TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA YA KUOTA NYOKA // MAJALIS YA KWANZA // SHEIKH ABUU JADAWI
Пікірлер: 22
@abdullahmassoud91832 жыл бұрын
asalam aleykum naomba na mm ubitafsirie ndoto yangu jana nimelala mchana nikaota nipo sehem ila nikaona majeshi mengi wana pambana na watu 2 wana piki piki wale majeshi wana vifaa vingi ila hawawauwi wale watu zaid ya wao ndioo wanao kufa apo apo nikaota kua nipo ndani wameputa wanawake 4 warefu sana kuliko atahii nyumba yetu wakafika sehem pana mpera ila usiku wake nilota nimeenda sehem kumfata mt ila iyo sehem kuna makaburi tele na pana msikiti wazaman ule msikiti ndani ni msafi ila hauswaliwi nikakutana na watoto wanacheza na kumwagiana maji na mm nikacheza naoo akatokea kijana wa makamo akanambia kua shekhe anakazi ndani jee unaweza ukamsubiri mm nikamwambia bas nitakuja siku nyengine akanambia bas tushirikiane kucheza na watoto apa mpaka atakapo toka mm nikamwabia nacherea nitakuja siku nyengine wakat naondoka ktk yale makaburi nikakutana na bibi 1 avi akawa anaifahamisha binti fulani ivi ukoo wake apo nikashtuka ilikua ni usiku saa 9
Niliota nimeshika nyoka nikaikata na nikaipika na nikaikula 😢😢😢 sijui maana yake
@RamadhaniLeila-px4kz10 ай бұрын
Mimi nimeota majoka mawili moja wanjano na mwekundu nilikua kati yao alafu yule mwekundu ndokaniuma nikafunga kitamba sumu ikazidi kua nikapelekwa hospitali ndonikasituka naombeni dua zenu jamani
@marymkumbimarymkumbi5153 Жыл бұрын
Mim nimeota joka lipo juu ya mbuyu na mim nipo chin na badae akageuka na kuanza kuruka akinifata na nikaingia kwenye bwawa la maji akaenda kutua Ng,ambo ya pili na mim nikaibuka kwenye maji na kurudi nilipo ingilia kuzama keenye bwawa kwaiyo tukapishana yeye Ng,ambo hii na mim kule tukiangaliana kwa hasira naomba tafsir yako shehe 🙏🙏
@nibigiramwajuma79252 жыл бұрын
Asalam alykum warahmatullah wa barakatuh nieota nyoka anakikomoa katika mgu wa kulia ila mwenye nilikuwa nae akamuua kisha ile sum iliingiya mwili wangu lakini haikunizuru kbs
@user-pm1mx7ff4l7 ай бұрын
Shekh mm nimeota nyoka mwenye vichwa vitatu ameniuma lkn nilimuuwa 🥺
@mwachamwacha-ko6jq Жыл бұрын
Shekh mm nimeota kuwa nilikuwa na mbwa ambay nilikuwa nampenda kisha akamezwa na nyoka mkubwa chatu mwnye rangi kama kombati ya jesh nilijalibu kumsaidia yulembwa kisha niliamka usingizn
@nurukimea38044 ай бұрын
Nimeota nimeona nyoka mkubwa ila ananikimbia nin maana yak
@abdulhakimnassor4350 Жыл бұрын
ASALAM ALAIYKUM NIMEOTA NAKULA NYOKA NAOMBA TAFSIRI YAKE
@FatumaAli-xm8diАй бұрын
Mtoto wangu aliota amelala nae lkn haha mdhuru
@salmanassor87325 ай бұрын
Nimeota kuna mtu ameniletea nyoka lkn kila nikitaka kumshika ananikimbia
@annmukiri8686 Жыл бұрын
Niliota nyoka ameingia kwa nyumba ya my grandfather na akarudi akatoka akaenda 😮
@mwavitaiteriteka5065 Жыл бұрын
Sas sheh unatusaidiaj
@SamsonOmondi-po2nf2 ай бұрын
P L😊o
@mwavitaiteriteka5065 Жыл бұрын
Me nimeot na pigan na nyok alinium ila nilimzibit nikamfung sehem
@FatumaAli-xm8diАй бұрын
Mmi nimepata ndoto nyoka ameni fungal ssa Yuko tayari kuni meza Nika amka tafsiri yake ni nn
@umuhozashakira68372 жыл бұрын
Tunaomba number yako sheikh
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
Elimu hii Asili yake Si Uislamu ni Falsafa Za Kichawi Za Kiyunani
@zainabonlinetv2210 Жыл бұрын
We unaesema falsafa rejea kisa cha nabii yusuf alipo fasiri ndoto au mtume alipozigawanya ndoto ktk mafungu matatu we uko mbali mno na ulimwengu wa kiisilamu