SURAH ZA KIPEKEE NA UHAKIKA KWA SULUHISHO LA MATATIZO MAISHANI | SIRI ZA QURAN | Mohamed Alidini

  Рет қаралды 5,829

Mohamed Alidini

Mohamed Alidini

Күн бұрын

Je, unajua kuwa Qur'an Tukufu inahifadhi surah, ayah na dua maalum za kukuwezesha kubadilisha yako yoyote? Leo tunakuletea siri hiyo! Kwa kutumia Surah hizi, utaweza kuvuka changamoto zako na kufanikisha malengo yako maishani. Hii ni siri ambayo wengi hawajui, lakini walioitumia wameona matokeo ya ajabu. Je, uko tayari kuijua? Usisahau ku-like, ku-share, na ku-subscribe kwa mafunzo zaidi kama haya ya Qur'an na siri za mafanikio! Safari ya kila mmoja wetu ni ya kipekee. Siri hii inaweza kuwa msaada unaohitaji kwa hatua yako inayofuata!
----------------------------------------------------------------------------------------
Maelezo yake:
Surah: AS-SHAMS, AL-LAYL NA AT-TIN
Ayah: KAMILI
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
 Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
 Tia nia yako yoyote.
 Uwe na Twahara kamili (Mwili, nguo na malazi).
 Soma hizo Surah zote mara 7.
 Soma Dua ifuatayo mara 1:
 «اللَّهُمَّ اجْعَلْ لِيْ فَرَجًا وَمَخْرَجًا مِنْ أَمْرِيْ»
 Insha Allah baina ya usiku wa kwanza hadi was aba utapata suluhu la tatizo lako.
 Fanya faida hii mara 1, 2, 3, na kadhalika. Nafasi yako!
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
----------------------------------------------------------------------------------------------
Copyright Notice:
► Every content we made are licensed to our channel.
► All audios, videos and images are copyrighted and fully licensed.
► Elements used in this video are edited by us are copyrighted and fully licensed.
► So, you do not have permission to use or reupload our content without our permission.
**********************************************************************
Copyright © 2025 Mohamed Alidini. All rights reserved.
**********************************************************************

