MOSES KULOLA Sikuzinakuja zahatari E.A.G.T Muwemakini

  Рет қаралды 198,121

SYLASS TV ONLINE

SYLASS TV ONLINE

Күн бұрын

ASKOFU MOSES KULOLA ALIUBILI JIJINI MWANZA MWAKA 2002
SYLAS TV IPO KWAJILI YAKO

Пікірлер: 178
@EdsonSamwel-p4k
@EdsonSamwel-p4k Ай бұрын
Daah Mzee kulola apewe maua yake mzee alisimamia kwel ya biblia nikisikiliza mahubir yako nikaongezea na ya mtumishi wa mungu amieli yalered katekela nabalikiwa sana
@AnnaAnna-n1r
@AnnaAnna-n1r 9 ай бұрын
Alitiza neno hubirini kwamba ufalme wa mbinguni umekaribia...........lengo kuu la wokovu ni kuikimbia Jehanamu isemwayo na huyu mtumishi wa Mungu shujaa
@danielngalawa5134
@danielngalawa5134 5 жыл бұрын
Daaaah injili inachoma kweli..MUNGU nisaidie niushinde ulimwengu
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
Niliokoka kwenye mkutano wa huyu baba 1999 na nilipata shida sana mume alinikataa nikiwa na mtoto mdogo nikaenda kukaa kwetu niliendelea na wokovu,kukawa na mkutano wa vijana kwa Mchungaji Mwizarubi nilimuona Mungu akitenda leo namsikiliza Feb 2019 hapa marekani acheni Mungu aitwe Mungu
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
@@SYLASSTV lakini ikiwa youtube si ina maana inawafikia wengi au sijuu nauliza tu
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
@@SYLASSTV Done
@ASTUDIOSTZ
@ASTUDIOSTZ 5 жыл бұрын
Barikiwa
@mzalendowambura6427
@mzalendowambura6427 5 жыл бұрын
Hongera kama Bado unaendelea na Yesu, na katika mafanikio majaribu ni mengi
@lucysingaile9786
@lucysingaile9786 5 жыл бұрын
Injili hii ndiyo inayotakiwa kwa kizazi hiki
@kisembomaliyamungu572
@kisembomaliyamungu572 4 жыл бұрын
Mungu akujalia mzee hii ndio neno ya wakati huu tubuni na kuokolewa Amina Amina
@timothmasong7974
@timothmasong7974 5 жыл бұрын
Injili isio na mawaa ubarikiwe babu pumzika kwa amani kazi umeimaliza injili umeilinda aminaa
@seifhamadi7895
@seifhamadi7895 4 жыл бұрын
Ee mungu WANGU niongoze nimalize mwendo salama.
@zakayosamwel7040
@zakayosamwel7040 4 жыл бұрын
Nakumbuka mahubiri ya huyu mtumishi wa Mungu. Ni lazima tusimame imara katika kizazi hiki. Tulishike neno na tusibabaishwe na manabii wa uongo waliojaa kipindi hiki.
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Zakayo Samwel mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 4 жыл бұрын
Buana Wangu Yesu Mfalm Uni saidie Mupenzi Wangu Wa Rohoe Kua siku ile siku ya Hatari ni yakulie ni WEWE Mbinguni Amen
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Ай бұрын
Mungu anifanye na mimi kama moses kulola
@CastroErnest-jq2bf
@CastroErnest-jq2bf 26 күн бұрын
Alifunga mwaka mzima jitaid naww ufunge ata nusu Utaona nguvu za Mungu alie hai
@JastFinancial02
@JastFinancial02 26 күн бұрын
@@CastroErnest-jq2bf Amina
@EnezerMwafrica
@EnezerMwafrica 10 ай бұрын
Ee Mungu na kweli amemchukua Mungu azidi kumpa neema atakm hayupo duniani loe nmeokoka kwa mafundisho yke
@emmanuelsanga7363
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Neno la Mungu ni moto
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 5 жыл бұрын
Acsente Mutu wa Mungu ni kueli kabisa ni lisha épuka zamani bengine aseme ni majivunu na bambiya faida gani ni potée Moyo wangu ju y’a Kupendewa na Dunia ? Haya acha Mungu a kubariki nakutubiri Injili y’a wakati za muicho ndio Buana Yesu ana Kuja BaBa Wetu wa mbiguni a tu wezeche Amen
@paulinamichael2988
@paulinamichael2988 3 жыл бұрын
Halleluyah nakosa hata chakuongea nabarikiwa sanaa Baba kazi uliifanyaa.
