Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @StraightPathDawah ni dawah popote wakati wowote.
Пікірлер: 242
@noella12823 сағат бұрын
Mwenyezi Mungu amujalie akufe akiwa mwisilamu
@fredrickgitonga197218 сағат бұрын
Wataka awe kafiri ama
@JohnOuya-w7j16 сағат бұрын
Wewe nikafiri usikufe kama bado uko kafiri chukua hatua😊
@charlesmakuri79215 сағат бұрын
@@noella128 kujisifu uongo uchawi,ndio dini ya uislam hakuna utapata ukienda peponi ni katikati ya miguu ya mwanamke
@JoyMoraa15 сағат бұрын
😂😂😂 Yesu hawezi kubali mtoto wake aingie kwa dini ya Diddy 1😂.
@jumamussantuiche11 сағат бұрын
@@JoyMoraadini ya p diddy marekani na israel.
@adenmohamed193520 сағат бұрын
I hv hope on mr Ndacha in near future u will be come a Muslim insha Allah.
@SophiaMbogo-in7yt19 сағат бұрын
Shukuran jazaka Allah khairan Allah Allah akuhifadh akujalie kher duniani na akhera wallahi kama uyu amefikia hapa si kazi rahisi Allah amuongoze
@faridahalwaily8523 сағат бұрын
Allaah Atamuongowaa dacha na Atawaiingizaa wengi kwenye dini ya kiislaamuh Atakapoo silimuh hodari kwa kuzungumzaa MashaAllaah
@Mtumisi10 сағат бұрын
@@faridahalwaily85 ndacha hawezi silimu atabaki kuwa kiboko chenu
@hassanwario-w7n21 сағат бұрын
Ndacha siku moja atakuwa muislamu na atakuwa anautetea dini ya uislamu Kwa sababu anajua haki kwa sasa.....yote yawezekana na mwenyezi mungu na tunaomba Allah aweze kuongoza huyu Ndacha akuwe muislamu in Shaa Allah
@mobutu388420 сағат бұрын
Nini maana ya haki?
@nassorsharifu983720 сағат бұрын
Ukweli @@mobutu3884
@MosesMwiti-q2r20 сағат бұрын
Akiingia uislamu atakuwa jikafiri kama wewe lakini kwa sasa ni mtumishi wa Mungy
@fatumamwalimu576519 сағат бұрын
@@MosesMwiti-q2runajua maana ya kafiri? Kuna waislam, na wale wengine nimakafiri ,sasa muislam sio kafiri ila jitanfaze wewe mwenye chuki kwa ukafiri wako
@fatumamwalimu576519 сағат бұрын
@@mobutu3884haki ndio huo uislam,
@FadhiliMakasi-g5m21 сағат бұрын
Ndacha acha ushabiki badilika Yaonyesha unadalili ya kumfuata (Allah Karim)
@dengepandu973412 сағат бұрын
Mwenyez muungu amjalie ndacha asife ila afe akiwa muislam amin
@linkenkenya917411 сағат бұрын
😂😂
@mjombawallace49668 сағат бұрын
I dnt think bcz he is the man of the holy spirit...!!! Never can he make company with @Jinns/@Demons /@Devil abadan he is fir Christ Jesus forever and ever and we are behind him in prayer
@ashrafhakim649919 сағат бұрын
May Allah guide him to the right path. Ndacha mtu mzuri Sana
@hamzaibrahimu19 сағат бұрын
SHEKH RAMADHAN NDUGU YETU TUSAIDIE NA SISI WATANZANIA NDUGU ZAKO ILI NA SISI TUPATE HIVYO VITABU LIFANYIE MPANGO HILO ALLAH AKUFANYIE WEPESI INSHAAALLAH 🤲
@muddathirkassim240719 сағат бұрын
Amin
@MariamKisuguru19 сағат бұрын
Najisikia furaha sana wallah naapa jamani sijasikia bado mjadala ila introduction tu imenipa raha😊
@mohamedS-yd9wh14 сағат бұрын
Sheikh Ramadhan, Allah akuzidishie elimu, hekma, busara na kipaji katika kazi hiyo ya daawa. Elimu unayowafikishia watu hasa wasio waislamu kuhusu dini ya uislamu wanaifanyia kazi na ukweli wanauona Alhamdulillah.
