Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri

  Рет қаралды 1,153

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema kwamba Serikali ya Tanzania inakopa si kwa sababu ni maskini bali ni tajiri, inakopesheka na inao uwezo wa kulipa.
Akitoa mrejesho wa mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 Mwigulu amesema kuwa Serikali inakopa kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo na sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Пікірлер: 36
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 3 ай бұрын
Wazir wa hovyo kuwah kutokea tz
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 3 ай бұрын
Tajiri hakopi hata siku moja. Utakopa ulichonacho😢
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 3 ай бұрын
Lingine Mwiguru fedha nyingi zinaibwa na watumishi hizi zote ni kujenga uchumi
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 ай бұрын
Huyu ana akili timamu kweli? Kweli kuna changamoto ya akili nchini hasa kwa hawa machawa. Nonsense.
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 3 ай бұрын
sasa ayo makofi ya nni sasa pumba tupu
@HellenMacha
@HellenMacha 3 ай бұрын
Report ya CAG ingekuwa inapewa kipaumbele watu wasingingepigwa makod ya namna hiii...issue sio mapato tu...na matumiz pia!
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 3 ай бұрын
Tukiliamsha tunanza na huyu Bumunda. Nchi zinakopa lkn pesa zinaonekana zinafanya kazi gani. Ninyi mnakopa then mnaongeza kodi si ujuha huo? Reli imejengwa kwa mkopo kias gani mbona hadi leo mnakopa kwq mrad huo huo na haukamiliki.? Anatoq sababu za kijua na za mzaha. Anajua anaongea na waTanzania majuju.
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 ай бұрын
Chawaaaa
@ExecutiveHouseKeeperElewana
@ExecutiveHouseKeeperElewana 2 ай бұрын
Waziri hopeless kuwahi kutokea Tz. Ingekuwa ni Enzi ya Nyerere usingekuwa waziri. Kukopa cyo tatizo, tatizo ni walafi ni wengi sn sn sn
@Rumishael
@Rumishael 3 ай бұрын
Tujifunze kutoka Kenya
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 3 ай бұрын
Hayo yanayopiga makofi ni majinga kias gan??
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 3 ай бұрын
Hamna siku mtanzania atadaiwa nuymbani kwake. Kwa sababu madeni ni ya serikali. Hiyo serikali inapata wapi fedha za kulipa hayo madeni, kama si wananchi????
@febby8308
@febby8308 3 ай бұрын
Tupigwa 2
@HillaryMachano
@HillaryMachano 3 ай бұрын
😢😢😢Mungu wangu!Nini hii
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 ай бұрын
Mulisha tufanya kama chozi la samaki ambalo huenda na maji ila MUNGU wetu yupo atatupigania tuna amini na itakua ivo yani inchi inakopa kwakua ni tajili wkat madeni ni utumwa daaaaa! Sawa mwigulu
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 3 ай бұрын
Huyu waziri hamnazo, kwani nani analipa TRA si mwananchi, na mkikopa nani analipa si mlipa kodi
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 ай бұрын
Ahhh mm ngoja nicheke tu
@Andy-ez9jo
@Andy-ez9jo 3 ай бұрын
Asimilia 20 ya bajeti ya Tanzania ni mikopo. Kama mkikosa mkopo hamwezi endesha nchi. Kuna hela gani iliyokopwa nchi hii imezalisha hela hela ya kulipa hayo madeni yanatoka wapi zaidi ya kuongeza kodi. Ma company yenyewe ya serikali yote yanaingiza hasara Si TTCL Si tanesco Si dawasa Si viwanda vya serikali kila kitu hasara hadi vyuo. Hadi mwendo kasi hamwezi ku endesha hiyo hela ya kulipa inatoka wapi Huyu Jamaa ana tu fanya sisi wajinga. Na anavojilinganisha na marekani marekani asilimia 80 ya madeni yake ni internal kwa maana serikali inajikopesha yenyewe kupitia states na government pensions anatuona sisi wajinga. Wabongo mpaka tuamke Haya mambo hayatokaa yaishe.
@NanaMaembe
@NanaMaembe 2 ай бұрын
WEWE MWIGULU NI MPUMBAVU SANA WA MWISHO..... UNATAKA TUISHI KWA MIKOPO CHOKO WEWE?
@josephfrancis9943
@josephfrancis9943 3 ай бұрын
Mnakopa mnagawana wenyewe nchi inadaiwa mpaka kku mnatuachia shida ndo mana unapendekeza fain milion kumi na tano msenge ww huna akili
@andrewchihwalo8937
@andrewchihwalo8937 3 ай бұрын
Ubongo wa makamasi eti waziri aibu sana wallah 😡😡😡😡
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 ай бұрын
Hahaaaaa tz tumatajiri huku tunalala njaa
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 3 ай бұрын
Upumbavu wa hali ya juu
@juliethpetro8763
@juliethpetro8763 2 ай бұрын
Mbona maneno yake yana kigugumizi?
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 3 ай бұрын
Ukila wewe ukashiba unaona ni tajiri sijaona mtu mbaya kama wewe pumbavu kabisa watu hata mlo mmoja ni shida wewe umeiba hela zote za Kodi unajiona tajiri na unafikiri wote
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 3 ай бұрын
Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu
@SurprisedAutoRace-ib8nf
@SurprisedAutoRace-ib8nf 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 hata haujishangai na mnakopa kwa shida zenu hatupo karne ya70s na kila mtu anaelewa
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 2 ай бұрын
Hak ana mahana
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 3 ай бұрын
Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 3 ай бұрын
Hapo sijakuelewa unawezaje kuenda kuomba msaada kwa mtu alafu umbiye kuwa Mimi tajili
@clethbarnaba923
@clethbarnaba923 3 ай бұрын
Kangara kweli
@MakunyanziPeter
@MakunyanziPeter 3 ай бұрын
Ndiye mtu msomi huyo
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 3 ай бұрын
Kafie kuzimu bumunda
@patrickbenard7542
@patrickbenard7542 3 ай бұрын
Sawa wanakopa wanakupa mkopo Kwa riba gani na Kwa mashart gani? Na Je wanakupangia project gani za kufanya?
@OnetimeShowtime-jj1ek
@OnetimeShowtime-jj1ek 3 ай бұрын
Matajili hatukatai Shida yako Viongoz mumekua wanyanyasaji masikini limekua godro lenu tax Tozo nibom kwawa Tz
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA KWA MWAKA 2024-25
25:42
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 2,8 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 2,4 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН