TAZAMA JINSI MAMA NA MTOTO WALIVYOFARIKI WAKISAFIRISHA GARI JIPYA WALILOPOKEA BANDARINI.

  Рет қаралды 89,812

GADI TV

GADI TV

Күн бұрын

Пікірлер
@arya-star53
@arya-star53 Сағат бұрын
Daaaaaaah yani chombo ulichonunua mwenyew kinakuua wewe mwenyew tena ni sawa na kumfuga mbwa alafu akaja kukun'gata mwenyewe..............eeeh Mungu mkono wako wa hasira tunaomba upunguke juu yetu tunatambua kuwa maovu yanaongezeka kwa sasa lakini tunakuomba uturehemu sawa sawa na fadhili zako kiasi cha wingi wa rehema zako,uyafute makosa yetu kama neno lako katika zaburi 51:1 lilivyo🙌🙌🙌🙏🙏🙏,pole sana baba Mungu akutie nguvu na kukufunga mkanda ktk kipindi hiki cha majonzi🙏🥹🥹🥹🥹
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 18 сағат бұрын
Duh kweli kifo hakina huruma pole baba Mungu akutie nguvu kwa kipindi kigumu kwako na Mungu azilaze roho za wapendwa pema peponi😢😢😢
@LucyRafeali
@LucyRafeali 4 сағат бұрын
Pole Baba angu Mungu akutie nguvu
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 15 сағат бұрын
This Man is strong
@FatumaMwage
@FatumaMwage 16 сағат бұрын
nimeumia san maan huyu baba anaumia sana mungu akubariki san mungu akupe nguvu
@ainessfoya4463
@ainessfoya4463 11 сағат бұрын
Pole mno kwa familia yote..mungu awape faraja..hongera mno kwa uaminifu wa maaskari waliohifadhi na kukabidhi .mungu awabariki saana
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje 17 сағат бұрын
Pole sana mzee mission impossible but don't give up, umejua kujikaza kiume kama sio mfiwa🎉🎉🎉🎉🎉
@PendoMarco-x3u
@PendoMarco-x3u 15 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu baba yangu, shetani hapendi kuona familia inapata furaha
@iviejustified8109
@iviejustified8109 2 сағат бұрын
Muhimu kuombea familia .... Tuwe tuna utamaduni huo!
@farajisureman9925
@farajisureman9925 13 сағат бұрын
Pole sana Mzee.Kufiwa na Mke na tena kwa Umri huu ni mtihani mzito sana.Ushinde tu.Mwenyezi mungu akupe subra
@NeemaJohn-ek8nf
@NeemaJohn-ek8nf 14 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu babangu na akupe faraja jammnnnnn wapumzike Kwa amani wapendwa wetu
@catherineemmanuel8739
@catherineemmanuel8739 17 сағат бұрын
Pole sana mzee kufiwa na mke wako na mtoto wako
@melvinkanje70
@melvinkanje70 6 сағат бұрын
Ila Mungu Anasababu zake Duh!! Tukanyage hi Dunia pole pole😭
@benardotuoma59
@benardotuoma59 19 сағат бұрын
Baba pole sana inauma sana,Mungu akutie nguvu uko kwenye kipindi kigumu, duniani tunapitia mengi,imagine unafanya kazi mpaka unastafu unanunua gari siku ya kwanza inakutoa uhai duuuhh,
@FloraHamisi-n7o
@FloraHamisi-n7o 14 сағат бұрын
Muda.wakusherekea mafanikio mungu nae anapanga yake 😢😢😢 pole sana
@monicastephen8796
@monicastephen8796 5 сағат бұрын
Poleni sana wafiwa hasa baba. Tunaomba baraka za Mungu zisitukatishe maisha ktk jina la YESU
@AmosiMakori-wd2zm
@AmosiMakori-wd2zm 17 сағат бұрын
Pole Sana Bwana akutie nguvu, Dunia hii tunapita kama wasafiri tumaini letu ni yesu.
@sein.208
@sein.208 4 сағат бұрын
Jamani Mwalimu wangu kipenzi Mungu akulaze pema penye wema🤲🏽 😭💔
@radhiarajabu4584
@radhiarajabu4584 3 сағат бұрын
mungu kawapenda zaidi faraja zake I kinga na mwongozo Kwa bb pigo ni kubwa pole sana
@user-qq7pg6jk
@user-qq7pg6jk 15 сағат бұрын
😊pole sana baba,Mungu akutie nguvu, hili nalo litapita,
@ntambisamwel4436
@ntambisamwel4436 57 минут бұрын
polee sana mzee wangu..akupe nguvu
@anithamsoke2329
@anithamsoke2329 13 сағат бұрын
Duh! Jamani duniani kuna mapito jamanii, duh, Mungu pekee ndiye faraja yenu maana duh, hii ni ngumu kuikubali kiubinadam. Poleni sana wanafamilia wotee
@chittamileissa1650
@chittamileissa1650 4 сағат бұрын
Pole sana mzee wangu MUNGU akupe utulivu zaidi kwenye hiki kipind kigumu sana unachopitia
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 12 сағат бұрын
😢😢😢😢😢jamnii kischo ridhiki hakiliki jmnii Unafurahia ndoto ya muda mrefuu alafuuu sku ya furaha yako ndo sku umauti unakufika khaa . MUNGU JMNII😢
@zainabukimolo5827
@zainabukimolo5827 3 сағат бұрын
Pole sana mbise jmn nakosa cha kusema kbs mungu pekee akufariji na watoto
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial Сағат бұрын
Ppole baba Mungu awe upande wako siku zote za maisha yako😢
@kiluiWanguvu
@kiluiWanguvu 13 сағат бұрын
Innalilah wainna ilahirajiun Allah Subhanallah Wataalla akupe subira na akuongoze
@AbiaWilliam-s1s
@AbiaWilliam-s1s 15 сағат бұрын
Poleni sana wana familia 😢😢Baba Mungu akutie nguvu
@sarahezekiel5170
@sarahezekiel5170 13 сағат бұрын
Poleni Familia,ukoo,Rip mwalimu,mtoto,dereva rafiki.Kazi imeisha,Mungu awe Faraja kwa waliobaki.
@LeonardKimwa
@LeonardKimwa 17 сағат бұрын
Pole sana mzee mze wangu nais umejiuliza mambo mengi sana kuusu iyo gari imekupotezea familia yako pole sana ndoto yako aikutimia,
@lilianmnkondya150
@lilianmnkondya150 15 сағат бұрын
Pole Baba Mungu Akutie Nguvu😢😢
@IbrahimMwantona
@IbrahimMwantona 14 сағат бұрын
Pole sana baba mungu akupe Amani ya moyo Amen.
@MonicahMassawe
@MonicahMassawe 3 сағат бұрын
Jamn mwalimu ayo kanifundisha uwiii mbn mwisho wako umekuwa mbaya jmn mungu akulaze mahali pema pepon
@Happizo
@Happizo 4 сағат бұрын
Pole mzee naomba niwe msaidizi wako😢😢😢
@JudithAdonis
@JudithAdonis 13 сағат бұрын
Pole Baba na familia Mungu awe faraja kwenu 😢😢😢
@SubiraJohn-v9s
@SubiraJohn-v9s 9 сағат бұрын
R.i.p Mom & Son ! Mwenyezimungu akufariji Baba Pole sana!
@linahtairo1859
@linahtairo1859 3 сағат бұрын
Pole sana baba Mungu akupe Nguvu
@AlexLaizer-h7x
@AlexLaizer-h7x 16 сағат бұрын
Pole sana baba mungu akutie nguvu Kwa wakati huu mgumu
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 7 сағат бұрын
Pole sana ndugu, jamani hii ajali ni mbaya sana. Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
@ibrahimKimati
@ibrahimKimati 17 сағат бұрын
Ni kweli siku ikifika miti yote huteleza kwa hili nimejifunza kumbe nikinunua gari sipandi na dereva anayesafirisha wengine hawana uzoefu huyo inaonyesha dereva alikuwa mchovu au usingizi pole sana mzee kwa kupoteza familia mungu akutie nguvu kwa kipindi hichi kigumu.
