Profesa JANABI ataja sababu WATU kuzeeka mapema ''TUNZA afya ikusaidie UZEENI siyo FEDHA''

  Рет қаралды 126,364

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

track.pari-tz....
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesema asilimia kubwa ya watu wanatunza fedha ili ziwasaidie uzeeni na kusahau kutunza afya zao.
Janabi amesisitiza tofauti na kutunza afya hakuna kitu kitakachokuwa na manufaa uzeeni kama afya imetetereka ikiwamo fedha.
"Nafikiri ungetunza afya ikusaidie uzeeni kwa sababu fedha hizi zitakuja kukusaidia kulipia matibabu ya magonjwa hospitalini. Unafanya kazi miaka, unahangaika mjini miaka yote ili ukipata fedha uanze kuja kulipia betri za moyo nafikiri hiyo sio nzuri," amesema Profesa Janabi.
Janabi amesema hayo alipofanya mahojiano na vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam, huku akisema hajawahi kuwakataza watu wasile chakula, bali wasile ovyo na kula kwa wastani ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
"Tunashauri kupunguza vyakula vya wanga na vyenye sukari.”
“Pia tunakataza ulaji wa vyakula vya kusindika, kwa sababu ili vikae muda mrefu kwenye shelfu lazima viwekwe kemikali, chumvi na sukari," amesema Profesa Janabi.
Ili kufahamu zaidi alichozungumza Profesa Janabi, usikose Jarida la Afya Februari 23, 2024 pia endelea kufuatilia gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii.

Пікірлер: 268
@Mwananchidigital
@Mwananchidigital 7 ай бұрын
Cheza sasa kupiti shorturl.at/jqzU6 na ushinde
@restitutamallya-pk5dr
@restitutamallya-pk5dr 7 ай бұрын
Hongera Dr Kwa somo zuri.... keep it up.... achana na hao wanatoa kweli.
@ZubedaAbdallah-s5p
@ZubedaAbdallah-s5p 6 ай бұрын
Binadamu bwana baba wawatu katuelimisha kama hujamuelewa acha endelea kuishi maisha yako hakulazimishi lakini siyo kumvunjia heshima siku ukuendea pale afya imegoma ndipo utajuwa umuhimu wake tujaribu kuwa na heshima jamani
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 3 ай бұрын
Sawa sana daktari ila ukumbuke Kuna kukosasa na inakula chochote unachoata. Hali za maisha kwa Sasa hata kutunza afya ni vigumu labda isile
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 ай бұрын
Huyu dr mi namkuli mno na namfuatilia sana,tatizo la watz wanapenda mno kula sijui kwnn
@patrickKitambo
@patrickKitambo 7 ай бұрын
Baada ya kusikiliza hii maisha yangu yamepata mwanga mpya sana.. Ubarikiwe sana daktari kwa haya maarifa mimi ninafanyia kazi, kiukwel afya ndio mtaji wa kwanza ukichezea afya leo utaaabika sana kesho utatumia gharama kubwa sana
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 ай бұрын
mashaAllah this is the best education that we need to understand the most.
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 7 ай бұрын
Mangu aku bariki sana sana kwa elimu na maelekezo yako afya yangu ni bora kabisa yani nime pona kabisa Dr
@jasminomary8754
@jasminomary8754 7 ай бұрын
Pr janabi yaani elimu yako mimi naifutilia sana na inanisaidia sana mungu akubaliki akulinde uzidi kutupa elimu
@NelusigweMwakyoma
@NelusigweMwakyoma 7 ай бұрын
Asante dr.janabi kwa elimu nzuri mimi nimekuelewa sana mungu akubariki.
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana Prof kwa elimu unayotoa ingawa wengine wanachukulia kama mzaha.
@selinalawala2270
@selinalawala2270 7 ай бұрын
Dr asante Kwa SoMo hili, umesaidia watanzania wengi mno wanaochukua hatua na kubadilika mwenendo wa ulaji kiafya.
@alexwilla4260
@alexwilla4260 7 ай бұрын
Hongera sana Prof Tbs wamerelax sana hata hawajiangaishi na maisha ya watanzania wapo kimya tunakula na kunywa ving TBs wapo kimya dawa nazo zinapitishwa kinyemela'mafuta ya kula nayo hayapimwi ma tbs kazi kwelikweli
@frankkulwa3981
@frankkulwa3981 7 ай бұрын
Safi sana Professor, unaelimisha sana.
