Nimesikiliza watu tofauti tofauti sijawaelewa nashangaa kwako nimekuelewa adi basi ..we jamaa atari😂😂..be blessed mtumish wa Yehova
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Wito wangu KUOMBEA Wagonjwa hospitali
@edwardsinkonde98782 жыл бұрын
🤝 mungu akutiee nguvu
@agnesmndala13352 жыл бұрын
Naomba tuungane tukaombee wote plz
@dominicemanuel7482 жыл бұрын
Dah !!! Unatisha sana kaka
@stevensamwel48542 жыл бұрын
Kinachonitesa hapa chini ya jua ni kuona mtu ana shida yoyote ile awe mzima au mgonjwa na asa walemavu Ninajua na mauvu sana Tamara yangu ni kumsaidia kila nimuonae mbele yangu ata kusikia mtu ana shida ata jengo la kanisa lolote at msikiti nauzunika sana ila nashindwa uwezo wa kufanya, mtu kama mimi nifanyeje!
@khadijajuma71422 жыл бұрын
Mm nikisaidia watu wasiojiweza huwa napata furaha sanaaa. Na sauti hii inaongea na mm tangu nikiwa mdogo primary huko na nishaanza kuufanyia kazi ndani ya familia. Naomba Mungu biashara zangu zikae sawa zikue nisaidie wengi zaidi, ikiwezekana baadhi yao nibadili maisha yao kwa kuwajengea na kuwapa mitaji kujikwamua walipo. Yaaraby Nisimamie na uniongoze 🙏Nitafurahi sanaa nikivitimiza kabla sijaondoka chini ya jua hili.
@marypanga92912 жыл бұрын
Yeah kwangu mimi ni maumivu na sauti
@RuthNyalagu-sj9mz Жыл бұрын
Mimi passion yangu ni kuimba hasa nyimbo za kuabudu
@mikeroh4892 жыл бұрын
Jambo la kwanza na la mwisho. Ni mambo niliyowai pitia kuhusu wito
@josephnyamhanga64112 жыл бұрын
Kaka unatisha sanaaaa Nataman Vijana wote wangekuwa wanasikiliza mawaidha yako
@sigelaluhunga15582 жыл бұрын
Vijana wenzangu tumtumie huyu ndugu yetu ni wa kizazi hiki mungu azidi kukulinda
@rehefehe88902 жыл бұрын
Shukran brother nice lesson, mm napenda Sana kusoma nna plan mpaka nifike PhD, mungu akiniwezesha July naenda masomo India degree of anaesthesia, siwezi kukaa bila kufanya ibada nahisi mungu namkosea Sana mungu kila nikikaa nawaza ibada
@samwelmahimbo36942 жыл бұрын
Good your welcom , wengine tumeshalianzisha pande hz
@mohamedabbas66132 жыл бұрын
Precisely truely brother
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@pilichuli44492 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@agneskasiani90192 жыл бұрын
Dah nashukulu sana mchungaji Mimi napenda kuimba na nikiona mtu anaimba vizuri hasa kuabudu napata maumivu yaani Kama na Mimi nifanye Kama yeye Ila sijajua nifanyeje kufikia kusudi hili
@lissamaterere47332 жыл бұрын
Hello
@godfreymressa71032 жыл бұрын
Ahsante Joel ... Mungu pamoja nawe hakika
@meryfrank52722 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka ata mm sijawahi kufurahia kaz ninayofanya mda mwingn ata wakubwa zangu mda mwingn wakitifanyia kitu ambacho chakifai naumia sana . Nataman ata niwaambie hii sawa ,
@lissamaterere47332 жыл бұрын
Hello
@martinrusato23612 жыл бұрын
Kiukweli mpaka namaliza kuangalia video hii machozi yana nitoka umegusa hisia zangu KAKA JOEL NANAUKA Mungu akubali katika nafasi yako itambulike zaidi.
