Wafahamu Makamanda 20 wa JWTZ Walioongoza Vita ya Kagera | Historia | Siku ya Mashujaa Tanzania

  Рет қаралды 90,109

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 125
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
@godfreykejo5209
@godfreykejo5209 6 ай бұрын
Zdzx 14:25 14:25 14:25 14:25 😊 14:25 14:25 14:25 sd 14:25 😊😊s😊z😊
@travesseniorchannel
@travesseniorchannel 6 ай бұрын
Kazi nzuri sana hii. Hatuwezi kusherehekea Siku ya Mashujaa bila kuwafahamu mashujaa wenyewe. 😊👏🏾
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 6 ай бұрын
Asante kwa makala nzuri na umetukumbusha mbali na kujenga uzalendo, ninachoomba wale walioshiriki vita hiyo ya Kagera yaani wapiganaji wenyewe wanawaenzi namna gani, hata kama alifia vitani au alipata ulemavu walienziwa namna gani, hapa umewataja viongozi, ambao baada ya vita walitunukiwa hayo uliyoyataja lakini waliofia vitani waliokatika mikono , miguu, wengine masikio yaliziba walisaidiwaje, maaana kuna mmoja nilimwona kwenye Tv alipata ulemavu vitani ana maisha magumu sana hata nyumba anayolala ni shida na kutokana na huo ulemavu hata alishindwa kutengeneza familiar. Sasa sijui hao wanajeshi wenzie walimwona na inawezekana wapo wengi
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri 6 ай бұрын
Vita yoyote duniani hukumbukwa wote kwa ujumla kama mashujaa lakini kwa walioingoza vita hiyo wana kumbukumbu na sifa maalum kwani kama tanzania ingeshindwa vita hiyo wangelaumiwa makamanda wakuu viongozi wa kijeshi na amiri jeshi mkuu wapiganaji hufuata maelekezo ya wakuu wao mfano kamanda mkuu na mkuu wa majeshi ya Rwanda RPF alikuwa kagame waliposhinda vita sifa zote zikaenda kwa kagame japo wapiganaji wengi waliuwawa
@stephanSandika
@stephanSandika 2 ай бұрын
Ndugu hao ndy wapo wengi Baba yangu mzazi Wajomba wawili Mama yangu mzazi
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 2 ай бұрын
Kaka nimekukubar wew ni mchambuz hodar sana Nyie ndio tunao wataka sio wale mbumbumbu wa kuzushia watu vifo wakat wako hai safi kaka♥️💯📌
@tatutumbi4640
@tatutumbi4640 6 ай бұрын
Mungu Amlaze mahali pema poponi. Mume wangu mpiganaji. Na wengine wote waliotangulia mbele ya haki. Kazi mliifanya. Mpewe Maua yenu.🙏🙏
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Amina na pole sana
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Habari, kama utapenda tunaomba tupate simulizi kutoka kwako kuhusu vita ya Kagera na hasa kuhusu shujaa mume wako 0753815105 (The Chanzo)
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 2 ай бұрын
Fanya mpango uandike kitaab!
@stephanSandika
@stephanSandika 2 ай бұрын
Pole
@fadhilkalembo5676
@fadhilkalembo5676 3 ай бұрын
Hapo wa kumi na tisa s.s kalembo.mungu aendelee kumpa afya njema baba yetu .
@Babylon_Must_Fall
@Babylon_Must_Fall 2 ай бұрын
Yupo wapi kwa sasa? Mhoji upate cha kuandika kesho, ikiwemo na picha! Namtakia Kila la kheri!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Mungu awalaze mahali pema peponi akiwemo Mume wangu mpigani wa vita hiyo
@tuzonyava8306
@tuzonyava8306 6 ай бұрын
Pole na Mungu awalaze mahala pema pepon
@jeremiahmalasusa3997
@jeremiahmalasusa3997 6 ай бұрын
Mungu amlaze peponi.
