Kwanini waongee lugha tata... Nyerere hakuwa na muda wa kuchezea alifanya vyema saaana mzee wetu Nyerere. Rest in power Mzee wetu
@leoleonews8 ай бұрын
Ahsante sana Shafii Hamis
@Mapenzi26353 ай бұрын
Asante sana, Shafii.
@surusuru19944 ай бұрын
Nyerere❤ Allah akurehem makufuli❤ pia
@ramadhankulandea7896Ай бұрын
👍
@moxasaidi33982 ай бұрын
Hapo nimesoma kuwa mapinduzi ya mwaka 1964 ni hao majajusi wawili ndio walio tumwa na kumuezesha mwalimu nyerere kuyafanya kisiwani zanzibar bila ya hao majajusi kwa msaada wao kusingelikuwa na mapinduzi zanzibar wala muungano ni vitu vilipangwa kwa maslahi ya majasusi mbeleni
@prince.eric_msemwa97328 ай бұрын
Siku hzi hali mbaya zaidi, wapelelezi wa magharibi ni weusi kwa ngozi na wateja wao wakubwa ni watu weusi pia. Je hilo linawaacha wapi viongozi wa bara hili