@IdarousPossy
@IdarousPossy 16 сағат бұрын
Akili zako bn .siku ikifik ni imefika tu
@YacnMwacha
@YacnMwacha 2 сағат бұрын
Pole sana mzee 😢
@joshuaeliakim2157
@joshuaeliakim2157 16 сағат бұрын
Pole sana mzee ukweli nimetoa machozi ni msiba mzito ...MWENYEZI MUNGU AKUTIE NGUVU
@danielmaeda5074
@danielmaeda5074 8 сағат бұрын
Pole Sana Mzee Mungu akutie nguvu katika hili jaribu.
@momosaid6193
@momosaid6193 6 сағат бұрын
Jackson ww 😢😢 juz tu hapa umemaliza chuo 😭😭 Allah akupe kauli thaabit
@simbeyekingsministrytv9035
@simbeyekingsministrytv9035 7 сағат бұрын
Pole sana kaka kwa YOTE .. Bado Mungu ni mwema
@charlesadolf1062
@charlesadolf1062 13 сағат бұрын
Mungu akupe faraja na akupe nguvu maana hili pigo ni kubwa mnoo. Mwenyenzi awape faraja wote ndugu wa marehemu. Mungu awape pumziko salama la milele
@lordorcas9344
@lordorcas9344 15 сағат бұрын
Poole , Poole saana Kaka mpendwa alafu hiyi ni habari mu baya Damu ya watu watatu muke mupenzi waka , mutoto wako na Ki jana wa batu mi na liya ,machozi ya Damu tena na Uchungu sana roho yangu inauzunika kueli Basi ndu acha mwenyezi Mungu a endeleye na wewe Kuku Chunga na Nguvu yake basi uchunge famillia yenye inabaki ,,ile njo habari ya Dunia ha tuna kia kufanya ni Mungu Tu tena na changaa Courage uko na yo kueli uko muana Ume Courage , Courage
@rogersiddy
@rogersiddy 15 сағат бұрын
Pole sana mzee🙏🤲
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 6 сағат бұрын
Siku ikifika imefika tu, Asante Yesu
@rahmasultan5796
@rahmasultan5796 10 сағат бұрын
Jamani pole sana Mungu awape subra na nguvu wafiwa wote sisi ni wa Allah na kwake tutarejea💔🥹
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 18 сағат бұрын
Ni huzuni tuuu! Kwamba mungu amewapenda watu Hawa, mama mwl kastaafu vizuri oooh
@realrzzocmg485
@realrzzocmg485 3 сағат бұрын
Pole baba jamani mungu akutie nguvu
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 8 сағат бұрын
Pole sana baba angu mwenyezi mungu awe nawe popote pale
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 8 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu 😭😭😭🙏🙏🙏wapumzike kwa amani
@JanethJames-eo1go
@JanethJames-eo1go 8 сағат бұрын
Pole sana baba ang mungu akutie nguvu na akawe faraja kwako
@AishaAisha-w1v
@AishaAisha-w1v 12 сағат бұрын
Inalilah wainalilah rajiuna
@rehemamasanja8875
@rehemamasanja8875 6 сағат бұрын
Pole sana baba Mungu awe faraja kuu ktk kipindi hiki kigumu.😭😭😭
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 9 сағат бұрын
😅😅😅pole sana brother..
