Follow Me On Instagram / clamcris_ Tiktok: / clam_cris Facebook: people/CLAM-... #Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi
Пікірлер: 2 400
@zazalareinebosslady6 күн бұрын
Ukipitiya comment yang ukisom vizur utagunduwa kuwa sikuomb like 😂😂so ukiwa unapenda snak boy ukitokey burundii tujuwane❤❤🎉🎉🎉🎉
@Morganpromoter6 күн бұрын
Niko hapa🇧🇮
@lovegirls37136 күн бұрын
Tuko hapa
@user-ox7yy4ig8y6 күн бұрын
Tupo apa🇧🇮
@MayaOuthman-bd8bg6 күн бұрын
Tuko hapa bj❤
@gloriairankunda52516 күн бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@user-hg4qs4qr7r5 күн бұрын
Natokea kenya jana nilipigwa tiagass ya naomba likes kumi tu jamen
@Ajib-di1ns2 күн бұрын
Naomba namba yako from tz
@user-jw4vs9th9c6 күн бұрын
Hii series ni nzuri Sana Tena Sana pongezi nyingi kwa Clam VEVO anawezaaa afu msiishiee kuomba like tuu toeni na pendekezo lenu yaani badala ya kuomba like msifie kwa kazi nzurii anayoifanyaa maana some times inakupa mawazo huku ukisema itatoka saangap ikiwa umechelewa apewe maua yake afu kuomba like baadae si mmeona me hata sijaomba like
@user-bd1le4rn7g5 күн бұрын
wow hii siku nilikua naisubir kwa ham kuludi kwa clam na villa waliokua pamoj na mm weka like
@Morganpromoter6 күн бұрын
Nipe like zangu all the way from🇧🇮to🇿🇦
@AchileusNshekanabo6 күн бұрын
Acha hzo support bana
@chrissmaphone94706 күн бұрын
Izo likes utakunya au
@OmbeniChaulema6 күн бұрын
Wa pili mm nimepeni like za kutosha jaman
@ExaveryLukas6 күн бұрын
Vp uko bize na snake boy vp maandamano kwenu yameisha
@Morganpromoter6 күн бұрын
Njoo utusaidie sasa😂😁
@nurually59935 күн бұрын
Waliofurahia ntanzi kurud wote like hapa 😂😂😂
@nurually59935 күн бұрын
❤😂
@SarahBimuloko5 күн бұрын
Uyu Ugonvi wa kipara n'a zinga na upenda jameni ata like moja naupenda
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Kenya 🇰🇪 saika basi kuna mahandamano🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wa kenya wezangu kesho tena twende mahandamano kama uko tiari nipeli like🎉🎉🎉ruto atoke
@Verohtv2543 күн бұрын
Zoea prezo wako mapema ndio best ❤❤❤🇰🇪
@violettendihokubwayo7925Күн бұрын
Atoke aende wapi ??
@JemahEvaristo6 күн бұрын
Nmekua watano leo nimejitahid sana kila siku nakua wamwisho
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Mrembo nipe like basi🎉🎉🎉nimekupeya iyo mimi🎉🎉
@QofSaidiKbsk016 күн бұрын
Nyinyi hamna vitu vya kufanya, kila mda online eti nipe like fyooto mimi ni wa nyoko. Waaaaacha! Les congolais vous êtes là 🇨🇩 ??
@nafsajuma62696 күн бұрын
Waaambie bhana wanakera
@AsimweMusinguzi6 күн бұрын
😂😂😂😂 ns y sommes mn chef 🇨🇩🇨🇩❤, kwani fyooto na nyoko ni muhimu 😅
sasa hivi wabongo tuko poa sana tulizoea kuyaona nigeria duuh ,big up team vevo!!!!