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 7 ай бұрын
Mungu akulinde Prof Janabi. Wewe unaupendo wa kweli kwa wa Tz
@mkanotimmass4691
@mkanotimmass4691 6 ай бұрын
Very true Dr Janab.Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu, tunajifunza mengi kutoka katika mada zako.
@juliethmallya6821
@juliethmallya6821 6 ай бұрын
Nilijifunza zaidi kwenye vyakula vya wangaa, kekiii kweli cjui tena, asante Baba Mungu akulinde.
@SalumYasinichambo-fk7lx
@SalumYasinichambo-fk7lx 3 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu DK wetu, Na Allah ampe moyo wa huruma zaidi mama yetu mpenzi mh .rais samia she luhu Hassan kukupa kazi bora zaidi
@fridamwakyambiki3255
@fridamwakyambiki3255 6 ай бұрын
Mungu akubariki. Dr
@paulmaingi9246
@paulmaingi9246 2 ай бұрын
Prof.Daktari thanks soo much for the wisdom..You are a God Inspired Doctor..
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 6 ай бұрын
Kweli 100% tutunze afya yetu itakuja kutusaidia Uzeeni. 👍asante Doctor.
@dalilahmubago5131
@dalilahmubago5131 6 ай бұрын
Barikiwa Dr. kwa kutuelimisha
@MusaMarco
@MusaMarco Ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu tuendelee kuchuma elimu toka kwako 9:03
@gracemacha9357
@gracemacha9357 19 күн бұрын
Mungu akulinde Docta wetu
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Prof. Janabi. Nimebadili mfumo wangu wa maisha. No soda, no wali, no ugali. No ngano, no Juice. Nimeona mabadiliko makubwa ktk maisha yangu Mungu ATUSAIDIE.
@petermakubi
@petermakubi Ай бұрын
Ko unakula nini ndg
@simaimati4447
@simaimati4447 Ай бұрын
Nielekeze na mimi unachokula. Mana mi sioni kingine
@MaryMsokwa-b9f
@MaryMsokwa-b9f 7 ай бұрын
Asante Prof kwa ushauli ni nzuri sana na endelea mimi nafuata nadha i na wengi
@loisndossi9877
@loisndossi9877 7 ай бұрын
Prof.,thank you Sir .My God bless you man of God.
@desderipatrick8392
@desderipatrick8392 6 ай бұрын
Afya ni mtaji kwa maisha bora ya sasa na baadae, tukishupaza shingo lazima tutamkumbuka Prof. Janabi tukiwa kitandani.
@Nyanda_Jr
@Nyanda_Jr 7 ай бұрын
Clouds mmemsikia Daktari acheni mambo yenu ya kufanya dhihaka mnapotosha jamii
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 7 ай бұрын
Kweli dokta anatoa elimu nzuri sana sana japo kuna watu wanakejeli elimu anayotoa yaani tunafanya utani kwenye kila kitu inasikitisha utani wa dini mpaka kwenye afya
@twahaayubu8686
@twahaayubu8686 7 ай бұрын
Hizo Mada Zako ni Nzuri Nakuomba Tunga Kitabu ch Kiswahili itakuwa Umeacha Urithi Mzuri Kizazi na Kizazi Mwenyezi MUNGU akubaariki
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 6 ай бұрын
Watanzania wengi hatusomi vitabu acha atuambie kwa mdomo tunamuelewa kuliko kuandkiwa kitabu acha mambo ya kiAmani
@Winford-f4l
@Winford-f4l 6 ай бұрын
Comment makini kuliko zote 🤝
@tunkuh661
@tunkuh661 6 ай бұрын
Yeap kwa faida ya vizazi vijavyo itapendeza hizo nondo ziwekwe kwenye docomentary
@JoyceHaule-o7b
@JoyceHaule-o7b Ай бұрын
Kweli
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 Ай бұрын
Hasa tena hili ndilo litalotusaidia, sisi wengi
@allyfutto8763
@allyfutto8763 7 ай бұрын
Janabi yupo sawa mlo mmoja kwa siku ni kitu kinacho fuatwa na wengi waliohamka mimi ni mmojawao kwa miaka7 na tangu hapo sijawahi kurudi hospitality nashangaa watu wanamuona kama kituko wataofaidika ni watakaomfuwata na elimu ya LISHE ni Dhahabu 🇹🇿
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 6 ай бұрын
Tatizo mazoea
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 5 ай бұрын
Kwenda hospital ni swala la Mungu kakaa Shukuru sana Mungu kwa kutokufika huko Kunawatu hata mlo mmoja kuupata ni kipengele lakini wanaumwa kila siku... Wanashindia matembele yasiyo na mafuta matunda na vyakula kama hivyo lakin wanaumwa kila siku
@reginas1832
@reginas1832 7 ай бұрын
Asante sana Dr. Janabi kwa hii elimu. Mungu akubariki
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 7 ай бұрын
Asante dr. Kwa ushauri. Mimi nipo tayari kubadilisha lifestyle.