@magigesabai8674
@magigesabai8674 6 ай бұрын
wengine bado wapo akiwemo Kikwete
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 5 ай бұрын
@@magigesabai8674 kuna watu wengi hawafahamu kama Kikwete ni mjeda na alipigana hiyo vita💥💥💥💥
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Pole sana, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera na shujaa mume wako kama utapenda. Unaweza kuwasiliana nasi kwa 0753815105 (The Chanzo)
@jeffmap4038
@jeffmap4038 5 ай бұрын
Brig Gen. M. M Rajabu muhandisi wa Daraja la Kagera mmemsahau.
@SaidPazi
@SaidPazi 4 ай бұрын
Asanteni viongozi wetu kwa kutupambania wajukuu zenu amiiin
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 6 ай бұрын
Sababu za kumpiga tunayo, uwezo wa kumpiga tunayo, tunataka dunia ituelewe hivyo kazi iliyobaki ni mmoja kumpiga tuu !! Vita si lelemama. Kagera war Mwalimu Nyerere 🇹🇿🇹🇿⚒️🇺🇬🇺🇬
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 ай бұрын
Matokeo yake uwezo hatukuwa nao tena kila kitu kikawa shida tupu😅😅😅 huyu aliyesema apigwe nduli Amini ningekuwa karibu yake ningemzaba makofi hii vita ilichakaza uchumi wetu 😅😅😅.
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 4 ай бұрын
Kumbuka kuwa hayati mwalimu Nyerere alisema mapema kuwa ni lazima tufunge mkanda na vita si lelemama. Kumbuka hata Marekani ilibidi watoke mbio na kuacha zana zao za vita ikiwemo helicopters na vifaru Afghanistan
@AbinelyBasiri
@AbinelyBasiri 6 ай бұрын
Namkubali sana general mike malwa, aliongoza kikosi nilichopigana Mimi,, aliwai kusema, anaendakumkamata amini Kwa mikono tu , Hana bunduki, we acha tu, huyo . Mwamba,
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Habari ndugu, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera kutoka kwako kama utapenda, unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo)
@Dr_Heart.
@Dr_Heart. 6 ай бұрын
Mpewe maua yenu, nice story of our own history researched and presented in artistic and fantastic style, Muchas gracias the chanzo
@isackbilali7927
@isackbilali7927 6 ай бұрын
Rest Easy Uncle Maj Gen. Rowland L. Makunda umewahi kunihadithia mengi sana kuhusu hii vita na leo nimeshuhudia ukitajwa kwny hii simulizi tamu ya The Chanzo
@josepharcado
@josepharcado 5 ай бұрын
Hongereni makamandi wetu tutazidi kukuenzini
@IsackIbrahimu-j3k
@IsackIbrahimu-j3k 5 ай бұрын
Ongera kwa kimbukumbu nzuri
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
History to remember.✌️
@unganivictor817
@unganivictor817 6 ай бұрын
Viva mashujaa wote wa vita vya kagera
@fahadalismaili6546
@fahadalismaili6546 6 ай бұрын
Kisha waliporudi wakapewa asante kwa kazi nzuri dadadeki
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 6 ай бұрын
That is the time we had had battle hardened, patriotic and highly disciplined soldiers , God bless them for standing against Idd Amin and other foreign infiltrators and Emperialism
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 6 ай бұрын
Asante sana kwa history
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 6 ай бұрын
Safi sana
@benjaminlazaro-o6e
@benjaminlazaro-o6e Ай бұрын
Viva msuguli rest easy dingi
@WariobaMasunga-z9z
@WariobaMasunga-z9z 22 күн бұрын
waislam huwa hawapendi kuiadisia story hii
@msafirially7849
@msafirially7849 Ай бұрын
Interested
@EdimundKamsonko
@EdimundKamsonko 3 ай бұрын
Mungu alinde nchi yet isipate majanga Kama haya tena
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 6 ай бұрын
Msuguri ni huyu huyu ninaemuita mzee wangu hapa mbezi au ni yupi msaada jamn
@petermabada5628
@petermabada5628 6 ай бұрын
Hapo hapo mbezi palikuwa kwake
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 4 ай бұрын
@@petermabada5628 alaaaah
@stephanSandika
@stephanSandika 2 ай бұрын
Namsikia baba mkubwa hapo jems luhanga
@georgekimako6840
@georgekimako6840 6 ай бұрын
🔥🔥
@benjaminlazaro-o6e
@benjaminlazaro-o6e Ай бұрын
Badla waden
@shadrackmashishangapeter821
@shadrackmashishangapeter821 6 ай бұрын
Tuliopigana vita hiyo hatujawahi kuitwa wala kualikwa na bado tuko hai wanakaribishana wenyewe na kugawana posho
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 6 ай бұрын
Iabla vita hivyo havikuwa halal...na vilisababisha leo tuwe hapa kimaendeleo....kwa sababu hizo kwann mkumbukwe...