@tc_angel6 күн бұрын
Aliyefurahi kumuona Ntanziiii😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@maylucson0016 күн бұрын
😂😂😂❤❤❤❤❤
@BalbayMakau2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@orindadavid27326 күн бұрын
Wakwanza from Kenya as we reject finance bill ,likes zangu zikuje
@liz779416 күн бұрын
Like yangu niyaku reject finance bill
@judymulewa93026 күн бұрын
Niko hapa we rejected finance bill
@edwardngugi35376 күн бұрын
Viva
@user-ic7cg5lt7s6 күн бұрын
Yangu ni ya reject finance bill
@mahmoudsingle78086 күн бұрын
#REJECT
@SheilaVeen5 күн бұрын
😂😂😂kumbe si umbea tu unao hata uchoyo eii zinga Kenya nawarepresent❤
@Mahratshafi-jn3tq5 күн бұрын
Ninachompendea tem kakoso & clam yani hata wakitucheleweshea ndan ya siku 3 wanatulete kipande kirefe halafu kinanoga zaid ya kilichopita yani mko juu zaid wapendwa mnaweza Sanaa yani hamukeriii😂😂😂❤❤❤
@judithpendo99856 күн бұрын
Team strong hoyeeeeeeeeee umetegea snake boy ukiwa wapi jmn mm Niko Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰
@catherinejepkoech81816 күн бұрын
Damam ❤❤
@janetkyumbe71546 күн бұрын
Oyee watu WA Dammam kwa mpigo
@rizikladyherson84516 күн бұрын
Hoyeee
@djggghgdd-fq8pr5 күн бұрын
Mm nko Jeddah
@MaryanDavid-jo2fs5 күн бұрын
Sajir😂😂
@gigwamayara736 күн бұрын
Jamani wakwanza leo like kwa vevo boy❤❤❤❤❤
@AchileusNshekanabo6 күн бұрын
Support acha mambo ya like
@NtakarutimanaOlivier-gw3fx6 күн бұрын
Mi napenda sana movies zenu mungu awabariki ,naishi burundi
@kalakido94556 күн бұрын
Acheni uboya na ufala like like Mtakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@user-pf3zc6kv5q5 күн бұрын
tunaopenda kukimbilia kusoma comment uku tukiangalia snake boy gonga like
@JumaSalehe-cq8lf2 күн бұрын
Haha
@ErickEzekiel-lj8mu5 күн бұрын
Snake boy moto🔥 wa kuotea mbali bonge la season yani haijawahi tokea pig up sana wote walio shiliki kwenye snake boy❤😊🎉
@Mattutu6 күн бұрын
Am from Kenya tulikuwa maandamano ndio kurudi ,,,like 5 tuu please
@THEblack89915 күн бұрын
Kumbe usiku hamuandamani manalala😂😂😂
@AgnesMasoud5 күн бұрын
Hujakatwa sikio
@Mattutu5 күн бұрын
@@AgnesMasoud l thank God am safe we try again in Thursday,
@Mattutu5 күн бұрын
@@THEblack8991 yeah usiku huwezi ona teagas 🤣🤣we just relax
@fahadfaraj64745 күн бұрын
Reject the bill n Zakayo must go
@YoungblackPeople-qf7vx6 күн бұрын
Watu wana omba like #jamanii 😅😅😅😅SI #waombe hata bando2😂😂😂😂😊
@vellah-op4ut6 күн бұрын
Mie hapa naomba bando 😅
@YoungblackPeople-qf7vx6 күн бұрын
@@vellah-op4ut safii wewe mtu wa maana kabisaaa
@ZainabuSalehe-hi2pw5 күн бұрын
😂😂😂
@khatijakhatija34814 күн бұрын
😂😂wanaboa kwan zinafaida gan?
@fortinatuskabelege92144 күн бұрын
wenda ndio chakula hata maoni hamuna
@FredClaus-ql3vb5 күн бұрын
Kazi nzuri clam vevo pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa director kakoso,Mzee aliyekimbia na chupa,chaupele,pashambe,Mila,Zumba na mwasi. Ongereni Sana hatimae sasa himaya ya nzoya inakwenda kukombolewa❤❤❤❤. Ila tunawaomba msitucheleweshee episode inayofuata tunawapenda Sana timu clam vevo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tunawatakia kazi njema huko location.🎉🎉 Salute kwako director kakoso
@user-sd2ek9vd8c5 күн бұрын
Jamani mimi na mshangazi wangu tunawafuatilia sana na tunapenda kazi zenu
@pakpatriot-xk7qg6 күн бұрын
Movie hii inanipatia raha🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤,,, clam Vevo na wenzako, mbalikiwe. Pak toka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@MoringeLeboy6 күн бұрын
My neighbor Kenya, tupo pamoja kwa kipindi kigumu, we love you, you lost your heroes, wapumzike kwa amani mashujaa❤❤❤
@abuuvanlampard25646 күн бұрын
👊👊👊👊👊na kesho tunakula chakula cha raisi ikulu sai network iko chini ili tusiingie mtandaon ila tunaingia hivyo
@husseinhemedi93145 күн бұрын