@yusuphhassan961912 сағат бұрын
MashaAllah Ndacha akiwa na Ramadhani anakuwa mtulivu sana
MashaAllah uso wandacha wa upole leo nidalili tosha yakua Allah yuko karibu kumuonyesha ukweli namuomba mungu amuongoze aionehaki inshallah mana yuko nania yakujua kweli uko wapi❤
@Kuminamoja199521 сағат бұрын
Ndacha karibu kwenye Uislam
@noella12823 сағат бұрын
Uyu ndacha shida yake nikukosa kukubali ukweli but nimtu mzuri.kusilimu to
@JoyMoraa14 сағат бұрын
😂😂😂 nyinyi hamtaki kuambiwa ukweli Ndancha ni mtoto wa Yesu na hapendi uongo. Nyinyi mwadanganya sana 😂
Huyo ndacha bado mwenyezi mungu hajamfungulia kifua chake ni huruma kwakweli Allah ndie mjuzi amfanyie hidaya
@FadhiliMakasi-g5m21 сағат бұрын
Ndacha baada yakupinga utatu Basi jua fika ana anza kushituka napia atasilimu
@jimjam-xg7rv11 сағат бұрын
INSHA ALLAH
@SalmanMughal-lq5lt54 минут бұрын
InshaAllah
@hassanmwangi650919 сағат бұрын
Ndacha anaujua ukweli, ni kitu tu kidogo anahitaji...Inshaa Allah ataujua ukweli
@Alithoya-qr7di13 сағат бұрын
Masiliha na tumbo nikitu ingine kibaya
@mryarrowkenya555623 сағат бұрын
Mungu Ni moja
@bibleknowledge-b1y15 сағат бұрын
mungu ni mmoja yupo katika biblia...na ni wa kweli YHWH...
@AssdfAssd-g3y21 сағат бұрын
Allah amuongoze inshallah katika dini ya haki
@jumakubili151216 сағат бұрын
Shekh ramadhani Mungu akubaliki sana, ila Amini kuwa watu wabishi ndio wepesi kuamini
@sallysally662222 сағат бұрын
Ndacha anajua ukweli sana Ila pesa ndio shida analipwa kuukashifu uislam Ila tunamuombea aongoke na awafundishe wale alıo poteza wajuwe haki
@charlesmakuri79221 сағат бұрын
Uongo ndacha anauchambua uislam we baki na ujinga wako na mtume alie banwa na kiumbe cha ajabu mapangoni
@sallysally662221 сағат бұрын
@@charlesmakuri792 Wewe kasime maandiko mwenyewe acha kudanganywa Tafuta ukweli mwenyewe achana na ndacha huyo ata slim ww ubaki unaliya
@MosesMwiti-q2r20 сағат бұрын
@@charlesmakuri792Analipwa na mamako au rafiki yako ...tunajua uislamu umejengwa juu ya uongo
@fatumamwalimu576519 сағат бұрын
@@charlesmakuri792,ukiacha hasira na ushabiki ukiondoa na kuropoka utaelewa,ndacha yuko kwenye biashara na anajua kua amepotea, lakini ikiwa unadhani kilikua kiumbe cha ajabu basi huo ndio utume wenyewe, maana hata yesu katokewa na shetani tena kabebwa kabisa, mungu wako Paulo alichomwa mwiba na shetani, acha kubanwa ,Paulo yeye kadungwa mwiba aswa, bado unashabikia au unajifunza?