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 5 ай бұрын
@@ibrahimomari2458 tena walienda kumpiga Idd Amin na kumsingizia vitu vingi vya hovyo
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Habari ndugu, tungependa kupata simulizi ya vita ya Kagera kutoka kwako kama ukipenda, unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo)
@danstanpanga8490
@danstanpanga8490 5 ай бұрын
Gen. Silas Mayunga "Jenerali Mti Mkavu".....….Gen Musuguru "Jenerali Mtukula" .... Gen John Walden..."Black Mamba"
@momylaviel
@momylaviel 6 ай бұрын
Viva mashujaaa
@VisentJohn-r3r
@VisentJohn-r3r 3 ай бұрын
Umechapia
@lawskuli9876
@lawskuli9876 6 ай бұрын
Natamani ungetuambia kila mmoja kati ya hao makamanda kama yupo hai au ameshafariki.
@AllyMohamed-w5x
@AllyMohamed-w5x 6 ай бұрын
Viva
@festokemibala5832
@festokemibala5832 5 ай бұрын
Hizi kumbukizi zingekuwa zikifanyika rasmi katika eneo la tukio baada ya wiki nzima ya kusafisha makaburi ya wahanga huko Kaboya pia kuwatembelea mashujaa waliopo na hata familia zao majumbani na kuwafariji/kuwapongeza kwa hali na mali. Hii mara inafanyika Dodoma mara Singida wakati wahusika wala hawajawahi kuyashuhudia makaburi ya mashujaa yalivyopangana huko Kaboya wanaazimisha historia tu, hapana. Watembelee pia mpaka wa Uganda na Tanzania na ikibidi waende Chotera, Masaka, Mbarara washuhudie mabaki ya vifaru na mizinga iliyotumika ktk vita hivyo. Ni ushauri
@SubiraLuoga-de1id
@SubiraLuoga-de1id 2 ай бұрын
Kazi nzuri lkn Sayore alistaafu na cheo Cha luteni jenerali km sikosei
@DemetriosByabato
@DemetriosByabato 6 ай бұрын
Sijamsikia Meja General Msuya aliyeikamata Kampala.
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 6 ай бұрын
Sawa kabisa kipindi cha vita alikuwa na cheo cha Kanali. Huyu Kanali Benjamin Msuya ndiye aliyeongoza kikosi kilichoteka mji mkuu Kampala. Alistaafu akiwa na cheo cha Meja Generali. Mwishoni mtangazaji amesema wazi wapo makamanda wengine wa vikosi asingeweza kuwataja wote ameona awataje hao 20 ambao wengi wao waliongoza Brigedi na baadhi yao waliongoza vikosi. Kila brigade ina vikosi 3 au 4 na kila kikosi kina kombania 4 na kila kombania na Platuni 3. Kwa hiyo Brigedi ni pana sana na ina askari wengi kama alivyowataja mtangazaji.