@edithajonathan8905
@edithajonathan8905 5 жыл бұрын
Injili halisi ya Mungu mwenyewe!
@danisaid6245
@danisaid6245 5 жыл бұрын
Pumzika kwa amaani mzee wangu ole kwetu ambae hatujamaliza kazi
@emmanuelsanga7363
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Kwa kweli tunamshukuru Mungu sana kwa ajili ya askofu Kulola
@sistercarolinemjewa7502
@sistercarolinemjewa7502 5 ай бұрын
Mzee Kulola ana upako mkubwa sana sijaona mwingine
@priscajustine2183
@priscajustine2183 4 жыл бұрын
Kweli baba umesema naimetokea corona mungu tuponye 30/4/2020
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 3 жыл бұрын
Corona maana yake 666
@joshuasalamba591
@joshuasalamba591 4 жыл бұрын
Mungu akufute machozi kwa kitambaa safi baba yetu wa iman
@emmanuellikaare1661
@emmanuellikaare1661 7 ай бұрын
Nisiku ya pili nililala mchana nikaota ndoto huyu mtumishi wa Mungu amekuja duniani akanishika mkono nakunipeleka mbinguni sasa tukiwa kwenye ngazi kila mahali kweupe nilianza kusikia wimbo ambao nilipoamka nilikua bado naukumbuka nikachukua simu yangu kisha nikaimba nikijirecodi ndio nisiusahahu ...napenda sana kuyasikiliza maubiri ya uyu mtu wa Mungu nampenda kutoka Moyoni mwangu naamini Mungu ameuambatanisha moyo wangu na moyo wa mtumishi wake japo yuko mbinguni.....naamini namimi siku moja nami nitaingia mbinguni amina.
@shedrackmihale7329
@shedrackmihale7329 3 ай бұрын
Fanya tu kwabidii kwa Mungu utafika tu kwa Mungu
@carolmueni6431
@carolmueni6431 28 күн бұрын
​@@shedrackmihale7329Tia bidii ushinde ya ulimwengu mtakutana
@saramgonja3484
@saramgonja3484 5 жыл бұрын
Sikuwahi msikiliza Huyu baba kipindi chote akiwa hai maana nilikua kwenye imani nyingine lakini tangu niingie kwenye imani hii na kupata kusilikuliza sauti za huyu baba,hakika nafundishika napata kujua mengi na imani yangu inakua,,
@saramgonja3484
@saramgonja3484 5 жыл бұрын
Nitashukuru saana,na Mungu wa Mbinguni akubariki saana
@saramgonja3484
@saramgonja3484 5 жыл бұрын
Amen,barikiwa sana ndugu yangu
@kejolalaizer9245
@kejolalaizer9245 5 жыл бұрын
@@SYLASSTV Ana mtunda mengi sana
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Sara Mgonja mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin utaujua ukweli zaidi wachungaji wengi na manabii ni waongo sana utaijua injili bure na kuombewa bure.Asante
@josephmarwa7212
@josephmarwa7212 2 жыл бұрын
Mungu anakupenda endelea kumtafuta akiwa bado anapatikana
@UhaiOnlineTv
@UhaiOnlineTv 5 жыл бұрын
sylas tv jaman tuiombee sana pia sambaza video hi
@christinaphilip3831
@christinaphilip3831 4 жыл бұрын
Mungu akupumzishe katika makazi yako ya milele
@lawrenciamwampelwamwampelw9911
@lawrenciamwampelwamwampelw9911 5 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 1985 mbeya kwenye mikutano ya kulola
@laini120
@laini120 5 жыл бұрын
Waouw nzuri saaana
@darcinmubeza1560
@darcinmubeza1560 3 жыл бұрын
Mungu Atupatie mwisho muzuri kuliko mwanzo
@eliapolia1624
@eliapolia1624 5 жыл бұрын
Mwenye sikio na asikie
@itongwamtebwa7255
@itongwamtebwa7255 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hellenevarist5221
@hellenevarist5221 4 жыл бұрын
Amen.
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Huyu alikuwa mpakwa mafuta kweli ndiyo maana hakupenda kuchekacheka alikuwa serious kweli
@merrypeter5909
@merrypeter5909 5 жыл бұрын
bba urikubari kuhubli kweri yaneno la Mungu , upombinguni umepumzika
@johnraymond5597
@johnraymond5597 5 жыл бұрын
Merry Peter
@anethilyapanda1096
@anethilyapanda1096 5 жыл бұрын
Nakumbuka 2012 mbalari mbeya ubaruku kwa pastor kitundu daaah r.i.p. pastor moses kulola.
