Рет қаралды 17,131
Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt Doto Biteko ambaye amemuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa Chama cha Mawakili Tanganyiika (TLS) amewaasa kuwa kama angekuwa na nafasi ya kupiga kura basi angechagua mtu anayezingatia "haki na amani" ya nchi.
Mkutano huo wa TLS unaenda sambamba na maadhimisho ya miaka 70 ya chama hiko tangu kiundwe wakati wa ukoloni.