@joelnanauka2 жыл бұрын
Hongera kwa kujitambua🙏🏼
@leonardmadelemo30432 жыл бұрын
Napenda kufanya biashara niwe international business man nataman tena sana tu,
@JoyceHaule-o7b4 ай бұрын
Kizazi cha sasa mna raha sana natamani watu kama Joel tungewasikia miaka mingi iliyopita
@isakariemanuel95242 жыл бұрын
Kusaidia watu wasiojiweza! Yatima wajane walemavu na kuwapa hamasa,kwamba bdo wananafasi kwenye haya maisha🙏
@simonrwiza95532 жыл бұрын
Mungu amekufanya nuru kwetu
@mychanneltz44662 жыл бұрын
Best best ever your always at the top
@sosymavoice43902 жыл бұрын
Joel mungu akubariki kaz ya mikono yako
@hezronmangulamangula97182 жыл бұрын
Asante kaka nanauka binafsi napenda kuwa mfanyabiashara mkubwa na kumiliki nyumba nzuri hapo nitakuwa ok
@rchrismbarikiwa2 жыл бұрын
Nakupenda Sana Sir Joel umetumwa na Mungu Zidi kubarikiwa
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen Ameen🙏🏼
@smithdonald25752 жыл бұрын
Tunamba mafunzo ya hisa na uwekezaji
@yosephalupala26785 ай бұрын
Napenda kuwa sister wazazi hawakotayari
@amaaissa97132 жыл бұрын
Ahsante kaka joel
@mohamedabbas66132 жыл бұрын
Tunamshukuru Muumba Kwa kuwapa waja wake Power ya kuwaempower wengine thanks you bro 👍
@JonhPanga9 ай бұрын
Asantee sana kaka kwa masomo yako kwan nazd kujitambua skad sk,god bless u.🙏🙏🙏
@moseschriss94482 жыл бұрын
Kila unochokisema nikweli kabisa maana me HakunA kitu kinacho niumiza kichwa kama kuimba Asante mungu 🙏 akubaliki
@lissamaterere47332 жыл бұрын
Hello
@ericndahani51522 жыл бұрын
I love you so much joel Nanauka The grace of God be upon you, leo wito wangu umekamilika, sina Mengi ya kusema lakini Najua Mungu amesema na Mimi,
@timothykengere25352 жыл бұрын
Shukran Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚📚🎙️.........
@mwl.mushionlinetv59252 жыл бұрын
Asante Sana kaka Joel. Nazidi kujifunza toka kwako 🙏🙏
@afrikana_2 жыл бұрын
Umenisaidia sana kwa mengi, nakumbuka kupitia kitabu chako cha mbinu sitini nilifanikiwa kufanye vyema kwenye masomo yangu ya kidato cha sita.. Miaka kadhaa mbele ntapokuwa mkulima tajiri zaidi Tanzania ntashuhudia ulivyonifungua akili,ndimi shadrack, asante nanauka joel
@Madam2554 ай бұрын
Mimi natamani sana siku moja niweze kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kuendelea kwenye masomo ili watimize ndoto zao
@mohamedngota85352 жыл бұрын
There is something that me restless
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu
@lucasmganga36252 жыл бұрын
Bro uko vizuri sana maundisho yako yamenifanya biashara yangu isonge mbele sana kila panapo kucha pia umenifanya na mm nieleweke kwa watu kwa kuwafundisha kile ninacho jifunza kwako MUNGU AZIDI KUKUPA KHERI NA BARAKA NYINGI ZA KUISHI
@agnesmndala13352 жыл бұрын
Ooooooh asantee Sana bro, Mimi nimeshasikia wito wangu lakini sielewi nianzie wapi...hua hata naota ndoto nawaombea,wagonjwa wenye shida, nawashauri,...Mimi ni muuguzi lakini bado Kuna kitu kingine zaidi....naweza nikakuota nashida fulani na kikuuliza na kweli naotaga watu wengi na inakua kweli Sasa sielewi nifanyeje ili nikue katika hilo
@eliachengula90232 жыл бұрын
Nice bro, you real teach me
@enockaward73462 жыл бұрын
Nakubari bro
@elizabethemanuel21222 жыл бұрын
Natalia doctor mkubwa san
@furahasanga25342 жыл бұрын
2016, nilianza kusikia Mzigo wa wakujiunga na huduma Frani na niliamini kila mtu akijiuna Na huduma hiyo atavuka, nilitumia nguvu Kubwa kushawishi watu hata kukasilika nilipopingwa, 2017 Nilipita kipindi kigumu sana, nikiwa Bado nimechanganyikiwa, nikaamua Kuunga mkono huduma hiyo, maisha Yangu yalibadilika, najua kusoma na Kuandika tu, lakini tangu nitii sauti Ya ndani, nimeona Mungu akinitunza Kwa namna ya ajabu mpaka naogopa, nimepitia shida kama Zote lakini nilipo tii wito, yaje Yatakayo kuja moyo wangu umejaa Shukrani kwa Mungu, binafsi nimekwelewa sana, namshukuru Mungu kwa ajili yako, nimegundua Ukitii wito utakupa unacho kiihitaji Ubarikiwe sana.
