Kama nawe hujapendezwa na alicho kifanya Spika usiogipe pita na like yako hapa coz sio haki kilicho fanyika
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Tumependezwaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!
@yirgayemyirgah78204 жыл бұрын
Daaaah nlkua sijaangalia mpka mwisho kiukweli ndugai kazngua asee yn upendeleo wa wazi kabisa
@csato94154 жыл бұрын
@@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.
@khatibabdi4 жыл бұрын
kwa hili spika amekosea
@gwakisaphilipo70004 жыл бұрын
King Mroboto tunako end a kila mtu atamiliki wakizingua pa kichwani
@ramadhanimahongole87644 жыл бұрын
Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge
@godifreypaul94094 жыл бұрын
Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.
@khamisnassor58334 жыл бұрын
Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu
@kumulwa4 жыл бұрын
Kweli nithaifu kabisaa
@hapatv29913 жыл бұрын
Nidha inahitajika unamungilia je m2 hajamaliza punda nyie msio nauelewa
@onesmopaulmwacha5664 жыл бұрын
Hakuna anayewaweza mmeshika makali ..lakini Mungu anawaweza .Ee Mwenyezi Mungu tuepushe na udhalimu .tutee mwenyewe
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
mtafaulu tu gawa wa ccm ni kama rimoti tu wanapelekwa pelekwa hawa hakuna sıasa ccm amin uciamin ila hutumıa mguvu zao za kıdoşaaaaaaa
@nehemiahparadox84884 жыл бұрын
Kwakweli
@fredrickmartin9953 жыл бұрын
Aliyewapa kiburi kasepa bado zamu yenu
@SaikoMsongo4 жыл бұрын
Mm sina chama Ila nashangaa kwann wanamzalilisha huyu dada
@bongotvonline48834 жыл бұрын
Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!
@fortunatuskapinga52503 жыл бұрын
Hakuna haliyekzalilosha bali yeye mwenyewe Mbunge mwenzie kaelezea kilochotokea sasa sioni huzalilishaji
@abrahamkibona70384 жыл бұрын
Hapo sipika hajatenda haki kabisa 😭
@erickrichard42924 жыл бұрын
Spika hajatenda haki tena amempendelea huyo mama anaeongea visivyonamaana
@mohamedkashindi76894 жыл бұрын
Yaani wapinzani wanaonewa kiwaziwazi bila huruma hinauma sana
@evansm88024 жыл бұрын
This speaker is partisan.
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Uonevu mkubwa sana
@zuberikamote20784 жыл бұрын
@@erickrichard4292 katenda haki we hela yko unaipata kwajasho lko halafu uwwkeze kwenye chama wkt chama kinatakiwa kikulipe ww
@edibilisalum32924 жыл бұрын
Ndugai ndugai Tambua yapomaisha nje ya bunge Muogope mungu
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu? Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya... Spika ubabe wako Mungu muogope sana
@anuaryally61774 жыл бұрын
@@gilbertvicent4229 kiongozi wenu anaalalisha mashoga lisu je aogopi mungu
@whatisthetruth.87934 жыл бұрын
Buckle up and enjoy your ride.
@ntindatv8154 жыл бұрын
hakika
@allyabdallah4464 жыл бұрын
Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?
@anthonymosha19924 жыл бұрын
Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power
@subirapaul81274 жыл бұрын
Hizi kumbukumbuku za unfair ipo siku zitakumbukwa jamani msichee utu namna hyo mambo yanabadilika one day yesi imenikera kwa hili ase
@rehemapeter2533 жыл бұрын
Bunge ovyo kabisa
@momocadabra86114 жыл бұрын
Job Ndugai uwo ni uzalilishaji na sio haki
@rosekweka20444 жыл бұрын
Spika hajatenda haki yy angewasikiliza mpk mwisho angejua ukweli wa Mambo?
@mohammedshaaban95094 жыл бұрын
Daaah,huu ni udhalilishaji kabisa huyo ni mama wa mtu au dada wa mtu au pia ni binti wa mtu kwa kitendo hiki hajatendewa haki
@whatisthetruth.87934 жыл бұрын
Wacha ukweli usemwe tuu
@benjaminmtambo48684 жыл бұрын
Haya mi cina La kusema ila tutakutana mbingun duniani tunapita
@msafirimwenyemvua69974 жыл бұрын
Tanzania kweli hakuna bunge tena! Kwa sasa bunge limegeuka kikundi cha taarab na mipasho tu
@yohanaobeth15584 жыл бұрын
MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.