@mkilimamoses2311
@mkilimamoses2311 5 ай бұрын
Wananikera sana baadhi ya waandishi wa habari.Badala ya kuongeza msisitizo wataalam wavyo tufundusha wao wanatoa dhihaka.Niliwasikiliza sana hawa clouds,haukua ujinga waliokuwa wakiufanya bali ni upumbavu.Mpo kwaajili ya kutuelimisha na kutuburudisha,ila linapokuja swala la afya zetu hiyo ni elimu tusifanye mzaha.Tusipotunza afya zetu ujanani afya itachezea pesa zetu uzeeni.Bora umewapa kubwa profesa Janabi.Ninakufuatilia sana,Mungu akupe maisha marefu.
@jabiriramadhani3692
@jabiriramadhani3692 17 күн бұрын
Asante Prof
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana dr kweli kula ovyo kunazeesha unakula masukari mengi mawanga mwisho unakuwa manyama uzembe
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 7 ай бұрын
Kwa nini kitengo cha lishe kimefungwa.
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 7 ай бұрын
Ukiwa bado huna panapo kuwasha Unaweza jua huyu mtaalam ana chekesha usiombe yakukute ya sikie kwa jilani yako. Fata maelekezo
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 ай бұрын
Daah kaka Emmanuel umesema kweli
@dork8749
@dork8749 6 ай бұрын
Ubarikiwe Prof.
@hanspop6961
@hanspop6961 7 ай бұрын
Asante Prof kwa Darasa
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 25 күн бұрын
We are lucky to have such a person🎉
@marymremi1051
@marymremi1051 7 ай бұрын
Asante ubarikiwe abarikiwe aliekusomesha
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 7 ай бұрын
Watanzania tusiwe wabishi faida za kuwa na maprofesa ni hizo tujivunie kuwa na wasomi wetu wenye mioyo ya kutuelim8sha. Na mambo ya ubishi juu ya maisha yetu siyo tija kabisa.
@Kanyawela
@Kanyawela 7 ай бұрын
Asanten sana je Kahawa tunywe kiasi gani
@SilajiKigufa
@SilajiKigufa 7 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu d.r upo sahihi kabisa ,endelea kuelimisha Jamii ya Watanzania
@susanpetershio3196
@susanpetershio3196 7 ай бұрын
Mungu akubariki Prof. Usichoke kutushauri
@fatmasoud
@fatmasoud Ай бұрын
Asante Dr mm nimefuata maelekezo yako nimeweza kupunguza uzito kutoka 82kg hadi 62kg kwa muda wa miez sita kwa sasa najiamin nina rangi mzur shep mzur kwa kweli asante
@abemaabihudi3547
@abemaabihudi3547 27 күн бұрын
Umefanyaje ndugu kupunguza❤uzito
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 12 күн бұрын
😂 hata mimi nimezidondosha kilo 10 kutoka 74 hadi 64 kwakuwa nina urefu wa sm 164 hivyo niko ktk standard
@mwanaimamsangi971
@mwanaimamsangi971 5 ай бұрын
Doctor Mungu akuweke nimeacha soda nashukuru Mungu
@msabahaali758
@msabahaali758 6 ай бұрын
binafsi mzee amebadisha maisha yangu namuelew sana mzee ana nia njema na anatoa sadaka kubwa kwenye jamii
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 7 ай бұрын
Allah atulinde na maradhi dr MashaAllah antoa elimu vizuri ,ningefurahi zaidi angelinganisha elimu yake na kitabu kitakatifu cha quran
@odettevianney3026
@odettevianney3026 7 ай бұрын
Prof nimefuatisha mawaidha yako yamenisaidia sana mfano intermittent fasting, kupunguza sukari yaani hata kuzeeka kumepungua! Nakupa maua yako Prof. Ubarikiwe sana
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 3 ай бұрын
Mungu wangu uwe nasi siku zote amina tanzania 🇹🇿
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 25 күн бұрын
Congrats.🎉❤
@mpegesaaswile6581
@mpegesaaswile6581 5 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu,siku hizi watu wakiambiwa watembee na mtu mwenye UKIMWI wapewe 5000000[5M] wanakubali.baadaye mambo yakiaza kubadilika wanaanza kujuta.
