Channel Administered by Slide Digital Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 22
@rashdiyange77583 жыл бұрын
Mashalha mzee mpka leo ana dundaa mungu mkubwaaa zid kumpa umriii mzee wetuuuuu
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Hongera TBC ibueni wengi wa utumishi kutukuka. Big up TBC
@bensonkaile96063 жыл бұрын
The General himself.. I liked how Makongo has honored him, as to any other place in the country and outside. #NationPride
@fredrickanathesarakikya18904 ай бұрын
Naweza nikapata hii video jamani 😢😢
@heraldloshi18643 жыл бұрын
A historical nugget. Asante sana TBC.
@yusuphmkapa9343 жыл бұрын
NAMSHKRU SANA MUNGU NILIWAHI KUBAHATIKA KUONANA KATKA MOJA YA HAFLA YA KIJESHI HAPA LUGALO MWAKA2008 MIMI NIKIIGIZA SAUTI YA HAYATI BENJAMIN WILLIAM MKAPA PIA NILIKUTANA NA ALEX GWEBUZA NYILENDA PIA HAYATI JAJI MARK BOMAN ,NAMKUU WAMAJESHI MSTAAFU GEORGE WAITARA .
@sayunindelwa9872 жыл бұрын
Asante baba kwa kulitumikia Taifa letu lkn pia nakupongeza hiyo Mandhari iko poa sana.
@ALIMOHD-bk9lr2 жыл бұрын
Mungu akubariki
@benedictmrisho23612 жыл бұрын
Mungu akujalie umri mrefu.
@prosperkullaya67212 жыл бұрын
Very humble
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
MEJA GENERALI GREAT 👍
@samasob82332 жыл бұрын
Good Idea and good presentation. Lakini bado nchi ina udume sana. Huko Jeshini ndio usiseme, but kuna wanawake walioweza kwenda huko na kupata vyeo vya juu kabisa kama brigadier, major general, mfano wakinamma Mwakipunda na Kingazi wastaafu kwa sasa walifika mpaka cheo cha meja generali, Mama Madawili alikuwa ni mwanamke wa kwanza Tanzania kufikia cheo cha brigadier, kwa nini TBC hamuongei na hawa wakinamama? Fanyeni series za wanawake kuifahamisha jamii na kuwafanya watoto wa kike kuelewa kwamba anything is possible! kila kitu kinawezekana bila kujali mwanamke au mwanaume, lakini vipindi vingi mnaonyesha uwezo na kazi za wanaume tu! Tena kwenye vyombo vyetu vya usalama wanawake waliongezeka miaka ya karibuni, asante kwa hao watangulizi wao, maana walihakikisha wanawake kwa elimu na vigezo vyao wanapata ajira za fani mbalimbali ndio wengi wanawake unaowaona sasa wakiwa JWTZ kuanzia vyeo vya uluteni kanali na kushuka chini ndio matunda ya hawa kinamama kwa order ya no1 no2 no3 kama sikosei, ikimanisha ni wanawake wa kwanza kabisa kujiunga na jeshi la Tanzania. Tafadhali nendeni makao makuu au njia zenu mnazopata information za serikali, tuleteeni vipindi vya nyota kuhusu hawa kinamama, hawa ni nyota hasa! Kablsa hatujapoteza historia yao kwa kutowatafuta na kushare rare knowledge/information! Asanteni
@rashdiyange77583 жыл бұрын
Mwana jesh mwana jeshh tu afu uombe uwe nacheo kama wazeee wetu awa mbona ata ufilkilii kufaaaaa
@rommelmauma80812 жыл бұрын
Signature Tune yenu inachukua muda mrefu sana!
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Mzee ana nguvu kwel yani ana miaka 87 bado yuko hai🙏🙏 na ana nguvu
@bensonkaile96063 жыл бұрын
I wonder why Tanzanians and any other Patriots wont find this piece of documentation as privilege opportunity to learn the history of our beautiful nation, the views and engagements on this film is a disappointment and disgrace to our legends. Kazi Umbea tu!!
@barikimushi86442 жыл бұрын
2
@josephatmakuka48602 жыл бұрын
Hakika
@eventelias35662 жыл бұрын
Nlikuwa nikimsikia kwa Mzee mmoja marehemu sasa alikuwa anaitwa Mzee Machibya ndiye alikuwa akinisimulia mambo mengi ya zamani ya wakati wa utawala wa Nyerere na Mzee Mwinyi.
@peterchristophernyansambo49592 жыл бұрын
Machibya aliyekuwa anakaa kambi ya Jeshi Lugalo-Hostel?
@eventelias35662 жыл бұрын
@@peterchristophernyansambo4959 hapana huyu ni wa Morogoro