Nilisikiliza ujumbe huu miaka imepita lakini kile anacho sema Eric nimekiona kikirimia kwenye maisha yake napia kwenye maisha yangu Mungu akubariki sana wewe ni kioo kwa kweli Mungu azidi kukutunza.
@user-mr4yr4op3i Жыл бұрын
Mimi ni Ustadh Ahmad Swabur hakika nikesoma sana kutoka seminar yako hii MOLA akujazi Kheri shukran
@abeliantony708510 ай бұрын
Hongela saana napole sana kiongozi wa jimbolangu Buchosa kwa histolia yako hiyo ukweli inatia uchungu na inafundisha saana ukiiskiliza vizuri
@shabanimasoud7277Ай бұрын
Channel ipunguze kuchelewesha content Kazi nzuri ibarikiwe
@elvisdavy16632 жыл бұрын
Ningependa kushauri kuandika briefly ya somo na Mambo muhimu yaliyozungumzwa kwenye somo zima hii itasaidia mtazamaji ukiachana na kusikiliza somo anaweza kunote ufupisho mzuri wa somo kwaajili yakulifanyia kazi asante Erick kwasomo zuri🙏
@hoseamuyungu22835 жыл бұрын
Unaweza
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Asante sana my mentor
@swallahokororo11235 жыл бұрын
Nimekuelewa sana father,,,,
@jerasndahiriwe79636 жыл бұрын
Nimejifunza mengi Kila ninao watch videos zako asante sana
@jacksonolotu14937 жыл бұрын
Ahsante sana bro mm huwa napata moto nikikusikiliza...
@gladnessrowland45553 жыл бұрын
Tatazo lenu hamumaliziii kitu kimoja mnaekeza kitu robo alafu mnakatisha kama Mimi nawafutilia lkn sipati habar kamili