@colinrichard41672 жыл бұрын
Kupiga vifaa vya music yana nikisiki Mtu anapiga. Duh yan
@amanimakury96862 жыл бұрын
Asante kutumia moyo
@barakacharles77492 жыл бұрын
Thank you kaka mafundisho yako nimazuli sana balikiwa na mungu, napenda sana kukusikiliza nakumbuka kua nilinunua gesi na baiskeli na kuanza kujipikia nilipo sikiliza somo lako la uchumi hakika nilipo sasa sipo nilipo kua mungu akuzidishie maisha pia akupe mwisho mwema I love you nanauka
@frankmsangi2 жыл бұрын
Broo kusudi lako linagusa maisha yetu💖🔥🙏Mungu akubariki sana broo katika kazi yako uendelee kufanya broo bila kuchoka🙏
@arichedayson45062 жыл бұрын
Now I do understand I was blind, it was hard to understand my self, now I do . Thank you for your kindness umenisaidia mtu kama mm .May God bless you so you can touch other people and make changes.
@francoiskasangala72372 жыл бұрын
Congo-Kinshasa I naku ku Bali and éle Zaidi n'a Zaidi kutu amcha
@cyriloemilian13452 жыл бұрын
Asante sana mchungaji kwa mafundisho kwa sasa mi mhajiliwa wa kampuni binafsi apa dsm wito wangu nataka kuwa mfanyabiashala mkubwa nami niajili watu nishaanza kuchukua atua ila changamoto ni nyingi mchungaji
@mussamasegese46032 жыл бұрын
God bless you
@lucyloy79952 жыл бұрын
Asante brother..Mungu akubariki..
@frankmsangi2 жыл бұрын
kabla sijakuangalia broo napata shauku ya kukuangalia unafanya kazi nzuri sana broo nakukubali sana yan kila siku nakuangalia broo unanivutia sana katk maisha yang umebadilisha sana maisha yang kwa ujumla
@samsonisaack51452 жыл бұрын
Akika sikukosea kukufanya kua kama Rulu modo wangu Nashukuru Mwalimu wangu kwa Nondo unazo tupa kila Siku
@bestcakes70982 жыл бұрын
Wito wangu kuandika vitabu jambo hili limezungumza ndani yangu kwa zaidi ya miaka 15
@gamavidal50672 жыл бұрын
Ishara ambayo huwa nimeigundua ni kuwa na na maumivu haswa kwa watoto wasiojiweza kufikia ndoto zao haswa yatima ni muda mrefu sana ila nashukuru Mungu kwa kuwa sikuwa hi kujua kuwa Huo ndio wito wangu ila cha kipekee zaidi nashukuru Mungu kwa kuwa hata ninachosomea kinaniandaa kwenda kuwasaidia watoto wanaoishi mazingira magumu, nasoma nursing by now but I have strong feeling that nipo on good way to fulfill my purpose
@JenipherLeopod11 ай бұрын
Asante sana kaka najifunza mengi kupitia vipindi vyako
@bertinaafonsorapaz83458 ай бұрын
Kaka Noel mimi ni mwalimu wa shule private, lakini sauti yangu inaniambia niuze nyanya na mboga mboga ndo nitafanikiwa dahhh😭😭😭
@SaidiMalogo-hy3pe Жыл бұрын
Natamani niwe mponyaji
@zuudelight21552 жыл бұрын
Thanks bro I have been hearing a inner voice in me ,but I have been working on it and let it go but through your message I am on it again
@andrewngarya21122 жыл бұрын
Kaka nawashukuru kwa namna mnayo tujenga kitabia na kiroho karibun dodoma mm kijana wenu fundi gereji sido
@sedekiakiza2 жыл бұрын
Unakuw San Kaka Barikiwa sana
@pilichuli44492 жыл бұрын
Yaaaaaniiii unatupa nguvu kua kumbe tutaweza maana ndoto na ulipo haviusiani ila unajikuta unajiuliza kwani alikua vile amezaliwa navyo jibu hapana unawaza adi mpaka
@mohamedngota85352 жыл бұрын
God bless you Joel nanauka 🙏
@joelnanauka2 жыл бұрын
Ameen 🙏🏼
@bensontemu93562 жыл бұрын
Shukraniii
@tedytitus72052 жыл бұрын
Nasikiaga maumivu sana nikiwaona watoto
@jacklinentabo2380 Жыл бұрын
Asante Sana kaka Joel, you make my thinking capacity to increase on a higher level day in day out, nmejitambua Sasa,, yaani umenifungua macho kabisaaaa!! Be blessed
@iddysalim63312 жыл бұрын
No more talk brother 🙏🙏🙏
@africangoldenmusic80612 жыл бұрын
ukweli mtupu
@joowzeyboyjoowzee44742 жыл бұрын
Thank you
@nolimittvonline68222 жыл бұрын
Asntee
@ignassylivestar53462 жыл бұрын
Kak Mungu akubariki 👌
@mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын
Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka , naomba unisaidie kwa ushauri wako please ,Mimi niko Arusha napenda sana Hisabati na pia namshukuru sana Mungu kwa kunisaidia kuona alicho kipanda kwangu kipaji cha kuvumbua mahesabu au Hesabu mpya nimeshavumbua Theorems ,Formulas, Series, New numbers, Conjectures,laws etc in mathematics, naomba unishauri nifanyeje nizisajili duniani kwenye systems za elimu na mavumbuzi, naomba namba zako please. Ahsante.