@Amosmsechu
@Amosmsechu 6 ай бұрын
Kabisaaa na aliitawala uganda siku 3
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri 6 ай бұрын
amekwambia kulikuwa na wapiganaji wengine na makamanda kwenye taasisi za jeshi walioshirikiana na waliotajwa kuna waliorudi na waliotangulia walikuwa wakipishana pia ndio maana hajatajwa mkuu wa kikosi cha anga
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Msuya wakati wa vita alikuwa na cheo cha Luteni Kanali akiongoza moja ya kikosi, japo badae akiwa Uganda alipandishwa cheo na kuwa Kanali. Pamoja na kutambua historia kubwa ya Msuya, hapa kwenye list yetu tumewataja Makamanda wa ngazi ya Brigedi na Divisheni waliiongoza vita na sio makamanda wa vikosi vilivyokuwa chini ya Brigedi.
@anthonygikuri
@anthonygikuri 5 ай бұрын
Kazi nzuri sana. Historia hii inatakiwa kuandikwa vizuri iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo!!!!
@MohamedKidwaka-y4o
@MohamedKidwaka-y4o 6 ай бұрын
Ulitakiwa kutupa history nzuri ya john burder Walden black mamba
@BakarAliy
@BakarAliy 6 ай бұрын
Wazanzibari ukitutajia nyerere .tunaumia
@LucyNgowi-m5z
@LucyNgowi-m5z 6 ай бұрын
Kwanini?
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 6 ай бұрын
Meza panadol tu
@BataNamichongo
@BataNamichongo 5 ай бұрын
Wazanzibar ndo akina nani kwenye nchi moja Tanzania
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 5 ай бұрын
@@BataNamichongo hawa wengi wao hawajizambui asil zao kwakweli,kuna wamakonde,wanyamewezi,wamatumbi na wengi kutoka bara,sasa kutokujitambua na kulazimisha uarabu ndy wanajikuta arabuni hawapo Africa wapo lkn wanajizima data,ni wakuwaacha km walivyo maisha yaendelee kwa amani tu,ardhi ipo Africa unforced iwe arabuni?kuwapotezea tu huku watu wanaendelea na kazi zao.muungano daima🇹🇿🇹🇿👍💯
@Wachoraji
@Wachoraji 2 ай бұрын
​​@BakarAliy😢 TUNAKUSHANGAA UNAETAKA KUTUGAWA, WAZANZIBAR NI WAKINA NANI, SISI TUNAWAONGELEA MASHUJAA WATANZANIA, HAO UNAOWAITA WW WAZANZIBAR SISI TUNAJUA NAO NI WATANZANIA, PLEASE USIIGAWE NCHI YETU UTAISHIA PABAYA NA KAULI ZAKO, TUTAILINDA TANZANIA YETU, KUMBUKA ZANZIBAR NI SEHEM YA TANZANIA, USIRUDIE KUTULETEA UZANZIBAR KWENYE MAMBO YA NCHI, USIJARIBU KULETA KUTUGAWANYA, TYTAKUGAWANYA. KUWA MZAKENDO WA NCHI YETU YA TANZANIA,KAMA HUNA COMMENT NI BORA UTUKIE KIMYA😊
@Munyama675
@Munyama675 3 ай бұрын
Wakati wa Vita Musuguri alikuwa Brigedia na sio Meja Jenerali, sambamba na akina Walden wote walikuwa mabrigedia. Twalipo na Sarakikya walikuwa na cheo cha Meja Jenerali kabla ya baadae kupandishwa vyeo. Tuweke kumbukumbu hizi kwa usahihi kidogo
@babengarutta44
@babengarutta44 2 ай бұрын
Na wewe record zako hazipo sawa
@SaimonMisungwi
@SaimonMisungwi 2 ай бұрын
❤tanznia
@israelsimba4954
@israelsimba4954 6 ай бұрын
Hingereni kwa kutimiza mJukumu yenu.
@111dudi
@111dudi 4 ай бұрын
Vita iliirudisha Tanzania nyuma miaka 50. Kulikuwa na haja ya vita?
@amanyajohnson6341
@amanyajohnson6341 4 ай бұрын
Are you serious?
@peterdshekiondo9444
@peterdshekiondo9444 6 ай бұрын
where is Tony Alfred's voice?