Ila hawa wazee wa kijiji wamecheza uhalisia sana dah kwa wale wanaotambua maisha y kijijni ndo wataelew
@abduladinane6 күн бұрын
Wale wezangu na mimi tujuwane hapa nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿
@NorteCarlitosJohn3 күн бұрын
2ko pamoja 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@abduladinane3 күн бұрын
@@NorteCarlitosJohn tamos juntos 🫂
@herllizzythaanaplatnumz81546 күн бұрын
Naombeni like angalau moja
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@Gloriarespiki6 күн бұрын
MNAOMKUBALI CLAM LIKE APA❤❤❤🎉🎉ila watu Huwa mnalala KZbin jmn dkk mbili comment miatano😅😅anewey kaz nzur clam ❤❤🎉🎉🎉🎉
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Like🎉🎉
@mariammshana97095 күн бұрын
wangap hawataki zinga uchawi wake urudi gonga like hapa
@aminamtondo13026 күн бұрын
Kwani m ndio siwez zipata hizo like kwanini😢 naomb jmni
@mwabajaay43776 күн бұрын
Alaa kumbe tajiri akifulia huonea wivu hadi maskni ,zinga alipeana kuku saii ananyimwa mihogo😅eti maskini akipata Kuna vitu zalia mbwata😂😂
@FatumaJay-bx1qo6 күн бұрын
😂😂😂😂banawe alafu ss kipara bdo anahofia kusema kw wanaimaya
@hassankalu5406 күн бұрын
Sitki mtu a like hii comment yngu juu ya mtukufu mn hii comment haiwahusu kbsa team vevo moto sana
@user-ec6ow2cx7c6 күн бұрын
Hii snake boy inanipamba yaaani sichoki kabisaaaaa much love clam vevo pamoja na team yako ❤❤❤🎉🎉
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Nipeni like🎉🎉
@isayamwanjoka39585 күн бұрын
Mdau wa maana sana na shabiki mkubwa snake boy mwanzo mwisho hongereni san kwa kazi njem mko vizuri san
@ag-rabbitzenj13796 күн бұрын
Naomba like 10 tu kwa kufungua mwanzo😂
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@JumaRajabu-gg7ib6 күн бұрын
Unabeigan
@JumaRajabu-gg7ib6 күн бұрын
Hilii naloo kumbee shengee😂😂😂
@Shaksi4345 күн бұрын
Wewe ndio mwenyemov au
@winmannwaka70485 күн бұрын
Zina kusaidia nini like
@Selevid-196 күн бұрын
Leo wa kwanza mim toka songea Tanzania nipeni maua yangu🎉
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Kenya mahandalano😢😢😢50 personnel's wamefariki tuna msiba tupeni like🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭
Ni chief khan apo naombeni like kwa wanao mpenda clam
@user-eq6ju8qs2q6 күн бұрын
Bom trabalho pessoal from mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿💐💐💐💐💐
@Salumu-hc8pf5 күн бұрын
Mimi wa mwisho naombeni like jaman hata kumi tu😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@IdayLams-d6 күн бұрын
Nili isubiri sana🎉🎉
@JumaUsina-ut4on6 күн бұрын
Wakwanza nipeni like
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Like🎉🎉
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Nimekupa like🎉
@ds.graphics_tz2 күн бұрын
Wangapi tunazidowload episodes hizi nakuziangalia na familia zetu gonga like tujuane
@ShamambaOlivier-bn6tdКүн бұрын
Acha nikupe pongezi kwa kazi nzuri ambayo unaendeleya kuifanya naona umeanza kuiga mtindo waki Nigeria yani umeigiza kama watu wa Nigeria nime penda kweli
@TitusKurui6 күн бұрын
Wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu jameeni
@benedictmsunga32906 күн бұрын
Wenzako wanaandamana wewe unamuangalia Clam
@edwardngugi35376 күн бұрын
Kirui ulihata mchele ya parliament
@frankmichael19686 күн бұрын
Anapata hadi time ya kucomment
@edwardngugi35376 күн бұрын
Bana Ii bleina tunapigania inchi na Iko home inawatch TU pono na youtube
@judymulewa93026 күн бұрын
@@edwardngugi3537😅😅😅😅
@FailaOg-c2q6 күн бұрын
Jameni Leo nimewahi Wa kwanza Leo naombeni like zangu🇺🇸❤️🩹🫰💪🎉
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@FailaOg-c2q6 күн бұрын
@@kalakido9455 🤣🤣💪
@Winleizerabdy5 күн бұрын
Acha ufala ndo uende kula ama😂😂
@user-nd9wt4qp2m5 күн бұрын
Naona Kila mtu anadai amekuwa wa1, sasa mm ni wa katikati naombeni japo like hata 10 tu zinanitosha please guys.