@Fumokale19 сағат бұрын
Kazi yenu mukiona mumebanwa nyie ni matusi tu @@MosesMwiti-q2r
@MusinHamad22 сағат бұрын
Hata akitumwa jibrili huto silimu mpaka ujibiwe hoja zako kwaiyo hata jibrill hawezi kukuongoza izo hoja zako huoni kuwa zina mashaka kwa sababu jibrill ndie anaeleta ufunuo kwa idhin ya mola wake sasa ww izo hoja zako zina toka wapi ambazo ata jibrill. Hana nafasi mpaka zijibiwe ddah! Yaani mtu akisha jizonga mwenyewe nivigumu sna. Haya tuendelee
@hassanrangambo800716 сағат бұрын
Mahaalla sheikh , ndacha kwa alipo fika anateseka na fasiri ya quran sana kwasababu anategemea fasir ya awali asome nahw swarf balagha atakua mzuri sana na hamalizi kabla ya shahada
@jumanjenga76828 сағат бұрын
It's about time Ndacha learned more about Islam and stopped reading the Quran halfway to suit his agenda during debates. And Allah swt knows best .
@zainabumartin952021 сағат бұрын
Walaykum msalaam warahmatullah wabarakat
@FadhiliMakasi-g5m21 сағат бұрын
Leo kaja naupole yaonyesha atabadilika Inshallah
@SalmanMughal-lq5lt55 минут бұрын
InnshaAllah
@faridahalwaily8523 сағат бұрын
❤Aielewaaaa sanaa dinii elaa ni mtihaaaniii
@Kuminamoja199522 сағат бұрын
Ndacha Allah akuongoze innsha'allah 🙏🤲🤝
@hythamhashiem445818 сағат бұрын
اللهم آمين يارب العالمين
@yaqubabdi953221 сағат бұрын
Asalamu aleikum warahmatullahi wabarakatuhu. Sheikh Ramadan. Nipataje hiki kitabu. Thank you
@Sandra398234 сағат бұрын
Inshallah Mwenyezi Mungu amjalie Ndacha awe muislamu, sasa nyinyi haters wenye mnajificha kwa replies, Ndacha anaendelea kuiyona haki na yote kutokutetea utatu ni kwaajili ya kufundishwa na waislamu ndio wamemtoa kwa utatu na ametii,
@thekingdragon835823 сағат бұрын
MASHALLAH
@zainabumartin952021 сағат бұрын
Amina yaarby ❤❤
@swafiirbulbul81919 сағат бұрын
😂😂😂😂 Ndacha akikaa na Sheikh Ramadhani katika Mazungumzo nafurahi sana.. NDACHA Allah amuongoze katika Uislamu.. (Aamiyn)
@mohammededy708623 сағат бұрын
ALLAH amuongoze ndacha
@noot-oe2mw14 сағат бұрын
Mashaallah Mashaallah 🙏🙏🙏
@zaitunirashidi553223 сағат бұрын
Assalam alaykum, atleast niwe wa kwanza kacomment leo niwakilishe watanzania
@StraightPathDawah23 сағат бұрын
Shukran sana, Allah akubariki
@SadricAjjam23 сағат бұрын
Sheikh Ramadhan njooni Tanzania dawaa mitaani hapa kariakoo
@jumakubili151216 сағат бұрын
Sisi waislam tunampenda sana ndacha Mungu amuongoe
@abdirizackabdi127422 сағат бұрын
Allah amuongoze Insha Allah
@hythamhashiem445821 сағат бұрын
اللهم آمين يارب العالمين
@seydouside40815 минут бұрын
Much. Ndacha..assallam allaykum..hiyo ndio elimu..ya dini.nikusoma..na kulinganisha hili na lile..upate ukweli..inshaallah Allah atakupa kilichobora katika uislam
@mwanajaa-v5x10 сағат бұрын
Masha Allah MUNGU amuongoze ndugu ndacha aione haki na kuifuata
@aburaasmedia368221 сағат бұрын
Quran 85:21-22 But this is an honoured Qur'an. [Inscribed] in a Preserved Slate (Al -Lauh Al-Mahfouz)
@fardoshnassor784714 сағат бұрын
Mashaallah Allha
@franciscomtambakuluca283013 сағат бұрын
Ndacha ni mualim wa kweli ❤❤
@jimjam-xg7rv11 сағат бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚
@salisali373822 сағат бұрын