@missajijamesx-6479
@missajijamesx-6479 Жыл бұрын
Roho yako ilale mahala pema baba umeiacha ijili inasonga mbele mimi nimeokokokea kwenye E..A..G..T
@gaudenciarobart3801
@gaudenciarobart3801 3 жыл бұрын
Bwana nisaidie nimalize mwendo salama
@laurentgregory2074
@laurentgregory2074 5 жыл бұрын
Bwana atupe ustahimilivu wa kusimama katika wokovu
@josephmarwa7212
@josephmarwa7212 2 жыл бұрын
Muendelezo jamn msiwe mnatukatisha katikati
@dorismbise1310
@dorismbise1310 4 жыл бұрын
Nabarikiwa mno na mahubiri haya
@lemyzadockjesushigher7098
@lemyzadockjesushigher7098 5 жыл бұрын
Naomba Mungu akutulize katika furaha ya milele Mzee wangu
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Amen mafunzo mema tena ya kweli kabisa
@mashitoedson4187
@mashitoedson4187 5 жыл бұрын
Fatma Fa we si muislamu mbna umecomment hvo
@emmanuelsanga7363
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Daa injili ya kweli hii ukurasa umefungwa tayari lakini injili aliyohubiri bado inagusa watu
@sharondivine2797
@sharondivine2797 5 жыл бұрын
Amen Hii ni injili Halisi
@kevinndayihimbaze3585
@kevinndayihimbaze3585 3 жыл бұрын
Ili ndilo neno la Mungu
@davidkubeha7755
@davidkubeha7755 3 жыл бұрын
Injili ya kweli kutoka kwa yesu
@yusuphkasongwa1872
@yusuphkasongwa1872 5 жыл бұрын
nani atakaye tokea akahubili injili ya kweli ambayo inazungumza uharisia wa dunia ilnako elekea kama huyu mzee nani asimame, nani azunguke katika roho na kweli rest in peace our real dad we mc u more
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Angalia prophet Hebron pia amefuata nyao zake.
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Yusuph Kasongwa mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin
@jofreypilla5041
@jofreypilla5041 3 жыл бұрын
Eee Mungu nikumbuke
@JeanClaudeBibonimana-k4c
@JeanClaudeBibonimana-k4c 4 күн бұрын
Muhubiri mwema kabisa
@mosesmwailenge6749
@mosesmwailenge6749 4 жыл бұрын
Hakika amelaniwa yoyote yure apingae injili hii iliyo hai kwamaana atakua amempinga yesu hai aisee inaogofya ulifanya kazi baba angu kulola hata leo tunakushuhudia popote pale kwa mwenendo wako mwema nainjili hai ukuubili feza walamagari ole wasisi tusipo mpenda yesu
@joshuangao4147
@joshuangao4147 5 жыл бұрын
mungu akubaliki
@lilianmwambatula7921
@lilianmwambatula7921 5 жыл бұрын
amen....MUNGU ana watu
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Baba wa imani
@sarahpetro4418
@sarahpetro4418 4 жыл бұрын
MUNGU akuweke peponi baba yetu mzee wa imani thabiti hakuna kama wewe mtumishi unae toa injili ya kweli kwa sasa manabii wanaibuka usiku na mchana injili ya MUNGU imekuwa bishara
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Sarah Petro mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin
@sarahpetro4418
@sarahpetro4418 4 жыл бұрын
Jake Lema huwa namfatilia ila nina muda kidogo sijaangalia tena kumbe katoka mikononi mwake
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Sarah Petro ndiyo unabidi urejee kama vipi uende kanisani kabisa
@sarahpetro4418
@sarahpetro4418 4 жыл бұрын
Jake Lema kweli kabisa nimemwacha MUNGU jamani anisamehe tu MUNGU wangu
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Sarah Petro ata usiogope ukirejea atakupokea anatupenda kuliko ata tunavyofikiri.Upo dar au mkoa gan kwan?
@babulomitu140
@babulomitu140 2 жыл бұрын
Mahubiri yako yanasikilizika
@paulojohn2580
@paulojohn2580 Жыл бұрын
Amina sana
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
Kanisa limeingiliwa na nnge Baba siyo EAGT uliyoiacha MUNGU akurehemu.
@mariamusimon3095
@mariamusimon3095 5 жыл бұрын
Ubarikiwe
@ruthvilinga7780
@ruthvilinga7780 4 жыл бұрын
Shukurani nyingi
@sistercarolinemjewa7502
@sistercarolinemjewa7502 5 ай бұрын
Carol Mjewa Nairobi
@barakankubile2329
@barakankubile2329 5 жыл бұрын
Nikwa mahubiri yako niliokoka mwaka 1985 mwezi 9 huko manyovu kigoma .