@DeusMbuge
@DeusMbuge 6 ай бұрын
Sayole Alistaafu Lt General sio Meja General
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Asante
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 6 ай бұрын
Safii
@musamwafongo3430
@musamwafongo3430 5 ай бұрын
Nilifanikiwa kuwa na Silas Mayunga/ na nilirudi SALAMA
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Habari Musa Mwafongo, tungependa kufanya mahojiano nawe kupata simulizi yako kuhusu vita ya Kagera kama utapenda. Unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0753815105 (The Chanzo).
@WallaceMakunda
@WallaceMakunda 6 ай бұрын
Ooh mbona picha ya brig mnauye sio hiyo , ni picha ya brig makunda
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Hiyo picha tuliyotumia, ilitumika kwenye tukio la kumbukizi ya kifo chake Nnauye. Sasa labda kama familia ya Nnauye ilichanganya picha. Ila nadhani umemfananisha na Makunda kwa sababu wote walikuwa wanavaa miwani.
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 6 ай бұрын
Mejor Gen Msuya YUPO wapi KTK Idadi YAKO?
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Msuya wakati wa vita alikuwa na cheo cha Luteni Kanali akiongoza moja ya kikosi, japo badae akiwa Uganda alipandishwa cheo na kuwa Kanali. Pamoja na kutambua historia kubwa ya Msuya, hapa kwenye list yetu tumewataja Makamanda wa ngazi ya Brigedi na Divisheni waliiongoza vita na sio makamanda wa vikosi vilivyokuwa chini ya Brigedi.
@PauloKanoni-nu2bl
@PauloKanoni-nu2bl 6 ай бұрын
Wherebos Ben Msuya
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Alikuwa Kamanda wa Kikosi, hawa tumewataja ni wale wa kuanzia ngazi ya Brigedi. Historia kubwa ya Msuya ni kwamba Kikosi alichokiongoza ndio kilichoanza kuingia Jijini Kampala na yeye ndio alipewa maagizo ya kusimamia Uapisho wa Rais Mpya wa Uganda baada ya utawala wa Idd Amin kuanguka.
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 6 ай бұрын
​@@thechanzo:- Lakini pia umewataja ma - Kanali ambao waliongoza vikosi na siyo Brigedi na ndiyo sababu ya baadhi ya wafuatiliaji wa makala yako kuuliza Kanali Benjamin Msuya mbona hakutajwa.
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
@@samsonmwijage1869 Makamanda wenye vyeo vya Kanali tuliowataja ni wale waliokuwa na madaraka kwenye ngazi ya Brigedi na Divisheni, na sio ngazi ya vikosi. Mfano, tuliowataja walikuwa Watendaji wa Kivita wa Brigedi, Divisheni na Kanali Tumbu alikuwa Mkuu wa Mizinga wa Divisheni.
@tulipotokazamani
@tulipotokazamani 6 ай бұрын
Wapi Brigadier Martin Mwakalindile?
@kwelimohamedtrueman1282
@kwelimohamedtrueman1282 6 ай бұрын
Siotu brigadier ni major general Martin Mwakalindile Mungu amlaze mahali pema, nadhani mwandishi arudie tena kupanga
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 5 ай бұрын
​@@kwelimohamedtrueman1282:- Sahihi kabisa pamoja na kwamba hawezi kuwataja wote lakini kuna ambao haiwezekani kusaulika katika simulizi hii akiwemo Kanali Benjamin Msuya aliongoza kikosi kilichoteka mji mkuu Kampala.
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Mwakalindile wakati wa vita kwanza hakuwa Brigedia, alikuwa Kanali, badae ndipo alipandishwa vyeo mpaka kufikia Luteni Jenerali. Kwenye orodha hii hatujamuweka sababu, hakuwa kiongozi wa Brigedi au vikosi vilivyokuwa mstari wa mbele. Mwakalindile alibaki makamu makuu ya Jeshi kufanya kazi za uratibu wa vita.