@whatisthetruth.87934 жыл бұрын
Aaah ! wewe ccm songa mbele . You get love it
@justinagabriel31763 жыл бұрын
🤣🤣
@lutufyojason25984 жыл бұрын
The history is being written for the first time our country .And this is the speaker of the National Assembly( the national think tank)
@zrazanzibarrespectiveacade90564 жыл бұрын
Dah hyi cio hki na kma unakubali cio hki bc gonga like
@emanuelsarakikya93984 жыл бұрын
Bunge la Mzee wetu Sita lilikuwa Bunge. Mama Makinda naye Alifanya Kazi iliyotukuka. Ila ili sasa Mungu ndiye anajua.
@ronaldsariah87604 жыл бұрын
Hakika
@thelivingwordchannel90274 жыл бұрын
Mbona mlikuwa mnamlaumu spika sita? Na ndugai ipo siku mtaanza kumkumbuka.
@dedanmwasongwe16754 жыл бұрын
Spika unaalibu bunge kwa kushabikia mambo yakipumbavu kabisa, wakisema bunge ni dhaifu unachukia
Aiseeee bunge la sasaiv. Ukija kulisikiliza unachoambulia n mauzi mbona chadema mnakifanyia hvyo jaman da! Mungu anawaona
@gredatv5544 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza kukoment naombeni like jamani
@frankkataraiha6074 жыл бұрын
hv like zna msaada gan au kwann huwa mnaomba likes leo nimeona bora niulize sina maana mbaya kama hutojal nifahamishe
@hamadiayossy4 ай бұрын
Matumizi mabaya ya u spika,,sijapenda kwakweli,
@charzwilson94944 жыл бұрын
Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka
@abubakarzamir62764 жыл бұрын
Duh kweli nchi ya democracy mtu anadhalilishwa anataka kujitetea anatolewa
@johnmitti32014 жыл бұрын
Huo ni upuuzi haki iko wap hapo si mseme 2 kuwa hamtaki vyama vingi kaeni mkjua mtavuna mnachokipanda
@erickrichard42924 жыл бұрын
There is no democracy there
@erickrichard42924 жыл бұрын
@@johnmitti3201 yeah, kweli kabisa bora waseme hamna vyama vingi kuliko haya yanayoendelea
@rajabhamis43844 жыл бұрын
@@erickrichard4292 there there mbona zimeongozana hivyo. 🙄
@anuaryally61774 жыл бұрын
@@johnmitti3201 mbona mama yako ataki baba yako aongeze mke
@profgeofreysevelinenyalale94544 жыл бұрын
Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu
@ibrahimmasanja90974 жыл бұрын
Ndo maana kesi za mitandaoni haziishi hapa huwezi shindwa kumwaga tusi Kali kwa spika ingawa mwenyewe ni namfagiliaga magufuri daaaah spk
@khaalidcheo53834 жыл бұрын
Dh! ...R.I.P....CHADEMA...masikini ndio basi tena..tunaenda kukizika jumla hooooh.......😭😭😭😭😭😭😭
@danielekisinza5374 жыл бұрын
Hahahahaaha
@perfecttz26904 жыл бұрын
We mkundu kwl
@ramathedon40014 жыл бұрын
sasa kwa hoja gani apo ndugu yangu spika anaonekana kabisa nimpendeleo ndugai mungu anamuona
@msemwaasha62443 жыл бұрын
Na ndo walichokua wanataka wabaki wenyeny wapige mabenj kwakukubaliana na ujinga
@nuru.simkoko4 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa
@msemwaasha62443 жыл бұрын
Kwanza mwanaume mzm tena spik wa bunge kushabikia mambo ya wamama hata haya huna
@wirfredrukoo78303 жыл бұрын
Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele
@khamisabeid33654 жыл бұрын
Hakuna mwazo usio kua na mwisho unamzalilisha mwanamke mwezio hivo inauma sana naona kama kazalilishwa mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mohamedkashindi76894 жыл бұрын
Hili sio bunge kabisa ni usani
@whatisthetruth.87934 жыл бұрын
Pole sana , akini ukweli wa utasemwa
@jerikorojas43174 жыл бұрын
Bunge la Bajeti Wabunge wanajadili Majungu! Aibu kubwa kwa Taifa la Tz
@erickrichard42924 жыл бұрын
Mwenyew najiuliza mbona kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili wala sio hayo
@jojolee3824 жыл бұрын
Nawewe c ugombee ukajadili hiyo bajeti..! Mfeeeeeew..!!!