@michaelpaul7760
@michaelpaul7760 4 жыл бұрын
Baraka Nkubile Hongera Bwana Baraka maana kwa mwaka huo sie wengine tulikuwa hatujazaliwa bado
@PeterPeter-yd8qx
@PeterPeter-yd8qx 5 жыл бұрын
Kweli Baba huyu alijaa NEEMA ya MUNGU
@hellenevarist5221
@hellenevarist5221 4 жыл бұрын
Askari wa Mungu.
@imagepower3641
@imagepower3641 5 жыл бұрын
inatisha huyu mtumishi ana maneno yenye nguvu sana
@hellenevarist5221
@hellenevarist5221 4 жыл бұрын
Huu ndio Ufunuo Wa Yohana
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Amen in Jesus mighty name amen
@elirehemamaro4045
@elirehemamaro4045 4 жыл бұрын
Ee Mungu wangu naomba unisaidie nami niuone ufalme wako
@musabalinaki5847
@musabalinaki5847 5 жыл бұрын
My role model
@stivejoni9976
@stivejoni9976 5 жыл бұрын
Injili halisi
@yesuhanampinzanimgimwa8319
@yesuhanampinzanimgimwa8319 5 жыл бұрын
Babu Mungu akutunzee
@imaniisaac685
@imaniisaac685 5 жыл бұрын
Nimezikumbuka jumbe za huyu mtumishi was mungu.
@hoseaelia7646
@hoseaelia7646 5 жыл бұрын
Hakika mafundishooo ya kwelii
@philipongaravit6242
@philipongaravit6242 5 жыл бұрын
mungu ni mwema kila wakati
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 5 жыл бұрын
Moses Mgimwa mmh kaka pole ni marehemu kwa sasa
@rasnchimbi
@rasnchimbi 5 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 80,enzi hizo Dodoma alikuwa anakuja kwenye kanisa la kulia pale jirani na hospitali ya general,sisi tukitoka kucheza mpira kwenye viwanja vya amani shule ya msingi,tunapitia pale kumsikiliza vitisho vyake.
@hensongunman1680
@hensongunman1680 5 жыл бұрын
Yesu asante kwakumleta Nabii kulola duniani
@Japhetrichard8187
@Japhetrichard8187 3 жыл бұрын
Kwahiyo wewe unaona Ni vitisho siyo kwakuwa maneno haya Ni yake etie
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Ole wako siku hiyo utauambia mlima ukufunike nao utakukimbia
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 5 жыл бұрын
Huyu ndo mchungaji anae wafaa waumini mpendeni Sana kwani anawapa ukweli juu ya wokovu sasa nivizuri kulishika ilo neno kwakuwa ushajuwa ukweli hukumu yake nikali kuliko yule asie juwa pia someni sana ufunuo wa yoana kwani.kila kilicho tabiriwa kisha kuwepo
@catherinegideon5287
@catherinegideon5287 5 жыл бұрын
Alishafaliki muda sasa
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 5 жыл бұрын
@@catherinegideon5287 mungu ampumzishe nilifwatilia ibada zake kwenye mitandao nilimpenda sana
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Stanley Focas mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin utaijuwa injili ya kweli
@musaissa7463
@musaissa7463 2 жыл бұрын
@@jakelema6325 👍👍👍👍👍
@felixpeter5158
@felixpeter5158 5 жыл бұрын
Msikio tuliyo nayo hanakuskia baba tunaomba uponyaji wauzima wamirere hee yesu nifumbuwe macho nione nipe maskio nikie vema niponye kwa jina baba Nala mwana ameni
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
Felix Peter mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin
@ilomonestory5681
@ilomonestory5681 4 жыл бұрын
Barikiw
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 3 жыл бұрын
Hizi ndio injil na sio kuhubiriana magari majumba wala ma mali isue tuisikie injili iliyo injili bila majungu wala masimango
@roselineatamba916
@roselineatamba916 2 жыл бұрын
Njia ya Mbunguni tujilinde
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 2 жыл бұрын
Amina
@yonatayai1909
@yonatayai1909 5 жыл бұрын
injili isiyotiwa chachu
@linosjohn9020
@linosjohn9020 5 жыл бұрын
Mbona umeweka vidio nusu?
@henrymatebe1492
@henrymatebe1492 5 жыл бұрын
Kwakweli huyu baba ni mchango mkubwa sana ktk safari yangu ya wokovu
@johnraymond5597
@johnraymond5597 5 жыл бұрын
Henry Matebe n. .**
@anethmollel6564
@anethmollel6564 5 жыл бұрын
Injili orijino
@irenegibson-ws1lb
@irenegibson-ws1lb 7 ай бұрын
Amen
@janemohamed1633
@janemohamed1633 5 жыл бұрын
Neno lenye Uhai kabisa.
