Mungu akuongoze milele mr. Joel. Mimi ni mfuasi wako mkubwa katika chanel yako ya you tube. Kupitia wewe Mungu amebadili maisha yangu.
@fra_nyuki6 ай бұрын
Hii lecture ni ya kusikiliza zaidi ya mara tatu au nne kabisa.... Asante sana brother..
@user-mm4zi9sf9g6 ай бұрын
Somo nzuri sana my life coach Joel Nanauka ninakufutilia kila kipindi yako kutoka Canada 🇨🇦 naelimika kwa kuendelea kubadili mtazamo wangu .
@nahlahassan-fd6le6 ай бұрын
Saana saana anatufundish kujitambua kla siku
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Yan somo la Leo ni zur Sana na limenigusa Sana kaka na nitaanza kubadilika kuanzia Sasa,,ayo madin yaleo ni mazul sana
@JamalPaulo-jt1ju3 ай бұрын
Joely . Nafurahi sana kukufahamu . Unafaa kua dira yangu maishani
@user-vr4bo2ur3v6 ай бұрын
Nakukubali kaka kuna sehemu umenitoa kwa madini yako
@simonkitaly97676 ай бұрын
Nimesikiliza mwanzo mwisho nimebarikiwa kuliko ninavyoweza kufafanua. Yaani sauti ya chini kwa utulivu wa hali ya juu.
@petermponzi4115 ай бұрын
Thanks for powerful message
@haillenyapesa95035 ай бұрын
Hakika namshukuru Mungu Kwa kukutana na mafundisho yako Joel, najikuta napiga hatua. pia namshukuru Mungu ananipa muda Kila siku angalau nisikilize Somo Moja Kila siku. Uongezewe mara dufu maarifa na ufahamu toka Kwa Mungu baba aliye hai.
@yerikombilinyi89476 ай бұрын
nnakupata kwa uzuri sana Mkubwa Be blessed 🙌
@joelnanauka6 ай бұрын
Tuendelee kujifunza
@LailaMau-es3mj6 ай бұрын
Ubarikiweee kwa jina la yesu kristo,, happy Christmas day🎉🎉🎉
@ladslauspius48456 ай бұрын
Be blessed Mr Joel, na X-Mass Njema kwako
@Udindigwa5 ай бұрын
Kwa Kweli Mungu Ni Mkubwa Mungu Ni Mkuu Katika Maisha Yetu
@RUCKY_6 ай бұрын
Wooow somo limeshiba lime maliza kila kitu binafsi wewe ni kusudi is MUNGU kwetu yesu akupe umri mrefu
@faudhiasalum72796 ай бұрын
Be blessed ✍️🙌🏿'🎅🌲🥳
@danielkwilemba4715Ай бұрын
Awesome
@nkurunzizalydia17206 ай бұрын
Kwa kweri tangu nianze kukusikiliza sijawahi poteza muda nimejifunza vitu vingi mno na nimebadilika sana najivunia hilo
@ga2revocatus916 ай бұрын
PR . Joel mungu akutunze ninamengi ya kuku elezea ila kwenye koment hayatoshi Hii ndo elimu ya kweri kwa dunia ya leo
@robertmgori81656 ай бұрын
JUST GOOD
@masudibaja6 ай бұрын
Mungu akubariki maarifa makubwa zaidi
@user-bl8hm5tx7n5 ай бұрын
Merci beaucoup
@user-mh7su4sm5s5 ай бұрын
Thanks bro Joel God bless you ✍✍✍👏👏👏
@mohammedrashid29066 ай бұрын
AHSANTE
@JrmontaizaАй бұрын
Mtu makini
@user-tr2mf3hp5s6 ай бұрын
Nakukubali sana profesa sijawai kuja live but date 6 January ntakuona live na nshabooking ticket tayali
@HassanSinani6 ай бұрын
Thanks and God bless you
@user-km9on6fj7y6 ай бұрын
Kuanzia sasa nitaanza kubandilika!
@jamilaathumani54816 ай бұрын
SoMo la Leo nizur Saaaana kaka na umenigusa Sana mim Leo Kwa asilimia 90 so Asante Kwa SoMo hili kaka,,nitayafanyia kazi Kila ulichokisema Kwa hili,,naamin nitafika mbali ,, Asante kaka Kwa elimu yako,,namim nainvest hapa kwakukufuatila wewe kaka ubarikiwe,,nabadilika kuanzia leo na nayafanyia Kaz Kwa Kila neno
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Yani kaka Joel Kwa majina naitwa Jamila athumani Yani am speechless nasiwez kumaliza kuandika Yan kiukwer vipindi vyako nivizur Sana kwaiyo Asante kwakutusaidia kutuelimisha ,,Yan mada hii ya Leo ni majawabu yangu ya mambo mengi kaka Asante kwakunisaidia kuniongoza Asante ,,nakuahid nitaifanyia Kaz Kwa hii elimu
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Namim pia nahitaji Sana watu kama wewe so kupitia vipindi vyako vitanisaidia kuniongezea Kasi ya harakati zangu,,kwaiyo nakuitaji Kwa I'lo kaka Joel,,Asante tena na ubarikiwe
@samsom71456 ай бұрын
hicho ki muziki kwenye background kinaongeza utulivu, wa kusikiliza
@amrikitwana71466 ай бұрын
Great post
@danielkwilemba4715Ай бұрын
Ninakesha nikisikiliza hekima zako
@zakariachacha75746 ай бұрын
Wewe jamaa uko mbali
@churchboyz_tz6 ай бұрын
Tuko live💯
@GiftFred-iq6qx6 ай бұрын
Kaka joel tumia kiswahili zaidi unavyo changanya kingereza kwenya kuongea wengine hatuelewi