Ndacha amesha fahamu Islamu ndio dini ya kweli ila ana uzito kidogo au ana ona haya na hasa mdahalo alo ufanya mara ya mwisho umemuingia vizuri na ame jua ipi dini ya haki
@suuahmed7113 сағат бұрын
Mimi pia nina Imani Ndacha atakubali Uislamu. MUNGU ampe hidaya
@hythamhashiem445817 сағат бұрын
Nataka kumtanabaisha ndacha kuhus dhalika na haadhaa zinatumika kote kuwili kuna wakati hadhaa inakuwa ile na kuna wakati dhaalika ina kuwa hii kitu cha karibu
@salimabubakar387423 сағат бұрын
Asalam alykum ostath nawezaje kukipata kitabu hicho niko kitale plz
@linkenkenya917411 сағат бұрын
Yeshua hamashiah is the only way truth way & life
@MadiinaMbabazi-j6l10 минут бұрын
Mungu akulipe mema shehk
@saidsuleiman901816 сағат бұрын
Shekhe ramadhan usimshikilie ndacha kusilimu muwachie huru mpaka ajirishe mwenyewe n tufiki y Allah
@Minjum-j5m23 сағат бұрын
❤❤❤❤
@abdullahimohammedabdi382313 сағат бұрын
Sheikh RAMADHANI NAOBA NAONA AKO SERIOUS LAKIN ANAHOFU WATU WAKE WATAMCHUKULIAJE KWAHIYO TUNAOMBA UMCHUKULIE SERIOUS USIMCHEKE WALA KUMDHIHAKI...NAONA AMEKARIBIA ALLAH AMUONGOZE INSHA ALLAH
@mjombawallace49668 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 @Ndacha ni moto moto Kwa Waislamu na Nabi Muhammed. We ars Christians we are hot in debate
@bibleknowledge-b1y15 сағат бұрын
Yesu Kristo alikufa kwa ajili yenu ndugu..Dhambi zenu mnazipeleka wapi...
@SalehM20020 сағат бұрын
Assalam Aleikum Sheikh wetu Ramadhan, sauti kidogo NOT clear needs little system adjust Please.
@fatimahussen32348 сағат бұрын
Imekaribia kidogo tu ,,,inshaallah atakubali uislamu
@254trends13 сағат бұрын
Allah's Words Word 'Dhalika' (means 'That' compare to its opposite 'This' ) pronounced nearly as "Dhalika" used in Chapter Baqarah (The Cow) in Quran.
@hythamhashiem445812 сағат бұрын
ذَٰلِكَ الْكِتَابُ لَا رَيْبَ ۛ فِيهِ ۛ هُدًى لِلْمُتَّقِينَ This is the Book about which there is no doubt, a guidance for those conscious of Allāh -
@MohaMwaiwa13 сағат бұрын
WE had a debate many years back. he's very argumentative..lacks knowledge in Islam..his logic is a bit impaired....i come to realise he's on payroll to criticise Islam in all means necessary..I'm sure insha'Allah one day he'll embrace Islam.
@mohamedbaridhwan301714 сағат бұрын
Assalamualeikum. Naomba kama ungetengeneza kitabu hicho kwa pdf ikiwezekana
@SaidAlnaamani-z1o12 сағат бұрын
Ndacha anajuwa Sana kama Dini yaki islamu Ndio Dini ya kweli
@SaidIsmail-f1j11 сағат бұрын
Allah mzidishe kheri ndacha na umtie nguvu aje kwako Allah akbar
@mutomubaya18 сағат бұрын
Pongezi kwa Ndacha kwa kuwa yuko tayari kwa majadiliano bila kutukanana wala kejeli nk.
@254trends13 сағат бұрын
Zalik can be used as “This” ,”That”, “That one”
@jumamnemo838310 сағат бұрын
Ndacha mnatafautiana katika lugha hebu chukua hiyo qur'an halafu mpe Ramadhan wewe ni lazima useme hicho na Ramadhani uliempa atasema hichi kwakua msemaji katika Qur'an ni Mwenyezi mungu na aliyepewa kitabu kapewa Muhamad s,w,a ni lazima Mwenyezi Mungu aseme hicho, kwasababu ameshampa yeye neno atakalolitumia ni hicho ni kitabu na hawezi kusema hiki kwavile ameshakupa.