@daviesoscar1603
@daviesoscar1603 3 жыл бұрын
Inatisha
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 4 жыл бұрын
Haleluyaaaaa
@rehemamusa8199
@rehemamusa8199 2 жыл бұрын
ijili.yako.inaishi
@marymbodzembodze2707
@marymbodzembodze2707 2 жыл бұрын
Amen Amen
@gfantvgospelforallnations916
@gfantvgospelforallnations916 5 жыл бұрын
nahitaji CD za mahubili ya Mozes kulola.
@remycanadaify
@remycanadaify 5 жыл бұрын
@@SYLASSTV na mimi nahitaji piya Niko hapa Canada Alberta Edmonton.
@veronamsigwa5994
@veronamsigwa5994 5 жыл бұрын
Nahitaji niko Mbeya Tukuyu
@jakelema6325
@jakelema6325 4 жыл бұрын
DICKSON MFIKWA mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZbin
@charlesnguma7573
@charlesnguma7573 5 жыл бұрын
Ujumbe wa nguvu
@POULSHIJA
@POULSHIJA Жыл бұрын
Mungu mwema mozesi kulola ndiyo muhibiri wa kweli duniani makanisa ya sikuizi tungechaguwaga moja ya kumbe zake najusikilizaga tugalibarikiwaga2 kama sasa tunavo balikiwa video zake inatufanya tunapata na amani juu hata nakuacha dhambi kuliko baadhi ya wahubili siku hizi sasa amani mbinguni naduniani Amina!?
@magdalenajoseph9717
@magdalenajoseph9717 5 жыл бұрын
Ameni
@dottomakanyanga5214
@dottomakanyanga5214 5 жыл бұрын
Amen
@ericndayishimiye4137
@ericndayishimiye4137 5 жыл бұрын
Mungu arete nutu kamauyo mutumishi
@ericndayishimiye4137
@ericndayishimiye4137 5 жыл бұрын
Rest In Peace
@musilali3208
@musilali3208 4 жыл бұрын
Good
@lightnessjonathan633
@lightnessjonathan633 3 жыл бұрын
Mungu nisaidie kafika hii safari baba pumzika kwa Amsni
@elrachum3866
@elrachum3866 3 жыл бұрын
Nikimsikiliza najisikia kutakasika
@abigaelijohn1539
@abigaelijohn1539 5 жыл бұрын
Nikweli babuu uko sawa
@georgejames468
@georgejames468 5 жыл бұрын
Abigaeli John)ñ
@erickbunyuku7338
@erickbunyuku7338 5 жыл бұрын
amen
@amosimwalingo4491
@amosimwalingo4491 5 жыл бұрын
Ulikufa lakini neno la Mungu ulilolinena linaishi na linaendelea kuokoa na kuponya Roho za watu
@mluguluspare7301
@mluguluspare7301 5 жыл бұрын
amen
@jmeliasshanelle4303
@jmeliasshanelle4303 3 жыл бұрын
Wewe! Musa alikufa. Soma pale shetani alipokuwa akipigania mwili wa Musa na Malaika wa Mungu. Soma vizuri tafadhali Bible.
@otienochisalun6747
@otienochisalun6747 3 жыл бұрын
Ewe mungu utusaidie wajawako amee
@eliamugini8494
@eliamugini8494 5 жыл бұрын
Ni lini basi hata hayo yote yatokee?
@enockfumbuka107
@enockfumbuka107 5 жыл бұрын
He really fought Satan !
@wambulawoship429
@wambulawoship429 4 жыл бұрын
MUNGU nisaidie niushinde ulimwengu
@yonafungo4861
@yonafungo4861 5 жыл бұрын
.
@laini120
@laini120 5 жыл бұрын
Waouw nzuri saaana
@ninjantambe4752
@ninjantambe4752 4 жыл бұрын
Amina
@stevenkipara9310
@stevenkipara9310 5 жыл бұрын
Amen
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 14 МЛН
Siri ya nguvu za Kiroho || Brown Mwakipesile
1:01:53
eagtmlimwawest
Рет қаралды 13 М.
Mkutano wa Askofu Moses Kulola 1997 Viongozi wa Serikali Wahudhulia  uponyaji ulishangaza#moreviews
25:03
Bishop Dr.Livingstone Denis(LIVINGSTONE TV ONLINE)
Рет қаралды 8 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20