@omaryadam6884
@omaryadam6884 4 сағат бұрын
Angalia emoji za kutumia kwenye hii taarifa, hapa umetumia vibaya
@SabrinaRamadhan-s9u
@SabrinaRamadhan-s9u 4 сағат бұрын
Baba pole sana 😢mungu akutie nguvu😢😢
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 17 сағат бұрын
Mungu atulehemu baba akufunge mkwamba imeandikwa uzaniapo pana amani.ndipo uharibifu ukujiapo kwA ghafla nimeumia sana duu! Kweli mwanadamu ni upepo
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 15 сағат бұрын
Baba pole! Watu wameongea uongo mwingi( kumbe ni gari la kwanza} Bwana akufariji! Na tunatubu kwa ajili ya maneno mengi ya wanadamu
@moulyreenmdemu9490
@moulyreenmdemu9490 15 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu Daah 😢😢
@SalhaZakaria-r4n
@SalhaZakaria-r4n 16 сағат бұрын
Pole sana baba mungu akutie nguvu katk kipind hich kigumu
@KhadijaMwenda
@KhadijaMwenda 8 сағат бұрын
Daah pole sana kwa family 😢
@LabaniAkyoo
@LabaniAkyoo 4 сағат бұрын
Pole sana Baba,
@crismtete8837
@crismtete8837 4 сағат бұрын
Askari mpuuzi kutoa taarifa kwa njia hiyo. Hiyo ni kazi ya ndugu
@Shen_tz
@Shen_tz 20 сағат бұрын
Innalillahiwainnailaihirojiun duuuh kifo jaman
@katherinasamwel3937
@katherinasamwel3937 19 сағат бұрын
Duu pole Sana Baba kwa msiba mkubwa
@joycejackson2320
@joycejackson2320 4 сағат бұрын
Mungu akufariji babaa
@FatmaMohammed-s3k
@FatmaMohammed-s3k 9 сағат бұрын
Pole sana baba msiba mzito mungu atakuvusha Salama
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 14 сағат бұрын
Jamani jamani!!unawezasema kwa nini alinunua lkn ni Mungu ndiye ajuaye.Poleni saana ndugu zangu
@AshaMwamba-m5x
@AshaMwamba-m5x 5 сағат бұрын
Poleniii sanaa jamaniiii.inaumaaa kweliiii
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 13 сағат бұрын
Poleni sana inauma sana ila tumkabidh M/Mungu
@BeathaSwai
@BeathaSwai 17 сағат бұрын
Polen sana baba Mungu akupe farajaa
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 16 сағат бұрын
Inauma sana japokuwa kazi ya mwenyezi mungu haina makosa.
@kanaelikanuya7919
@kanaelikanuya7919 9 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu baba pole sana
@annamathias-t5g
@annamathias-t5g 15 сағат бұрын
Pore sana baba mungu akupe ufumirifu
@vero57
@vero57 13 сағат бұрын
Dereva alikua amechokaa , poleni sana sana wafiwa
@makkawi4294
@makkawi4294 12 сағат бұрын
Subhannah Allah 🥹 ama kweli duniani sio kwetu sote tuna pita pole sana baba wawat😭😭😭😭
@AlexMkwama
@AlexMkwama 15 сағат бұрын
Pole sana Mzee. Pia hongera nyingi kwa Jeshi la police kwa UAMINIFU
@maureenlilykiwia1515
@maureenlilykiwia1515 16 сағат бұрын
Poleni sana Familia Mungu awape faraja yake
@charlesmbise2344
@charlesmbise2344 16 сағат бұрын
Pole sana brother mbise kwa kupoteza mke na mtoto, safari ni moja
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 16 сағат бұрын
Pole Sana Mzee kwa msiba
@fatumashabani9122
@fatumashabani9122 13 сағат бұрын
Pole sn kaka mungu akupe nguvu ya kusubiri
@SemeniPius-s9k
@SemeniPius-s9k 11 сағат бұрын
Pole sana babangu mungu akupe moyo wa subira. Amemi.
@LeodigerBeda-o2p
@LeodigerBeda-o2p 19 сағат бұрын
Pole sana baba mungu akutie nguvu
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 18 сағат бұрын
Amina
@AnnaUrio-x1b
@AnnaUrio-x1b 9 сағат бұрын
Pole sana Mungu akutie nguvu
@mercyemmanuel8536
@mercyemmanuel8536 15 сағат бұрын
Pole baba....