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
@@kwelimohamedtrueman1282 Tatizo itakuwa hujasikiliza wala kusoma hii orodha imelenga watu gani, hebu tusaidie hapa Luteni Jenerali Mstaafu Mwakalindile aliongoza Brigedi au Vikosi vipi wakati wa vita?
@herilello4
@herilello4 5 ай бұрын
Msuya alitoka BN 19 alivuka mtoo na Mashua mpaka kuuteka mji wa jinja
@HeboniBabu
@HeboniBabu 3 ай бұрын
Vita ilikuwa aituhusu obote alikuwa lafiki wa nyerere
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 5 ай бұрын
Kimario kamanda mbogo
@mpegesaaswile6581
@mpegesaaswile6581 6 ай бұрын
Sijamwona PIUS MPEGESA
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Hapa tumeweka orodha ya makamanda wa ngazi za juu za Brigedi na Divideni.
@andrewdavid9461
@andrewdavid9461 6 ай бұрын
Acha uwongo
@khalilyjuma813
@khalilyjuma813 6 ай бұрын
Benjamin Msuya alikuwa nani?
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Alikuwa Kamanda wa Kikosi, hawa tumewataja ni wale wa kuanzia ngazi ya Brigedi. Historia kubwa ya Msuya ni kwamba Kikosi alichokiongoza ndio kilichoanza kuingia Jijini Kampala na yeye ndio alipewa maagizo ya kusimamia Uapisho wa Rais Mpya wa Uganda baada ya utawala wa Idd Amin kuanguka.
@tulipotokazamani
@tulipotokazamani 6 ай бұрын
@@thechanzo Umemuacha mtu muhimu sana sana. Kanali Ambrose Bayeke, yeye ndio alikuwa Mkuu wa mbinu za vita kwenye Vita hiyo ya Kagera. Baadaye wakati vita ikiendelea alipanda na kuwa Brigadia. Kwenye moja picha za video hapo anaonekana Bayeke akitembea na Mwalimu Nyerere huku akimpa maelezo fulani. Luteni Kanali Benjamin Msuya aliongoza Battalion namba 21 iliyouteka mji wa Kampala. Baadaye wakati vita ikiendelea alipandishwa na kuwa Kanali. Kwanini Maafisa walipandishwa vyeo wakati vita ikiendelea? Ni kuwa Brigedi kadhaa ziliunganishwa na kuwa Divisheni kwahiyo Brigadia Mwita Marwa alipandishwa na kuwa Meja Jenerali akaongoza Divisheni mojawapo, pia Brigadia Silas Mayunga nae akapandishwa na kuwa Meja Jenerali akapewa Divisheni nyingine. Ikabidi pia Makanali kadhaa wapandishwe kuwa Mabrigadia wakiwemo Kanali Takadir Kitete na Kanali Ambrose Bayeke. Pia Maluteni Kanali kadhaa wakapandishwa na kuwa Makanali akiwemo Benjamin Msuya.
@kwelimohamedtrueman1282
@kwelimohamedtrueman1282 6 ай бұрын
Umetulisha matango pori, embu rudia tena upange list yako upya
@hamisikitwana7957
@hamisikitwana7957 6 ай бұрын
Umekosea kuhusu Mayunga akuwakuwa barozi Kongo bali Ethiopia
@thechanzo
@thechanzo 4 ай бұрын
Ingia kwenye website ya Wizara ya Mambo ya Nje utaona orodha ya vituo vya kazi alivyofanya. Tumetumia taarifa ya Wizara.
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 3 ай бұрын
Nigeria
@tosh7671
@tosh7671 6 ай бұрын
Kati ya vita ambavyo havikuwa na sababu yoyote ya maana. Mpaka leo miezi 18 ya kufunga Mikanda na umaskini inaendelea
@petermogha7025
@petermogha7025 6 ай бұрын
Kwa msuguri umekosea kusitafukwake
@thechanzo
@thechanzo 6 ай бұрын
Ingia kwenye website ya JWTZ uone wameandika alistaafu lini kisha urudi tena tujadili.