Пікірлер: 76
@UlfatSeifally
@UlfatSeifally Ай бұрын
Mim kwa yaqin kabisa nimeisoma suuratuldhuha kwa siku 40 na nimeswali kwa ajili ya kuomba kazi nzuri basi nimehamishiwa sehem nyengine ya kazi ambapo maslahi yake ni mazuuri zaidi. Waislam tujitahid na hizi sura na swala tusiziache baada ya mafanikio Allaah akupe umri mrefu wenye kher akujaalie mwisho mwema na jannatulfirdaus yawe ndio mafikio yako
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Masha Allah! Alhamdu Lillah! Allah (SWT) Azidi kukutimzia malengo yako yote Diuniani na Akhera. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 18 күн бұрын
@@mohamedalidiniAllahumma Amin Yarabby
@mohamedalidini
@mohamedalidini 18 күн бұрын
@@FayeezAlbahassaney Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲
@JokhaSaleh
@JokhaSaleh 12 күн бұрын
​@@mohamedalidini nimesema sura hizi kwa yakiin kubwa AS-SHAMS, AL-LAYL NA AT-TIN lkn sijaona matokeo yyte
@mohamedalidini
@mohamedalidini 12 күн бұрын
@@JokhaSaleh Usichoke. Jaribu tena na usichoke. Kuna dada mmoja kutoka Tanzania ako na mtoto mgonjwa ambaye amejaribu dawa kila aina lakini hazikumsaidia. Akaifanya faida hii kwa nia ya kujua suluhisho la tatizo hilo. Alipofanya hivyo, usiku ule ule alijiliwa na mtu usingizini akamwambia atoe sadaqa kwa uwezo Allah (SWT) atapona. Ameniambia amefanya hivyo na mtoto wake anaendelea vizuri.
@mummeira3887
@mummeira3887 3 күн бұрын
Allahumma Amin wallahi sheikh wetu tunakusikiliza na kukufuatilia sana tukiwa Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupenda kwa Ajili ya Allah kwa kutupa faida za Quran na dua zake.shukrqn jazilla.❤❤❤
@mohamedalidini
@mohamedalidini 3 күн бұрын
Masha Allah. Tabarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@mummeira3887
@mummeira3887 2 күн бұрын
@@mohamedalidini Ameen ya Rabal Alamin🤲🤲kwetu sote inshallah.
@mohamedalidini
@mohamedalidini 2 күн бұрын
@@mummeira3887 Ya Rabb!
@mohamedalidini
@mohamedalidini Күн бұрын
@@mummeira3887 Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲
@zainamohammed7109
@zainamohammed7109 Күн бұрын
Allah akulipe kheri sheikh shukran
@mohamedalidini
@mohamedalidini Күн бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@NamdoriKavumo
@NamdoriKavumo 17 күн бұрын
Allaahumma ajal farajan wa maharajan min amr
@mohamedalidini
@mohamedalidini 16 күн бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@UwesuMlawa
@UwesuMlawa 23 күн бұрын
قبلت الإجازة بكشف المنام وجازك الله خيرا يا صاح
@mohamedalidini
@mohamedalidini 23 күн бұрын
خيرًا إن شاء الله.
@RahmaQueen-s3j
@RahmaQueen-s3j Ай бұрын
Shukran jazzilla Allah akuneemeshe kila siku inshaAllah.
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Afwan. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@hawayussuf9244
@hawayussuf9244 Ай бұрын
Shukran Allah akulipe kila kheri
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Afwan. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@HawaaMohamed-w8k
@HawaaMohamed-w8k Ай бұрын
Shukran Allah akuongezee elimu na maarifa zaid aamin
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Afwan. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@AsiaMwangowa-w5u
@AsiaMwangowa-w5u 16 күн бұрын
Allah akuhifadhi akuzidishie elim
@mohamedalidini
@mohamedalidini 16 күн бұрын
Ameen Waiyyaak! 🤲🤲🤲🤲🤲
@zayedbinharith4665
@zayedbinharith4665 Ай бұрын
A.alykum sheikh wetu .Allah akuzidishie ilmu unayotufundisha .akupe nyingi kheri .Baraka na neema zake Allah .
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@rutahalima1400
@rutahalima1400 Ай бұрын
Assalaam Alaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu Shukran jazila wa baraka llahu fik wa jazaka llahu kheir
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Afwan! Allah (SWT) Akupe kheri zote! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@شفيعهالجزار
@شفيعهالجزار Ай бұрын
shukulani sanaaaa inshallah 💝🎁💐💐 itusaidie sisi na wewe yallabi
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@fatumatsopa3941
@fatumatsopa3941 Ай бұрын
Shukran Allah aibarik elimu uliyonayo.Na akulipe ujra mkubwa kwayo.
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@AishaAthimani
@AishaAthimani Ай бұрын
mashaallah jazakallah khair shekh ALLAH akupe mema ya dunia mpka akhera
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Tabarakallah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur Ай бұрын
Shukran sheikh
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Afwan! Allah (SWT) Akupe kheri zote! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur Ай бұрын