@MohamudAbdi-u7j22 сағат бұрын
Ndacha shida yake ni tumbo.. Muambiye Siku moja uta Acha hiyo mali yote... Sasa anasema hakubali mane no ya utatu... Anaongoja nini... Na ame jua bibilia hiko Na mane no siyo yakweli
@mjombawallace49668 сағат бұрын
Wewe Yani nishida kusema ukweli ???. Ndacha asemacho niukweli he has no relationship with Jinns and Trinity nifundisho la uongo it was created by Roman Catholic church to mislead gifs children.Uislamu si Dini ya haki...!!!
@jumaguyo906814 сағат бұрын
Naomba Allah ampe ndacha hidaya
@254trends13 сағат бұрын
The translation would literally be “That Book”. The reason Allah has used “That” instead of “This” is to imply its high and exalted stature, and also to imply that it has been sent down from the heavens, and is the speech of Allah, and not created, and not from this world.
@akbarmpemba699017 сағат бұрын
Ndacha Kila sememu nikimsikia.anapenda kutoa hii ya waraka .ebu kuelemezeni Nini kusimama kwa wahai.ajajua huyo maana ya kusimama.yaani kama vipe tulivyo ambiwa tusimamishe swala.yeye anajua kusimama ni kustop.sio hivyo waraka alivyo kuwa kile alicho kiona ndio ninadhihiri.yaami kikaonekana yaani nimetenga maaa.kimesimama kama mtoto anapoinuka na kusimama ktk ukuaji muelekezeni kiswahili huyo.
@salhkasmm55817 сағат бұрын
Huwezi kuwa muislam bila kujua udhaifu wa ukristo waslam wote wanajua chimbuko la ukafiri maana qurani imekamilika mafunzo yote yalopita ukiusoma kikamilifu huwezi kutoka.
@EzraStephano-lp6qr18 сағат бұрын
Ramadan na wewe Mungu akuongoze uwe mkristo
@saumbliz898317 сағат бұрын
Subutu
@suuahmed7113 сағат бұрын
Audhu billah min dhaalik
@Noorein-ws8wk21 сағат бұрын
Kaka ndacha ana nuru ya uislam kwa mbaaali kama imejificha hivi lkn tunamuomba Allah amuoneshe ukweli na aifuate asifanye kiburi kwani kiburi hakisaidii kitu,Kaka Ndacha njoo kwenye uislam ndio dini yako ya haki pls pls plssss😢😢😢😢
@GeraldMswazi-bp2kw15 минут бұрын
Uislamu ni dini ya kutetewa,haiwezi kujitetea.
@ZeitunaNurow18 сағат бұрын
Ramadhan kuria nauliza kama naeza pata kitabu ya swala
@boubabizo24639 минут бұрын
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Camera man analipwa ngapi kwa mwezi? Mtufahamisheni apa, na ili mtuu akipatikana, tujiwe kama analipwa. Iyo yakwanza, pili, kila experiences ziwe nawekwa wazi, kisha kila mtuu atakuwa najazia ao anacukuwa yote garama na watu wajuwe. Japo ni sawhabu kutoka kwa Allah, Ila pia inatia motivation pale uko najenga nyumba na unaona pale nyumba yako inafikia. Yangu ni hayo. Walillahi tawupfiq 🙏🏾
@francisjoseph107415 сағат бұрын
Ndacha Acha unafiki uliitwa na bishop ngonyani ukapinge utatu na ukatetee sabato ukahepa kama unajiamini njoo mbezi mwisho jogoo wapo TV upinge utatu mbele ya fundi WA maandiko biblia bishop ngonyani
@RajabwanyonyiJuma15 сағат бұрын
Lakini Ramadhani ndio dawa ya Ndacha, 😂 Huwa anatulia si kama akikutana na kina mazinge na Dr sule
@marineroDesspana15 сағат бұрын
Katika kusema ukweli hii lakini bado inampa mtu tashwish kukubali maneno yaliowazi
@MefakiMgandi15 сағат бұрын
Mm nakihitaji na Niko kilifi nakipataje tafadhali nitakigaramia ili munichapishie
@charlesmakuri79221 сағат бұрын
Ndacha is a great man uislamu ni dini sawa lakini ni ya majini na mtume wao alibanwa mbavu na kiumbe cha ajabu badae wanaanza uongo kama hivyo
@saumbliz898317 сағат бұрын
Jini uliumba wewe
@charlesmakuri79215 сағат бұрын
@@saumbliz8983 we jilambe mwenyewe
@imranbanda396314 сағат бұрын
Ndacha should study islam from people who know Islam he will be a good preacher
@brightzone.14 сағат бұрын
Hiyo Quran - ilishushwa kama kitabu au kama Wahai? Najaribu kuwaza anachosema Ramadhani na kile ninachosoma kwenye Quran 3:3
@Sandra398234 сағат бұрын
I am laughing at how haters of Islam are hiding themselves on replies, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AbdulmajidHyder12 сағат бұрын
Dhalikal kitabu Bado Kinateremka kutoka Lauhul mahfudh. Huwezi pata Dhalikal Qur'an. Utapata hadhal Qur'an manake tayari ishateremka.
