TATIZO LA GANZI MWILINI | HII NDIO TIBA YAKE | TATIZO HILO HALITO RUDIA TENA | SHEKH KHAMIS SULEYMAN #Masjid_Mtoro_Online_Tv
Пікірлер: 47
@khadejakhadeja971311 ай бұрын
Asantee shekhe HAMITHI..tutapona ganzi asantee
@Husna-s5k7 ай бұрын
Shukrani sheikh 🙏
@moefire68755 ай бұрын
Ndaipataje Dawa iyo
@awesusaid1023 жыл бұрын
Shukran . kuna msemo unaosema ,usimpe ndugu yako samaki ,mfundishe kuvua.maana yake isiwe kila anapohitajia akutafute na iwapo umeondoka au umekufa itakuwa ameumbuka.hii hutokana na tamaa kwamba akikufundisha yeye atakua hana tena kazi .watu wengi hawasaidii watu kwa ajili ya kupata radhi za Allah Bali lazima apate maslahi yake kwanza. Mfano mwema ni sheikh yussuf bin Ali anafundisha jinsi ya kutengeneza dawa wakati huo huo anafanya tiba katika vituo vyake
@khadejakhadeja971311 ай бұрын
Kweli kabisa
@aminakanduru164710 ай бұрын
Kweli
@rehemakazibure4858Ай бұрын
Sheikh,Mimi nahitaji dawa y kutibu Ganzi Naweza kupata wapi ?? Hapo ulipo
@hassanally2863 жыл бұрын
shukran sheikh kw darsa
@muhammedwakif6216Ай бұрын
Binadamu tuna roho mbaya sana
@rehemakazibure4858Ай бұрын
Assalamualaikum, Sheikh ,Mm nipo SINGIDA TZ dawa ya ganzi napata wapi
Aslam alaikum shekh wang mm naitaj izo dawa zote mbil je nikiasi gani? Mm nipo zanzibar
@fundijumakimbaru762211 ай бұрын
Jamani kama ajatoa namba Wenda kajisaau ira mukitaka nendeni muriyokaribu msikiti wa mtoro k/Koo uurize nazani utapata pare maana kataja msikiti wa mtoro
@SophiRamadhani10 ай бұрын
Àsalaam aleykum. Tunahitaji hiyo miti si maneno au biashara
@mohammedmbaruk2034 Жыл бұрын
A.aleikum sheikh khamis ni pesa ngapi kwa pesa ya kenya DAWA TABIBU
@MWANAHARUSIKALLAGHE Жыл бұрын
Mimi Niko Tanga nitapataj hizo dawa shekh
@LeilaNdejembi2 күн бұрын
Inapatikan wap kaka
@rayaali75513 жыл бұрын
Shukraaan dr sasaa mbonaa huja tuelezeaa ni mimea ganii unayotakiwa kuchanganyaa na jinsi ya kuichanganyaa auu shekh umekusudia kutangaza biasharaa ? Kwasababuu sio watu woote watakao kuwa karibu na wewe ili waje kuipata hiyo dawaa wengine wako wanaishi mbali sana na wewe sasa nibora ikiwa umekusudia kusaidia au kuelimisha watu kwa matibabu basi tunakuomba tuelezee ni mimea gani inayo hitajikaa k atika kutengeneza dawa hiyo ili watu wajitafutie na kujitengenezeaa utakuwa umesha saidiaa na ni mojawapo ya sadakatuljaariya yako
@subilagalyimo991710 ай бұрын
Nahitaji hjyo dawa ya unga ya gab Ya ganzi nitakupaje ili unitumie.?
@BahatMwinyi-p2p10 ай бұрын
Izo sawa zote zinauzwa shilingi nga pi?
@fatihiafatihia478 Жыл бұрын
Wengine Tukombalisana kaka Izotibaasili ukutunazipataje au Kunatibagani nyingine
@hawamohamed3435 Жыл бұрын
Naitaji Nina ganzi kwenye vidole vya mikono imenianza Nina wiki ya pill shi ngapi
@AminaIbrahim-jk6uh5 ай бұрын
Tunaomba namba
@SharifaYaru-ev9su10 ай бұрын
Taja namba hizo hapo hatuzioni
@SharifaYaru-ev9su10 ай бұрын
Toa namba ya simu hizo hapo ni ndogo hatuzioni
@zainabhussein3217 Жыл бұрын
Dawa hiyo ya mafuta bei gn?mm naishi morogoro naweza kupata?
@athumanimtolela26133 ай бұрын
Dawa tunaipataje wengine tunaishi mikoani
@zawadbakari8131 Жыл бұрын
Shingapi??
@KhamisJumahussein9 ай бұрын
Naomba namba yko ya what's app
@MarryJohn-e6t2 ай бұрын
Kwan uwezi eleza bra kuongea kiisirau mnakela sana sio ote wanao kufatilia. Waisilam
@MariaSengo-cn5bx11 ай бұрын
Shehe hata mm niko Morogoro Tz je tutumie dawa gani Shehe wetu..?
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Sikuelewi
@butugaeve33006 ай бұрын
Nitazipaj hizo dawa?
@gloriosehakizimana37892 жыл бұрын
Ninaweza kuyipata wapi iyo dawa mimi naishi holland
@habibaissa87992 жыл бұрын
Dr uko hapa dsm na tutapataje hizo dawa na ni bwi gani tunakuomba utuambie inakopatikana dawa hiyo na pi elekeza jinsi ya kutengeneza na sio wengi watakaoweza kutengeneza ila wengi watapenda hiyo iliyo tayari ila tufahamu iliko na bei
@lucymuthoni5847 Жыл бұрын
Hello Dr nitapata aje hii dawa
@shariffjuma17693 жыл бұрын
Inapatikana wapi hiyo
@hamidumvungi258011 ай бұрын
Xtutapataje hizo dawa 🎉 na hujatoa mamba za simu mm Nina matatizo hayo Niko kilimanjaro
@zuwenahumoudy3198 Жыл бұрын
Mh ukiwa na tatizo halafu in naakuwa maneno mengi kwa kweli tunakata tamaa sa mbona hatuambiwi hy.dawa
@habibaissa87992 жыл бұрын
Unapatikana wapi au tukupigie aimu ili tupate hizo dawa
@hamisihaji70492 жыл бұрын
Shehe unaongea Sana
@MariamNgahega-rl4ht8 ай бұрын
Napataje hiyo dawa
@aomarabdul48212 жыл бұрын
Pemba
@khadejakhadeja971311 ай бұрын
Shemu.gani .Pemba ninatatizo la ganzi ya minguu
@djmacho53952 жыл бұрын
Unaongea sana, alafu unaongea kislam sikuelewi, maelezo mengi bila kuingia kwenye mada