@dastanfuraha22443 күн бұрын
Good work in town #Clam Cris, Mungu akupe maisha marefu zaidi na yenye mafanikio tele uzidi kutuletea kazi nzuri kila leo, Amen🙏
@faizhassan50296 күн бұрын
Watching From War Country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254 lakini najitahidi kuangalia Tamthilia pendwa Nipeni likes wadau
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@ibrahimrenatus48046 күн бұрын
🎉Umetisha san CLAM pongezi kwenu pamoja na Director KAKOSO more love for you🎉🎉🎉
@brucerinka87325 күн бұрын
Acheni kuomba like kama umeifuatilia snake boy tangu mwanzo kabisa unabudi kupiga like na commenti Toka Kenya mm wa kwanza💪💪 clam VEVO nakukubali
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Nimekupa like🎉🎉
@johnrogeo21616 күн бұрын
kali sana, hadi Farasi wametoroka 😅😅🔥 Episode 26 msiicheleweshe
@ZainaHalifa6 күн бұрын
Wà kwanza Leo naombeni like kumi2
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@BaziramwaboEugenetj-zm8rb6 күн бұрын
Ni tamu sana kabisa karibu
@Akili8205 күн бұрын
Kwa leo nimechelewa kidogo aina shida kama una mkubali Clam veve dondosha like hapa 🇨🇩🇨🇩☝️
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign5 күн бұрын
Dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa je vous suit.
@fredomomanyi34876 күн бұрын
Hili filamu nimelipenda kutoka kenya sijawah ona filamu tamu kama hili
@musasiame61385 күн бұрын
Nenda kaandamane
@user-lj9nl3iv6j6 күн бұрын
Watu bwana baada ya mtu andike comment yake et anasoma ya kwangu nipeni like jaman mashabiki wa snek boy
@muhsinhassan52736 күн бұрын
Kma hutaki isomwe usiandike
@MatugaMakiad6 күн бұрын
I like you @@muhsinhassan5273
@KhadijakassimMwaipaya6 күн бұрын
Mhh
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@allydanny32226 күн бұрын
Himaya 😂
@shivamichael49675 күн бұрын
Jamaaa mnatucheleweshea sana hizi kazi Ila kazi ya motooo aise
@WardaHassan-hk4db5 күн бұрын
Ngoma inogilee hakika mambo mazuri hayatak haraka.Good job.Mungu aibariki kazi yenu
@isharaganechi66166 күн бұрын
Yes move nzuri tunayoipenda klambevo tunakusap 0:15 oti moja kwa moja kabisa inatisha sana 0:22 kama unampenda clam mugongeelike hapo
@v.m.ccompany6 күн бұрын
Wa kwanza mimi tokea Congo 🇨🇩🇨🇩
@user-mk8yz4qu1z5 күн бұрын
Kazi nzuri clam vevo n kikundi chako hongereni sana watching from Kenya
@AmosSinkala-lx4sl6 күн бұрын
*`kama umefurahi kuona mwakatobe a.k.a zinga anagombania chakula weka like Kwa clam na sio kwangu`*•
@ShamimHassan-qm1et6 күн бұрын
Ila Chaupelle.unanifurahisha unavyojizuzua gafla😂😂😂😂❤
@soumah_bajaji_body_disegner6 күн бұрын
wa kwanza Leo bila kuchoka clam master like zake tuweke apa😂
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@soumah_bajaji_body_disegner6 күн бұрын
Asa matusi ya nn Kaka kama hauwezi kulike pita sio matusi afu usipende kutukan mtu ambaye haumjuw haukuniwekea bado
@OmarJay-ee8hg4 күн бұрын
Leo moto umezidi kuwa motoooooo safi sanaaaaaa watu wangu wa nguvu
@user-ge6iu2sn1i5 күн бұрын
Mtukufu we kila muda wali maharage ya naz khaa alafu mchoyo😂😂
@MbalasaJRMwakabalile6 күн бұрын
Kama unamkubali cram vevo na snake boy gonga like hapaaa
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@MbalasaJRMwakabalile6 күн бұрын
@@kalakido9455 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Like🎉🎉
@KisimbaAbed6 күн бұрын
From. Windhoek Namibia 🇳🇦 nimekuwa wakwamza droop my like
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@KisimbaAbed3 күн бұрын
Weeeee weeeee kipara ntakupiga konzi la icho kiutosi kama pakacha
@iddymsulwafurniture65895 күн бұрын