@gibsoncharles95554 жыл бұрын
Ongelea chama chako na katiba yako kila chama na katiba yake maana vyama vya upinzani ni vichanga unafikiri vingejiendeshaje??? Mnatumika vibaya sana
@nemecymsanya31914 жыл бұрын
Umeongea point ndugu yangu ingawa hatufamiani aisee
@youngloyclassic31734 жыл бұрын
Wanaongea pumba hawajui kuongoza chama
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
Umetoa mawazo ya kisomi japo sikufaham lkn nyie ndio wananchi mnaoweza kuishaur serkali na kuivusha katika suala zima la maendeleo
@anuaryally61774 жыл бұрын
Mbona chauma akidai kodi na kichanga pia au tlp wacha ukada katika maendeleo fala wewe
@kazembally60324 жыл бұрын
watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika
@missmoona44974 жыл бұрын
Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra
@neyousingo76163 жыл бұрын
Ndugai Baba fanya kazi huyo dada ni mtovu wa nidhamu
@tumabhay85764 жыл бұрын
Very good mh spika. Tunaanagalia mwengine anoitaka kuelekea huko huko.. Hahahahaaa hahaaaaaa nimeipenda iyo.
@chazzymediatv50754 жыл бұрын
Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust
@petermushy98834 жыл бұрын
Kweli ni spika ya sabufa
@gracejohn8864 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@mossesraphael10734 жыл бұрын
Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki
@kasiankillo69493 жыл бұрын
Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie
@issakapemba61154 жыл бұрын
Duh wapinzani hawana haki kwenye nchi yao kabisa yaan lakini yatafikia mwisho tuu yaan
@aliebrahim94234 жыл бұрын
"Hebu msinipigie kelele ninapotaka kufanya maamuzi yangu".Mwisho wa kunukuu.
@emanweljohn12404 жыл бұрын
ukweli kun upendeleo min ccm lakin Ktk hili Luna upendeleo san kwanin kuhoj mipango yamtumwingine huko ccm mbon hawahojiwi huu siosawa
@margarethsaramaki39664 жыл бұрын
Bunge dhaifu watu wanaongea utumbo
@msemwaasha62443 жыл бұрын
Ngoja tuendelee kuuona upuuz wa bunge
@Denispeter17384 жыл бұрын
Imeniuma sana baada angewashauri. Ila malipo ni hapa hapa duniani. Huyo dada asikate moyo one day yes.
@barakabahati43154 жыл бұрын
Daaah!
@ahmedysaidy79374 жыл бұрын
Spika tambua kunamaisha mengine nje ya bunge pia tambua bunge lilikuwepo kabla ww ujazaliwa haya maisha tu bro
@josephsasa74973 жыл бұрын
Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.
Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;
@christianmwashala2764 жыл бұрын
Yan Spika ni Amna apo kwel Tena duh Yan Dada was watu kaongea kwamba anazalilishwa af unamtoa nje au niww kwel kakushinda ad mama Makinda duh
@miagielangoi32724 жыл бұрын
Asante sana Ndugai kwa kazi nzuri
@chayogasperi97834 жыл бұрын
🤜🤛
@anthonymosha19924 жыл бұрын
Huo ni uonevu dhidi ya vyama pizani ila kwenye nchi hh ni yetu sote na Kuna watu wanaishi kama vile wataishi milele hawafahamu kuwa haya maisha wamekopeshwa na mwenyezi Mungu ila tutafka tu hakuna chenye mwanzo kisicho kuwa na mwisho.
@tam89514 жыл бұрын
Sio sawa,Ndugai jirekebishe
@mozasaid38694 жыл бұрын
Dah! Hatari!!
@zachaaaamosy83204 жыл бұрын
Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipata, kazi kwako
@bakarimashi22994 жыл бұрын
Kuna siku ikiwa si dunian bac hata kwa mungu huu upuuzi wa namna hii utakumbukwa kwa majonzi yake
@faineschisunga74214 жыл бұрын
Mungu atulinde
@omarybebe84144 жыл бұрын
Leo ndio comment yangu ya kwanza kuiweka KZbin, HUYO DADA MMEMDHALILISHA SANA,SIO HAKI KABISA,HUYO NI MAMA AU DADA WA MTU PIA,MUNGU ATALIPA KWA MLILOLIFANYA.
