No video

THE CLASSIC DAZ NUNDAZ 2: KAMANDA WIMBO BORA MUDA WOTE BONGOFLEV/ALAMNUSRA WATU WAFE/KISA CHA NIPE5

  Рет қаралды 8,774

KuviFacts

KuviFacts

Ай бұрын

Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Bongofleva Daz Nundaz wakiendelea kutupa hadithi kali za maisha na muziki wao

Пікірлер: 43
@user-ej4hv3uw4v
@user-ej4hv3uw4v Ай бұрын
Kiukweri kamanda ndo wimbo Bora wa mda wote anaebisha na abishe, Ayubu juma from kibaha🎉🎉🎉🎉🎉
@MadembweDickson-ur4kl
@MadembweDickson-ur4kl Ай бұрын
Mbishi Aje mi nina fact za kutosha za kumpa
@idarousomar1
@idarousomar1 Ай бұрын
Kabisa bro ila kwangu Barua ndio wimbo bora wa muda wote
@official_lionboy_tz
@official_lionboy_tz Ай бұрын
Kabisa kaka, wimbo huo ulikuwa na heshima kubwa
@alibinali_
@alibinali_ 25 күн бұрын
Daz Nundaz-Barua nyimbo kali sana forever 🔥 🔥 🔥
@richytarimo4656
@richytarimo4656 27 күн бұрын
feruz ana sauti ya pekee sana,,, saut tamu baalaaaa,,,
@claraellias6654
@claraellias6654 Ай бұрын
Tatu bora yangu Mtazamo 3 Kamanda 2 Chemsha bongo 1
@InnoTeo-id6hl
@InnoTeo-id6hl Ай бұрын
Starehe 🙌
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 Ай бұрын
Zari ra mentari ndio Mzee mksa wa bosi nipe Tano agost 13 nyaru rend nikusaidieje
@barnabaschars1637
@barnabaschars1637 Ай бұрын
Feruz nilisikia tangu shule alkuwa mkali sn wa mashairi,he is very talented lkn game ya Bongo haiko fair
@nassoromelele7339
@nassoromelele7339 27 күн бұрын
MIIKA MWAMBA the BEST📌
@spartachize122
@spartachize122 27 күн бұрын
Hawa jamaa ukiskia walivyokua wanaandika nyimbo zao naona inatosha kabisa wakajengewa masanamu ili ata vizazi vijavyo vije kuwasoma❤kwa miaka hii hamna akili kama zao ata kidogo kabisa😊😊😊big up sana Daz nundaz
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 Ай бұрын
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
@user-rm5bj2uj5g
@user-rm5bj2uj5g Ай бұрын
Rashid kaombwe aka la rumba bab kubwa sana
@wilbertjosephat1615
@wilbertjosephat1615 Ай бұрын
Feruz mnyama sana hata kujieleza yupo vizuri
@Eliabennet
@Eliabennet Ай бұрын
Imagine na yupo smart sana
@SaleheAdamu-vv1fq
@SaleheAdamu-vv1fq Ай бұрын
Daah mabrother wanamastory nimefurahi sana kuwasikia aisee.
@animalx8346
@animalx8346 Ай бұрын
Hapa tunaongelea 2000/2001 kama ulikuwa chini ya tuseme darasa la 6 tunaomba kuwajulisha kula zenu hazihesabiki, SAMAHANI BY UTAWALA
@valencenkulanga9118
@valencenkulanga9118 Ай бұрын
Nakubaliana nao Kamanda ilikuwa na mchango kwenye mabadiliko ya mitizamo juu ya muziki wa bongo flavour. Mkasa wa boss reminds me my late mother,kaisikia usiku,asubuhi ananiambia vijana wanajua kuna mtu kalalamika kweli.Nikajisemea kweli bongo inakubalika sasa
@MadembweDickson-ur4kl
@MadembweDickson-ur4kl Ай бұрын
Umesahau na Barua
@salumjumah5648
@salumjumah5648 Ай бұрын
Kweli kabisa
@richpaullzproductions
@richpaullzproductions Ай бұрын
Namba 5 my best song everlasting hit
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 Ай бұрын
Big up to Jabir uko vizuri
@Nyanda506
@Nyanda506 Ай бұрын
Wasanii wa zamani walikuwa wanawaza sana kwenye kutunga ..Nyimbo zao huwa haziishi radha na mafundisho kama kamanda Duh
@KuviFacts
@KuviFacts Ай бұрын
Salute sana
@SuleimanIbrahim-lp7qs
@SuleimanIbrahim-lp7qs Ай бұрын
Yh no 1
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Ай бұрын
Kipind bora cha weekend
@yusufsuwi5350
@yusufsuwi5350 Ай бұрын
Ila feruz ana saut tamu sn daa
@user-vq3vj4ih6x
@user-vq3vj4ih6x Ай бұрын
Ni kweli
@abuubaqr5808
@abuubaqr5808 Ай бұрын
Mererani ni kweli kabisaaaa 😂😂😂
@maneno-my4lu4dt8i
@maneno-my4lu4dt8i Ай бұрын
Tano bora yangu 1.chemsha bongo 2.Kamanda 3.Starehe 4.Zali la mentali 5.Barua
@shabanihussein6329
@shabanihussein6329 Ай бұрын
Ndio
@businesstanzania
@businesstanzania Ай бұрын
lalumba ana kerere sana
@mohamedrashid6578
@mohamedrashid6578 Ай бұрын
Ivi umeisahauje jahazi la daz ?
@EmanuelRyoba
@EmanuelRyoba 29 күн бұрын
Jahaz ni la ferooz
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Ай бұрын
Feluz ndie bdo ana kit2
@animalx8346
@animalx8346 Ай бұрын
Mbona mtangazaji kama Yuko biased, Daz nundaz ndo walifanya wazee waturuhusu hata kununua Kanda na kusikiliza sebuleni, sio dully Wala bdp, kwangu Daz nundaz ndio face wa bongo flava
@KuviFacts
@KuviFacts Ай бұрын
kusema niko biased ni tuhuma ambazo ningepend kuzikanusha hapa,kuhusu swali lako nadhani unapaswakfahamu kua Bongofleva haikujengwa na msanii mmoja bali ni mchanganyiko wa wasanii wengi miana na miaka,BDP walitangulia kabla ya manunda na wao walikua na style ambayo haikua rap ndo mana wanatajwa kamamiongoni mwa waasisis,hii ndio sababu ya kufanya tunachofanya
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 Ай бұрын
Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.
@user-ho7lz2mr5x
@user-ho7lz2mr5x Ай бұрын
Yap jamaa anaitwa SAJO aka CHUPA
@Lugongam
@Lugongam Ай бұрын
ep1 sajo katajwa na hii intervyuu hajaweza kuwepo kwasababu yupo kanisania anabariki ndoa muda huo wa mchana
@KuviFacts
@KuviFacts 27 күн бұрын
Afadhali umenisaidia kaka 🙏🏾watu hawasikilizi kwa umakini sometimes
@gadyjohn3815
@gadyjohn3815 27 күн бұрын
Nimesikiliza vizuri tu, ila sijaona verse yake kama imepewa heshima kiivo, kama zilivyoongelewa verse nyingine, mi nasikiaga tu kuwa hakuimba yeye sijui alikuwa school, nilitamani wangeongelea waliweke vizur hilo.
Kamanda (feat. Daz Nunda)
6:10
Dominick DM7 - Topic
Рет қаралды 101 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 58 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 37 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 24 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 142 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 58 МЛН