@mohamedalidini amiin. Asante
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
@@Annalisejg2ur Ya Rabb! Karibu Sana!
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur Ай бұрын
@mohamedalidini 🙏
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
@@Annalisejg2ur Afwan. Karibu sana!
@zayedbinharith4665
@zayedbinharith4665 Ай бұрын
A.alykum sheikh .hio dua naiomba kwa kiarabu tafadhali sheikh wetu .
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Dua ndio hii: «اللَّهُمَّ اجْعَلْ لِيْ فَرَجًا وَمَخْرَجًا مِنْ أَمْرِيْ»
@hamaditawfikisaidi7034
@hamaditawfikisaidi7034 Ай бұрын
Aslm.alykum, sheikh,tunaomba utuandikie hiyo dua
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Dua ndio hii: «اللَّهُمَّ اجْعَلْ لِيْ فَرَجًا وَمَخْرَجًا مِنْ أَمْرِيْ»
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
«اللَّهُمَّ اجْعَلْ لِيْ فَرَجًا وَمَخْرَجًا مِنْ أَمْرِيْ»
@mummeira3887
@mummeira3887 3 күн бұрын
Hii Dua nayo yasomwa mara ngapi pia?
@mohamedalidini
@mohamedalidini 3 күн бұрын
@@mummeira3887 Mara moja pekee!
@MmMm-hx6ln
@MmMm-hx6ln Ай бұрын
Shukraan Jazakallah khayra 🙏,na jee kama unamatatizo mawili mpk matatu unataka kujua , yote unatia nia au unalitaja tatizo moja kwanza mpk upate majibu ,ndio utafanya tena kwa tatizo jengine???
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Kwa kila jambo ukaifanyia kivyake ni bora zaidi. Allah (SWT) ni Mueza wa kila kitu. Afwan.
@MmMm-hx6ln
@MmMm-hx6ln Ай бұрын
@mohamedalidini shukraan jazakallah khayra 🙏
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
@@MmMm-hx6ln Waiyyaak! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@IsmailIwutung
@IsmailIwutung Ай бұрын
Machalla tabarakalla chegh amen amen amen ❤❤❤
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@laylatabdallah2796
@laylatabdallah2796 Ай бұрын
Takbiiiiiir Allahu akbar hakika qur-an haikuacha kitu
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Alhamdu Lillah! Allah (SWT) Akupe kheri zote! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@AishaAisha-q4t
@AishaAisha-q4t Ай бұрын
Mashallah
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 Ай бұрын
As salaam alaikum Warahmatullah Wabarakatuh Ukiwa umeshona siku tatu na bado hujaona chocho na ukapata siku zako je utaendelea au utasubir mpaka utoharike?
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Kwa vile moja katika sharti zake ni Twahara, itabidi ungojee! Afwan.
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 Ай бұрын
Jazaka llahul kheir
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
@@salmaalkyumi6030 Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@Abdullatif-p6w5j
@Abdullatif-p6w5j Ай бұрын
Sheikh hii unawez kuifany mara moja t ktk maisha au zaid ya mara moj
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
barakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Ndio unaweza. Afwan.
@SakinJuma
@SakinJuma Ай бұрын
Maji unayasomea kwenye chombo kimoja kila siku unayasomea humo humo au vipi
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Ikiwa unatakiwa kusomea maji kila siku kwa muda fulani, kila siku utayasomea maji mengine. Lakini ikiwa unatakiwa kusomea maji mara moja na kuyatumia kwa muda fulani, utafanya hivyo. Afwan.
@UlfatSeifally
@UlfatSeifally Ай бұрын
Mim kwa yaqin kabisa nimeisoma suuratuldhuha kwa siku 40 na nimeswali kwa ajili ya kuomba kazi nzuri basi nimehamishiwa sehem nyengine ya kazi ambapo maslahi yake ni mazuuri zaidi. Waislam tujitahid na hizi sura na swala tusiziache baada ya mafanikio Allaah akupe umri mrefu wenye kher akujaalie mwisho mwema na jannatulfirdaus yawe ndio mafikio yako
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Masha Allah! Tabarakallah! Allah (SWT) Azidi kukutimizia malengo yako yote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@UlfatSeifally
@UlfatSeifally Ай бұрын
Allaahumma aamyn
@RahmaQueen-s3j
@RahmaQueen-s3j Ай бұрын
Shukran jazzilla Allah akuneemeshe kila siku inshaAllah.
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
Afwan. Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
@AishaAisha-q4t
@AishaAisha-q4t Ай бұрын
Mashallah
@mohamedalidini
@mohamedalidini Ай бұрын
@@AishaAisha-q4t Tabarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
SIRI 4 YA SURA YENYE AYA 4 KWA ANAETAKA KUPENDWA
15:02
Msimbu Online Tv
Рет қаралды 3,4 М.
JIKINGE NA UCHAWI,HASADI NA KIJICHO KWA ADHKAAR HIZI
42:33
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 19 М.
DUA HII YENYE KUJIBIWA HARAKA MNO ,USIACHE KILA MAGHARIBI
10:24
Msimbu Online Tv
Рет қаралды 24 М.