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Isaya 57:18-19,Zaburi 147:15.
@mwl.mushionlinetv59252 жыл бұрын
Asante Mr. Reginald kwa mistari
@ShuhudaKaitano-oz7jq Жыл бұрын
Shalom... kwa ulivyo elezea hapo...najiona nipo.kwenye kipengele cha nne..for sure napenda kusikiliza nyimbo na mziki pia.. na nijambo ambalo ningependa kulifanya zaidi kusikiliza tuu...ila kuimba sijui na kupiga mziki sijui kabisaa..so how naweza jua kama hii ni kusudi calling...nitawezaje kuweka impact kwa watu kwa kusikiliza tuu?.. yaani how can it be calling
@ShuhudaKaitano-oz7jq Жыл бұрын
Namaanisha ntafanyaje ni zae.matunda yanayo dumu na kukaa...
@mcchristmass76472 жыл бұрын
Asante
@briansenga5842 жыл бұрын
Brother am Brian Kwa hayo yote manne kwakweli yote yanatokea ndani yangu sanaa mara ya mwisho ni leo asubuhi Yan napata sauti ya ndani na vitu ambavyo vinanipa maumivu Yan vinakuwa Kila siku yakipita masaa Yan mpaka naangalia video hii naona Kama unaniambia mm peke yangu 😌 kwakweli daaah najikuta Moyo unauma Sanaa naona Kama namzigo ndani yangu ambao ninadeni nao.
@divasteven55032 жыл бұрын
Ishara namba tatu inanihusu
@bensontemu93562 жыл бұрын
Kaka Mimi kwa sasa Ni Dereva BAJAJ be for nilikua FUNDI MAGARI Mechanics Yaani Nimejikuta nipo kwenye Udereva kwa SABABU Ya Pesa Tu ILA Moyoni huwa nakosa Amani kufanya Udereva
@auilg9692 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mwl Joel, natamani sana nipate namba yako
@ibinwazir36352 жыл бұрын
See you at the top
@faidaruzamuka22182 жыл бұрын
Naimba namba Yako
@petrojackson71272 жыл бұрын
Ndiyo kaka nilishawahi kupata hizo ishara lakini mpaka sasa sijajua wapi pakuanzia i need your help please
@emmanuelsimpokolwe8309 Жыл бұрын
asatesana bulo umeni imalishasana
@emmanuelsimpokolwe8309 Жыл бұрын
🇿🇲👍mungu akuzidishiye mahalifa
@godfreymressa71032 жыл бұрын
Ahsante Joel ... Mungu pamoja nawe hakika
@joelnanauka2 жыл бұрын
A Ameen Ameen 🙏🏼
@gabrielmkailwa Жыл бұрын
Nashukuru Joel niko kwenye kipindi kigumu kuyaishi hayo yote maana kila siku natamani kuyatimiza yale ninayoyatamani kuyatimiza kwenye jamii yangu. Ukweli ninakosa amani ninapowaona wahitaji na kuna mda hujikuta ninalia sana japokua uwezo wa kufanya jambo kwa ajili yao bado sina japo kwa kiasi nafanya. Ni dua yangu Mungu anisaidie kuacha japo alama ya mtu ambae hatajiita tena yatima au mjane kupitia maisha yangu. Ubarikiwe Joel