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 6 ай бұрын
Apewe maua yake Le professor mm namkubali sana
@sheilalolila2233
@sheilalolila2233 Ай бұрын
Dr wangu pambe nakukubali sana
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Ай бұрын
Pfs janab yupo sawaa .ukimsikiliza utapata faida. Yaa.afya yako ❤❤❤❤.prfs.janabi
@vibetz9991
@vibetz9991 7 ай бұрын
Sikuhizi Kila niki taka kula chipsi au kunywa soda, natokewa na sura ya huyu jamaa😢😢😢
@crispakyando8854
@crispakyando8854 7 ай бұрын
Mungu tusaidie tu
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 6 ай бұрын
AISEE tunafakamia tu
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 6 ай бұрын
Aisee kama ulikuwepo hata mimi hivohivo, afu nikimwona mtu anakunya soda namhurumia sana na nikiona mtu anakula chumvi ile ya pemben mwa sahani ya chips au nyama had nashtuka kama vile mtu kaniwekea barafu ktk uti wa mgongo😂😂
@TheresiaZimlinda-x4f
@TheresiaZimlinda-x4f 6 ай бұрын
Hahahaha 😂nimecheka kwa sauti
@TheresiaZimlinda-x4f
@TheresiaZimlinda-x4f 6 ай бұрын
Dr swali langu ni kwamba je tatizo la presha huwa linapona?
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 3 күн бұрын
Pro f oyeee🎉
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 7 ай бұрын
Mzee Yuko sawa ana nyoosha huu kwele japo Kila kifo kina Sababu
@reginajoel3785
@reginajoel3785 7 ай бұрын
asante kwa masomo,,
@HelenNgesela
@HelenNgesela 29 күн бұрын
Mhh Doctor Janabi
@niahmosha4146
@niahmosha4146 7 ай бұрын
Yaani Ur very good hakika unatuelimisja saan
@mhenitv
@mhenitv Ай бұрын
Dr Janabi yupo sahihi kwa asilimia zote ,,,,,Fainali uzeeni
@Matias-b4b
@Matias-b4b Ай бұрын
Prof uishi siku nyingi elimu yako inamanufaa sana 🤝
@EkelyNkanda
@EkelyNkanda 3 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@machongomika1206
@machongomika1206 7 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@TBCLINICKYELA
@TBCLINICKYELA 21 күн бұрын
Dunia inaenda kasi sana, anayetaja sababu za kuzeeka mapema na yeye kazeeka kabla ya muda.
@dinachitungo8795
@dinachitungo8795 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 3 күн бұрын
Big up
@bakarimusa6297
@bakarimusa6297 5 ай бұрын
Mashaallah mungu atakulipa
@OswardWilson-gx2hy
@OswardWilson-gx2hy 7 ай бұрын
Dr asantee
@annalyimo4143
@annalyimo4143 6 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 3 ай бұрын
Umenisaidia sana
@ChristerShao
@ChristerShao 7 ай бұрын
Prof,husichoke kutoa elimu,wapo wanaokuelewa,watanzania wanatabia ya kuchukulia mambo mzaha.
@priscajoseph261
@priscajoseph261 7 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa ona watu wanavyo dhihaki wakati ni elimu nzuri kabisa.
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 5 ай бұрын
Asante
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 7 ай бұрын
Yaani watz mna dharau sana"mnapewa elim kwa faida yenu"unamponda kisa mlevi na unavuta sigara
@leonardmaganga9921
@leonardmaganga9921 7 ай бұрын
Zingatia maelezo yake kwa faida yako. Kejeli hazisaidii.