@abdallahiddy6333
@abdallahiddy6333 5 ай бұрын
ndio maana nape amelithi propaganda za baba ake
@AbirahIssa
@AbirahIssa 4 ай бұрын
Mwongo wewe
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 6 ай бұрын
Lakini IDI AMIN alikimbilia SAUDI ARABIA na akfarik huko na akazikwa uko, sasa kama ww muislam jiulze kulikoni!! Wakat nyerere tunajua alikua kafiri.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 6 ай бұрын
Wewe nae unaleta mambo gani! Dah!
@irineemanuel9749
@irineemanuel9749 6 ай бұрын
Pole sana kwa kudumisha udini.ila uko nchi ambayo aliipigania ambaye una muita kafiri.katafute nchi ya watakatifu ukaishi huko
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 6 ай бұрын
Wewe ni mpumbavu mkubwa na ni kafiri sawa na kafiri mwenzio dikteta muuaji Id Amin ambaye hata hakupewa heshima kwenye KIFO chake hata nchi yake Uganda walishangilia KIFO chake. Lakini Mwl Nyerere alizikwa kwa heshima zote za KITAIFA na DOLA na dunia ilisimama. Anaheshimika Africa nzima muasisi wa Taifa letu. Miji mikuu yote Afrika utakuta barabara au mtaa unaitwa Nyerere huyo Amin hata Uganda kwao hatambuliki. Usituletee udini hapa. Mtoa makala anazumgumzia mambo ya msingi kuhusu mashujaa ambayo huadhimishwa kila Julai 25 halafu wewe unatuchanganyia habari za dini. Mbona waislamu wengi Wana akili timamu na busara ila mpuuzi kama wewe unawatia doa kama ni kafiri ni wewe. Idiot.
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 6 ай бұрын
​@@irineemanuel9749:- msamehe Bure huyo ni mwehu na kafiri mwenyewe. Alivyo mjinga anadhani dini yoyote ile ni kigezo cha kwenda mbinguni !!!!
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 6 ай бұрын
Wewe mwenyewe kama mwenzio muuaji dikteta Id Amin ni kafiri na mpumbavu mkubwa. Mtangazaji katoa makala ya mashujaa ambayo huadhimishwa kila Julai 25 halafu wewe unatuchanganyia habari ya udini. Mbona waislamu wengi wana akili timamu na busara wewe mpuuzi unawatia doa. Baba wa Taifa Mwl Nyerere anaheshimika barani Afrika miji mikuu ya nchi karibu zote Afrika utakuta barabara au mtaa unaitwa Nyerere huyo Amin hata Uganda kwao hatambuliki hata hakumbukwi kwa unyama aliowafanyia raia wake. Mwl Nyerere alizikwa kwa heshima zote za KITAIFA na DOLA na dunia ilisimama na kila mwaka kuna kumbukizi yake. Huyo Id Amin hata kwao Uganda watu waliingia barabarani kushangilia kifo chake 2003. Amin baada ya kushindwa vita 1979 alikimbilia Libya kwa rafiki yake Gadafi lakini baada ya mwaka na kidogo Gadafi akagundua huyu mtu SIYO AKAMFUKUZA. Amin akakimbilia Saud Arabia alikofia. Changia hoja za msingi usijivunie dini. Matendo ya kumpendeza Mungu na kumcha MUNGU ndiyo kigezo cha kuona ufalme wa Mungu. Dini pekee haimpeleki mtu Mbinguni.
@AllyMohamed-w5x
@AllyMohamed-w5x 6 ай бұрын
Viva
NYOTA WA WIKI   BRIGEDIA JEN.(MST) BAYEKE
28:13
TBConline
Рет қаралды 13 М.
The Story Book: Wapenzi waliotikisa dunia kwa Kuua na Ujambazi
26:52
How Close Nazi Germany Came To Conquering Europe | WW2 in Color
3:28:20
Real History
Рет қаралды 1,5 МЛН