Mimi nilikua simuelewi salimu abdarahimu lakini kwahili tuko pamoja
@mohamedhamismagoraonlinetv4596 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU. kzbin.info/www/bejne/eJ-1mpWQac5-hKMsi=29NLMGK22NsBklh9
@ALIHISAH-z2n7 ай бұрын
Kila mmoj na uelew wke mm nimemuelew vizuri mufti bila kutia makundi na itikati
@AbdulkarimShosi7 ай бұрын
Sheikh mche mola nyinyi kila mwaka mwalisha waislamu kwa mwezi usoonekana wa falaki hayo hamuyaoni ila mufti akielezea yalio tokea hukonyuma na unasema bakwata wanatumiwa na serikali jee na nyinyi munatumiwa na nani kama si maamuma wa kisiudi
@ALIHISAH-z2n7 ай бұрын
Haw wnampinga kw iyo wmeelew vibaya wmepat nafac y kuongea..
@ahmadsleman58567 ай бұрын
Waislamu hakuna kitu kizuri kama kusikiliza kitu uka kielewa kisha ndio ukaanza kuchangia kama utakuwa na elimu nacho kama huna ni kheri kukaa kimya tu ili ubaki kuwa salama kwa Mungu wako na sibusara kufata mkumbo tukawa sio watu wa kufata utaratibu pia tujitahidi kuchunga ndimi zetu kwani kila neno linaandikwa.
@swahilitherapytv38467 ай бұрын
Vibarakati
@hilalkhalfan14527 ай бұрын
Hii inaonyesha mkapa hakuwa mtu mzuri. Sasa BAKWATA ipo Sawa
@Zumitv-c1g7 ай бұрын
Swali langu ni kuwa Sunna ya mtume haipo kwenye suala la muandamo wa mwezi?? Kwa maana utandawazi umekuja kuondosha hiyo sunna??
@abdallahmsham-eb7jz7 ай бұрын
utuelezee juu wapi uko usitubabaishe mungu atatulipiyaa hawa bakwata wanatuvuruga sana waislamu wa nchi hii duuuu
@salumjumaruhaga25137 ай бұрын
Taasisi ya ya serkari hi yo
@abdullahmasakata1707 ай бұрын
@@salumjumaruhaga2513 Wewe yako ni taasisi ya manabii na mitume!
@hamishassan67846 ай бұрын
kwa kauli hio unangoja nini kujiuzuru wewe na wote mliopo kwenye baraza hilo ili kupisha uchunguzi wa jambo hilo ambalo mmelikalia muda wote bila kuwafahamisha waislam na jamii kwa ujumla ili sasa ifike mahala chombo hiko kipate kuwa cha kuaminika na waislam bila ya kuwachonganisha na serikali yao kama vile ambavyo umesema?
@SALIMABDULLA-ro8rn7 ай бұрын
Sis tunajua zamani kwamba bakwata sio waislam
@abuukarata96537 ай бұрын
Ni waislam sema ni sehemu ya serkali
@IbrahimLuhinila7 ай бұрын
Nabado, bakwata mtabakia pekeyenu. Tumesha wajua nyinyi niwatu mnaetizama maslahi yenu binafsi na sio maslahi ya dini
@ahmadsleman58567 ай бұрын
Tufunge akisema Shekh Barahani
@ShabaniRashidi-d2v7 ай бұрын
Kiongozi wa kiislam mwenye mamlaka kisheria kutoa fatwa ni yule anayeongoza dola ya kiislam khilafa,siyo aliyewekwa na dola ya kitwauti yenye kuhararisha mifumo ya riba,pombe,kamari,zinaa,demokrasia,watamtii bakwata wenzake,sisi tunawatii masheh wanaofuata haki,nabii S.A.W na makhalifa,walikuwa viongozi waliosimamisha khilafa walitoa fatwa dunia nzima,inatii siyo yeye kibaraka alafu umma umtii
@abubakarnyerere52637 ай бұрын
Mungu kaanza kuwaumbua na bado kuna mengi wameficha Allah awaumbue wanafiq😂
@HeriMohamedi-p6g7 ай бұрын
Huyo shehe zuberi ni ibilisi
@ZuwenaOday7 ай бұрын
Amiin
@muhammedaloufy40867 ай бұрын
Mbona pia kuna Siri ilifichuka kuwa Salim Barahiyani kaiba milioni 200! Au hujaskia wewe?