Daah so happy clam ur back.... Vila mzee wa kurukutanta mantete😂😂 . snake boy mmetisha knoma nomaa🎉🎉
@Elizakilisipinilikolika19965 күн бұрын
Nimefurahi sana kumuona mtanzi amerudi na vira jaman ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@OfficialCleverYoung6 күн бұрын
From MOZAMBIQUE like for vevo❤
@user-ud7wn9km9s6 күн бұрын
Tuko pamoja mozambique 😊
@QuerinohilarioHilario-rg4ti6 күн бұрын
Wakwanza leo naobeni like zangu Moz 🇲🇿🇲🇿🇹🇿
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@Misheckkazilist-cv2hb6 күн бұрын
Kazi naona imekaa magoli ivo bac ombi wepesi kesho twaitaji ifwatayo jmn ❤❤
@RAPPERVAM476 күн бұрын
Like za nn mbn wat wanaomb san😅
@Bongotimemedia6 күн бұрын
DOGO UNAJUA SANAAA IPO SIKU NITAKUTAFUTA GONGA LIKE APA CLAM
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@Nathanael1Kambale6 күн бұрын
Léo nime wahiii gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 niko wakwanza
@Raisa-xi9sv11 сағат бұрын
Snak boy ni filamu nzuri jamani kutak🇧🇮
@WaziriNapanja4 күн бұрын
kusemakwel uyu jamaaa anajuwa sana ilakuna watu hawapend kazi yake hila kwangu mm haaa namkubali sana
@yuleflexboy4946 күн бұрын
Nipo Cape town Mitchell's plain naomben like zenu, sijawai zipata
@Footballnews82816 күн бұрын
Mimi niko retreat ni dm ili tu chat fresh
@yuleflexboy4946 күн бұрын
@@Footballnews8281 poa
@yuleflexboy4946 күн бұрын
@@Footballnews8281 poa
@user-oq2pv5zs7z6 күн бұрын
Ila uyu mwamba mbilikimo anapenda sana wali kubababake 😂🙌🏾
@rizikladyherson84515 күн бұрын
Hamjasema mpaka mseme n mtasemaaa😂😂😂😂
@mohammedkidody56185 күн бұрын
😂😂😂
@JasminMuhq5 күн бұрын
😂😂😂😂
@simbamsangi98246 күн бұрын
Gonga like kama wamkubali vevo
@andrewkilave35325 күн бұрын
Hiii tamthilia ni nzuri sana inafundisha na enalimisha imeteka Africa mashariki na kati. Kama unabisha njoo na hoja za mashiko
@PROFESSOREJAKAITBONFACE6 күн бұрын
Umeka kwa chupa sana clam asante kutoka inje tena ni Professor kutoka BUSIA border Kenya teso
@NuhuMwita6 күн бұрын
Kwa leo like tano zinanitoxha❤❤❤
@YahyaHillow5 күн бұрын
Africa yote ni Clam VEVO Kila siku....from south Africa .. hogera kijana chapati
@jeremayaClassicPhoto6 күн бұрын
Unaninii tanti.....Kipara tuliza mtori nyama ziko chini..utafinywa na wachawi wa himaya hii😂😂😂😂
@Yuniz-bb6tn6 күн бұрын
naona kila mtu apa wa kwanza n anadaisha like,,,nongwe tuh😂😂
@qurthummrabdllh36356 күн бұрын
Ooooh jmny nimewah sana leoo naomben na mm basy nijue utam wa like 🎉🎉ata 5
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@qurthummrabdllh36356 күн бұрын
@@kalakido9455 shukraan ila samahan tusifikie kutukanana kwa ajili ya filam tu hatujuani pls chunga maneno yako
@JeskaMalebo5 күн бұрын
mliokua United state like hapa
@fabiopablojia3337Күн бұрын
sijaomba likes ila watanzania tupendane Kenya tunawapenda sijui tapewa pongezi kwa hayo maneno
@salumuwembo-fo5rr3656 күн бұрын
Mbona mimi sio wa kwanza kutazama chaneli hii ya Clam-vevo napenda sana video zake kutoka Kongo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰💯💯💯🎉🎉🎉
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Like🎉🎉
@Patsonkwataine6 күн бұрын
Me wakwanza naombeni like zangu
@kalakido94556 күн бұрын
Acha uboya na ufala like like Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@ramlasuleiman5 күн бұрын
Reject reject reject the bill ❤safi sana team Vevo 🎉🎉kazi imenyooka mashalah ❤❤more 💗 from kenya
@Kib-jsanley5 күн бұрын
Nipeni like🎉🎉
@rajabuhassan977932 минут бұрын
Wanaompenda mganga wali wote like hapa
@yusrakagunga30666 күн бұрын
Hv watu wanalala online au maana sielew 😂. Aya naomben like zang kwa kuwahi 1hr😊