Baba wa Taifa aliagwa kwa Heshma sana. Mungu ampe pumnziko la milele
@mdl64632 жыл бұрын
Daaaah nenda kwa amani Huku tuko vizuri ulituacha salama hatujawahi hata kukunjiana ngumi huku
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Mungu awalz mahal pema Maraisi wetu wote Waliotangulia Amina
@barikibenson46783 жыл бұрын
Maisha ni hadithi Duniani. IPO siku bayana litakuwa wazi, Mungu tuongeze maarifa🙏
@shuubenpeter47692 жыл бұрын
Amen🙏🙏🙏
@deogratiusisaya10943 жыл бұрын
Kristo, Huu wimbo Wa mwanzo waliimba watanzania kweli
@stanslausbernard59503 жыл бұрын
Ndiyo waliimba watanzania. Ni lugha ya kilatini ambayo ni lugha rasmi ya kanisa katoliki. Ila kwa Sasa ni watanzania wachache wanaoweza kuelewa kilatini. Hususani watu wazima.
@renatusmatungwa65063 жыл бұрын
Kilatini hicho
@josephkayugumya833 жыл бұрын
Always legend never die.Amain.
@mariamasia33412 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba wa Taifa letu😭
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Historia... Iliandikwa
@petronillamnyambi76072 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yetu.
@fredleonardo7393 жыл бұрын
R.I.P baba wa Taifa .R.I.p karume R.i.p Dady MAGUFULI
@emmanuelmsafiri44853 жыл бұрын
Vip mkapa
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
@@emmanuelmsafiri4485 amemsahau
@andreaa.nyundo83333 жыл бұрын
Kristo,huu wimbo wa kilatini wa mwanzo unaitwaje ndugu,
@StereoSingasinga3 жыл бұрын
Unaitwa Requiem Aeternam.
@chrishara15903 жыл бұрын
Requiem aeternam = Rest in eternal peace.
@andreaa.nyundo83333 жыл бұрын
@@StereoSingasinga nashukuru ndugu
@andreaa.nyundo83333 жыл бұрын
@@chrishara1590 asante sana sasa nimeupata
@machiavelshakur89393 жыл бұрын
Ki italiano
@chrismbut49903 жыл бұрын
Endeleen kutuletea kumbukumbu hizi kwan vijana waliozaliwa miaka ya 2000 hawajui chote kuhusu nyelele hata kama waliokuwepo ni ni wachache walio fuatilia matangazo ya moja kwa moja sababu tv na na mitandao ya kijamii haikupo,tv wache sana waliokuwa nazo hususani vijijini wengi walifuatilia redioni .
@aishaanthony45082 жыл бұрын
Hata mm nilikuwa bd sana nilikuwa dara la nne nikasikiya raisi watazania kafariki ndonikawa najiuliza raisi donn jamani
@tinnyboy9792 жыл бұрын
Tutakukumbu daima
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
R.i.p baba wa taifa R.i.p karume R.i.p mkapa R.i p magufuli
@silverrichard29753 жыл бұрын
enzi hizo nina miaka 12 tu R.i.p Nyerere,mkapa na Magufuri
@aminakipande56452 жыл бұрын
Mm enzi hizo ninamiaaka 10 R.i.p Marais wetu wote mliotangulia mbele za haki Mungu awapunzishe kwaAmani🙏🏻
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
Mnatukumbusha majonzi dah r.i.p baba yetu
@florameza95293 жыл бұрын
Hakika alikuwa baba wa Taifa nililia mimi wenye busara wanaondoka Mungu tusaidie
@michaelmgaya51912 жыл бұрын
Da kumbukumbu nzur xana
@mwalukojohnjohn64672 жыл бұрын
Pumzika kwaaman shujaa wetu mwalima nyerere
@jameseliasi79842 жыл бұрын
Rest in peace baba wa taifa
@ZawadiMwaitukaАй бұрын
Mungu amlaze pahara pema Amina😂😂
@alexbenedict53783 жыл бұрын
Yes
@petronillamnyambi76072 жыл бұрын
Baba wataifa iombeee nchi yetu leo hii inaongozwa vibaya mno
@evancetilya51403 жыл бұрын
Apumzike kwa amani
@kibwekibwe64783 жыл бұрын
La’natullah Nyerere
@fasterwalker14642 жыл бұрын
Kwann Unasema hvo naww
@fasterwalker14642 жыл бұрын
Huna haki ya kusema hvo Allah ndie muhukumu
@simbawateranga70202 жыл бұрын
Mwaka 1999 Nipo Darasa la 3
@bboyclassictz40972 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani baba wa taifa letu la Tanzania
@majigeelieza62222 жыл бұрын
Rip hakika kila nafsi itaonja umauti
@omanphone34552 жыл бұрын
Daaaaah 1999 ninamiaka 3
@mohammedally51853 жыл бұрын
Mb zangu zimeenda kialali kabisa.. Izi ndio crip za kuangalia.
