Рет қаралды 16,036
'SUPRISE' ya MKUU wa MAJESHI na WAZIRI wa ULINZI kwenye HARUSI ya MEJA JENERALI SIBUTI..
Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa, Dkt Stergomena Tax, usiku wa kuamkia Septemba 04, amehudhuria kwenye harusi ya Mkuu wa kamandi ya jeshi la nchi Kavu JWTZ, Meja Jenerali Antony Sibuti na ubavu wake wa kushoto Bi Pendo Jeremiah.
Harusi hiyo ambayo imefanyika katika ukumbi wa Brugedi jijini Dar imehudhuriwa pia na Mkuu wa majeshi ya Ulinzi (CDF) Jacob John Mkunda ambaye aliambatana na mkewe Meja Fatuma Selemani, pamoja na mkuu wa majeshi mstaafu Jenerali George Waitara.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...