@jescaedwardkurumela43332 жыл бұрын
🙏🇹🇿👍 Yangu mwenyewe na ninaenjoy ingawa wananishangaa na kusema hawanielewi🤣
@kijokombao53453 жыл бұрын
Kuna kitabu flani aliandika don miguel '' the four agreements '' kuna subtitle inasema domestication pia amezungumzia kwanini ulimwengu wa sasa umekua hautaki kwenda tofauti, shukrani sana mr Joel
@alikibardc92293 жыл бұрын
Ile ndio kipaji chako nielimishe mkufunzi wangu je t'aime beaucoup 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mussamussa36302 жыл бұрын
Nashukuru sana umenifanya kuwa jasiri kwenye kusimamia msimamo wangu ubarikiwe.☺☺☺
@ndoakikristo77774 ай бұрын
Be blessed by GOD
@ney7c4793 жыл бұрын
Somo zuri sana kaka Mungu akubariki Kwa upande wangu nahitaji ushauri zaidi. Asante 🙏🙏
@kalasonowenya56103 жыл бұрын
Kama ndivyo Basi pasi na shaka Mimi Ni watofauti Sana japo napingwa Sana na watu wakati mwingine hata na familia, achilia mbali kazini Wanasema eti NAJIFANYA NAJUA SANA wakitarajia kuwa KUNA SEHEMU naenda kuanguka Basi Mungu hunisimamia Sana kwa kile ninacho Amini Ni sahihi maana KILA wasemalo baya ama ZURI KWA mfumo wa swali nawapaga majibu sahihi HUENDA Yana kera Ila ndio HALISI
@chrissmeshack54513 жыл бұрын
Mimi nashidwa kua wa tofauti katika kazi nayo fanya maana bos anakuambia fanya iv ata kama mim ninambinu nyingine yakukamilisha iyo kaz anaona nakosea
@SandrineNduwimeNduwim3 жыл бұрын
kazi ya kuajiliwa njo vile ilivyo.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Pole sana....Tafuta video yangu inayosema Aina sita za Mabosi wakorofi na Jinsi ya Kuhusiana nao
@frolanjelekela10063 жыл бұрын
Hapo kaka tupo wengi .
@amaaissa97133 жыл бұрын
Naitaji kuwa tofauti nawengine hakika Joel nanaukq
@LizabethAloyce-lq2pb Жыл бұрын
Mimi nawaza sana nicreate kitu gan Kipya cha kwangu na kila ninachotaka kufanya naona kishafanyika tayari heb nisaidie katika hili Master!
@officialraymond45323 жыл бұрын
Vizuri Sana kaka kwasomo nzuri
@ommysiriaz52053 жыл бұрын
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha IFM,Ndoto yangu nikuwa mwanamziki mkubwa na nimeianza safari ya muziki ila Problem inayonikuta ni financial,na connection naomba ushauri wako mana kufuatilia speech zako kulinifanya nikapambana nisome ili nifike chuo
@nshimirimanadjamilla72703 жыл бұрын
Naam kabisa kweli mutu ukiheshimu fitra zako mwenye nisaw
@happynesskasanda72753 жыл бұрын
Ni kwel watu tunapenda Sana kuangalia watu wanasema nn
@kasambikabwelile75533 жыл бұрын
i learn a lot when ever i watch or read your books
@joelnanauka3 жыл бұрын
Thanks Kasambi 🙏
@rafidhaally98573 жыл бұрын
@@joelnanauka naomba namba yko kaka kuna kitu nataka kukuulidha
@luttaTz3 жыл бұрын
Asante kwa elimu
@elijahanthony76673 жыл бұрын
Ahsante Sana mpendwa joel kila naposikiliza na kutazama post zako napata kitu kipya 🙏
@khamisyasin32763 жыл бұрын
Asant sana kwa mafunzo yako kweli tunafeli kwakuwa tunaishi kwa kuogopa kuacha mambo kwa kuofia watu watasema
@Costantine932 ай бұрын
Kwa sasa kaka ni ngumu sana kuishi maisha unayo yapenda mwenyewe maan utapigwa vita sana
@hidayaswai31193 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba mimi si mtu wa kufuata matakwa ya wengine ila shida kubwa niliyonayo na nimeigundua ni uthubutu. Kwa kukusikiliza tu umenipa hatua kubwa Joel. Mungu wa mbingu na nchi akubariki mno
@SaluIssa-me1lq8 ай бұрын
Asante Kwa kunionyesha njia nimeikubali sana
@vailethjames88263 жыл бұрын
Ninajitahidi kuishi maisha yangu lakni n ngumu sababu y watu wanaonizunguka
@lukamaloda1385 Жыл бұрын
Your very important than our syllabus
@lukamaloda1385 Жыл бұрын
Its strong massage, i am always believe in my vision
@staneyboy98483 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa elimu unayotupatia natuamini vijana tutaamka sasa
@pascalumira7271 Жыл бұрын
Ni kweli nime sha fanyikiwa kwa kutegemea ninacho fikili mimi na watu wana niambiya nini hiyo? Na piya nisha pata hasara lakini ile hasara kwasababu hawakunipa uhakika ukweli sana sana kiupekee ina nipa kufanyikiwa kiwango cha juu
@haikapatrick39882 жыл бұрын
Nakupenda bure broh unaniinspire Sana
@rithamalisa4636 Жыл бұрын
upo sahihi kbs mm mwenyew darasan nilikua najibu jibu lang lakin nikiona yule mwenye akili zaid yang akijibu vingin n mm namfatisha 😂kumbe mm nip sahihii daaaa kak joel umenikumbusha mbali kwelii hap na nimejifunza pia
@sofiarugoye7929 Жыл бұрын
Uko vzr kk,mi huwa najikuta naenda tofauti,mpaka kupelekea watu kutonielewa
@mudathirothman34003 жыл бұрын
It's incredible
@ahlstromsgatan5193 жыл бұрын
I really appreciate for your lessons that teaches good journey of all entire life
@afyatips51083 жыл бұрын
Mm ninaishi tofauti nashukuru kaka
@ommybiggie48253 жыл бұрын
Nime subscribe na najiskia vibaya kwanini sijakujua mapema ..mungu akubariki...natokea KENYA 🇰🇪 ...joel mungu akupe na akufungulie unayo taka...mtizamo wangu najiona naishi kimazoea tu...watu wanaishi ki aina hii kazi ..family ..ila muoga wakuanza jambo naona itakuaje..je isipo kua yani hilo linaniumiza sana....