Рет қаралды 483
Mwakilishi wa Sekta Binafsi, Ali Amour ameeleza hatua mbalimbali zilizopigwa nchini katika kuiwezesha Sekta Binafsi kuendelea pamoja na changamoto wanazokutana nazo haswa zile zinazotokana na masuala ya kisera na utendaji kwa upande wa Serikali.
Amour ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Biashara la Taifa unaoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.