@muhammedaloufy40867 ай бұрын
@@HeriMohamedi-p6ghaya ndio mafundisho y wajiitao watu wa Sunnah! Matusi ndio manhaj yao! Kwani mbona kuna tuhma barahyani kaiba milioni 200? Au huna khabari hiyo!
@khamiskhamis99477 ай бұрын
Mushafedheheka@@muhammedaloufy4086
@nusalim33897 ай бұрын
Dini inaenda na misdaqia na uthibitisho na uwazi itabaki kuwa mwezi wa kimataifa ni WA ukweli zaidi Kuliko wa bakwata,kwsbb unasimamiwa live duniani na vyombo vikuu vya dunia zana za kisasa na watu wachamungu na pia haijakusanya watu wa aina moja tu maustadhi kama bakwata,wenzetu kwny kamati Kuna Kila aina ya watu Kila mmoja anasimamia uwakilishi wake kwsbb wanajua mwisho wa yote nchi ni moja na wote ni wahusika wa kufunga na kufungua
@bakaribakari64447 ай бұрын
Umepotea kabisa....wasaudia pia wako chini ya mayahudi😂😂 wanatangaza kwa oda kama huku
@Omar_Abdulrahim7 ай бұрын
@@bakaribakari6444 una uhakika na hayo unayoyaongea au na ww ilimradi umeropkwa tu uwepo kwenye comments
@salumjumaruhaga25137 ай бұрын
Juu wapi sasa mbona husemi
@ForodhaniZanzibar7 ай бұрын
Nashangaaaa juu wapi na nn ndio tunatakiwa kujua
@MwanaidMagasa7 ай бұрын
Ndio mana Allah SWA alisema iqraa kila muislam asome uielewe dini yako ina taka ufate nini umfuate nani na sio ushabiki hapa comments nyingi za wasomi na waelewa ila wachache ndio wakuburuzwa masking some kwani siku za kuishi Duniani ni cache z Akhera ni nyingi utajikuta unaondoka mtupu Duniani kwa kuburuzwa someni tafuteni ukweli,usahihi
@Dr-ubaida9657 ай бұрын
BARAHIANI WEWE UNATANGAZA MWEZI KAMA NANI?
@ForodhaniZanzibar7 ай бұрын
Za juu zipi ww munatuchanganya dini munaizia ugumu sanaaaaa iv wamesoma kweli hawa ila yote njaa hio
@SharifRashid-g1j7 ай бұрын
Wewe ni Hani
@badrukheir47 ай бұрын
Ukisikia kupaswa ndo huku hatari kweli kweli
@AbdulysuleimanShemashilu7 ай бұрын
Mzee kweli unasimamia selikal nasiio din
@allymanyika35027 ай бұрын
Duhh 😀 hii hatari wallah,kumbe bakwata habari zenu za ibada mpaka mpate kutoka huko juu 😅😅sijui ni wapi huko juu
@abdullahmanalex23067 ай бұрын
Huyo Mufti ni mtu wa serikali sisi waislam hatumtambui kwanza ndo chanzo cha kuwagawanya waislam
@NzeyiwaboAbdul7 ай бұрын
Mufti. Muokope Mungu usijifanyi kama. Nabi ivi hunahata. Aibu. Kuongea ongea. Kama. Mtoto acha hayomambo chekh
@laylayl51667 ай бұрын
Sasa mbona Kuna nchi nyingiitu hazikufunga nazo ximemfata bakwata ikiwa nyie viongozi ndio hivoo malumbanotu ya kuchafuana jesisi tusio jua dini vizuri tumfate nanii? Naombeni jibu maana. Hata hamleti picha nzuri nyotee niwatu wazima tumfate nanii Kati yenui
@amiriamiri-i6i7 ай бұрын
Huko juu ni wapi mufti mbhn hujatuweka wazi jamani tujuee
@mokitaa87507 ай бұрын
kwa hili mufti kateleza kama binadamu
@HijaSaid-xd7fg7 ай бұрын
Kwani Bakwaata si ni taasisi ya watu wake, kwani Askofu mkuu wa Catholic ndio mkuu wa Wakristo wote, au ni wa taasisi yake tuu,
@AsnathFelix7 ай бұрын
Acha uchonganishi ww
@abiiclevertz7 ай бұрын
Hamna mashehe hapo wote wawili wanatafta sifa wazifa ili wajaze matmbo yao tena mijitu mizima na mvi zao na hina juu 😡 mambo hayo wafanye walevi wanafanya wao😡😡
@ABUUAMINAABDALLAH7 ай бұрын
3:32
@mullahthematrix8167 ай бұрын
Sasa umma usipoelezwa ukweli kwa kupitia vyombo vya Habari sisi tutafahamu vp ? Acha wasahihishane mimi na wewe tupime kwa akili na dalili then tumuache Allah atuongoze
@Nuru_ya_sunnah.official7 ай бұрын
😂😂😂😂mbona mufti wa bakwata anaongea kama hajielewi?? au mimi sijielewi??? ebu msikilizeni vzr
@ABUUALLY-tv8rl7 ай бұрын
Nyinyi ndio hamujielewi ndio maana watanzania hatuendelei Kwa ujingaa mwingi na ubishii mwingi tulonao ,alichokisema mufti ni sahihi hapo wewe kichwa mchungwa ndio hujaelewa
@Nuru_ya_sunnah.official7 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl na ile funga moja unayo daiwa kushailipa????
@Nuru_ya_sunnah.official7 ай бұрын
@@ABUUALLY-tv8rl ahaa sawa kumbe mimi ndio sjaelewaaa!!! ok..... ila hii ni dini kuwa makini mufti ana kabur lake na ww una kabur lako msije mkalaumiana mbele ya safar kwa kuburuzwa bila kujielewa
@msabahaali7587 ай бұрын
bakwata sio taasisi ya waislamu ni taasisi ya serikali na ccm wao wasijipe uhalali wakafanye vikao na maaskofu ndio waahirika wao
@abdullahmasakata1707 ай бұрын
Yako ndio taasisi ya uislam imeundwa nawaislam au kikundi fulani cha watu? Tuonyeshe jinsi taasisi yako hio ilivyoundwa jee waislam wote walishiriki au ni baadhi ya watu na itikadi zao?
@ABUUALLY-tv8rl7 ай бұрын
Wewe Mzee muogope Allah 😂😂 acha kujifanya huelewi alichokisema mufti kumbe wewe na hao unaokhutubia akili zenu kama za kuku hamuelewi 😂😂😂
@Omar_Abdulrahim7 ай бұрын
Mbna wajifanya zuzu ww tafuta elimu acha kuleta mipasho
@NzeyiwaboAbdul7 ай бұрын
Mijinga. Ipo hapa. Tz. Sasa. Siku mlisubiri. Huyo. Mwenzi wa kitanzania ndomfunge. Mliuona. Ulikuwa wasiku. Ile. Ao. Niabu. Tu. Ndiyo. Mlibaki. Nao wapitevu
@bakaribakari64447 ай бұрын
Sasa huyu anapinga nini....mbona hapingi mwezi wao wanaotangaziwa na saudia ambao wako chini ya myahud
@Omar_Abdulrahim7 ай бұрын
Ww ndio haujielewi kbsa
@mobilespecialschool42167 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sports007tv47 ай бұрын
Sasa jiulize ni mwaka gan bakwata walifungua kabla yenu wahabi