@charlesmakuri79221 сағат бұрын
Ndacha wamekusikiliza wametengeza kitabu nawewe utengeneze kitabu kutumia hichohicho kitabu kwa kujibu hoja ujifungie na mtaalamu paulo
@akbarmpemba699017 сағат бұрын
😂😂kipindi alipokuwa anatetea utatu na kuung'ang'ania kumbe elimu hana Leo kageuka.huyo anawapoteza wakristo
@JumaNongwaСағат бұрын
Hiki ni kitabu "hii ni kauli ya kukipa utukufu na heshima kitabu cha qur an tukufu qaul taadhim" ndacha isikuchanganye
@jameskilasa7599 минут бұрын
Sema kuna watu humu waislam siku ya kiama watachomwa vibaya sana
@HusseinAli-fx1ld9 сағат бұрын
Ndacha, atakuja kuwa muislamu
@hassanbinsalman143720 сағат бұрын
Yule murtad anayemfunza kukashif Qur'aan aliungama wakati mmoja kuwa ni maslaha yaliompelekea kurtadi akarudi na kusilimu upya. Lakini baadae akarudi huko hoko kwa ajili ya masala ya kidunia. Adhabu ya Allah inamuongoja kwa kupotosha ummah.
@fay968720 сағат бұрын
Hawalali usiku kupanga kukoroga quran na kutafsiri kimakosa kidhalilisha uislaam lakini hesabu ni kwa Allah utawacha kila kitu utaenda na amali yako
@firdaushamid820022 сағат бұрын
Wewe ushajuwa ukweli kuwa Dini ya kweli Ni Islam na Dini ya kikiristo Niya uwongo lakini Basi tu unataka kupoteza tu wakristo
@muddathirkassim240718 сағат бұрын
Ndacha elewa kitu kimoja tuu..bro..usichanganye vitu viwili pamojaa,,,uislamu kando na kuna waeislamu,,sasa kama kunawaeslamu wanamatusi niwao lakini dini ya kieslamu haujafundisha matusi..huo niubinadamu tu kutukana bro,
@inamxmdsheekh197821 сағат бұрын
Huyu ni mwongo shekhe!😮 msomaji wake (yule murtad) alisema yuko naye kwa sababu ya maslahi ya kidunia!
@ZabronMagufwa17 сағат бұрын
Dini ya uislam inajiita dini ya haki lkn mngesoma unabii walopewa wasabato msingeyumbishwa na copy ya theology ( Quran)
@salimobeid147017 сағат бұрын
Mimi ni musialm lakini ndacha kama siku akiwa muislam ukiristo unakua kwisha mana huyu anajua kutetea dini na iko siku naamini siku moja atasilimubndacha fanya maamuzi we ni mtu msomi sana
@salhkasmm55818 сағат бұрын
Huyu ndacha anataka elimu ili azidi kuutukana uislam huyu ni abuujehil
@JoyMoraa14 сағат бұрын
😂😂😂😂 wewe ndiye umesema ukweli. Ndancha anajua ukweli wake