@magakalutema37903 жыл бұрын
Siyo sana bunge hli
@adamumuki12423 жыл бұрын
Anajidai sana uyu jamaa km nchi yake Inshaaallah Allah ndio mwenye maalipo na maamuzi ya haki anajiona km mtume
@likimaro64 жыл бұрын
Yaani kuna watu wamejimilikisha bunge. Huyu dada kadhalilishwa kwa kweli. Yaani napata hasira kali
@abakuryatv21194 жыл бұрын
Chama cha kisenge Sana hichi Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢 Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli
@khatibabdi4 жыл бұрын
Magazetini kesho "Watunga sheria nchini Tanzania wamwaga mtama kwenye kuku wengi"
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
Andika ukweli ufungiwe...
@jonakajigili69914 жыл бұрын
Hii sio Sawa
@charlesbaba88204 жыл бұрын
Speak er ukosahihi sana unaendasawa na tunavyotaka
@remawetumi89163 жыл бұрын
Napita tu kumwirika Mh Ndugai.
@dubledublecepte86804 жыл бұрын
Duniani hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama utawala wa mfalme Nebukadreza lakini ulianguka 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
Mungu ndiye mwenye pumzi zetu tunazovuta kama aliweza kutuonyesha miujiza kwa Farao/ Firauni tunaomba atuonyeshe pia kwa wenye tabia kama yake. ..eee Mungu tusaidie ili kuepuka udhalilishwaji huu ambao umeigawa nchi yetu kwa makundi yenye chuki kubwa sana
@yohanapetro49374 жыл бұрын
Spika yani kusema ukweli unaloho mbaya
@user-hu2uw9hy1f8 күн бұрын
Kumbe Tanzania haina sare maalum za Bunge,hapa Kenya Kinyume
@johnmiligo4294 жыл бұрын
Mhh jamani Mimi nimwanaccm Ila mhh mbasi yakomee pale maoni yangu
@nicksonjohnson67604 жыл бұрын
Mimi Ni ccm Ila kiukweli ndugai hakuwahi kutoa uamuzi mzuri kwa wapinzani na hisi sio mzima kwenye afya ya akili
@husseinibnuhassan12724 жыл бұрын
Bunge anafungua na maombi mwisho anamkosea Mungu na anadhalilisha watu dah inaskitisha sana bas tufanye nchi hii iwe ya chama kimoja.ile radi itayompiga spika bado inapiga pushap
@pinielloilole43404 жыл бұрын
Ndiko tulipofikia?
@rahmaharuna67103 жыл бұрын
Haya ndo mambo ninayotakaga kuangalia
@sarahtaste28764 жыл бұрын
Kwakweli bora nibaki na kitambulisho cha taifa hicho cha mpiga kura hakinifai so kwa bunge hili inaskitisha sijui tunaenda wap ni Mungu tu anajua
@BlackPanther-xx8dn4 жыл бұрын
ukiyafatilia haya san utakosa la kujadili chamsingi pambana na Hali yako chapa kaz hilo bunge toka mda limeshapoteza Nuru
@mushidoya34194 жыл бұрын
Spika wa bunge mungu anakuona
@johnmitti32014 жыл бұрын
Kabisaa na anamuona haswa haswa
@richbituro84304 жыл бұрын
Aiseeee tunaelekea kubaya sana Mungu atusaidie.
@georgebulege63204 жыл бұрын
Shetani ni shetani tu
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Na mbinguni haendi
@victoryngilangwa26713 жыл бұрын
Wewe spika hufai hata kidogo ungekuwa unachaguliwa na wananchi usingepata hata kula mmoja
@faustinemalilo15134 жыл бұрын
Daaaah huyu dada amelazililishwa sana
@justinmkwanda41434 жыл бұрын
Bunge letu ni aibu sana spika analeta majungu bungeni hafai jumla
@gracejohn8864 жыл бұрын
Namkumbuka mama mpole sn ana hekima ya kutosha jaman mama Anna makinda
@jojolee3824 жыл бұрын
Chadema ni chama cha hovyo sana..!!!!
@kahugentobi97344 жыл бұрын
Kuma ww amna unacho kiongea kaa kimy
@jojolee3824 жыл бұрын
@@kahugentobi9734 we mkundu funga kuma hiyo ntaitomba gademit.
@kimchi-914 жыл бұрын
spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge
@salimnangawe69843 жыл бұрын
🙄 anazalilisha sasa siyo pow alicho kifanya mi imeniuma sana tena sana udhalilishaji huu dah this is Tanzania 😭
@mgeniali9413 жыл бұрын
Nyinyi ccm mshalaniwa unijifanya ipo ciku mtaondoka kwenye madaraka utacheka sana moto unawasubiri