@mwlsimonitvchannel1577 Жыл бұрын
hakika mazishi yalikua ya heshima
@r14kgroup683 жыл бұрын
Rest in peace the first icon in Africa and world
@asiakheir86842 жыл бұрын
Dunia mapito, sababisheni vifo kwa wenzenu mkidhani hamtakufa
@aminakipande56452 жыл бұрын
Tusihukumu japo vyauma
@jainevangogo13732 жыл бұрын
Wale wa vizazi vya 2000 tunacoment wap
@JugoMedia2 жыл бұрын
Ahhahaha hapa hapa tu tutawapokea
@fasterwalker14642 жыл бұрын
Umeona eeeh. 😁😂
@mathiaszakaria70522 жыл бұрын
Nlikuwa na miaka 7 Pekee ila nakumbuka yote kuanzia alivyoukuwa anaumwa tunahabarishwa mpaka anakufa,Video ya msiba nilishuhudia mwaka 2000 ikiwa imerekodiwa kwenye tape video
@sabihaibrahim33933 жыл бұрын
Lana ya mungu ikuinamiye huko uliko
@farajagordon47243 жыл бұрын
Wewe ninani hadi utoe laana?
@mamboshepea88883 жыл бұрын
@@farajagordon4724 huyo ni pepo faraja....ashindwe na alegee!!!
@sarafinafranci84813 жыл бұрын
Ulaniwe wewe unayeabudu madhetani msikitini.
@sabihaibrahim33933 жыл бұрын
@@sarafinafranci8481 nyoo umeyaona hayo mashetani msikitini ulaniwe wewe unayelipigia magoti sanamu la mmarekani kanisani unamfanya mungu usiye na akili
@johnmalembo64643 жыл бұрын
sabiha...Mungu si Mwanadamu.. Wala hawezi amrishwa na Mwanadamu kiumbe wake... Tusifikiriane na kutakiana mabaya... Dini Ni upendo... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@vumilialeonardi1093 жыл бұрын
Sote ni kwamba tutarejea kwake tu
@sahiltvontheline55602 жыл бұрын
Aloooooo izi clip umezitolea wap
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@christopherleroy47593 жыл бұрын
Kila jambo ni ubatili, Muhubiri anasema
@aminakipande56452 жыл бұрын
Mmmmmh kvp
@schorasticaldeus54432 жыл бұрын
Imeniuma sana nyelele magufuri na mkapa mungu pokea hawa wanao
@edwardwangombe23583 жыл бұрын
Very old vedios
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🙄🙄🙄🙄Long time 💦😭
@yohanachiristopher30872 жыл бұрын
Nina miaka mitatu tu daaaah nyerere+magufuri mmmh inatosha hamkupasa kutukimbia mapema nitawaenzi kivyovyote vile eee mwenyezi mungu nisaidie