TAFSIR ZA NDOTO NA MAANA ZA KUOTA NYOKA MAJALIS YA PILI // SHEIKH ABUU JADAWI
Пікірлер: 24
@AsumaniAbdul-hq7oq3 ай бұрын
Mimi asumini abdu niriota nanyonyesha mtoto kuamka asubui nikakuta sina mtot
@MefiaHussen-st1hq Жыл бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakatuh leo mim nimeota nyoka nyubani kwetu wengi kila tukitoa ummja nje tunao mwingine mwisho wakajitokeza wengine
@swaumumakunga24692 жыл бұрын
Masha Allah
@RehemaFesto-ig2zy2 күн бұрын
Mm nilimkuta nyoka bafuni ila alitoka bila kunizulu
@ShelaRashid-fo2rx3 ай бұрын
Kuota unapika nyoka
@ZakiaMahfudh3 ай бұрын
Mm niliota nyoka mkubwa kama chatu ana rangi mbili yellow na green but alikua mpole anaishi nyumbani but mm nika panga njama atoke tukatoka akatufata kisha ........nikarudi nyumbani nikafunga mlango nikamuona kwa njee anapita akiwa mnyonge
@user-ec3jm3yd7q Жыл бұрын
Asalm aleykum warhmma tulwah wa barakatu shekhe naomb nikuulize swali je kam ukiota umelal na nyoka kwenyekichwa inakuwa na tafsir gan shekhe
@ابولاناالشبيلي2 жыл бұрын
assalam aleikum warahmatullahi wabarakaatu, shukran sana kw elimu hyo na nina swali ukiota nyoka wengi wadogowadogo wamekupanda mgongoni ukiwa umelala hadi ukashtuka usingizini na kupiga nduru hadi bado una waona ukiwa umetoka usingizini yamanisha nini, pia naomba niungananishe whatsup group shukran
@Raya-em8wz2 жыл бұрын
Asalam aleykum Shekh mimi nimeona nyoka anazaa watoto wengi Lakin nikawa nawauwa lakini sikubahatika kuwauwa wote nimeuwa. watano hii ndoto inamaana gani
@mwasitisefu7866 Жыл бұрын
Shekhe tunaomba tusaidie namba zako basi.
@zaitunimustapha97182 жыл бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh naomba na mm niunge kwenye group
@jacquelinesadock-qj8ow Жыл бұрын
pol xna na kaz nzito unayoifnyaNaitwa jack naweza kukpgia simu niulize maana ya ndoto ninazziota samaan
@jushjuma553 Жыл бұрын
assalamu aleykum,swali langu ni nimeota nilikua na nikaa,lakini baada ya mashee kufika dakika chache nikajikuta nko peke Yangu na sioni watu wote walio hudhuria shekhe hii inamana gani
@sakinadjuma1681 Жыл бұрын
Assalam Walkum warahmatullah wabarakatuh sheikh nimeota nyoka kubwa nandogo nyumbani kwetu kisha nikauwa. Iyp ndogo ikafa kisja nikaanza kuuwa iyo kubwa mupaka shangazi akaja akanisaidiya mupaka tukaiumiza ikakimbiya ndani ya mawe nyumbani manayake nini
@rizikikitsao3612 Жыл бұрын
Assalam aleykum vipi hali shekhe .m nilikua naota mume wangu Afukuwzwa na watu na mabunduki wanataka kumquat mm nalia sana maana yake nn
@omanatr87292 жыл бұрын
Nilikuwa napenda kuota nyoka sana ila ninamiaka mingi sana siote tena
@SeleBobo-q1iАй бұрын
Ukiota umemuona ndan chini ya kabati mana nilieka mayai 7 lakini aliyala 3 yaka baki 4 nikawa na wasi wasi kuwa kala nyoka nikamtafuta nikamuona nyini ya friji nikawaonesha kaka zagu akatoka nyoka akaenda chini ya kabati akaja mtu akataka kumtowa
@mwasitisefu7866 Жыл бұрын
TUnakupataje shekhe tunaomba no zako.
@fabianpeter6629 Жыл бұрын
Shekh kuna ndogo huwa naiota sana kuwa naona ngoka inakuja kitandani kwangu na mm naamka haraka kwa kukimbia nini tafsri yake
@najmakassi13422 жыл бұрын
Shekh no zako tunazipatia wapi kwababu Kuna mmbo mengine yanahitaji faragha na kuelezewa kwa upanaza zaid
@najmakassi13422 жыл бұрын
Shekh namba zako tunazipatia wapi
@abdulndete89692 жыл бұрын
Asalam aleykum je naweza kuuliza maswali je hapa au wasap
@husnaakram9571 Жыл бұрын
Asalam aleykum shekh nimeota nyoka ananikimbiza sana af ananiuliza kwann uswali sala tano
@simonkoko26442 жыл бұрын
Sheikh nmeota nyoka mkubwa yupo ndani ninapoishi nikawa namuogopa nkayoka nje kukimbia na yeye akazunguka ndani akatoka nje