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 Ай бұрын
Nakuelewa mnooo mkuu
@jamesgeofrey8692
@jamesgeofrey8692 7 ай бұрын
Heavy Talk
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan 7 ай бұрын
Jamani dokta yuko sahihi sasa mnapoleta matan sio sawa
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 7 ай бұрын
Wanongo jmn punguzeni mizaha walah😂😂😂😂
@rogatemsangi6418
@rogatemsangi6418 7 ай бұрын
Tatizo Hela tu utazeekaje mapema !?
@nangatv9218
@nangatv9218 4 ай бұрын
Mukali sana
@PetroMwan
@PetroMwan 7 ай бұрын
Doctor naomba kuuliza kula mchele mbichi kunasababiasha unene wa mwili
@emmanueljoshua903
@emmanueljoshua903 7 ай бұрын
Golden Star...
@bagalucha
@bagalucha 26 күн бұрын
Anazungumza kweli kabisa
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 12 күн бұрын
Dr barikiwa mnoo nimedondosha kilo 10 kutoka 74 hadi 64 kwakuwa uref wangu ni sm 164 hivyo niko ktk standard, kweli kula kula hivyo ni kukaribisha maradhi na kifo , kalikuwa kananitoka katambi nimekafyeka kote😂😂, dr pokeaaaa🎉🎉🎉🎉🎉 yako
@HamisMtundwe
@HamisMtundwe Ай бұрын
Nisaidie namba profesa please...
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 6 ай бұрын
Prof kama prof
@mohdali2408
@mohdali2408 Ай бұрын
Amerudia maneno ya Mtume Muhammad( saw) Aliyo yasema miaka 1400 iliyopita
@kheriakida3309
@kheriakida3309 6 ай бұрын
Professor anafanya jambo kubwa sana ,Ila kizazi cha ovyo hakielewi, Elimu ya afya ni bora kuliko tiba,na ndio inayotakiwa sio kuongeza kujenga hospital na kuongeza madaktari
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 Ай бұрын
Dr hayo mapete vipi?
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 7 ай бұрын
Kwenye kusoma nakuunga mkono profesa, watanzania wengi hatuna uzalendo wa kusoma
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi Ай бұрын
Kinachosababisha watu wasiwe na muda wa kusoma,ni njaa ebu wewe utasoma,huku hujala ?
@magdalenasirikwa517
@magdalenasirikwa517 6 ай бұрын
Dr boazalikuwa sahihi
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu 6 ай бұрын
Nimekuelewa
@margaretkapolesya3979
@margaretkapolesya3979 6 ай бұрын
NASHUKURU SANA KWA ELIMU UNAYOTUPATIA DR. JANABI. HIDUMA HII NI UONYAJI KAMILI. MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
@Lyakatali-s7x
@Lyakatali-s7x 6 ай бұрын
Maradhi utatunusuru wanaadamu huwaezi bro .
@martinisadru9899
@martinisadru9899 7 ай бұрын
Hawa, na serikali yao wamewatengenezea watanzania mawazo ya uchungu, kwa ufisadi, yanayopelekea watu kuwa na magonjwa sugu,,,, tumeibiwa sana, hadi watu kukata tamaa, kisha kulewa pombe, kuvuta bangi, watu kukosa pesa hadi kushindia soda na andazi. Nyie mungu anawaona! Amini nawaambia
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 7 ай бұрын
Kumbe anavuta sigara,jmn
@mfalisayo
@mfalisayo 7 ай бұрын
Prof,Kwa wasio na smartphone wanapataje elimu hii?
@jumamaganga5064
@jumamaganga5064 7 ай бұрын
Nadhani ww ndio utakua smart yao
@janethalley4046
@janethalley4046 5 ай бұрын
@@jumamaganga5064😂😂😂😂
@gastonkaduma2503
@gastonkaduma2503 6 ай бұрын
Exactly
@rosemtandika8693
@rosemtandika8693 20 күн бұрын
Samahan doct naomba ushauri wako
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 Ай бұрын
Dr .ufumbuzi ni kuachana kutumia soda na jiusi maana hata kusoma shida
ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO
13:16
ZamaradiTV
Рет қаралды 11 М.
AfyaKona: Mwarobaini wa magonjwa yasiyoambukiza || Epuka kufanya haya
15:54
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 267 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,2 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
JE KUNYWA POMBE NI AFYA?
15:27
Muhimbili TV
Рет қаралды 22 М.
Fahamu kuhusu Lishe ya Kitambi, Kisukari, Presha katika Sayansi ya Mapishi
57:13