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo 9 сағат бұрын
Daah kiukwel ni mtihan sana yaan mama amepokea mafao mwenyewe ajipongeze na gari kumbe kifo ndio kinamuita jaman tuen makini sana na hii Dunia
@verowilly5822
@verowilly5822 5 сағат бұрын
tuombee hiv vyombo vya moto mungu atusaidie jmn..umepata furaha mara umauti tena dah
@SharonJovin-k5q
@SharonJovin-k5q 12 сағат бұрын
Pole sana mzee wetu mungu akawe faraja kwako
@justinegabrielofficial3210
@justinegabrielofficial3210 8 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu mzes wangu 😢😢😢😢😢
@siwemamichael690
@siwemamichael690 18 сағат бұрын
dereva ni bonge la handsome
@abdalahngozi5455
@abdalahngozi5455 18 сағат бұрын
Mwehu wee 😂😂😂
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 17 сағат бұрын
Sijui huna Akili gani
@amedeusfredrick1614
@amedeusfredrick1614 16 сағат бұрын
Umalaya
@IreneMsile
@IreneMsile 4 сағат бұрын
Nikajua nimeona mimi peke yangu😢😢
@اسيف-ح6ط
@اسيف-ح6ط 3 сағат бұрын
Pole
@marthaswai1185
@marthaswai1185 14 сағат бұрын
Polisi uko vizuri.
@ammaaaar
@ammaaaar 6 сағат бұрын
God bless you
@QueenGlory-f8e
@QueenGlory-f8e 8 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu jmn
@geofreybalyobalyo4538
@geofreybalyobalyo4538 10 сағат бұрын
sema Mungu bwana..kaona mzee abaki
@DanielMfinanga-t6z
@DanielMfinanga-t6z 12 сағат бұрын
Pole sana mzee wangu mungu akutie nguvu
@CatherineLekule-l7z
@CatherineLekule-l7z 18 сағат бұрын
Basi za kampuni ya Ester,Burdan na KSK mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga na pwani zinaitwa chinja chinja, zinaua watembea kwa miguu na bodaboda mno
@leokamil6284
@leokamil6284 11 сағат бұрын
Trafik alikimbilia kusema mwenye makosa ni gari ndogo kwa kulinda Esther maana ni bus la .....wakati shahidi anasema lile bus lingine lilipiga gari ndogo kwa nyuma kisha likaenda upande wa esther likawaburuza .ila trafik alisema ni hilo gari ndogo lililokuwa linaovertake kitu cha uongo kabisa wanatunga bila uhakika.
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 7 сағат бұрын
Ila kusema ukweli madereva wa mabasi wajeuri sana, hata mimi ni dereva, ukiwa uko mbele halafu basi liko nyuma yako, utaona anavyo kusogelea anakuwashia taa umpishe, hata pasipo stahili, yaani wanakuwa wana haraka sana, pia wanadharau magari madogo.
@leokamil6284
@leokamil6284 6 сағат бұрын
@DudddyWhyCant Ndio hata Malori
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 5 сағат бұрын
@@leokamil6284 hapana madereva wa malori wataarabu kidogo
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 12 сағат бұрын
Pole sana mzee
"Идеальное" преступление
0:39
Кик Брейнс
Рет қаралды 1,4 МЛН
Вопрос Ребром - Джиган
43:52
Gazgolder
Рет қаралды 3,8 МЛН
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
Vimbwanga: Ruto na Gachagua wapambana
7:05
NTV Kenya
Рет қаралды 165 М.
Get Deep Sleep and Cure Your Insomnia Disease with Beautiful Quran ✦ NOOR
1:10:29
Watoto Wazeeka Lakini Mama Yao Abakia Kuwa Kijana | Watengwa Na Kijiji
18:02
Scammers PANIC After I Hack Their Live CCTV Cameras!
23:20
NanoBaiter
Рет қаралды 28 МЛН
"Идеальное" преступление
0:39
Кик Брейнс
Рет қаралды 1,4 МЛН