Amen Mtumishi, kwa elimu unayotufundisha inatusaidia sana
@JemimaManga7Күн бұрын
Amina nabii wa BWANA.
@farajanovath85642 күн бұрын
Leo Mtumishi somo lako zuri sana watu wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa
@ZiggysebahZiggysebah2 күн бұрын
Ni kweli kabisa.ukitaka kujua elimu za Wananchi walio wengi ingieni kwenye comments.utashangaa mno.Mungu Atusaidie .tufanane na nchi nyingine mf.Kenya
@matiredms9172 күн бұрын
Mtumishi umeishazungumza sana suala la Gwajima kuwa Rais ajaye. Sasa yatosha. Imeanza kuchosha watu( It is now becoming monotonous). Endelea kuelimisha watu neno la Mungu na uache jazba na mhemuko. Mungu anahitaji hekima busara na ustahimilivu ambavyo huna. Una maono na uwezo wa kujieleza ila unazungumza siyo kwa ushawishi bali kulazimisha watu kukubaliana nawe.
@farajanovath85642 күн бұрын
Wetu wengi uko vijijini hii Tz bado hawajui kusoma na kuandika ni changamoto sana